MAMBO 10 YA KUKUSAIDIA KUSHINDA TATIZO LOLOTE LILE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 01. 2021
  • Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    .
    Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
    Click hapa: / channel
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
    ⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
    ⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
    ⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
    ⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
    ⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
    ⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...

Komentáře • 168

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 3 lety +15

    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    ADA : 2,000 TZS kwa wiki. Karibu!

  • @noahefelemu9395
    @noahefelemu9395 Před 3 lety +4

    Unaniponya saaaana kaka, be blessed, ulizaliwa kusaidia jamii kwa namna hii, sijui niseme Nini kk, you're the best, I mostly appreciate your mind set

  • @calvinjoseph
    @calvinjoseph Před 3 lety +8

    Not everybody will understand your journey and that's just fine. You focus on your path and let others focus on their own.
    Don't you ever feel guilty for going after what you want in life. This is your life and you need to live it fully while you've the chance.
    I'd rather be hated for who I'm than loved for who I am not.
    You can't be lonely if you like the person you're alone with.
    Everyone comes to your life for a reason. It may be blessing or a lesson
    Cutting people out of my life doesn't mean I don't like them. It means I respect myself
    Insanity:
    Holding on to things you cannot change. Let it go
    Create a life that feels good on the inside. Not just one that looks good on the outside

  • @naimamuturi3475
    @naimamuturi3475 Před 3 lety +2

    MashaAllah, shukran nme jifundisha sana its like u have seen what am going through. SubhanaAllah. InshaAllah i will work on those 10 points i believe i will make it.

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 Před 3 lety +2

    Shukran kaka nimelipenda mno hili somo ...ntajitahidi kulifanyia kazi

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior4151 Před 3 lety +2

    Asante sana Mr. Ezden .Each one teach one kwa fundisho zuri la kutokimbia matatizo

  • @fredpetter9457
    @fredpetter9457 Před 3 lety +1

    kaka EZDEN JUMANNE am proud of what u teach

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Před 5 měsíci +1

    Assalaam Alaykum my kaka!!!! Pole na kazi. Nashukuru sana, Allah akuzdshie kila la kher kaka kuna vtu nmejfunza

  • @minanicharles3081
    @minanicharles3081 Před 3 lety +2

    Brother I really learn big things in ur lesson much respect brother big up bro

  • @shukranally1179
    @shukranally1179 Před 3 lety +1

    jazaka llahu khair kwa somo zuri kaka ezden, huwa napenda sana masomo yako coZ huwa yananilenga na kunibadilisha, pia yananipa faraja coz kuna wakati nakuwa disappointed for tragedy and drama happened in my laif ,,,enxx brother,,

  • @priscapili4938
    @priscapili4938 Před rokem +1

    Ahsante kwa ushauri hapo umenifariji

  • @twahaally1969
    @twahaally1969 Před 3 lety

    shukran sana. MR FROM ZANZIBAR

  • @bizimunguflorien2820
    @bizimunguflorien2820 Před 3 lety

    A good jobb big brother Thanks a lot 🙏 ❤️

  • @LowasaNgai
    @LowasaNgai Před 16 dny +1

    Asante Kwa masomo yako yananifariji Sana my god bless you 🙏

  • @ismailhussein5392
    @ismailhussein5392 Před 3 lety +1

    Kaka shukurani sana kwaujumbe wako mzuri Allah adhidi kuwalinda inshaaLlah

  • @bonita329
    @bonita329 Před rokem +1

    Ninawakati mbaya sana kwasasa but hii video imenipa moyo sana I have watched it 4 times kuna kitu natakiwa nikiache behind of my life but it's so painful but i have too for the mercy of my life😢
    Kaka much respect thank you🙌🏼❤

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem

      Pole sana Bella kwa lolote unalopitia kwasasa, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi uweze pita salama mapito hayo. Kuwa na imani.

