Kutawala Hisia Zako - Joel Nanauka

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 11. 09. 2024
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 254

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Pƙed 5 lety +18

    Watu wanapokukata sio kwasababu hauna thaman. Bali bado hawajajua thaman yako👌👌👌 ni maneno yamenigusa sana kikubwa sante Mr.Nanauka kwa kushare nasi mungu akulinde🙏🙏

  • @cymone6159
    @cymone6159 Pƙed 5 lety +2

    Kaka Joel Ubarikiwe najua umewekwa na Mungu hapo kwa kusudi fulan hata kama hauhubiri kuna namna unasema kwa msaada wa Mungu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Simon Kidamui Ameen nashukuru sanaa

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Pƙed 5 lety +2

    Namshukuru Mungu hisia zngu zte huwa nazimaliza kwa kuongea peke angu..inafurahisha lakn ndy njia pekee ambyo huw inanizuia kufnya k2 chchte chenye kuleta negative impact..kuptia hli somo ntazidi kuongea peke angu tyuuu ili maisha yaendee😁

  • @leticiamgimwa5383
    @leticiamgimwa5383 Pƙed 5 lety +9

    Kukataliwa kulinifanya nipoteze furaha na amani takriban miaka minne. kupitia somo hili nmekua mpya kabisa. Barikiwa sana Kaka Joel.

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 Pƙed 5 lety +7

    Woow somo makini sana yaani mimi nilikua na hasira sana nashukuru nimejua kuithibiti now nipo simple hata mtu akinisingizia jambo ambalo sijafanya yaani siwazii hata kidogo ndio kwanza sina habari nashukuru sana brother somo lipo makini yaani nimekua na ujasili wa ajabu nazidi kumuomba m mungu azidi kunipa nguvuđŸ’ȘđŸ’Ș ya mafanikio kweli ambae hakuijua Thamani yako leo hii anakuona wa Thamani nae akikuona wa Thamani haitakiwi kurudi tena nyuma fanya kama zile zilikua ni changamoto za mafanikio hivyo ni vizuri kukaa mbali nao shukraan brother ubarikiwe sana 🙏🙏

    • @aminaramadhani9388
      @aminaramadhani9388 Pƙed 5 lety +1

      Ulifanyaje mpaka ukaidhibiti hasira??yani mim Nina mahasira mpaka bas

    • @thegirl1405
      @thegirl1405 Pƙed 5 lety +4

      @@aminaramadhani9388 muombe sana m mungu akuepushe na hasira yaani ni Mbaya sana hata mtu anapokuudhi ww usijibu chochote fanya hivyo kwa cku Tatu harafu uone matokeo baadae utaona ni kawaida tuu japo kua utaambiwa unadharau lakini sio dharau ila ni jinsi utakavyo idhibiti hasira

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +2

      Ukhty Najrat Girl hongera sana na Ahsante kushare nasi stori yako inasaidia sana wengine kujifunza pia

    • @thegirl1405
      @thegirl1405 Pƙed 5 lety +1

      Ahsante brother@@joelnanauka ubarikiwe sana 🙏🙏

  • @VailethKegoye
    @VailethKegoye Pƙed 28 dny

    ubarkiwe sana nina hisia za huzuni mara kwa mara lakin kwa somo hili naamin ntabadilika asante

  • @hamzalibingai3227
    @hamzalibingai3227 Pƙed 5 lety +3

    Nimeijua akaunti yako tarehe 3 mwezi wa saba mwaka 2019 nimepata manufaa mengi sana naamini ningeijua toka mwanzo ningekuwa mbali sana. Sasa nafurahiya kwa kiwango cha juu kumiliki smartphone sababu mwanzo nilijilaumu kununua simu hii.mungu akujaalie afya na nguvu ya kuendeza hili.

