SABABU 9 ZA KUTOWASIKILIZA WATU HAWA
Vložit
- čas přidán 7. 07. 2020
- Tunaishi kwenye jamii yenye watu wengi wanaokuzunguka na wengine hukuonesha hata wanakujua zaidi ya wewe unavyojifahamu. Bila shaka utakuwa ushaanza kuwaelewa watu hawa. Sasa tatizo la hawa binadamu ni kwamba usipokuwa makini unaweza kuendelea kucheza kwenye mistari yao na kujikuta unafanya yote wayatakayo lakini unapokwama kwenye hiyohiyo mipango yao kamwe hautauona ushirikiano wao kukukwamua kwenye tatizo walilokusababishia na kukuacha peke yako ukitaabika.
Sasa somo hili ni muhimu sana katika kuhakikisha linakuweka vizuri kifikra na kukufanya uweze kuyaendea mafanikio bila vikwazo ya wengine ambao tunaweza kuyaepuka mapema kwani una kila sababu ya kuwaepuka au kutowasikiliza watu hawa.
Ungana nami katika somo hili
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Sababu9 #Kutowasikiliza #Wanaokuongelea
Wakati mwingine huwa naangalia Mara mbili mbili crip zako broo nakukubali Sana mungu azidi kukujalia maarifa Zaid ili uzid kutuelimisha 🇹🇿🇹🇿👏👏
amiin. nashukuru sana kaka
Mashaallah Allaah Azidi kukufungulia Milango ya ufahamu
Maana masomo yako ninakuelewa
Na hunibadilisha
Ahsante sana kaka masomo yako mazur najifunza vitu vingi nimebadilika kiasi kukubwa Mungu andelee kukuongoza Akubariki kwa Moyo wako wakujitolea Amen🙏
Mungu atakulipa hili soma litakuwa kubwa sana na litakuja kupata views nyingi sana utakuja kuniambia InshaAllah.
nashukuru sana kaka
,nice
Safisanaaaaaaaaa broo
Jazaaka Llahu Khair .
Assalaam alaykum. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Kuogopa watu ni tatizo kubwa sana, mtu anakuwa km mtumwa wa watu ili kuwaridhisha wengine. Anakosa hata kujiamini. Uko msemo unasema "wewe ni kiongozi wa nafsi yako" ukiogopa kusemwa hutofanya kitu. Muhimu ni kumridhisha Mola wetu, sio viumbe wenzetu.
Amina sana nahisi kubadirika kupitia somo hili
Sina mengi nakubalibsana❤
Thanks
Alwah azidi kukupa Uzima na Afya njema na akubarikie sana ktk Maisha yako yote Ameen
Ameen Mamu Note3, dua njema iwe kwetu sote. Be blessed!
"What goes around, its comes around" each one teach one.👏👏👏
😁😁 😁 Nimefaidi mangi Lakin Nime penda Sana nukuu hii ATI mtu aishi vile Mwenyezi Mungu anataka👍
Naamu Mola akuendeleza Zaid akubariki Sana
Haswaaaa
Shukran Akhy Kweli umefanya vyema nimejifuza mengi sana kwa video zako tatu tu yaan 🙏MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI ZAIDI
Mashaallah akubarik san ktk maish yadunia naakher
Nakukubari sana kiongozi sikupingi
Napenda saana mafunzo yako
Mafunzo na mawazo yako siku zote yanakita ktk uhalisia wa maisha ya kila siku....shukran bro🙏
Nashukuru sana
stres iko kwenye mawingu hii kwel noma niseme2 Ahsante Kaka kwani nazidi kuwa strong wowen
Asante sana Helena Musa kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
@@successpathnetwork tuko pamoja Ezeden kaka naiman kazi zako ztafika kwa kila mutu napia kila mwanadam anaikuba ubarkiwel
@@successpathnetwork tuko pamoja Ezeden kaka naiman kazi zako ztafika kwa kila mutu napia kila mwanadam anaikuba ubarkiwel
Hizii ndio busara za Edzen Jumanne🙏🙏 Asante Sana teacher... Maisha ni formula na mtunzii wa iyo formula ni ww wenyewe🙏🙏🙏 Asante
Naomba somo la kujifunza kuwa mkimya
Asante kwa somo zur Kaka ezden
Kiongozi mungu akupe maisha malefu kwani minapitia sana point zako na zinanibadilisha sana ktk maisha yangu big up
Bi nafsi najifunza sana mambo mazuri kutoka kwako ezdeni endelea kuwa na moyo uwo..uwo Allah atakulipa kwa muongozo mzuri unao tupatia
Mungu azidi tu kukutunza kwaajili yetu
Amiin
Allah azidi kukuimalisha kiafya uzidi kutupa madini KAKA MKUBWA
Allah Akujaze khery in shaa Allah kwa kazi unayoifanya kwa wanajamii, usichoke Brother Ezden.
Ameen Musa Mohamed, dua njema iwe kwetu sote. Be blessed!
