TABIA NNE (4) ZITAKAZOBORESHA MAISHA YAKO
Vložit
- čas přidán 10. 02. 2021
- Mafanikio katika maisha ni tabia. Ili tupate mafanikio fulani kwenye maisha inatakiwa tujenge utaratibu fulani au tabia fulani. Basi karibu tuangalie tabia nne (4) zinazoweza kuboresha maisha yako kwa kiwango kikubwa sana katika somo hili la tabia nne 4 zitakazoboresha maisha yako kwa kiwango cha lami.
.
KUPATA VITABU:
1. Elimu ya msingi ya fedha
2. Elimu ya msingi ya biashara
3. Biashara ndani ya ajira
4. Una nguvu ya kutenda miujiza
.
Tafadhali tuma ujumbe wa kawaida au whatsapp wenye jina la kitabu katika namba 0759191076 popote ulipo. Free delivery kwa Dar es salaam.
Bei: 20,000 TZS.
.
Kujiunga na group la VITABU
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
Click hapa: / channel
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
#Boresha #Maisha #Tabia
KUPATA VITABU:
1. Elimu ya msingi ya fedha
2. Elimu ya msingi ya biashara
3. Biashara ndani ya ajira
4. Una nguvu ya kutenda miujiza
.
Tafadhali tuma ujumbe wa kawaida au whatsapp wenye jina la kitabu katika namba 0759191076 popote ulipo. Free delivery kwa Dar es salaam.
Bei: 20,000 TZS.
.
Kujiunga na group la VITABU
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
Big up bro yani somo nimeondoka na mengi nlio kuwa siyafaham 🙌🙌
Loop
Kaka samahn naweza kupataje kitabu hicho, mm niko mkoani manyara huku
i guess Im randomly asking but does anybody know a tool to get back into an instagram account??
I was dumb lost my login password. I appreciate any tricks you can offer me
2
Kutazama mambo mazuri tulioyafanya inatupa furaha nakuamini kuwa tunaweza kufanya zaidi.msukumo wa ninaweza unasaidia kupambana na changamoto.
Shukurani sana kwa elimu unaotupatia Allah adhidi kukuwezesha kutupatia elimu
Binafsi nakuelewa kiasi kwamba nashiba Hata bila Kula. Umeniokoa akili yangu kuepuka mabo mengi sana yasiyo na tija katika maisha yangu.
Nafulah sana mafundisho hasa hili dalasa ntalizingatia nipate iulifanyia kazi zaid ❤❤
Binafsi brother Ezden kupitia masomo yako nimepata ujasiri mkubwa Sana na maarifa ya kuendesha Mambo YAngu🙏🙏mungu azidi kukuweka uendelee zaidi na zaidi
Hapo kwenye simu ndo huwaga nashindwa kuwa productive, whenever I want to do something I just put my phone away to avoid distraction.. Got you broo
Hahaha ata Mimi bro sometimes natoa manguo nioshe najipata nmechat hadi narudisha manguo tu
@@Eldoret94 😅😅😅 pôle sana, but sijawahi hairisha ninachotaka kukifanya! Simu ugonjwa mbaya aisee
Aisee hizi simu unakuta unataka kulala lakini unaingia kwenye simu hadi unachelewa kulala
Ahsante sana bando langu nalitendea haki
Me mafunzo napenda sana
Masha Allah Shukraan sana brother Ezden 🙏🙏
daah nakuelewa sana mkuu but nilishawahi kukupa tatizo lang ila hukunijibu kwenye istagram
kwenye istagram natumia jina la pius japhar.ila ukweli nakuelewa sana na pia vinatujenga sehem kubwa sana asante kiongozi nitakufata kwenye group la vitabu
Brother kazi zako site zinanijenga mnovingawa baobado Mungu ajujalie mema
Nimekuelewa
Na nko na swali me nkishika salary nastukia nmemaliza in 2days ata shopping sinunui hadi naandika vitu kwa duka bana
Asante sana kwa elimu mzuri
Mimi nafsiyangu nimependa sana na kuvutiwa na maelekezo na mafundishoyako ubarikiwe
Nashukuru sana, karibu sana
Very clear the way you are talking bro,am getting something
Imetulia hyo kaka
Nashukuru sana Bro kwa uhamasishaji mzuri na Mungu akuzidishie zaidi ya apo
The good my broo
Kaka nakukubali Sana ndugu yangu umesababisha change maishani mwangu mungu akujalie Inshallah Kwa Kaz zako nzuri
Vizuri.
Utupoteza sana maallim nimeomba kitabu cha tabia za matajir
Na vipi kuusu kufanya mazoezi usiku tu hapo inakuaje
Thanks
me napenda mafundish yak
Bro nakukubali sana
Barikiwa Sana elimu nzuri unatupatia
Sawa kaka
Kaka utafundisha mambo mazurii sanaa katika maisha yetu!!
Asante sana Mery Kabogo kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Nashukur Sana nimejifunza kuwa.mbunifu
Ahsanteee sanaa kaka 👏
Kaka ezden naitaji iko kitabu plz
Asante sana kaka
Nakubali
Inamafundisho mazuri Allah akulinde na hasad 🙏
Asante
Somo,nzuri kocha.