  • @msleny6767
    @msleny6767 Pƙed 5 lety +8

    Somo nzuri sana, hisia ipo, tena kila siku huja na maovu yake, bila kutawala hisia hizo, you will get disappointed day by day but siri yangu moja ya kutawala hisia zangu ni kuishi katika neno la Mungu
    And you too can do the same, meditate on the word, keep it in your heart it will always refresh you😊

    • @irenemassawe1257
      @irenemassawe1257 Pƙed 5 lety +1

      WORK OF GRACE amen

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      WORK OF GRACE thanks.Powerful đŸ™đŸŒđŸ™đŸŒđŸ™đŸŒ

    • @msleny6767
      @msleny6767 Pƙed 5 lety

      @@joelnanauka most welcome🙏

  • @sifaisack7470
    @sifaisack7470 Pƙed rokem

    Yakwanza na msho ( hasira na huzuni) jamaniii duh. Najtaid sana lkn inakua ngumu sana kushnda ilaa kwahil somo kaka Nanauka naiman nitavuka & u can see me at the top. Mungu akupe maisha marefu kwaajil yetu đŸ„°đŸ„°đŸ„°

  • @theroyalfamilies3924
    @theroyalfamilies3924 Pƙed 5 lety +1

    asante sana mwalim..... mimi hisia za hasira..... nadhani ni muda wangu wa kubadilika na kucontrol

  • @mimomodestus9453
    @mimomodestus9453 Pƙed 5 lety +1

    Hisia ya kukataliwa imenitesa sana nimepata moyo sana wa kusonga mbele nilikataliw kwa mda mrefu na mtu niliyempenda kwa dhat iliniumiz sana na ilenitesa sana mpk Leo nikikumbuka bas uwa natokw na machozi naiman ipo siku mambo yatakuw mazuri nashukur sana kak joel

  • @rollahngimbwa6978
    @rollahngimbwa6978 Pƙed 6 měsĂ­ci

    Balikiwa sana kaka JoelđŸ™đŸœni vitu vingi najifunza, na bado nitaendelea kujifunza. Mola akutumze daima kakađŸ™đŸœ. Nimejifunza kitu hapa.
    Thanks kaka

  • @charlzzesonconsciousness6685

    Ukiacha hisia zikuendeshe utaishia kufeli #fid_Q quote

  • @ramaabuu1958
    @ramaabuu1958 Pƙed 5 lety +2

    Me namshukuru Mungu kukufahamu ndugu.... You're the big teacher kwetu....Mungu akuzidishie"

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Rama Abuu nashukuru sana Abuu,pamoja sana

  • @tatuyussuf7574
    @tatuyussuf7574 Pƙed 5 lety +6

    Hisia unapokataliwa,si kwasabb hauna thaman bali bado hawajaijua thaman yako......broh.....ubarikiwe...

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Tatu yussuf kabisa tatu,ndio ukweli wenyewe

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 Pƙed 5 lety +33

    kiukweli natamani haya masomo yko wengi wangejoin hii account yko wajifunze nadhan wengi wangebadilika dah Mie nashukuru kuijua hii account ninayomengi yakusimulia na faida nyingi nilizozipata kwa kujifunza masomo yko.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +3

      Diana Malingumu thanks Diana,naamini Kadiri Muda unavyoendelea wataifahamu

    • @betterjoshua7203
      @betterjoshua7203 Pƙed 5 lety +3

      Habari kaka Joel ukweli nafurahi sana napo sikiliza masomo yako kwani hayaniachi bila kitu mungu akubaliki sana

    • @lameckmathias1188
      @lameckmathias1188 Pƙed 5 lety +1

      Asante

    • @fortunatakinemelandunguru2653
      @fortunatakinemelandunguru2653 Pƙed 5 lety +1

      Asantee mwalimu

    • @asyaasya3766
      @asyaasya3766 Pƙed 3 lety

      Tupo wengi mpendwa hata mi pia nimefaidika mnoo kwenye maisha yangu

  • @kadrikhalfan3860
    @kadrikhalfan3860 Pƙed 5 lety +1

    Dah bro sina la zaidi ktk hisia ya hasira umenigusa kwa kiwango kikubwa sana nashukuru nitajihidi kutozingatia maneno ya wanaonikera naamin 100% nitafanikiwa.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      kadri khalfan kabisa utafanikiwa 👏👏👏

  • @beatricethomas4061
    @beatricethomas4061 Pƙed 5 lety +1

    Yan kaka angu nimeitwa hodari kuptia ww kuna wakat nlianguka ckuchoka nliloinuka hakuna alieelewa weng walnfata nwashaur njia gan nlitumia nkawajibu nlikubali kuanguka kwangu then nkaama nkajfuta nkaendelea Mungu azd kukupgania libarkiwe tumbo liloruhusu ukawa zawad kwetu

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 Pƙed 5 lety +1

    kiukweli hiliumia sana kwakusinguziwa maana nilichukiwa nakila mtu ila nilimuachia mungu