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 Před 3 lety +1

    Thanks brother big up

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 Před 3 lety

    Thanks u give me power to do my own

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 Před 3 lety +1

    Mmh great Kaka mkubwa pamoja till the end from Burundi

  • @user-ue3rc9nd4n
    @user-ue3rc9nd4n Před 3 měsíci +2

    Kaka mm nina tatizo la kigugumizi kilinishika ghafla hua nashindwa kujieleza

  • @frankbwahema32
    @frankbwahema32 Před 3 lety +7

    Much respect

  • @ibrahimfrance1576
    @ibrahimfrance1576 Před 3 lety

    Asante kwa somo zuri nakukubali xan brooo tupo pamoja

  • @catherinegabriel9379
    @catherinegabriel9379 Před 3 lety +3

    Kuna baadhi ya vitu namilikii kwa ajili yako Kaka nataka tu ujivunie Mimi. Mimi Ni mwanafunzi wako Bora Sanaa ✌️

  • @sarahabdi6175
    @sarahabdi6175 Před 3 lety

    Asante kaka J4 number 7 nimeielewa sana na najiahidi kuifanyia kazi.
    #Each one teach one.

  • @gracekileo12
    @gracekileo12 Před rokem

    Thank you Ezden be blesed....

  • @mycotv2020
    @mycotv2020 Před 2 lety

    Duh we brother sizan kama unaweza ukagombana na na mtu mana saikorijia yako iko good sana

  • @johansenjackson960
    @johansenjackson960 Před 3 lety

    Asante Sana brother

  • @daudigidabayda7315
    @daudigidabayda7315 Před rokem +1

    🙏🙏 thanks brother

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 Před 3 lety

    Mashaa Allah

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 Před 2 lety

    Be blessed my BROTHER EZDEN JUMANNE

  • @user-jy1zn1zj8f
    @user-jy1zn1zj8f Před 7 měsíci

    Asalaam alykum, You made my day,😢 thank you.

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před 5 měsíci +1

    BARIKIWA SANA

  • @prospartyexavery6369
    @prospartyexavery6369 Před rokem

    Toka nimeanza kukufutilia hakika nimefunguka mambo mengi thank you brother 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @martinawagine875
    @martinawagine875 Před 2 lety

    Thanks bro

  • @neemamponezya3751
    @neemamponezya3751 Před 2 lety

    Shukrani kaka ezden somo limenigusa sana

  • @twalibuchaye7687
    @twalibuchaye7687 Před 2 lety

    Keep it up ndg yangu
    Allah akuzidishie elim Zaidi, somo lako limeeleweka sana

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 Před 3 lety

    Asante sana kwasomo zur imenipa nguvu ubalikiwe mungu akutunze

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 Před 3 lety

    Asante sana brother

  • @SaumaBakari-ld2dy
    @SaumaBakari-ld2dy Před 8 měsíci +1

    Sawa kaka nakukubari sana

  • @Muka_26
    @Muka_26 Před 2 lety

    U changed my life kwa kunielimisha

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 Před 2 lety

    Bro kiukweli umenifundisha mambo mazuri hususaniiiii wakati kama huu nilionao kwa sasa!!! Mungu akubariki sana bro!

  • @saadaalmamary8397
    @saadaalmamary8397 Před 3 lety +1

    Piga kelele kwa kaka yake wewe wee big up brother

  • @kamaratsalimsafari8838

    Thanks Each One Teach One 👍

  • @albertlunda2676
    @albertlunda2676 Před 3 lety

    Ongera kaka kwa somo lako nzuri.
    Mimi ni mkongomani,naishi hapa Lubumbashi.
    Napenda sana mafundisho yako ,
    Yani yananipa sana faraja.

  • @ezekielpanga7599
    @ezekielpanga7599 Před 3 lety

    Thank you kaka yangu umenitoa mahali umenipeleka palipo bora! !!!!