Nakubali sanaa kaka
Shukulan san Allah akuongz kuzd kutp elimu said,nimepend point ya1
kaka umenisaidia sana mwanzo kuna dada alikua ananifulia nguo nakufanaya usafi chumbankwangu,
lakin sikuiz naamka asubuhi nafanya maziezi napika mwenyewe nafua nakufanya usafi mwenyewe na nimeweka ratiba kila ninapofua nakufanya usafi naweka ile hela ambayo ningemlipa dobi..
umenisaidia sana kwakweli 🙏🙏🙏
ww noma
Safi sana nimeipenda
Ooh yeah
Shukran Sana kaka
Asante sana Denic Simba kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Thanx for inspiration, I gained something good,shukran
Karibuuu
Asante kwa muongozo
Yes bro
Abuu ayoub 1
Vzr
Napenda kujua Mambo mazur
Well presented 💪
Thank you 🙌
Kiwango cha lami shaaaa
Nakuelewa sana kaka
Asante kaka na mungu akuzidishie
Ameen IBRAHIM SALIM, dua njema iwe kwetu sote. Be blessed!
Amazing God bless you
Bro somo lakuamka umechoka narisubilia😢
Vema
Kaka Mungu akutunze
Habari za mda huu bwana EZDEN JUMANNE,,,, naomba unisaidie ni jinsi gani naweza kupata VITABU!
Ni Mack Semuyango natokea KASULU MKOANI KIGOMA
Niandikie text isemayo VITABU KASULU KIGOMA halafu tuma kwenda namba 0759 19 10 76
Pamoja
hey nimependa sanaaa
Karibu sana Sabina
unacho sema ni nikwel kabisa mtu akiweza kuwa ivo kila siku lazima maisha yake yawe kiwango cha lami broo
Ahsante shukran sana
Karibu sana Rehema
@@successpathnetwork tupo pamoja ndugu
Makni sana kaka unajua sanaa
Asante sana Rizik Makoye kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
asante sana kaka
Karibu
Big up bro nakukubali
Asante sana Saada Almamary kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Namani kuwataji nafanya kazi sifanikiwi
Nakuelewa sana bro
Asante sana Mickey Daddy kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Broo kwakwelii mung atujaliy afyaa njemaa tuu unatuliwazaa kwa mamb meng tuuu
J upo vzr
Asante sana EMANUELY KANDOLA kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Tealii
Asante sana Sadick Madidiga kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Mimi unanisaidiaga sana nakumbuka niliwai kuwaza kufa tu lakini kwakusikiliza nikajikumbuka tena now napambana tena
Asante sana ANATO TEXTILES LTD kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Anzana poc yamwisho kwenye akili plz nitafsiriy vizuri
Me binafis kwiukweli nachelew. Kulala San na pia naweza nikanzaaaa mazoez Leo nimaliza waiki tuu naaacha
Hahaha nimefurah
🤸🤸🤸
Asante sana Ronald Frank kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Asante sana brother ezden 🙏🙏
Ooopppsiiiiiii......Nimekuelewa vyema kabisa kaka Ezden. Binafsi sipendi kutizama Tv yaani naona napoteza muda kabisa, Taarifa ya habari natizama kupitia CZcams ktk simu, yaani mambo ya seasons sijui madudu gani yananipotea tu muda japokuwa sijawa tajiri lakn nawish nitakuwa.
Asante sana Judith Mwambe kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Hii Judi
@@joxamcelestine4127 Abee
@@judithmwambe4767 sorry
Ezden uko poa Kama Alpha M
Asante sana Mahamoud Omar kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
U kaka
Vp hivyo vitabu navipataje
Simple, nitumie ujumbe hapa 0759191076 Andika (KITABU - Eneo ulipo) mfano kama upo mwanza Andika "KITABU MWANZA" nitakupa information za kupata vitabu
eden jitaid video ziwe fupi usiwe unaongea sana
Kaka Ezden nilikua nahtaj hvo vitabu tavipataje
Tafadhali tuma ujumbe wa kawaida au whatsapp wenye jina la kitabu katika namba 0759191076 popote ulipo. Free delivery kwa Dar es salaam.
Bei: 20,000 TZS.
Somo zur bro ubarikiwe.
Ahsante Sana kwa somo zuri kaka nimejifunza kitu ila naomba UNISAIDIE Jambo ambalo Lina nisumbua Sana kaka Niku chek kwa namba ipi??
Asante sana Fatuma Luze kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Tumia namba hizohizo whatsapp lakini
@@successpathnetwork Asante
@@successpathnetwork Asante
Please reply .... kwa mm mkenya nakipataje kitabu? Ama mko na softcopy?
Tuwasiliane kwa namba 0759191076. whatsapp
Sawa
Navipataje vitabu vyako me nipo katavi napenda sana ushauli wako no yangu ni 0742142004
上帝禁止
Asante sana Joxam Celestine kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Thanks
asante
Nakuelewa sana kaka
Asante sana Neema Lambo kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076