  • @joelympepe9928
    @joelympepe9928 Pƙed 5 lety +1

    una nisaidia sana mkuu mungu akupe nguvu ueendelee kutupa mawaiza

  • @NuuratyOmbella
    @NuuratyOmbella Pƙed rokem

    Hisia ya tatu,ilinitesa Sana , namshukr Mungu hapa nilipo Sasa

  • @user-vi5tg5ts8j
    @user-vi5tg5ts8j Pƙed 5 měsĂ­ci

    Watu wanapokukataa sio kwamba hauna thaman bado ila bado hawajajua thaman yako. Respect broo

  • @lydiaseventy5509
    @lydiaseventy5509 Pƙed 2 lety

    Hatua zote ni nzuri ya kunyamaza ukiwa na Hasira nimeipenda sana Asante sana Ubarikiwe

  • @geniuskalokola533
    @geniuskalokola533 Pƙed 3 lety

    Nimejfunza mengi Sana uinuliwe Sana kk yetu kwa kutupatia upeo na kutuonesha njia

  • @neemajerrymwaihojo2813
    @neemajerrymwaihojo2813 Pƙed 5 lety

    uzun tu kaka angu sababu daaah najiona kushindwa sanaa ktk maisha yangu

  • @asyaasya3766
    @asyaasya3766 Pƙed 3 lety +1

    Asante Sana mpendwa wetu nimebadilika Sana toka nilipoanza kukuangalia na nimefaidika mnooo kwenye maisha yangu, Mungu akupe maisha marefu kka ww nimtu muhimu Sana kwenye jamii

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 Pƙed 5 lety +1

    UnAweza kukataliwa Leo harafu kesho wale waliokukataa wakakuimbia nyimb0 đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Seif Zongo kabisa ndio ukweli wenyewe

  • @Aviero_07
    @Aviero_07 Pƙed rokem +1

    Goat 🐐 🙌 Mr. Nanauka

  • @giftsam8458
    @giftsam8458 Pƙed 5 lety +4

    Minashukuru mungu nimeweza kuzikabil hisia zote. Nashukur kwakuendelea kutujuza mungu azidi kukubariki kaka

  • @piusnjechele3815
    @piusnjechele3815 Pƙed 5 lety +1

    Bro unagusa uharisia kabisa wa maisha na hakika tunajifunza Sana kutokana na Shule Unayo itoa humu.

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Pƙed 5 lety +1

    Ujumbe mzuri sana. Nahii nitazingatia sana sababu ukiwa na hasira kali hatakama unazo Biashara unaweza kuzifunga kwa Hasira sikuzote usiamue jambo kwa haraka sana. Inatakiwa kwanza ushushe pumzi Peace Bro

  • @giftsam8458
    @giftsam8458 Pƙed 5 lety +3

    Anaye kukataa ajajua thamani yako katika maisha,mafanikio yake

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 Pƙed 2 lety

    Asante Sana hapo kwenye kukotroo hasira ndio shida niliyokupa nayo

  • @KhalidMohd-sk2hq
    @KhalidMohd-sk2hq Pƙed 26 dny

    Mafanikio ya mt huambatana na kiwango cha kuhimili hisiĂ  Ćșake

  • @Kawishe
    @Kawishe Pƙed 5 lety +4

    Hisia za Huzuni na Hasira..kuanzia Leo ninasamehe.nimeamua kuwa na Furaha

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Gervas Robert safi sana,hongera sanaaa

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 Pƙed rokem

    Yote ambayo umesema joel nayaishi yaani nikikosa ga tenda au nikagundua watu ambao waliniahidi watanisapot nikagundua walikua wananuda ganya moyo wangu hua nahisi Kama unavujia damu kiukweli hua naumia sana

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 Pƙed 4 lety

    Amekerwa na BOSS anaamua kuacha Kaz,,anaenda kusota hovyo

  • @placidiagerald8585
    @placidiagerald8585 Pƙed 2 lety

    Safi sana,napata findisho kubwa Mwalimu.

  • @ablysonco8850
    @ablysonco8850 Pƙed 5 lety +1

    Nice points kaka thanx very much hakka ww ulistahili kuwa Tanzania One...Congratulations ming ming ziwe juu yako Ubarikiwe sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Ably Sonco Ameeen Ahsante sana Namshukuru Mungu

  • @rahemahrahemah2719
    @rahemahrahemah2719 Pƙed 5 lety +3

    Hatua zote ni muhimu kwakweli, thank u so much teacher Joel.

