MAMBO 10 YA KUKUSAIDIA KUSHINDA TATIZO LOLOTE LILE
Vložit
- čas přidán 27. 01. 2021
- Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
Click hapa: / channel
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
ADA : 2,000 TZS kwa wiki. Karibu!
Habari ya kazi Bro! Samahani bro kuingizia comment ambayo iko tofauti kidogo! napataje mwongozo na/au utaratibu wa 'Mentorship program' Ahsante!
asante
walioko Burundi tunaomba number ya m pesa kaka ezden
Mkm
Unaniponya saaaana kaka, be blessed, ulizaliwa kusaidia jamii kwa namna hii, sijui niseme Nini kk, you're the best, I mostly appreciate your mind set
Not everybody will understand your journey and that's just fine. You focus on your path and let others focus on their own.
Don't you ever feel guilty for going after what you want in life. This is your life and you need to live it fully while you've the chance.
I'd rather be hated for who I'm than loved for who I am not.
You can't be lonely if you like the person you're alone with.
Everyone comes to your life for a reason. It may be blessing or a lesson
Cutting people out of my life doesn't mean I don't like them. It means I respect myself
Insanity:
Holding on to things you cannot change. Let it go
Create a life that feels good on the inside. Not just one that looks good on the outside
MashaAllah, shukran nme jifundisha sana its like u have seen what am going through. SubhanaAllah. InshaAllah i will work on those 10 points i believe i will make it.
Shukran kaka nimelipenda mno hili somo ...ntajitahidi kulifanyia kazi
Asante sana Mr. Ezden .Each one teach one kwa fundisho zuri la kutokimbia matatizo
kaka EZDEN JUMANNE am proud of what u teach
Assalaam Alaykum my kaka!!!! Pole na kazi. Nashukuru sana, Allah akuzdshie kila la kher kaka kuna vtu nmejfunza
Brother I really learn big things in ur lesson much respect brother big up bro
jazaka llahu khair kwa somo zuri kaka ezden, huwa napenda sana masomo yako coZ huwa yananilenga na kunibadilisha, pia yananipa faraja coz kuna wakati nakuwa disappointed for tragedy and drama happened in my laif ,,,enxx brother,,
Ahsante kwa ushauri hapo umenifariji
shukran sana. MR FROM ZANZIBAR
A good jobb big brother Thanks a lot 🙏 ❤️
Asante Kwa masomo yako yananifariji Sana my god bless you 🙏
Shukran sana ndugu yangu . Karibu sana
Kaka shukurani sana kwaujumbe wako mzuri Allah adhidi kuwalinda inshaaLlah
Ninawakati mbaya sana kwasasa but hii video imenipa moyo sana I have watched it 4 times kuna kitu natakiwa nikiache behind of my life but it's so painful but i have too for the mercy of my life😢
Kaka much respect thank you🙌🏼❤
Pole sana Bella kwa lolote unalopitia kwasasa, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi uweze pita salama mapito hayo. Kuwa na imani.
Thanks brother big up
Thanks u give me power to do my own
Mmh great Kaka mkubwa pamoja till the end from Burundi
Kaka mm nina tatizo la kigugumizi kilinishika ghafla hua nashindwa kujieleza
Much respect
Pamoja sana...
Asante kwa somo zuri nakukubali xan brooo tupo pamoja
Kuna baadhi ya vitu namilikii kwa ajili yako Kaka nataka tu ujivunie Mimi. Mimi Ni mwanafunzi wako Bora Sanaa ✌️
Waow...Safi sana nafarijika sana kusikia hayo. Karibu sana
Safi iyoo
Asante kaka J4 number 7 nimeielewa sana na najiahidi kuifanyia kazi.
#Each one teach one.
Thank you Ezden be blesed....
Duh we brother sizan kama unaweza ukagombana na na mtu mana saikorijia yako iko good sana
Asante Sana brother
🙏🙏 thanks brother
Mashaa Allah
Be blessed my BROTHER EZDEN JUMANNE
Asalaam alykum, You made my day,😢 thank you.
BARIKIWA SANA
Toka nimeanza kukufutilia hakika nimefunguka mambo mengi thank you brother 🙏🙏🙏🙏🙏
Thanks bro
Shukrani kaka ezden somo limenigusa sana
Keep it up ndg yangu
Allah akuzidishie elim Zaidi, somo lako limeeleweka sana
Asante sana kwasomo zur imenipa nguvu ubalikiwe mungu akutunze
Asante sana brother
Sawa kaka nakukubari sana
U changed my life kwa kunielimisha
Bro kiukweli umenifundisha mambo mazuri hususaniiiii wakati kama huu nilionao kwa sasa!!! Mungu akubariki sana bro!
