UNAPOPITIA NYAKATI NGUMU KWENYE MAISHA
Vložit
- čas přidán 12. 04. 2021
- Matatizo kwenye maisha ni kitu cha kawaida sababu yanampata kila mtu bila kujali nafasi au tofauti yoyote mtu aliyonayo. Usipokuwa makini ni rahisi kuanza kumkufuru hata Mungu au kuanza kufanya mambo ambayo yanaweza kukupoteza kabisa katika utaratibu wa mafanikio.
Lakini ukiwa makini na mwenye kuzingatia basi utafahamu kuwa hali ya matatizo ni jambo la kupita tu na zipo siku nzuri mbele zinakuja, kwahiyo mtihani kwako ni namna gani unaishi na tatizo ulilonalo sasa wakati ukiwa na matumiani ya kuzisubiri siku nzuri mbeleni?
Basi somo hili lina mambo 6 muhimu ya kufanya pindi unakuwa kwenye matatizo ya namna yoyote ile kwenye maisha. Karibu sana.
.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
Click hapa: / channel
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniandikia kwenye COMMENTS ni namna gani uliweza kuyashinda baadhi ya matatizo kwenye maisha yako na nini ulijifunza katika hali hiyo tafadhali tupe uzoefu huo na sisi tupate kitu hapo.
Usisahau ku-LIKE na ku-SHARE pia kwa wengine wajifunze zaidi.
.
KARIBU TUUNGANE KWENYE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
#Matatizo #Maisha #Suluhisho
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
i guess I'm kinda off topic but do anyone know a good place to watch newly released series online ?
@Kash Nicholas flixportal xD
@Cameron Makai thanks, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I appreciate it !
@Kash Nicholas happy to help :)
SPN BOOKS CLUB
Nilikuwa Sina pakukaa naishi kwa marafiki ndugu mpka kulala nje leo nimepanga na maisha yangu na kitendea kazi,namshukuru mungu kwa Kila Jambo
Yaan haya maisha ni Kama mchezo wakutengenezwa mi maishan mwangu nikikumbuka mwaka 2019 kwwnzaia mwez watatu mpka tareh 19 mwez wa tano kaka huwa camn Kama naish kwa furaha kaka nilipoteza kijinga Sana kila kitu changu nkabak mwenyew bila kaz na maden kila sehem kaka ckukata tamaa nilimuomba mungu anipe njia salama kaka huwez Amin Kama ulikuwa mkosi mm kuishi eneo lile niliondoka nakukikimbia chumba changu nkaenda mbali nkaanza maisha upya toka tarh 19 mwez wa tano niliondoka nikaenda mbal nilipofka kule nilikokusudia kufika mwenyez mungu alishusha mkono wa baraka kwangu mpka Leo naish kwa furaha na Amna nilishasahau nakufuta kila kitu kuhusu Yale mapito nilopitia, kaka ezden God bless you.
ACHA kukimbia madeni kayalipe🤣😂🤣
1:Muombe mwenyezi Mungu. 2:Jenga mtazamo chanya wenye nguvu. 3:Hauko pekee yako. 4:jitahidi mambo yaliyo pita yawe yamepita,yasikushughulishe. 5:Fahamu kuwa Mwenyezi Mungu haezi kukupa changamoto huezi tatua.
Asalam alaikum. Brother Julianne, nimekuelewa sana darasa lako Mw/Mungu akipenda nitaomba nikuone.
Asante mpenz hua ninajilaumu sana na kila ninapopitia changamoto hua najuta nakulia maisha nilopitia nyuma labda ndo chanzo, nmependa comment yako
Maa shallhwah
Wallah kaka ujumbe umenigusa sana sasa siwez kukarubisha matatizo yanitawale maishani mwangu💪🙏
Nice brother kweli kabisa endapo tukipata matatizo tukishalitatuwa tu tunalisahau kabisa na tukipata tena matatizo jengine tunakuwa bora zaidi ya mwanzoni tujifunza kitu kimpya shukran bro Allah akujaliee mafanikio makubwa zawadi unayotegemea aamin
Asantee 🇦🇪watupa ujasirii watufundisha mengi
Ubarikiwe sana kaka EZDEN.
NIMEPATA UJASIRI BAADA YA KUANGALIA HII VIDEO💪💪
Nashukuru sana Masoud Chegeka kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!
Is a health consultant, and I work with an American company, called bright future company, and specializes in the study of natural nutritional supplements, the manufacture of nutritional supplements and the distribution of natural nutritional supplements, worldwide,
👉we treat chronic health diseases In humans, for example,
1, hormonal disorders,
2, bone and foot fractures,
3, high blood pressure,
4, diabetes, hypertension, heart
5, testicles,
6, arriving,
7, stomach ulcers,
8, fertility For both men and women
9, U.T.I resistant, resistant to fungus, and irritated parts of seals,
10, overweight n.k,
🤝welcome to EMILY
Nilijalibu mara kadhaa kunukuu Maneno yako na kuandaa khutba za ijumaa Zimeleta Mabadiliko makubwa san katk jamii yetu uku nashukur sana kaka Allah Akuzidishe kila kher na akupe mwisho mwema!