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 Pƙed 5 lety +2

    Thanx sana sana may God bless you bro..!! nimeyapitia mengi ktk hayo kweli najifunza mengi..

  • @pendosalehe8941
    @pendosalehe8941 Pƙed 2 lety +1

    Asante kaka, Mungu akubariki

  • @kelvinihashe2400
    @kelvinihashe2400 Pƙed 5 lety +5

    Thanks my brother umenibadilsha Sana mpaka Leo nmeacha kaz nafungua medical clinic yangu ,mungu akubarki sana naomba sku moja nikutembelee ofsn kwako japo spajui ,kwangu ni hisia ya kkataliwa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      kelvin ihashe hongera sana kwa hatua,karibu sana ofisini,tuwasiliane 0756-094875

    • @kelvinihashe2400
      @kelvinihashe2400 Pƙed 5 lety

      @@joelnanauka ntakuja kka make nakuja hapo dar es Salam kuagza ultrasound China ni kwaajr yako uliwahi kutoka speech zako moja ukasema mkubwa Wa mshahara syo maendeleo nashkru mungu namasave naenda kununua

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Pƙed 2 lety

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka Leo umenifundisha sana mimi nimepotesa kazi kwa sababu ya hasira ahsante sana kwa elimu yako ya bure mungu Akubariki sana

  • @irenempogole35
    @irenempogole35 Pƙed 5 lety +4

    Exactly ,,,I learn something Broo,
    Big up

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric4822 Pƙed 5 lety +2

    Nashindwa niseme ni hipi ndo issue sana kwangu ila kwa ayo yote nimejifunza kitu kipya.. Maisha Mema Brother

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 Pƙed 5 lety +1

    nilihangaika sana katka kuumia kihisia nilipokua nakataliwa katka uhusiano lakin kuanzia Leo nimejifunza kutokuumia kihisia

  • @jumajuma9856
    @jumajuma9856 Pƙed 2 lety

    Joel umetufundisha vitu vya point sana hongera

  • @khalidsalum1740
    @khalidsalum1740 Pƙed 4 lety

    kuna msemo unanitesaga Sana na kunirudisha nyuma "Ng'ombe wa masikini hazaiii"ukweli natoka ktk familia ya kimasikini ingawa najishughurisha kwa biashara ndogo ndogo Ila kuna wakati huondoka hamu ya kufanya kaziii kwa kujiambia siwezi kukuwa kibiashara kwa kuwa mie uzao wa kimasikini

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 Pƙed 5 lety

    Hisaia za kusingiziwa, na kuweka watu walinizingizi moyoni.
    THANKS NIMEPATA VITU VYA MAANASANA, NILIKUWA NAONGOPA TO STAR SMALL AND TO DO FOR BIG WEL VISION.

  • @thepointofculture5392
    @thepointofculture5392 Pƙed 5 lety

    Nanuku kutoka kwa moja ya clp yako.Ukichukua kipande cha dhahabu ukakiweka kwenye banda la ngombe kitenyewa na ng'ombe kwa sababu ng'ombe hawajui thamani ya kile kipande cha dhahabu, Nakukubali sana bro Mwenyezi mungu azizidi kukuwezesha.

  • @noelmwikeve6255
    @noelmwikeve6255 Pƙed 5 lety +1

    Somo zur sanaa

  • @bahatiaamani9320
    @bahatiaamani9320 Pƙed 5 lety +1

    Asante sana kaka Joel kwafunzo lako Nzuri Thanks so much Brother

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      bahatia amani karibu sana,Nafurahi kusikia hivyo

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 Pƙed 5 lety +2

    Mimi ninaasira sana pia na kunamtu nampenda alafu yeye hanitaki alafu nashindwa kukubali Kama sitakiwi so nabaki Kulia tu maisha yangu yote , ila kutokana na video hii nimejifunza kitu

  • @hermanaaron6945
    @hermanaaron6945 Pƙed 5 lety +7

    Hv hao ambao wana dislike hii wamechanganyikiwa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      Herman Aaron 😂😂😂 Huwa hawakosekani

    • @hermanaaron6945
      @hermanaaron6945 Pƙed 5 lety

      Bro hawajitambui hao

    • @aishaomar4318
      @aishaomar4318 Pƙed 5 lety

      😁😁😁Atanamimi hua najiuliza.

