Komentáře •

  • @Amourharoub-rf1tc
    @Amourharoub-rf1tc Před 4 měsíci

    Dah safi sana brooi

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter Před měsícem

    Asante Kwa soma zuri

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Před 9 měsíci

    Asante kwasomo

  • @lidiashayo8293
    @lidiashayo8293 Před měsícem

    Ulichokosea nikimenya tende bila kuvaa kitu mkonon zile gloves lain, lazima uvae kiafya

  • @anciladelay6316
    @anciladelay6316 Před 7 měsíci

    Ahsante napenda mno juice yakuchujwa

    • @JikoPoint
      @JikoPoint Před 7 měsíci

      Hongera sana, unaweza pia kujaribu kutumia juisi isiyochujwa kwani nyuzi nyuzi zinazopatikana katika juisi hizo huwa na virutubisho vingi.

  • @victorialuvanda9222
    @victorialuvanda9222 Před 5 měsíci

    Unaweza kutumia yoghurt kama huna maziwa fresh..?

    • @JikoPoint
      @JikoPoint Před 4 měsíci +1

      Maziwa fresh yatakusaidia kupata matokeo mazuri zaidi ya Yogurt

  • @user-no4xl3dz2j
    @user-no4xl3dz2j Před 9 měsíci

    Ni maziwa fresh yalio chemshwa au ??

    • @JikoPoint
      @JikoPoint Před 9 měsíci

      Habari, ndio hakikisha maziwa yamechemshwa na kupoa kabla ya kusaga pamoja na tende.

    • @user-ph7ls5yl5y
      @user-ph7ls5yl5y Před 8 měsíci

  • @allysaid5800
    @allysaid5800 Před 3 měsíci +1

    Kwani lazima kuchemsha maziwa