SABABU 9 ZA KUTOWASIKILIZA WATU HAWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2020
  • Tunaishi kwenye jamii yenye watu wengi wanaokuzunguka na wengine hukuonesha hata wanakujua zaidi ya wewe unavyojifahamu. Bila shaka utakuwa ushaanza kuwaelewa watu hawa. Sasa tatizo la hawa binadamu ni kwamba usipokuwa makini unaweza kuendelea kucheza kwenye mistari yao na kujikuta unafanya yote wayatakayo lakini unapokwama kwenye hiyohiyo mipango yao kamwe hautauona ushirikiano wao kukukwamua kwenye tatizo walilokusababishia na kukuacha peke yako ukitaabika.
    Sasa somo hili ni muhimu sana katika kuhakikisha linakuweka vizuri kifikra na kukufanya uweze kuyaendea mafanikio bila vikwazo ya wengine ambao tunaweza kuyaepuka mapema kwani una kila sababu ya kuwaepuka au kutowasikiliza watu hawa.
    Ungana nami katika somo hili
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Sababu9 #Kutowasikiliza #Wanaokuongelea

Komentáře • 226

  • @ibrahimfrance1576
    @ibrahimfrance1576 Před 4 lety +7

    Wakati mwingine huwa naangalia Mara mbili mbili crip zako broo nakukubali Sana mungu azidi kukujalia maarifa Zaid ili uzid kutuelimisha 🇹🇿🇹🇿👏👏

  • @mkibandulo1231
    @mkibandulo1231 Před 3 lety +2

    Mashaallah Allaah Azidi kukufungulia Milango ya ufahamu
    Maana masomo yako ninakuelewa
    Na hunibadilisha

  • @felistajohn529
    @felistajohn529 Před 4 lety +2

    Ahsante sana kaka masomo yako mazur najifunza vitu vingi nimebadilika kiasi kukubwa Mungu andelee kukuongoza Akubariki kwa Moyo wako wakujitolea Amen🙏

  • @saidseif7469
    @saidseif7469 Před 4 lety +23

    Mungu atakulipa hili soma litakuwa kubwa sana na litakuja kupata views nyingi sana utakuja kuniambia InshaAllah.

  • @jamilarimo4390
    @jamilarimo4390 Před 3 lety +1

    Jazaaka Llahu Khair .

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 Před 4 lety +1

    Assalaam alaykum. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Kuogopa watu ni tatizo kubwa sana, mtu anakuwa km mtumwa wa watu ili kuwaridhisha wengine. Anakosa hata kujiamini. Uko msemo unasema "wewe ni kiongozi wa nafsi yako" ukiogopa kusemwa hutofanya kitu. Muhimu ni kumridhisha Mola wetu, sio viumbe wenzetu.

  • @annakuluka7510
    @annakuluka7510 Před 7 měsíci +1

    Amina sana nahisi kubadirika kupitia somo hili

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 Před 2 lety +1

    Thanks
    Alwah azidi kukupa Uzima na Afya njema na akubarikie sana ktk Maisha yako yote Ameen

  • @ramadhanjuma5526
    @ramadhanjuma5526 Před 4 lety +9

    "What goes around, its comes around" each one teach one.👏👏👏

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 Před 4 lety +3

    😁😁 😁 Nimefaidi mangi Lakin Nime penda Sana nukuu hii ATI mtu aishi vile Mwenyezi Mungu anataka👍

  • @hijjahbintmardhya6613
    @hijjahbintmardhya6613 Před 4 lety +2

    Shukran Akhy Kweli umefanya vyema nimejifuza mengi sana kwa video zako tatu tu yaan 🙏MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI ZAIDI

  • @zakiahaeuna1849
    @zakiahaeuna1849 Před 3 lety

    Mashaallah akubarik san ktk maish yadunia naakher

  • @majidyomary1875
    @majidyomary1875 Před 3 lety

    Nakukubari sana kiongozi sikupingi

  • @annouya483
    @annouya483 Před 3 lety

    Napenda saana mafunzo yako

  • @kiyage
    @kiyage Před 4 lety +3

    Mafunzo na mawazo yako siku zote yanakita ktk uhalisia wa maisha ya kila siku....shukran bro🙏