Shukran sana
Naitwa Hamisi my brother nimepata point hii kwamba katika maisha siwezi kumridhisha kila mtu . Nashukuru sana kaka ubarikiwe
Nakukubali sana
Asante sana sana Kwa ushauri wako ,be blessed , mala nyingi ushauri wako wanitia nguvu
Muda pia hubadili mawazo ya watu juu yako... asante kwa somo nimejifunza
Nakupend kaka kwaajili ya Allah
Hongera kwa kutufinza
Mashallaaa
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
nakukubali
Asante kwa kwa somo nakuaminia broo
Uko sahihi bradha najifunza mengi sana
Nakuelewaaaa Sana kaka
Nakubali Sana kk
Saaafi
Braza unazidi kunifunza meeeengi mpak najiona bora
😍🤩😘 nakubaliana naww
Ok asante Sana kabisa nisawa sana
Nice
Nimekubali Kaka yapo okay
Kakukubali Sana unajuh
I like it
Nakuelewa kaka mm nasema sana
Ukwel kabisa Tena wao ndio wakwanza kujileta kwako wakiona umeshaa fanikiwa
Somo nzuri sana, ubarikiwe na Mungu Ezden, uzidi kutupatia mengi yenye faida
Unaona, unafikiri, unasikiliza na unasema MTU analotaka kwa upande mmoja na upande mwingine si kila MTU anataka kile unachosema ila ni vema uendelee kusema, kazi nzuri kaka.
Nimejifunza kitu kikubwa sana nashukur sana
broo hupingwii hat chembeee you are my teacher unanipa Muongoz mzuri wa maisha
Asante sana Yassin shaban Shemndolwa kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Shkuran sana mzee wang
Kaka ezden mungu akubarki Sana kwa Hili Somo ulilo nifundisha Asante Sana nimetambua meng na nimejifunza Ving vitakavyo nisaidia jinsi ya kuwapuuzia watu wenye Tabia hii
Mashallah , somo zuri nakufatilia kwa umakini
Amen
Ahxante xanaa kaka kwa Elimu nzurii ,!!
Shukran kaka Ezden🙏
Asante kaka kwa mafundisho yako hakika unatukuzaa kiakili
each one teach one thank you brother
Asante sana ismaily said kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Asalam aleykm walahamatulluh wabalakatuh kaka ezden jumanne upo vizuli masha Allah yani masomo yako yananifungua akiri sana yes sahihi Allah akulipe nshaallah kaka Shabani nimeani huwezi kumlizisha mtu Allah takilaafiya nshaallah 🤲👍 10 15
Maa shaa Allah
Tabaaraka LLAH
Nimeipenda sanaaaaaaa hii video na somo lake naiomba nambq yenu ya wasap
Upo sahihi kabisa bro
Ahsante sana mtoto wangu kwa somo zuri.
Thanks much bro for your lesson nmejifunza meng na nitaendelea kukufuatilia
🙏🏾
Asante sana kaka nlichokipata mungu akuongezee miaka
Asante
Appreciate 😇
Asante kaka Edzen nimefunguka sana Mungu akubariki
Shukran sana Jazakah Lwah Kher
broh umenisaidia sana na video zako God akubless sana pia mm now days na help Young people wenye wamejisahao broh each one tech one
Great
tupo pamoja
I understand you very well brother Ezden.....I like you much.
Asante sana Judith Mwambe kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Asante Sana kwa mafuundisho mazuri
Nikweli kabisa Kufundisha ni kubadilisha uzoefu.
Shukran
Mungu azidi kukupa maarifa zaidi ya kutujenga, barikiwa sana.
Allah akbar,nimefunguka macho na akili yangu,mungu azidi kukuweka longlife bro,pia kabit kanakosikika huwa nakapenda kweli,
Shukran kaka
Thanx u very very much Allah bless u amenn
Naomba ushauri nademwangu anaukimwi nampenda sana ila ajawahi kigongwa na ajui kama m nishamjua ye anaukimwi na kashakula sana mda wang na kiasi chapesa kingisan. Sasa dah nafanyaje nimwache au niendeleanae na kwaimani hp. Naomba ushauri kiongozi kupitia hilo
Thanks my brother
Asante sana kw#
asante kaka kwakunifungua akili mungu akubaliki
Umebadlxh maisha yangu broo
Kaka uko vzr cn asante kwa elimu y'all nzur kwan wtu wanajifuza mengi toka kwako
Asante sana brother
pamoja sana karibu..
🤝🤝
Asante sana kwa elimu yahekima
#HUWA NAKUELEWA SANA🧠..ALLAH AKUPE MAARIFA ZAIDI YENYE UFAHAM AKHI
BARAKA LLAHU FIYKA
Asante Sana kaka najifunza mengi sana
Thenk u big
Ujue nlimuona rafkiangu juz kaweka status clip yako nkapenda sana akaniambia oh mtafte CZcams utapenda vingi daaah kwakweli najiona kama nimechelewa kukutafuta Allah azidi kukuhifadhi
Kweli tu meelewa , , mungu awe mwangaza kwako
Thanks my brother.
Upewe ulinzi wa kutosha
Sure uko sahihi bro🙏