MAMBO 10 YA KUACHA KWENYE MAISHA
Vložit
- čas přidán 14. 02. 2021
- Mambo 10 ya kuacha kwenye maisha.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
Click hapa: / channel
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
#Mambo #ya #kuacha
Sio sir bro naitwa Jack kutoka Katoro Geitta toka nmeanza kukufatilia umekuwa sehemu kubwa ya kubadr maisha yangu respect to you
Ncheki watsapp please
@@fatmadevd8072 njoo
Sijawahi poteza muda kwa kufuatilia masomo yako,, umenibadilisha na unanibadilisha kila siku🙏🏽
Ni rahisi sana kugundua nani na yupi rafiki wa kweli,,,, hasa wkt wa matatizo alooo kwenye haya maisha mtu ajipange mwenyewe km vp mama yako au baba ndo msaada wako na washkaji zako wakt wa matatz yako
Asante sana Bethy Mathew kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Each one teach one I really appreciate to be in ua class bro..ua teachings are blessing to our life .ihv to say thank u soo much & Mey God almighty bless the work of ua hands & gv more knowledge & wisdom Inshallha 🙏
Katika kutafuta Mafanikio ni Vizuri kusema Utafanya vizuri ,mfano unataka kufanya Mtihani , Unasema Utafaulu. Kunipa tumaini. Shukrani Shukrani kw Darasa
Napenda watoto wangu kusoma Ila hawapendi kusomo Mimi napenda kusoma je nini ila hati mke wangu hana nifanyeje
Nimeshasikiliza sana so nafikili mwaka huu ni kuchuka hatua
Nakushukuru sana brother endelea kutumegea kidogo kidogo ivo ivo tunafaidi
Nimejifunza mengi sana kupitia vipindi vyako hasahasa kwenye ile senssion ya ""Kwani tuna hitajika kufeli zaidi katika maisha""
Naam...kuna ukweli sana kwenye hiyo session
Master mind nimependa Sana jinsi ulivyo sout out self talking na umuhimu wa kutumia muda THE ALL MIGHT GOD blessings to you
I Receive it brother, God Bless you,
God protect you Mr ezden 🇹🇿✔️
Asante sana Movies & trailers Tv kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
asante san kaka nimepata mafunzo mazuri san barikiwa sana mefurah kupata hili somo 🙏🙏🙏🙏🙏
Allah akulipe kher brother kwa masomo mazur unayo tupa
Nashukuru sana kwa dua njema
Safi sana
Mashaa Allah brother jumanne Asante kwa ma fundisho unaboresha u bongo wangu
Asante sana Saada Almamary kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Asante sana brother kwakweli nimejifunza kitu yani kweli nimefahamu nilipokua nakosea" be blessed.
Mashaallah shukran 👍
brother ezden youre doing so well big up!
Asante sana Martin Maami kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Thanks A'm appreciating your teachings-keep on , please.
Shukran sana
shukran jazila
"Negative self talk" hii point imenigusa na pia imenifundisha because Mara nyingi huwa nakutananayo mfano nishawahi mdanganya mtu naumwa nikaja nikaumwa kweli kumbe ata nilikuwa siumwi ata
Asante sana Samwel Mathia kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Leo Nimeacha maujinga yote ... Asante sana kaka
Mimi mwanafunzi wako mpya nafurahiya unachokifundisha kinanipa kujiamini zaidi na kurekebisha mapungufu yangu nakutakia mafanikio ya wanafunzi wengi 💪💪💪💪
Habari NJEMA.Tutachangia hàli ya Uwazi na Ukweli.
Nashukuru sana nimepata funzo katika maisha nipia nimejifunza vingi kutoka kwako
Allah akuhifadh kaka Ezden somo zuri
Shukran akhy
Thank you, pasonal i have gain your subject and i have understand how i'll live my life from now.
Excellent indeed!
Baraka Allah fiik
Mashaallahu allahu akuzidishie
Asate sana kaka umenigusa katika vipegele vyoote nimeaza kuchukuwa hatuwa shukran sana ❤❤❤❤
Nice🎉
Thank you br may god almighty reward you
Bwana jumanne unanigusa sana
Thanks bro big up..very true I really appreciate ua advice 🙏
Unaongea vitu straight sn I hope upo na experience na vitu vingi Allah akuongezeee vingi vzur kweny umri wako
Allahumma ameen
Shukrani sana mwalimu kwa somo zuri
Asante sana
Nice
Asante sana Blandina Kiyenze kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Naitwa Godfrey christoph nakukubalisan kaka unanielimisha napia unanibadilisha nakutakia maisha marefu
Amiin. Nashukuru sana
Yani wewe kaka Mungu akubariki sana umenifanya nijione free be blessed
Nashukuru sana kwa dua njema... Nakuombea mafanikio zaidi katika yale unayotaka
Asante Sana brother
Be blessed
Merci beaucoup mon frère 🇨🇩
Mashallah ALLAH barik
Thanx brother
Nakupenda umefungua akili yangu MashAllah tabaraka Allah 🙏🇷🇼
Thanx very much bro
Thanks
Masha allaah... Kaka Asante sana kwani mafundisho yako ni mazuri...
nashukuru sana ndugu yangu. Tuko pamoja sana!