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 Před 4 lety +5

    stres iko kwenye mawingu hii kwel noma niseme2 Ahsante Kaka kwani nazidi kuwa strong wowen

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Asante sana Helena Musa kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

    • @helenamusa432
      @helenamusa432 Před 2 lety

      @@successpathnetwork tuko pamoja Ezeden kaka naiman kazi zako ztafika kwa kila mutu napia kila mwanadam anaikuba ubarkiwel

    • @helenamusa432
      @helenamusa432 Před 2 lety

      @@successpathnetwork tuko pamoja Ezeden kaka naiman kazi zako ztafika kwa kila mutu napia kila mwanadam anaikuba ubarkiwel

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před 5 měsíci

    Hizii ndio busara za Edzen Jumanne🙏🙏 Asante Sana teacher... Maisha ni formula na mtunzii wa iyo formula ni ww wenyewe🙏🙏🙏 Asante

  • @estherleonard7769
    @estherleonard7769 Před 3 lety

    Naomba somo la kujifunza kuwa mkimya

  • @evaristyjoseph2309
    @evaristyjoseph2309 Před 2 lety

    Asante kwa somo zur Kaka ezden

  • @majidyomary1875
    @majidyomary1875 Před 3 lety +1

    Kiongozi mungu akupe maisha malefu kwani minapitia sana point zako na zinanibadilisha sana ktk maisha yangu big up

  • @mohamedkhamis8470
    @mohamedkhamis8470 Před 4 lety

    Bi nafsi najifunza sana mambo mazuri kutoka kwako ezdeni endelea kuwa na moyo uwo..uwo Allah atakulipa kwa muongozo mzuri unao tupatia

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 Před 9 měsíci +1

    Mungu azidi tu kukutunza kwaajili yetu

  • @ramahamis5793
    @ramahamis5793 Před 4 lety

    Allah azidi kukuimalisha kiafya uzidi kutupa madini KAKA MKUBWA

  • @musamohamed9119
    @musamohamed9119 Před 3 lety +3

    Allah Akujaze khery in shaa Allah kwa kazi unayoifanya kwa wanajamii, usichoke Brother Ezden.

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 4 lety +1

    Shukran sana

  • @BestiNasso
    @BestiNasso Před 8 měsíci

    Naitwa Hamisi my brother nimepata point hii kwamba katika maisha siwezi kumridhisha kila mtu . Nashukuru sana kaka ubarikiwe

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 Před 4 lety

    Nakukubali sana

  • @jackychebet8100
    @jackychebet8100 Před 2 lety

    Asante sana sana Kwa ushauri wako ,be blessed , mala nyingi ushauri wako wanitia nguvu