Piga kelele kwa kaka yake wewe wee big up brother
Thanks Each One Teach One 👍
Ongera kaka kwa somo lako nzuri.
Mimi ni mkongomani,naishi hapa Lubumbashi.
Napenda sana mafundisho yako ,
Yani yananipa sana faraja.
Thank you kaka yangu umenitoa mahali umenipeleka palipo bora! !!!!
Asante sana kaka nimejifunza sanaa
Uko Sawa bro
EZDEN .........I APPRECIATE
Uko poa bro, nakuwelewa sana nashkuru kw mawazo yko ,barikiwa washangae
Kaka wew ni zaidi ya mwalimu allah aendelee kukubariki kila hatua upigayo insha-allah🙏.
Thanks
Shukrani sana kak
Upo,vizuri mwarimu
Keep it up
Kazi nzuri, ubarikiwe
Uko vzr Sana my brother
Cool bro
I like this
Blaza nakubali xana kazi zako na kujihisi nimechelewa kusikiliza vipindi vyako nipo nje ya nchi sasa ndo nimeanza kuandika moja lakini mpaka Sasa Nina miaka 28 je kutoka na umri wangu je nitakua ndani ya mda kuukimbilia utajiri maana ninandoto ya kua zaidi ya mo deuji
You deserve respect ✊🏿
Mungu, akubariki kwa mafundisho
Good lesson mr
Imekaa vzr sana kaka
Respect to you brother
Asante san kaka
Blessed👑
.nice study
Nashukur sana kwasomo
Asante sana kaka
Habari kaka unafanya kaz nzuri sna na ni mmoja wa kijana wa kukubali kubadilika Niko nakuelewa sana yaan na nimenadilika kwa mengi .. Ila nilikuwa ninawazo siku embu fafanua lugha ambayo unatumia ili watu wakuelewe zaid maana watu tumetofautiana .. Lugha unayo tumia ni kiswahili kizur ila kuna kahali flan ivi cha unavyo ongea watu hawakuelew ..so nahis umenielewa embu siku weka Ilo somo ..maana kuna rafiki yangu anapata shida kukuelewa .. Ila mim nakielewa sana tuuu Ila binafsi naamin bado ajajitambua kwenye upande wa kubadilika ndio maana watu kama hao hawajelewii asante
Kwel kabisa 😍😍😍
Bro elimu nzuri sana mungu akubaliki sana!
Asante ndugu yangu umenitoa sehemu 1 nakunipeleka sehem nyingine
somo zur bro
Nakukubali sana bro big up
Mashaallah
Kaka mungu akubariki,ndowakat niliopo mdogoako,ni nitanyanyuka tena,ila sitapenda tena
Aisee hii nimeipenda sana...... Naomba utuletee somo ambalo linahusu kijana mwenye njozi kubwa katika maisha yake na anapomshilikisha mzazi wake anamkataza, je kijana kama huyu afanyaje? Na nini ambacho kinakuwa kimefichika kinachomfanya mzazi kumzuia mwanae kufikia ndoto zake?
Conglatulation more bro...you can
Thank you
Nakufuatilia ad basi yahn now days nimeacha kulalamika coz KUna video niliangalia ukasema if u want t sound powerfully stop complain but if u want to sound powerless endelea ku lalamika 🙏🙏🙏🙏🙏🥳🙏🥳🥳🥰
naam...hongera sana...
Umekuwa n masaada mkubwa sana kwangu nnakuelewa sana kiongoz
Kaka iko smart sana , naona kabisa unanilenga mimi kwa kweli😥
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Good
Wow nimejifunza kitu👏👏👏
safi sanabro thask somo limesomeka shukuran .
Aaaa
Waooo nimejifunza kitu,
Barikiwa sana kuna watu Mungu aliwaumba kwa kusudi
Asante
Maze mi napenda sana elimu yako kaka from Kenya
Kaka kuna mtu nilimpenda sana tukaachana bas ad leo anasumbua kwenye akili yangu mawazo hayaishi lakini Hiki kipindi chako leo kimenipa somo asante
Hongera kaka
Mambo yote yamenitengeneza bro Ezden
Mala nyingi huwa skosi darasa lako unatusaidia sana asante
Napenda sana mada zako
Asante sana sana
asante kaka
Mim nitakupigia kaka edzen ninajambo langu unishauli
karibu sana
La 10
Asalam alykum Allah akupe umri uzidi kutueimisha ww n grop lako
🙏🙏