mashaAllah... tamu Sana... napenda ulivyoongeza majani ya nanaa
Wow hii nzuri saanaa nmeipenda.
Unaweza weka passion
Love u sis u give us what we need..✊✊
Mashallah na yaweza kaa kwa mda ngani
Masha'ALLAH 😋😋😋😍
Mashallah 👌😋😋
Thanks
Ahsante kwa mafundisho yako mazuri,naomba kuuliza kwamara ya kwanza sijapata fredge nitawezaje kuyatunza matunda yanayobaki na yasiharibike
Asantee saana nimejifunza kitu
Ma sha Allah...wanipa moyo niingie Kwa diet sis..maana sio kitambi ichi😭
Tikiti moja naweza kupata juic lina ngap maana naweza kuzidosha maji au kupunja maji nataka nifanye biashara hii
😋😋😋😋😋🧡🧡✌✌✌
Yanapatikan wap hayo majan
Taaam
Limao linasaidia nn dada
My dear je naweza tengeneza afu hayo majani ya nanaa niweke kwenye jagi kisha niweke kwenye friji
Usiweke majani ya naan kwa muda mrefu juice itakuwa chungu,weka wakati unapotaka kunywa
Lazima kuweka majani ya nanaa....?
Sio lazma ndio maana sikuchanganya kwa jagi kwa wanaopenda wataweka kwa glasi wakiandaa
If you would like to watch this video in English language press the link ➡️ czcams.com/video/j8PHJp0ctnE/video.html
habbty mimi penda sauti yako wallah
Na kama hauna hiyo majani, substitute yake ni?