  • @mapishinaamanda6944
    @mapishinaamanda6944 Před 4 lety

    Muda pia hubadili mawazo ya watu juu yako... asante kwa somo nimejifunza

  • @SaidSaid-mt5dd
    @SaidSaid-mt5dd Před 3 lety

    Nakupend kaka kwaajili ya Allah

  • @hajihaji3544
    @hajihaji3544 Před 4 lety

    Hongera kwa kutufinza

  • @nyamwenzaedward4811
    @nyamwenzaedward4811 Před 3 lety

    Mashallaaa

  • @feisalakbar4759
    @feisalakbar4759 Před 4 měsíci +1

    Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla

  • @swahilikid5823
    @swahilikid5823 Před 4 lety

    nakukubali

  • @farhatislam6550
    @farhatislam6550 Před 3 lety

    Asante kwa kwa somo nakuaminia broo

  • @housemanagmentfinishing1151

    Uko sahihi bradha najifunza mengi sana

  • @JastinSichilamba-ok5tw

    Nakuelewaaaa Sana kaka

  • @sultanisharifu6728
    @sultanisharifu6728 Před 4 lety

    Nakubali Sana kk

  • @mohamedmiraj3117
    @mohamedmiraj3117 Před 4 lety +2

    Saaafi

  • @allfaeliasi7440
    @allfaeliasi7440 Před 4 lety

    Braza unazidi kunifunza meeeengi mpak najiona bora

  • @SAYFANMUSSA
    @SAYFANMUSSA Před 3 lety

    😍🤩😘 nakubaliana naww

  • @ramazaniassani9013
    @ramazaniassani9013 Před 3 lety

    Ok asante Sana kabisa nisawa sana

  • @xxxbaby5925
    @xxxbaby5925 Před rokem

    Nice

  • @majaliwaathumani3324
    @majaliwaathumani3324 Před 4 lety

    Nimekubali Kaka yapo okay

  • @rashidikinabo6945
    @rashidikinabo6945 Před 3 lety

    Kakukubali Sana unajuh

  • @emadjuma507
    @emadjuma507 Před 3 lety

    I like it

  • @user-qq8kc1df5e
    @user-qq8kc1df5e Před 11 měsíci

    Nakuelewa kaka mm nasema sana

  • @carolynewerunga9112
    @carolynewerunga9112 Před rokem +1

    Ukwel kabisa Tena wao ndio wakwanza kujileta kwako wakiona umeshaa fanikiwa

  • @veronicakauye2087
    @veronicakauye2087 Před 3 lety

    Somo nzuri sana, ubarikiwe na Mungu Ezden, uzidi kutupatia mengi yenye faida

  • @ahadiandongwisye6041
    @ahadiandongwisye6041 Před 4 lety

    Unaona, unafikiri, unasikiliza na unasema MTU analotaka kwa upande mmoja na upande mwingine si kila MTU anataka kile unachosema ila ni vema uendelee kusema, kazi nzuri kaka.

  • @mr.energy2162
    @mr.energy2162 Před 4 lety

    Nimejifunza kitu kikubwa sana nashukur sana

  • @yassinshabanshemndolwa5782

    broo hupingwii hat chembeee you are my teacher unanipa Muongoz mzuri wa maisha

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Asante sana Yassin shaban Shemndolwa kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @lightnovel.06
    @lightnovel.06 Před 4 lety

    Shkuran sana mzee wang

  • @barakamichael652
    @barakamichael652 Před 2 lety

    Kaka ezden mungu akubarki Sana kwa Hili Somo ulilo nifundisha Asante Sana nimetambua meng na nimejifunza Ving vitakavyo nisaidia jinsi ya kuwapuuzia watu wenye Tabia hii

  • @faridamhina7640
    @faridamhina7640 Před 3 lety

    Mashallah , somo zuri nakufatilia kwa umakini

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Před 2 lety +1

    Amen

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 Před 4 lety

    Ahxante xanaa kaka kwa Elimu nzurii ,!!

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 3 lety +1

    Shukran kaka Ezden🙏

  • @adilymwalyanzi2339
    @adilymwalyanzi2339 Před 4 lety +1

    Asante kaka kwa mafundisho yako hakika unatukuzaa kiakili

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 Před 4 lety +2

    each one teach one thank you brother

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Asante sana ismaily said kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @husnatanzanian9155
    @husnatanzanian9155 Před rokem

    Asalam aleykm walahamatulluh wabalakatuh kaka ezden jumanne upo vizuli masha Allah yani masomo yako yananifungua akiri sana yes sahihi Allah akulipe nshaallah kaka Shabani nimeani huwezi kumlizisha mtu Allah takilaafiya nshaallah 🤲👍 10 15

  • @mussamwamsitu2259
    @mussamwamsitu2259 Před 2 měsíci

    Maa shaa Allah

  • @kareemyassin9322
    @kareemyassin9322 Před 3 lety

    Nimeipenda sanaaaaaaa hii video na somo lake naiomba nambq yenu ya wasap

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 Před 4 lety

    Upo sahihi kabisa bro

  • @mkatungu7457
    @mkatungu7457 Před 4 lety

    Ahsante sana mtoto wangu kwa somo zuri.

