Santé sana. Napenda kipindi hiki nakisi navyo fafanua masomo ya mapishi
Nataka nice nijifunze mapishi kwa ramadhan tu ndio likizo yangu
Asante kwa somo zuri na muhimu. Shukrani kwa Abdul King for English translation. Inasaidia sana.
She is my favoraute cook since i was a kid🥺
Jazaakillahu khair ukhty. Very informative 👏 👌. Lots of love from Uganda 🇺🇬
Iih huyu dada yupo😳😳😂😂😂... Hahaha namkumbuka zamani sana kipindi cha mahanjumati channel ten, miaka ya alfmbili na tisa kumi hiv kama sikoseii😂😂😂😂
Toka nimeanza kuijua CZcams kwa tz leo ndio nimeona channel ambayo ni 🔥🔥🔥🔥🔥
I like the way you explain.. Gurl you rock the show❤️🌟
Hongera Sana mungu akubariki
Asante sana dada nme elimika kuhusu viungo ubarikiwe
Asante mpz umenisaidia sanaaaa 🙏🙏😍😍
Asanteeeeeeee sana dear kwa SoMo zuri
Mmepata elimu kubwa sana dada, hongera sana
Asante dada ujaaliwe
Shukran jazeelan
Hongera mashllah nimefhm asant
Thanx be blessed
Asante sana
Hapa nitakua mpishi mbonezi
Asanteeee sana kw soma zur barikiwa
Ubarikiwe nimejifunza
Ubalikiwe sana nimefurahi jinsi unafafanua
ahsante
Salam alekum mashaallah ❤
Allahuma barik
Dada naomba unielekeze namna ya kupika maandazi malaini yatakayoweza kukaa zaidi ya siku moja na bado laini vilevile.
Thank
Unafundishaa vizuli Sanaa nimeelewa
asante kwakomo zuri
Asanteni sana ila umesahau kutwambia dawa ya manjano
Nakuelewa sana
🙏🙏👏🏽👏🏽umeelezea vízur mno..unafaa kuwa mwalim saafi
Somo zuri be blessed
JAZAKALLAHU KHAIRA
Somo Zuri 🔥🔥🔥
Asante kutuelimisha ila haujatueleza uchañganyaji nì gram ngapi kila kiungo unapochanganya?
Naomba namba
Changamoto ni kiingereza
Nashukuru kwa mafunzo
Uchanganyaji kwa uwiano SoMo lini
Taja mahitaji taratibu ili kuweza kuandika kwa usahihi
Sijaskia njins gani ya kuandaa mchanganyiko wa pilau masala
Mm nahitaji course KBS nitapata wapi
Hili darasa ndo nilikuwa nakutafuta haswa kwenye vipindi vya mapishi
Thyme kwa swahili yaitwaje
Maomba kujua matumizi ya Aji no moto
Jins ya kuondoa kitambo
Vip kuhusu staa
❤
Nataka unifundishe mapishi unafundisha
Nahitaji mafunzo zaid ....unapatikana wapi
Tutajie swhili and inglish
Kazeeka huyu saiz
Asante kwa darasa bi Zainabu,naomba nifahamu hiyo spice uliyosema inatumika kutengenezea pickles tofautitofauti,umetaja kwa jina la kizungu,ndio ile wanaita uwatu??
Cinnamon ni mdalasini
Somo zur ila ujatuelza 🌟 matumiz yakee
Naomba namba zako
Cumin seeds -jira au binzar nyembaba
Coriander- giligilani au cotmiri au Dania
Cardamom- mdalasini
Cinnamon- iliki
Turmeric- manjano
Ginger- tangawizi