    • @meshackngadango6855
      @meshackngadango6855 Pƙed 5 lety

      Kila mtu ana perception yake,kwa upande wao huenda ni sahihi but So sad,ila ingekuwa udaku like zakutosha,But Bro keep it up its Nice work,God bless u

  • @thepointofculture5392
    @thepointofculture5392 Pƙed 5 lety

    Natamani nipate njia nzuri ya kukuuliza badhi ya maswali muhimu sana yanayonisumbua kwa mda mrefu ila hongera nmekuelewa vzuri sana na umenionyesha kitu kipya leo,Mungu akibariki sana

  • @firdausabdullah6315
    @firdausabdullah6315 Pƙed 5 lety

    Allah sw akuzidishie hki.nafatilia

  • @edsonlaurencemwagamasasi9074

    Kesho nitainuka Tena...wow so nice Brother.... I like the way unavyofikisha ujumbe wako... you talk with all emotions..#..see you at the top

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Edson Laurence Mwagamasasi thanks much đŸ™đŸŒđŸ™đŸŒđŸ™đŸŒ

    • @adelinejosephati2950
      @adelinejosephati2950 Pƙed 5 lety

      Hatua zote ni muhimu Sana Asante kwa kutuelimisha,Tumejifunza mambo mengi kupitia wewe na yana msingi sana Mungu akubariki sana,

  • @wilfreddanielmollel6308
    @wilfreddanielmollel6308 Pƙed 2 lety

    Asante kwa mafundisho mazuri

  • @phanuelpaul3785
    @phanuelpaul3785 Pƙed 5 lety +1

    hisia ya kuwa chini hii inanitesa sana nshashindwa namna ya kuitawala kabsa (feeling of being poor) inatesa namna gani ntainuka,
    #SeeYouAtTheTopToo

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Phanuel Paul pole sana naamini unaishinda

  • @jenipherwenslaus9596
    @jenipherwenslaus9596 Pƙed 5 lety +2

    Yani tangu niijue hii account jamani kiukweli najiona nazidii kujifunza mengi ....am proud of you bro......kuanzia Leo nitaweza kuzicontrol hasira zangu.
    Ubarikiwe.

  • @patrickmwazyunga8708
    @patrickmwazyunga8708 Pƙed 5 lety +5

    Motivated to write a book,thank you brother Joel Nanauka

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Pƙed 4 lety

    kaka umesema neno zuri,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ni kweli ni vema kutawala hisia,be blessed JOEL

  • @markmwakatobe3137
    @markmwakatobe3137 Pƙed 5 lety

    Barikiwa

  • @isayasway8633
    @isayasway8633 Pƙed 4 lety

    Dah hisia za hasira zimenijaa kwel

  • @emmysway5355
    @emmysway5355 Pƙed 4 lety

    Nakupenda bure

  • @rajabukulala6669
    @rajabukulala6669 Pƙed 5 lety +1

    I hisia ya hasira inanisumbua Sana , naitaji msaada wako kaka

  • @exavianteobart4776
    @exavianteobart4776 Pƙed 2 lety

    Asante sana.

  • @shideashidea5570
    @shideashidea5570 Pƙed 5 lety

    Umenibariki sana kwa somo hili niko viwango vingine vyakufika mbali Mungu akupe hekima zaidi

  • @nancyjepchumba711
    @nancyjepchumba711 Pƙed 2 lety

    Thanks so much you are my life coach am improving my life and learning every day through your CZcams channel I went through rejection na hasira but now I control them Amen 🙏🙏

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Pƙed 5 lety +1

    Thanks my brother always unaelekeza njia kwa maelezo na somo lako

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 Pƙed 5 lety +1

    Ahsante sana kwa somo safi,keep it up bro

  • @kusinidigital2000
    @kusinidigital2000 Pƙed 5 lety +2

    Thanks.. Hasa hapo kwenye kusingiziwa

  • @alphonceernest4940
    @alphonceernest4940 Pƙed 3 lety +1

    Hisia za mapenzi either kuachika na kujiona huna thamani sehemu yoyote

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Pƙed 5 lety

    Hisiya ya kuzingiziwa Joel Mungu anisaidiye nashindwaga kabisa Mungu aniraisishie

  • @archmsafi37
    @archmsafi37 Pƙed 5 lety

    Hiyo hisia ya kusingiziwa iliwahi kunikuta kipindi nipo A level

  • @justinapaul3880
    @justinapaul3880 Pƙed 4 lety

    Kweli kabisa hisia za huzuni zimenisumbua sana nimepoza mtaji sijui cha kufanya

  • @AdelaKauki
    @AdelaKauki Pƙed rokem

    Kaka Joel nimekuwa na hisia ninapokataliwa,na ninaposingiziwa Huwa najisikia vibaya sana.ila nawasamehe wote wanaonisingizia.