  • @eliviarespicious9090
    @eliviarespicious9090 Před 3 lety

    Thanks much bro for your lesson nmejifunza meng na nitaendelea kukufuatilia

  • @user-hw7by5fr3p
    @user-hw7by5fr3p Před 3 měsíci +2

    🙏🏾

  • @musasuccessline9713
    @musasuccessline9713 Před 4 lety

    Asante sana kaka nlichokipata mungu akuongezee miaka

  • @user-go8zb2bo1x
    @user-go8zb2bo1x Před 9 měsíci +1

    Asante

  • @alliymohamedalliy6524

    Appreciate 😇

  • @yustamushashu6415
    @yustamushashu6415 Před 3 lety

    Asante kaka Edzen nimefunguka sana Mungu akubariki

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 Před 4 lety

    Shukran sana Jazakah Lwah Kher

  • @simonkinyajui1742
    @simonkinyajui1742 Před 4 lety +1

    broh umenisaidia sana na video zako God akubless sana pia mm now days na help Young people wenye wamejisahao broh each one tech one

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Před 4 lety

    Great

  • @dastanmgaya7731
    @dastanmgaya7731 Před 3 lety

    tupo pamoja

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 4 lety +3

    I understand you very well brother Ezden.....I like you much.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Asante sana Judith Mwambe kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @reubenfrank5379
    @reubenfrank5379 Před 4 lety

    Asante Sana kwa mafuundisho mazuri

  • @ngogemuhammed4081
    @ngogemuhammed4081 Před 4 lety

    Nikweli kabisa Kufundisha ni kubadilisha uzoefu.

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety

    Shukran

  • @evahealthservice7390
    @evahealthservice7390 Před 4 lety

    Mungu azidi kukupa maarifa zaidi ya kutujenga, barikiwa sana.

  • @omariramadhani1562
    @omariramadhani1562 Před 3 lety +1

    Allah akbar,nimefunguka macho na akili yangu,mungu azidi kukuweka longlife bro,pia kabit kanakosikika huwa nakapenda kweli,

  • @user-qm3oy3fw8w
    @user-qm3oy3fw8w Před 5 měsíci

    Shukran kaka

  • @abdulrazzaq779
    @abdulrazzaq779 Před 3 lety

    Thanx u very very much Allah bless u amenn

  • @majidyomary1875
    @majidyomary1875 Před 3 lety

    Naomba ushauri nademwangu anaukimwi nampenda sana ila ajawahi kigongwa na ajui kama m nishamjua ye anaukimwi na kashakula sana mda wang na kiasi chapesa kingisan. Sasa dah nafanyaje nimwache au niendeleanae na kwaimani hp. Naomba ushauri kiongozi kupitia hilo

  • @godifreykagosha9833
    @godifreykagosha9833 Před 3 lety

    Thanks my brother

  • @jofreypilla5041
    @jofreypilla5041 Před 2 lety

    Asante sana kw#

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 Před rokem

    asante kaka kwakunifungua akili mungu akubaliki

  • @husseinkareem9914
    @husseinkareem9914 Před 3 lety

    Umebadlxh maisha yangu broo

  • @wilsonkitundu8835
    @wilsonkitundu8835 Před 2 lety

    Kaka uko vzr cn asante kwa elimu y'all nzur kwan wtu wanajifuza mengi toka kwako

  • @citymaxbookshoptanzania2924

    Asante sana brother

  • @ianazori6510
    @ianazori6510 Před 3 lety

    🤝🤝

  • @benardpaul1271
    @benardpaul1271 Před 4 lety

    Asante sana kwa elimu yahekima

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 4 lety

    #HUWA NAKUELEWA SANA🧠..ALLAH AKUPE MAARIFA ZAIDI YENYE UFAHAM AKHI
    BARAKA LLAHU FIYKA

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 Před 3 lety

    Asante Sana kaka najifunza mengi sana

  • @user-zs2jd2pt8d
    @user-zs2jd2pt8d Před 5 měsíci

    Thenk u big

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety

    Ujue nlimuona rafkiangu juz kaweka status clip yako nkapenda sana akaniambia oh mtafte CZcams utapenda vingi daaah kwakweli najiona kama nimechelewa kukutafuta Allah azidi kukuhifadhi

  • @geofreymchwemba3937
    @geofreymchwemba3937 Před 4 lety

    Kweli tu meelewa , , mungu awe mwangaza kwako

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 4 lety +1

    Thanks my brother.

  • @tunumgimba5117
    @tunumgimba5117 Před 2 lety +1

    Upewe ulinzi wa kutosha

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 Před 4 lety

    Sure uko sahihi bro🙏