Juisi | Jifunze kutengeneza juisi aina 5 za matunda na nzuri kwa biashara | Juisi za matunda.
Vložit
- čas přidán 7. 06. 2021
- #juisi #juisizamatunda #juisizabiashara #juice
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen.
English recipe press the link ➡️ 5 refreshing summer juices | Easy fruit juice recipes | Summer fruit drinks. • 5 refreshing summer ju... - Jak na to + styl
If you would like to watch this recipe in English language press the link ➡️ czcams.com/video/N660mHSo6-0/video.html
Nitumie hio blender yako da rukia
Naipenda
Elezea kwenye videos zako quatity ya glass za juice inayotoka kwenye matunda hayo baada ya kublend tafadhali
BP
Mashaallh
Asantee sana na hivi nipo mbioni kuanza biashara hii eeh Mungu nisaidie niweze kufanikiwa mie!
Assalamualaikum vp dear naomba vipimo kwa juice ya biashara
Mashaallah Asante sana vipimo vya biashara inakuaje nataka nifanye ya biashara
Mm simfanyi biashara sijuwi viwango vyake
Sksante Sanaa Rukia Laltia kushea Supper 5 juices!! Wow kutoka TANGA Tanzania love all ur cooking recipies.
Masha allah vizur jazaakallahu khayra da Rukiya
Gloves jaribu kutumia zile za karatasi Itakuwa vizuri zaidi kwa maaandaliz ya chakula
Mashaallah....i love them all❤
Mashallah nimezipenda naomba kutengeneza za biashara bt vipimo shida
Mashaallah naomba vipimo nifanye biashara
Asante kwa ujuzi Mungu akubariki sanasana.
nakupenda sana rukia na pia napenda kujifunza kutoka kwako
Mashallah ALLAH barik
Asante sana Dada kwamafunzo yako Mazuri♥️
Kazi nzur my dear
Love it
Mashaallah
Asante sana je unauzaje kama hivyo
Nzr sana
Napenda saaan hyoo biashara
Nimependa sana
mashaAllah mashaAllah hbbty....varieties zote...ni ss tu sasa kutengeneza...yummm... nimependa ya matundaa mashaAllah
Thank you soo much boo boo ❤️ 😘 inshallah 🙏
Thank you so much my sister
Your explanation was very clear 🔥🔥🔥
Shukran jazakah Allah
Hayo ni passion
جزاك الله خيرا
Asante sana mamy
Very nice daa
Mashallah
Mashallah Nike penda sana hii recipe ntashare kwa wengine tujifunze zaid ❤️
Ma sha Allah..zote nimezipenda 😋😋😋
Shukran habibty 😘
Mashaallah unafundisha vizur alafu usafi upo juu Sana 👌👌👌
Asante sana ❤️
Asante san❤ dada kwa mafunzo yako
Asant kwa mafunzo mazuri
Woow tantee kpenz👌👌😘😘
Karibu sana
My sister thanks I need to learn on how to cook biriani
Looks great thanks for sharing
Friend here stay connected
See u around
Nimependa nilikua sijui kutengeneza juece
Thanks sister😋😋
Nice
Ile mate yanitoka jameni..hee😜😜..sweet sana haki..
Juis nzuri sana nimeipenda hiyo link haifunguki.
Naweza tumia Asali badala ya Sukari
Ni nzuri nzuri Sanaa ajabuu!!!
Asante sana ❤️
Asante sana
Nimejifunza
Dada nataka kujifoza
👌👌
Je ni lazima kuwa na majani ya nana?
Masha Allah
تسلم ايدك يا قمر ❤️🌹
Habari. Mimi nataka kujua hizo vanila dizanigani
Kwakweli kazi hii nikazi nzurisana kabisao
Naitaji uwe mwalimu wangu naishi cingo
Ahsante sana dada nimempenda kipindi chako,, ila naomb kuuliza hayo maganda ya pili ya nanasi unasubilia yanapoa kwanza ndo unaweka kwenye blender au
Nzuri
Asante
Majani ya nanaa yanapatikana wapi? Asante Sana Mungu akubariki wa kipawa chako kizuri.