Kiukweli apo umenigusa kabsaa,,, binafsi kunakaz naifanya,,, maokoto yapo yakutosha ila nimateso makubwa kinyama ,,,, yan dah,,,
Tishaa san
I like it
I'm listening well thanks brother
Bro kama madini ww noma, Mungu azidi kukupa afya ili uweze kuokoa watu wengi ktk safari yao y maisha...
nashukuru sana Boaz. asante kwa dua njema... Amiin Amiin
Kaka shukrani kwa elimu nzuri jaman,,,,
Asante
Hakuna kama mm najipenda vile nmeunmbwa Asante Sana man.
Manshallah
Walahi nimechekaa point ya kumi nimecheka kweli Ila Yote na Yote Ku citu nimejifunzaa Kwenye Hii video🙏🙏🙏🙏
Hey brother I wanna thank you for your lesson that you always teach us Coz not everyone can do what you’re doing,I am from DRC Congo and I am living in Canada,one day I had an appointment for road test and I was afraid 😱 I had a nagative thought that I will fail what I was thinking about failing that is what happened I didn’t pass the test in order for me to get a license,but when I started having positive thoughts man I went and I did it once and I passed,And now I want to do engineering even the people are telling me that is hard but I believe in myself that I will do it and I can do it as long if I don’t put nagative thoughts I know I am not that good at math but I believe that I can do it.
Napenda sana masomo yako
Let's keep supporting each other even a word can changed someone's life
nakubalii sana kaka coz u make me steps forwads more and more.....
Thanks 👏👏
mashalah safi sanaa.nimejifunza.
Shukran sana umetuelimisha sana
Nimejifunza mengi may God bless you
Dah! Nimekuelewa Sana,, Shukraniii
Masha Allah
asante broo
Thanks brother
Vzr sana kwa elimu yako
mashaallah tabaraka Allah Allah akuzdshie elimu inshaallah shukran jazila nimepata faida nyingi cna Allah akulipe kher 🤲
Wew ni zaidi ya mwalimu,,kazi zako ni nzuri kaka allah akujaarie sana🙏..
Subhanallah, you talk about me, thank you.
Mungu akupe nguvu na maisha marefu
Mzr kaka ezden
Thank you 😊 💓 ☺ 💗 💛 💖 😊 💓 ☺ 💗 💛 💖 😊 💓 ☺ 💗 💛 💖 😊 💓 ☺ 💗 💛 💖 😊 💓
Allah Akujazeh kheri na barka zayidi kwakutufanya tujikubali kwenye mayisha yetu
Nakuelewa sana
Masha Allah, Masha Allah, somo zuri sana Shukraan my brother 💖💖🙏🙏
Daaaa! Hili somo huku mbeleni nimejikuta nacheka tyuu😂😅😅💖👏👏👏
@@ukhtyhalimaismailbakari4931 hahahaha
Asante sana Ukhty Halima Ismail bakari kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Ezden nashukru sna umenifungua akri yangu nashukur mung akbriki kwa kunip ushauri wa maleng yang ya mbel nikoelekea very nic
Good job brooo
nice brother endeela na video kama hizi kwakweli zina elimisha e one t one
Asante sana Edward kimori kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Kaka ezden Asante kwa Somo zuri
Hapana siwezi kufanya kazi ya pesa nyingi harafu mwisho wake unskuwa mbaya ni Bora tu kuridhika name kidogo ili kuweka maisha Yako ktk amani
Barikiwa Ezden Mungu akuongezee Maarifa
Upo vzr
Mashallah Tabalakallah Nakupenda. San. Kwaju Una Muweka Allah. Mbere. Mashallah Allah Akuhifadhi
Ezden is super
True brother
Kweli sana
dah kaka unafunguaga sana ufahamu wangu aisee
Shukran broo najifunza mengi sana Allah atuongoze.
Sio siri nduguyangu tangu nisikilize masomo yako mafanikio nimeyano Allah akuhifadhi nakubariki duniani na akhera
Nakuerewa
Napenda video zako
Shukran ndugu ❤️❤️
Yes