KWANINI WATU WANAKUCHUKIA
Vložit
- čas přidán 17. 07. 2020
- ULISHAWAHI KUJIULIZA, KWANINI WATU WANAKUCHUKIA?
.
Kila mtu anapata nafasi sawa katika maisha ya kukutana na watu wenye tabia mbalimbali. Na katika hao wapo ambao watatupenda au kutuchukia kutokana na vile ambavyo wanatuelea na kututafsiri.
Jambo la uhakika kabisa ni kwamba kila kitu huwa kina matokeo yake kwahiyo kama watatupenda mateokeo yatakuwa mazuri na wasipotupenda basi matokeo yatakuwa mabaya katika aina ya mahusiano tutakayokuwa nayo na watu hao.
.
Moja ya faida za kuifahamu saikolojia ya mwanadamu ni kwamba inatuwezesha kuyapunguza maumivu makali ya maisha angalau.
Kwa mfano ukifahamu tu kwanini watu wasionipenda hawanipendi basi utajua kwa namna fulani kucheza nao au hata kujua namna ya kuwafanya nao wakupende pia, usisahau kujitambua ndio mlango wa kupata unachotaka toka wengi wanaokuzunguka kama ukitumika vizuri.
.
Nalifurahia sana somo hili sababu ni kubwa na lina mengi sana ndani yake, karibu utazame, mshirikishe na mwingine tafadhali. Asante sana.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Kwanini #Watu #wanakuchukia
Hongera kwakuni elimisha broo najifunza mengi toka kwako andapo kuna mtu ka mm ampenda huyu kaka gonga like
Yaani naku kubali sana kaka Mungu azidi kukuinua zaidi, make huo ujumbe wakuchukiwa mi nimesha chukiwa sana tena na watu ambao sikuwatarajia yaani kila ninapo fanya kitu kizuri cha mafanikiotu unashangaatu mtu amekubadirikia nakuvunja hata mawasiliano duh! Kweli nimeamini.
Mungu akubariki mwanangu endelea kufundisha binadamu hatupendani
😋kweli nimekukubali MR Jumaine
Nashukuru sana. Karibu
Mie nachukiwa muonekano wangu
Asante sana ubarikiwe
Madini mazuri always. Lakini kwa nini hizi programs zako usizitafutie nafasi kwenye media hususani TV na Radio? Naamini huko itakua na impact kubwa zaidi kwenye jamii zetu sababu zitawafikia wengi zaidi. Naamini unahitaji the maximum of 10 minutes tu kwenye media kubadilisha hizi fikra mgando vichwani mwa watu. Kiuhalisia TV na Radio zetu nyingi bado hazina madini sahihi ya kuilisha jamii. Go and talk to the Program Managers uongeze wigo wa kuwafikia watu wengi zaidi na channel hii iendeleze dozi kama kawa.
Shukran my kaka. Umenifundsha.
Hayo ya kuchukiwa n kweli washangaa mtu ulikuwa wacheka nae vzr lkn sahii mungu ameleta baraka kidogo mpk watu wa krb wakununia mungu awaondolee
Niko hapa nikila haya madini. Big up 👍
Duuh nakubali kaka unagusia maisha yangu
Karibu sana
oooh yea i got it bro ezden
Shukran ❤❤
Shukran sana kaka. Allah Akujaze kheri.
Nakubali kiongozi
Nikweli kabisa
Tufanyeje sasa
Nimependa pia brodher
Salute san bro
Umetisha jembe 100%❤👏👏
Umepatia mno,hayo mambo yapo kabisaa
Asante kwa elimu kubwa MUNGU AKUBARIKI
Great thank you so much
Napenda kumotivet speech bro upo vzr san
Pamoja kaka
Asante kwa somo zuri each one teach one
Ahsante sana brother kwa topic nzuri
This was the best lesson for me👨🎓
Good point brother
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh Shukran sana ndugu yetu kwa somo zuri ubarikiwe zaidi
Great sir ❤🙏
Bro noma Sana
Bomba sana
Åhsantë brother kwa ujumbe mzuli, MUNGU akuzidishie ujuzi uzidi kututoa gizani kama sisi vijana.
Nimejifunza sana
Hongera Sana ndugyangu tunajivunia kubahatika kua tunakufuatilia maana yapo mengi ya kujifunza ama kwakweli umekuja kua jib kwa watu wengi big up sana
Asante sana kakaangu kwa ujumbe mzuri.
Big up asante sana
Nice brooh👍
Perfectly kaka you are more wisely
Be blessed kaka
Shukran bro kwa msaada wako Mashallah
Be blessed
God bless you brother
Thanks broo
That's Facts 100%. Nimependa hichi ulichoongea kwani umeongea uhalisia wenyewe ambao sisi wanadamu tunapitia.