Nmekupenda sana dada angu kwa kutupa recipe za umuhimu sanaa
mashaallah mashaallah yummy my dear hapo utamu ju ya utamu
😋😋❤
Asante sana habibty 😘
Sana utamu huu ni balaaa
❤❤
Nmependa juice 🥤 nzuri sanaa .naomba kujua tukichemsha hayo maganda ya nanasi inakua tunaondosha kitu gani!?
🕓
👍👍👍
Mimi naishi Bukoba je nitaipataje na kwa bei ipi?
😋😋🤩
Mashaallah me from Bangladesh 🇧🇩 thanks 😊
Thank you
Sister kazi nzuri
Asante sana
@@RukiaLaltia asante kwa SoMo nzuri. Swali langu ni vimto hupatikana wapi?
Asante kwa darasa majani ya nanaaa yanasaidia nini? Nikiyakosa mbadala wake ni nini?
Masomo mazuri nimependa sana nina swali kuna siri gan kwenye limao naona kila juice inaekwa limao
hio mint leaves siez sagia na tikiti?
Unaweka kwenye Brenda ukiwa BDO ya Moto?? Io uliochemsha?? Je haina shida ukiwek ya Moto kwenye Brenda???
Na mint umeiwekwka wp? Juu haujaonyesha
Ahsante sana dear sister kwa elimu hii, hakika tumejifunza yalio mazuri kwa manufaa ya kujiendeleza kiuchumi
Karibu sana 🥰
Nataka kujifunza
Hiyo vimto napata maduka gani?
Sorry waweza sema ni kwanini unapendelea tumia malimao kwa juice zako...ina umuhimu gani kwa juice,just tell us plz
Hayo maji na Vinton nitavipataje dear
Dada una vitabu vya juice
Mashallh nyc nauliza iyo juice ya nanasi,carrot,chungwa na tangawizi.naeza kuchemsha carrot? Au
Ndio waeza
@@RukiaLaltia shukran
Mbona hujaweka Yale majani
Juice ya nanasi ni tamu hatareee
Shukran ukhty 😍 samahan naomb kuuliza baada ya kuchemsha maganda ya kwanza unasaga hivyo ikiwa ya moto au uache ipoe kwanza
Yapowe kiasi
Usikate tamaa tia bidii
Kwani hao kuku hawachemshwi?
Limao Lina ulazima kuweka
Limau na tangawiz inasaidia nn hom au ni laza tu
Kwanini hatuwezi blend mojakwa Moja bila kuichemsha?
Maganda ya nanasi ni uboraa kuchemsha
Limao linasaidia nn
Nataka kujua ni kitu gani kinachoitwa kikafanya juis isiharibika bila ya kutia ktk frij au keke za biashara zinazoweza kukaa mda mrefu au vileja ni kitu gani kinachofanya kutoharibika kwa mika km soda bila yakuweka ktk fridha haiharibik naombo habibty rukia kitu kinachotumiwa kufanya chakula au kinywaji kikae mieZ na miaka bila kuoza
Namba ya cm please
Hello rukia! Naomba kujuwa kwanini maganda ya juice ya nanasi umechemsha?
Ili isilete ule uchungu wa nanasi, kwa sabb nanasi linatabia ukila ukinywa maji unaona ya uchungu
Kimm najua inafanya juice kuwa nzto kdgo na pia kuneutralise taste ya juice...na maganda pia iko na taste na mabaki ya nanasi bado
Natamani Sana biashara ya kuuza juice
Eti Kuna sukari maalum Kwa ajili ya juisi na inauzwa wapi!?
Ipo super market ni nyeupe ina nguvu sana unatia kidogo tu
Kama sukari imezid naweza ongeza maji
Ndio
🕕
Nimependa sana darasa lako.Natengeneza juice ya biashara ila changamoto yangu juisi inaharibika mapema nakosea wapi dada.???
Usitumie ndizi nyingi kwa mchanganyiko wa juice yako inachachisha haraka
I hope hizi maganda ya nanasi hayawashi eeee
Zii hapana
Great! I like it. How do I get connected to you on WhatsApp?
Kindly email me @rukaya.demey@outlook.com
Majani ya nanaa ndo nn
Mint leaves
@@whitenubiangal2744 yrs
Mashallah
❤❤