Jazaakallahu khayran Kaka Ezden🤲...Ramadhan Mubarak
Ni Kweli Naamini hilo,
Mimi nishaomba vingi sana kwa Mungu nikapata
Nashindwa ata kumsaliti Mungu naogopa Mungu niepushe na hili linalonisumbua kwa wakati huu sitotenda nilichokusudia tenaaaa
Kwa kweli nachanganyikiwa kimaisha namuomba mungu kILA.wakati lkn afadhali yajana lkn najua mungu yupo na ananiona
kaka allah akuongoze nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwako na nashkuru mungu nimepata mafanikio makubw kupitia wewe
جزاك الله أزدن أنا معك دائما
Leo umenigusa sana Mimi mana napitia changamoto ngumu sana ya kifedha kila ninachofanya hakiendi ni mwezi 1 sasa Yan naishi maisha ambayo sijawahi kuyaishi. Asante kwa uwepo wako Kaka🙏🙏Nakwenda kuinuka tena kwa uwezo wake Mungu.
Unatugusa vijana wengi maana maisha bila changamoto bhado hayajawa na ukamilifu wa kuitwa maisha brother.Pongezi zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kukupa maarifa haya na kwa Wazazi wako kwa njinsia zao zote Bless Up Man
Like your videos very helpful pls prepare something about how to deal with Toxic people thanks
Mimi uandika mafunzo yako kwenye vitabu na sasa ivi nishafikisha vitabu vinee inanisaidia sana na imeanza kubadilisha maisha yangu haswa ile ya kusaidia watu nimeanza kusaidia watu na kweli nimeanza kuwa na furaha sana moyoni mwangu mungu akuinue zaidi kaka ili uzidi kutuletea mafunzo mazuri ya kubadilisha maisha ya kila mmoja wetu
This is good. Very courageous, inspirational, and has touched me extremely. Thax very much bro. Much love from US.
Bro Upo Fact Sana Nikifanikiwa Nitakuona ❤
Asante sana nakumbuka nikiwa shule nimepitia changamoto ya Karo lakini nashukuru Mungu sana ndio naelewa kumbe aliruhusu nikose hili anifunze kujuwa kutafuta,kujituma,ukarimu namtukuza sana Mwenyezi kwa kuruhusu haya.
Mungu ndiye apaswaye kutegemewa pindi kunapokuwa na matatizo tusichoke jaMani kumuomba
Shukran sana👏👏
Shukran akhy
kazi nzuri sana thanks Allah akuzidishie maarifa ila pamoja nayoote usiache swala.🤲
That's wonderful bro🙏
Aiseh absolute good thing ni kwamba god is first I'm nt that point "Jana yangu imepita Leo yangu unatumia kujenga kesho yangu". Broh hii kitu ni 💪💪
Shukran
Nakubaliii sanaaa kaka Ezden ,tunajifunza Mamb mazurii snaaaa Broo !!
Asante sana Mery Kabogo kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Im going through a very hard time and this came through my feed imenisaidia sana sana asante broo ezden
Karibu... Na pole sana kwa lolote unalopitia kwasasa. Nakuombea kwa Mungu akufanyie wepesi na upate uhuru katika hilo. Kama utaweza kumsaidia mtu yoyote leo kwa chochote haijalishi kidogo kiasi gani, lakini weka nia Kwa Mwenyezi Mungu kwa sadaka hiyo akuondolee mitihani uliyonayo, na kwa uwezo wake yeye itakuwa. Amiin
Shukran sana kaka
Shukran sana mwalimu kwa somo zuri
Dat's great bro,,,,, keep it up
nimeptia mengi magumu ila sahz yamepungua nmshukur mwenyez mungu
Thanks bro may God blees u
Allah akubaarik
Thanks brother!! may Allah increase u more in knowledge and wisdom
Kuna kipindi nilikata tamaa ktk mtihan wangu wa taifa lkn namshukuru mungu nilipatw na ujasir ambao hata mm sielew ulitokea vp lkn bila shaka. niliweza. Kuushinda
Thanks bro, you made my day
Asante bro kutupa maujanja
Nashukuru sana Richard Kigeso kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!
Shukran kwa ujumbe ,,
Nimekuerewa sana kitucakwanza nikumuamini mwenyezimungu
Thanks God for this product I'm so proud for you bro
Nilipata ajali kubwa Sana pesa zilihitajika nyingi operation za kutoka bado dodi napokaa kiukwwli nilichanganyikiwa lakini Kwa nguvu za mumungu lilipita
Hongela sana broo vipi somo bado lipo la kusoma vitabu kwa njia ya wat sap
Mungu akubariki umenipafunzo,hadisasaajionaninamiaka 25 wakarininamiaka zaidi ya48
Somo zuri bro thnx alot
Best class ever you are the best MashaAllah 🙏
Kweli maneno yako na nilitoka kwenye matatizo kwa nguvu za mola wetu. Napenda sana kipindi chako. Mungu akuzidishie elimu zaidi na mafanikio mema. Tu nafaidika na tunapata manufaa.