Asante sana huwa unanipa nguvu sana kaka 😍😍😍😍
Saf sana
Nimejifunza mengi. Safi sana
Asante kutupenda yani nimepata nguvu ya kuishi nawatu 🙏
Asantee kk nimejifunza mengi ubarikiwe
Shukuran sana mzee wang
👌👌👍
Masage nzuri, ukweli utabaki kuwa ukweli, hata ukitumiwa ujumbe ukweli upo hapo hapo.siku moja utaukumbuka tu ukweli huo.
Uko sawa kabisa
Napenda kazi zako ....bro
asante sana kaka
Bro nakubaliii umenigusa sana
Blessing
Pamoja sana mkuu
Ewaaaaah uko Sahihi kaka
Perfect
Ndugu yangu nahisi ni vyema UKA ingiza vipindi kwenye tv.
Hi ni kweli
Very inspiring
Najiona kipaji changu kinavyoniponza katika mazingira ya kazini kwangu
Kweli!!
Hayo yapo sana ofisini kwangu plz tufanyeje sasa ku overcome
Nimeipenda saana
Sina mengi sana ila Mungu akupe maisha malefu sana
Ushauri wako ni wanjuu sana
Tunaomba namba yako uiandike kwenye video apo juu
Nice bro
Dah kwel kbc
Nikweli
💪
Kitu nilicho elewa... Usiwe mtoaji wa ahadi ambazo huwezi tekeleza....hiyo mbaya Sana.
True
Wengine wanachukia mtu kwa wewe kua kwenye mstari wabongo wanapenda sana kupindisha mambo tufanyeje
Umegusa penyewe
Safi sana hongera sana kaka kwa elim yako.
Ukweli kabisa yaani asate
REALY MAISHA YAPO HIVYONDUGU
Wanao challenge wana chuki binafsi hizo topic ni elimu tosha kwa wenye mazingatio
Topics zako ni nzuri, ila uwe na logo moja mzeebaba, hatukuelewi brand ni ipi?
Usihofie sana kaka kuhusu logo bado tunaishughulikia brand ya SPN kwahiyo inaweza kuwa na mabadiliko ya hapa na pale, lakini hilo lisikwamishe utoaji wa elimu. asante kwa kua mfuatiliaji makini.
Mafundisho mazuri
Sielewi kuna watu 2 wame"dislike" hapo, hao ndy watu wenye chuki kwny jamii
hahaha...
Kwaninn watu wanakuchukia mzee Baba
@@ngokaomary5123 watu gani sasa?
Kulike na kudislike ni maamz ya mtu👌👌
Mwingine hajui maana ya hizo alama.
Me pia mwazoni nilikua nabonyeza tu yoyote. Pengine hawajui
Bonjour?
Sababu za kwanza ndio chuki kali sana, sababu za pili na tatu chuki zao ni za kukukwepa tu
sana
Ndugu mimi ushangaa sana kwa nini hii chuki ata kwa walio kupenda zaidi,lakini mimi upenda kusema ukweli,pia mimi niko na kipaji cha kupendwa sana ambacho kinaudhi wengine
Huenda unajishauwa ktk huko Kupendwa kwako,, ukipendwa tulia siyo waanza jishauwa mbele za watu.
Kaka ushawuri wako Safina kbs
Clouds midia
Napenda sana mnavofundisha name najifunza vitu vingi
Watu wananichukia kwaajili mimi ni mkweli hili ndo kubwa , kama kijani Na sema kijani , huwaga sipindishi , Na nikiona siwezi kufika mbali Na mtu au watu flani huwa nawaachia njiani to naenda Na zangu, utaskia anajiskia
Wewe siyo kama ni mkweli tu inaonesha unapenda kuwapasha watu hadharani
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Naaaam waangalie wa chini yako na si wa juu yako
Kweli kabisa
Absolutely.....kaka Ezden kama unaingia ktk mind set za watu.Simba 4-1 Yanga hahahaha
Kaka, ninashindwa nikupe jina gani. Wewe ni mwalimu. Umenifundisha mengi mpaka sasa.
Bro nawezaje kupata namba yako
Dh
Ujawai kukosea kaka mkubwa
Apo kwenye kukosoa kwa ukarimu kuna mijitu mingine inakujia kama kushindana na ww hivyo unaipelekea moto hvohvo
Bila Shaka ww Ni soldier
P
Nimependa na naamini kupitia hiili fundisho nimejifunza nashukkuru mana toka mwanzo nnikama ulikuwa ukinizungumzia story for me thanks
God bless you brother