  • @tuziamanyanya9399
    @tuziamanyanya9399 Pƙed 3 lety

    mimi ni mwepesi wa kukata tamaa kwa kila jambo linalo nitokea

  • @habauagway7251
    @habauagway7251 Pƙed 5 lety +1

    Asante kaka angu kwa somo lako vizuri ila mm katika namba 2 hiyo nashukuru mungu nimeweza kuitawala

  • @chrisnam8885
    @chrisnam8885 Pƙed 5 lety

    Yes

  • @dymakadickie703
    @dymakadickie703 Pƙed 5 lety

    Somo zuri tukutane kipindi kijacho 🙏🙏🙏🙏 ila hisia za huzuni apo umenena braza inabidi tuzingatie sana hii hisia

  • @maubarak9831
    @maubarak9831 Pƙed 5 lety

    nimeomia sana kuhusu kutawala hisia zangu nilishakosa kazi kwahasira chrngine kusingiziwa yaani mpaka leo siongei nahuyo mtu nanimemuacha kwenye kazi aendelee

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 Pƙed 5 lety +3

    KAKA JOEL sijawahi kupoteza time yangu kukusikiliza kila nikisikiliza natoka na Nguvu mpya Asante Sana.

  • @zuleikhaomar4272
    @zuleikhaomar4272 Pƙed 4 lety

    😊najikuta nina enjoy tu

  • @neemaonesmo7642
    @neemaonesmo7642 Pƙed 5 lety

    Ni kweli,wakati mwingine vita nikumuachia mungu apigane nao,hiyo,ya tano,kweli,nichangamoto

  • @zenarajabu3624
    @zenarajabu3624 Pƙed 2 lety

    Kukataliwa na Mme wangu

  • @tabithaerastoshukrani.90
    @tabithaerastoshukrani.90 Pƙed 4 lety

    Asante

  • @michaeldonasian5450
    @michaeldonasian5450 Pƙed 5 lety +1

    thks bro Joel nimejifunza kityu

  • @nasryjuma4713
    @nasryjuma4713 Pƙed 5 lety +2

    nakufuatilia vzur bro

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 Pƙed 5 lety +1

    brother Joel mi sina mengi ila
    Mungu akubariki

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 Pƙed 5 lety

    hisia za kusingiziwa dah hua cwez kuzivumilia kabisa. thank you kwa somo ntalifanyia kazi

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    umenijenga

  • @philipoulaya1966
    @philipoulaya1966 Pƙed 5 lety +1

    I like what ur doing for societies

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety

      Philipo Ulaya thanks so much nashukuru sana

  • @evaphilipo560
    @evaphilipo560 Pƙed 5 lety +1

    thanks my bro.

  • @florencialwenje4599
    @florencialwenje4599 Pƙed 4 lety

    Mm hisia za hasira

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 Pƙed 5 lety

    Mimi hisia zakukataliwa na baba mzaz kuto kunishuhulikia mpaka kutokunilipia ada ya chuo ndio naona nihisia inayonikwamisha kimaisha.nikiwaona wenzangu wameajiriwa mm bado roho inaniuma.

  • @piddyadolph4062
    @piddyadolph4062 Pƙed 5 lety +1

    Thanx bro, somo zuri sana asa kwa sisi vijana maana mambo yote matano yanatutawala kwa wingi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 5 lety +1

      piddy adolph karibu sana tuendleee kushare na wengine pia

  • @roselynerwiza9383
    @roselynerwiza9383 Pƙed 2 lety

    Nimejifunza kitu kutawala hisia ya hasira kwa kukaa kimya ukisingiziwa wasamehe ukiwa chini usikate tamaa kukataliwa ni kutojua thamani yako sio kwamba huna thamani na huzuni husababisha kutokufanikiwa ondoa huzuni

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 Pƙed 5 lety +1

    Hisia ya hasira huwa inanitesa ila nikiwa na hasira binafsi nafanya kazi sana kuliko kawaida