  • @jannethimartin1066
    @jannethimartin1066 Před 3 lety

    Asante sana kaka nimejifunza sanaa

  • @aminamoha7240
    @aminamoha7240 Před 9 měsíci +1

    Uko Sawa bro

  • @blackwarrior-animations593

    EZDEN .........I APPRECIATE

  • @evansfwoti4321
    @evansfwoti4321 Před 2 lety

    Uko poa bro, nakuwelewa sana nashkuru kw mawazo yko ,barikiwa washangae

  • @abdullykapole9617
    @abdullykapole9617 Před 2 lety

    Kaka wew ni zaidi ya mwalimu allah aendelee kukubariki kila hatua upigayo insha-allah🙏.

  • @asilazahor895
    @asilazahor895 Před 3 lety

    Thanks

  • @PetroMiso
    @PetroMiso Před 2 měsíci

    Shukrani sana kak

  • @veronicanyokanyoka1187

    Upo,vizuri mwarimu

  • @nellykebene5384
    @nellykebene5384 Před 2 lety

    Keep it up

  • @ramjiomari734
    @ramjiomari734 Před 3 lety

    Kazi nzuri, ubarikiwe

  • @saidesalimo1497
    @saidesalimo1497 Před 2 lety

    Uko vzr Sana my brother

  • @amanigoah5148
    @amanigoah5148 Před rokem

    Cool bro

  • @demasnambamoja972
    @demasnambamoja972 Před 2 lety

    I like this

  • @liduvaliduva5041
    @liduvaliduva5041 Před 2 lety

    Blaza nakubali xana kazi zako na kujihisi nimechelewa kusikiliza vipindi vyako nipo nje ya nchi sasa ndo nimeanza kuandika moja lakini mpaka Sasa Nina miaka 28 je kutoka na umri wangu je nitakua ndani ya mda kuukimbilia utajiri maana ninandoto ya kua zaidi ya mo deuji

  • @mrpath.6992
    @mrpath.6992 Před 2 lety

    You deserve respect ✊🏿

  • @veronicanyokanyoka1187

    Mungu, akubariki kwa mafundisho

  • @abdallaathumani2064
    @abdallaathumani2064 Před 3 lety

    Good lesson mr

  • @seifhamduni7649
    @seifhamduni7649 Před 3 lety +1

    Imekaa vzr sana kaka

  • @AlfaMbisa
    @AlfaMbisa Před 2 měsíci

    Respect to you brother

  • @ncennsnomdkmcekwcm6258

    Asante san kaka

  • @iddychanongo4095
    @iddychanongo4095 Před 3 lety

    Blessed👑

  • @adamchambo3321
    @adamchambo3321 Před 2 lety

    .nice study

  • @user-vg8ui3lq4k
    @user-vg8ui3lq4k Před 3 lety

    Nashukur sana kwasomo

  • @sadikijoseph3064
    @sadikijoseph3064 Před 2 lety

    Asante sana kaka

  • @samymdundu
    @samymdundu Před 3 lety

    Habari kaka unafanya kaz nzuri sna na ni mmoja wa kijana wa kukubali kubadilika Niko nakuelewa sana yaan na nimenadilika kwa mengi .. Ila nilikuwa ninawazo siku embu fafanua lugha ambayo unatumia ili watu wakuelewe zaid maana watu tumetofautiana .. Lugha unayo tumia ni kiswahili kizur ila kuna kahali flan ivi cha unavyo ongea watu hawakuelew ..so nahis umenielewa embu siku weka Ilo somo ..maana kuna rafiki yangu anapata shida kukuelewa .. Ila mim nakielewa sana tuuu Ila binafsi naamin bado ajajitambua kwenye upande wa kubadilika ndio maana watu kama hao hawajelewii asante

  • @salhaaa4996
    @salhaaa4996 Před 3 lety

    Kwel kabisa 😍😍😍

  • @stephansimkoko1193
    @stephansimkoko1193 Před 2 lety

    Bro elimu nzuri sana mungu akubaliki sana!