Umenipa sana nguvu ya kufanya kitu thanx bro.
Nakushukuru sana ndugu nina matatizo mengi lakini umenitia moyo nina amka tena ubarikiwe sana.
Nashukuru sana Benny Benedict kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!
Pole sanaa kaka
Mm mpaka apa nimeshatatuwa tatizo kubwa sn ambalo lilikuwa linataka kunipelekea maisha yangu kageuka na kuwa history bro lkn namshukuru mungu San niliweza litatuwa na mpaka sasa nilisahau ila tatizo ambalo linataka kunitoa njian kwasasa bro watu tu ambao wamekukuta katika kazi bc tu wanataka kuleta upinzan Na chuki San Yan ilo swara linanifanya nakuwa Na hofu ya kufell naitaj kujua zaidi kutoka kwako bro 🙏🙏🙏💬👈
Asante sana kaka,umenifumbua macho.
Bro unatupa 🧠 food mungu akupe maisha marefu uzid kuwapa watu hii faida kubwa sana
Yaani mungu kama aliniambia angalia cm utapata ushaur amini mungu nna matatizo mpaka nachanganyikiwa biashara. Imekufa madeni yameniandama
Asante kaka 🙏🙏🙏🙏 Najivunia uwepo wako
Thnx so much ezden
asante sana kaka kwaushauli mungu akubaliki
Nashukuru sana Vicent endelea kufuatilia. Pamoja sana
I just like it ❤❤❤
Asante sana kaka umenigusa sana nakushukuru sana changamoto nazopitia ni nyingi ila nimemuachia allah maana yeye ndiye kila kitu nakuombea kwa allah akupe after njema pia maisha marefu
Makimi sana
Shukran brother nimejifunza vingi
Hakika Mungu akubariki sana kaka
Shukran bro mungu azid kukubarik
Asante Sana nafurahia najifunza ,
ongera sana nimepata vitu vikbwa sana asante
Asante sana Bryson Kaaya kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
asante kaka umenisaidia elewesha zaid na itanisaidia
Nashukuru sana Patricia Fabiani kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya vitabu au kujiunga na group la vitabu nitumie Text / Whatsapp hapa 0759191076
hongera sana endelea kutupa somo
Hakika umenijenga. Barikiwa sana bro
Somo la leo lakwanza na la 6 limenigusa sana GOD BLESS you and your family ⚘⚘⚘
Shuklan sana ndugu of course na enjoy kukuskiliza
Dah! Mungu ni mwema sana kila wakati
Up vzr mtaalam.
Asante Sana kwa kutujuza
Nakubali kuwa wapo wanaopelekea mafanikio yako kwa kutaka kukujeruhi
Nakuelewa sana Kaka big up
Asante sana kaka angu kwa ushauli make nipo kwenye matatizo sana ila nimeenjoy
Mubarikiw sana
U're right
Kaka upo vizuri cn binafnc mimi nakukubali hatr
Nashukuru sana brother
Mashala
Nimejifunza sana kwako brother
Barikiwa sana kaka
Nilishtakiwaga nikawa kwenye wakati mgum wakati huo lakini kulitokea baadha ya watu kwenye hio familia ilio nishtaki wakanitetea nilishangah sana nikamshukur mungu
Upo vizuri kaka🙏🙏
Nashukuru kwa kututia moyo ni kweli kuna wakati napitia changamoto sana hasa za madeni naomba uendelee kutupatua maarifa
Pole Kwa changamoto na karibu sana
Ni kweli kaka upo sahihi
Mungu ni Tegemeo na jibu kwa kila Jambo. Kesheni mkiomba.
Exactly brother
Salute bro Tukopamoja
Kaka nashukuru Sanaa yani upo sahihi xnaa mmi shuhuda wa Kwanzaa.
Mungu akubariki
Asante sana 🙏🙏🙏
hongaIa sana ndugu kwa mafundisho mazuuIisana
Shukrani sana kaka Ezden kwa somo hili,, blessed sana mkuu
Nashukuru sana Medson Starlon kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!
Yani kaka Umenifanya nielekee mahali ninapo afiki maisha yangu yanaanza kung'aa kwa lulu zako sadakta ezden kazi nzuri ina umakini pia👍
Asante
Video ya watu wanao watendea wenzio vibaya makusudi ili wao waende mbele daah ili somo limenishika San bro sababu ndo maisha yangu ya kila siku kwaiyo naitaj kujifunza zaid
Nice my broder and miss u so much,
mmmh
Hassan Hassan
Kutoka ukonga magereza DSM
Nakupata kwa ukaribu al akhy
RAMADHANI Kareem brother Eden j4
Nafurahia Sana vipindi vyako mkuu
Asante sana kaka