  • @husnaally6595
    @husnaally6595 Před 2 lety

    Asante ndugu yangu umenitoa sehemu 1 nakunipeleka sehem nyingine

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 3 lety

    somo zur bro

  • @adammadogo
    @adammadogo Před 3 lety

    Nakukubali sana bro big up

  • @hidayalissu9591
    @hidayalissu9591 Před 3 lety

    Mashaallah

  • @felisteravija1901
    @felisteravija1901 Před 3 lety

    Kaka mungu akubariki,ndowakat niliopo mdogoako,ni nitanyanyuka tena,ila sitapenda tena

  • @elishamgasa2343
    @elishamgasa2343 Před 3 lety

    Aisee hii nimeipenda sana...... Naomba utuletee somo ambalo linahusu kijana mwenye njozi kubwa katika maisha yake na anapomshilikisha mzazi wake anamkataza, je kijana kama huyu afanyaje? Na nini ambacho kinakuwa kimefichika kinachomfanya mzazi kumzuia mwanae kufikia ndoto zake?

  • @francengosha7157
    @francengosha7157 Před 3 lety +2

    Conglatulation more bro...you can

  • @sistermery4581
    @sistermery4581 Před 2 lety

    Nakufuatilia ad basi yahn now days nimeacha kulalamika coz KUna video niliangalia ukasema if u want t sound powerfully stop complain but if u want to sound powerless endelea ku lalamika 🙏🙏🙏🙏🙏🥳🙏🥳🥳🥰

  • @emmanuelmwizarubi9252
    @emmanuelmwizarubi9252 Před 2 lety

    Umekuwa n masaada mkubwa sana kwangu nnakuelewa sana kiongoz

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 Před 3 lety

    Kaka iko smart sana , naona kabisa unanilenga mimi kwa kweli😥

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 Před 6 měsíci

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @rodricksilvester1567
    @rodricksilvester1567 Před 3 lety

    Good

  • @kombemizinga4158
    @kombemizinga4158 Před 3 lety

    Wow nimejifunza kitu👏👏👏

  • @edwardkimori8853
    @edwardkimori8853 Před 3 lety

    safi sanabro thask somo limesomeka shukuran .

  • @amranikigolo5974
    @amranikigolo5974 Před rokem

    Waooo nimejifunza kitu,

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 3 lety

    Barikiwa sana kuna watu Mungu aliwaumba kwa kusudi

  • @happysamwel6793
    @happysamwel6793 Před 3 lety

    Asante

  • @djpdaprince2233
    @djpdaprince2233 Před 3 lety

    Maze mi napenda sana elimu yako kaka from Kenya

  • @amirclassic8326
    @amirclassic8326 Před 2 lety

    Kaka kuna mtu nilimpenda sana tukaachana bas ad leo anasumbua kwenye akili yangu mawazo hayaishi lakini Hiki kipindi chako leo kimenipa somo asante

  • @juleijimoomari6342
    @juleijimoomari6342 Před 3 lety

    Hongera kaka

  • @kizazijeur7518
    @kizazijeur7518 Před 2 lety

    Mambo yote yamenitengeneza bro Ezden

  • @kikotikikoki2560
    @kikotikikoki2560 Před 3 lety

    Mala nyingi huwa skosi darasa lako unatusaidia sana asante

  • @aishagobren4098
    @aishagobren4098 Před rokem +1

    Napenda sana mada zako

  • @butoyiamadi1266
    @butoyiamadi1266 Před 3 lety

    asante kaka

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 Před 3 lety +1

    Mim nitakupigia kaka edzen ninajambo langu unishauli

  • @djnaffblast5899
    @djnaffblast5899 Před 2 lety

    La 10

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 3 lety

    Asalam alykum Allah akupe umri uzidi kutueimisha ww n grop lako

  • @RamadhaniMpwatile
    @RamadhaniMpwatile Před 9 měsíci +1

    🙏🙏