UNAPOPITIA NYAKATI NGUMU KWENYE MAISHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 04. 2021
  • Matatizo kwenye maisha ni kitu cha kawaida sababu yanampata kila mtu bila kujali nafasi au tofauti yoyote mtu aliyonayo. Usipokuwa makini ni rahisi kuanza kumkufuru hata Mungu au kuanza kufanya mambo ambayo yanaweza kukupoteza kabisa katika utaratibu wa mafanikio.
    Lakini ukiwa makini na mwenye kuzingatia basi utafahamu kuwa hali ya matatizo ni jambo la kupita tu na zipo siku nzuri mbele zinakuja, kwahiyo mtihani kwako ni namna gani unaishi na tatizo ulilonalo sasa wakati ukiwa na matumiani ya kuzisubiri siku nzuri mbeleni?
    Basi somo hili lina mambo 6 muhimu ya kufanya pindi unakuwa kwenye matatizo ya namna yoyote ile kwenye maisha. Karibu sana.
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    .
    Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
    Click hapa: / channel
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniandikia kwenye COMMENTS ni namna gani uliweza kuyashinda baadhi ya matatizo kwenye maisha yako na nini ulijifunza katika hali hiyo tafadhali tupe uzoefu huo na sisi tupate kitu hapo.
    Usisahau ku-LIKE na ku-SHARE pia kwa wengine wajifunze zaidi.
    .
    KARIBU TUUNGANE KWENYE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
    ⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
    ⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
    ⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
    ⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
    ⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
    ⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
    #Matatizo #Maisha #Suluhisho

Komentáře • 186

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 3 lety +16

    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076

    • @kashnicholas3841
      @kashnicholas3841 Před 2 lety

      i guess I'm kinda off topic but do anyone know a good place to watch newly released series online ?

    • @cameronmakai3344
      @cameronmakai3344 Před 2 lety

      @Kash Nicholas flixportal xD

    • @kashnicholas3841
      @kashnicholas3841 Před 2 lety

      @Cameron Makai thanks, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I appreciate it !

    • @cameronmakai3344
      @cameronmakai3344 Před 2 lety

      @Kash Nicholas happy to help :)

    • @AishaHussen-uj5xr
      @AishaHussen-uj5xr Před 11 měsíci

      SPN BOOKS CLUB

  • @user-vt7ms5ln1x
    @user-vt7ms5ln1x Před 5 měsíci +3

    Nilikuwa Sina pakukaa naishi kwa marafiki ndugu mpka kulala nje leo nimepanga na maisha yangu na kitendea kazi,namshukuru mungu kwa Kila Jambo

  • @mursalimursali5127
    @mursalimursali5127 Před 3 lety +5

    Yaan haya maisha ni Kama mchezo wakutengenezwa mi maishan mwangu nikikumbuka mwaka 2019 kwwnzaia mwez watatu mpka tareh 19 mwez wa tano kaka huwa camn Kama naish kwa furaha kaka nilipoteza kijinga Sana kila kitu changu nkabak mwenyew bila kaz na maden kila sehem kaka ckukata tamaa nilimuomba mungu anipe njia salama kaka huwez Amin Kama ulikuwa mkosi mm kuishi eneo lile niliondoka nakukikimbia chumba changu nkaenda mbali nkaanza maisha upya toka tarh 19 mwez wa tano niliondoka nikaenda mbal nilipofka kule nilikokusudia kufika mwenyez mungu alishusha mkono wa baraka kwangu mpka Leo naish kwa furaha na Amna nilishasahau nakufuta kila kitu kuhusu Yale mapito nilopitia, kaka ezden God bless you.

  • @noelamadadi5731
    @noelamadadi5731 Před 3 lety +13

    1:Muombe mwenyezi Mungu. 2:Jenga mtazamo chanya wenye nguvu. 3:Hauko pekee yako. 4:jitahidi mambo yaliyo pita yawe yamepita,yasikushughulishe. 5:Fahamu kuwa Mwenyezi Mungu haezi kukupa changamoto huezi tatua.

    • @carimodaniel585
      @carimodaniel585 Před 2 lety

      Asalam alaikum. Brother Julianne, nimekuelewa sana darasa lako Mw/Mungu akipenda nitaomba nikuone.

    • @luciadaud9298
      @luciadaud9298 Před rokem

      Asante mpenz hua ninajilaumu sana na kila ninapopitia changamoto hua najuta nakulia maisha nilopitia nyuma labda ndo chanzo, nmependa comment yako

    • @rashidsaid2840
      @rashidsaid2840 Před měsícem

      Maa shallhwah

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 3 lety +3

    Wallah kaka ujumbe umenigusa sana sasa siwez kukarubisha matatizo yanitawale maishani mwangu💪🙏

  • @nauriyasalim2045
    @nauriyasalim2045 Před 3 lety +3

    Nice brother kweli kabisa endapo tukipata matatizo tukishalitatuwa tu tunalisahau kabisa na tukipata tena matatizo jengine tunakuwa bora zaidi ya mwanzoni tujifunza kitu kimpya shukran bro Allah akujaliee mafanikio makubwa zawadi unayotegemea aamin

  • @fadhilaally9708
    @fadhilaally9708 Před 3 lety +2

    Asantee 🇦🇪watupa ujasirii watufundisha mengi

  • @masoudchegeka9752
    @masoudchegeka9752 Před 3 lety +4

    Ubarikiwe sana kaka EZDEN.
    NIMEPATA UJASIRI BAADA YA KUANGALIA HII VIDEO💪💪

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Nashukuru sana Masoud Chegeka kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!

    • @samiarashid5272
      @samiarashid5272 Před 2 lety

      Is a health consultant, and I work with an American company, called bright future company, and specializes in the study of natural nutritional supplements, the manufacture of nutritional supplements and the distribution of natural nutritional supplements, worldwide,
      👉we treat chronic health diseases In humans, for example,
      1, hormonal disorders,
      2, bone and foot fractures,
      3, high blood pressure,
      4, diabetes, hypertension, heart
      5, testicles,
      6, arriving,
      7, stomach ulcers,
      8, fertility For both men and women
      9, U.T.I resistant, resistant to fungus, and irritated parts of seals,
      10, overweight n.k,
      🤝welcome to EMILY

  • @masasionlinetv1825
    @masasionlinetv1825 Před 3 lety +1

    Nilijalibu mara kadhaa kunukuu Maneno yako na kuandaa khutba za ijumaa Zimeleta Mabadiliko makubwa san katk jamii yetu uku nashukur sana kaka Allah Akuzidishe kila kher na akupe mwisho mwema!

  • @mogul5825
    @mogul5825 Před 3 lety +3

    Jazaakallahu khayran Kaka Ezden🤲...Ramadhan Mubarak

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias5424 Před rokem +1

    Ni Kweli Naamini hilo,
    Mimi nishaomba vingi sana kwa Mungu nikapata
    Nashindwa ata kumsaliti Mungu naogopa Mungu niepushe na hili linalonisumbua kwa wakati huu sitotenda nilichokusudia tenaaaa

  • @antashaal2257
    @antashaal2257 Před 3 lety +2

    Kwa kweli nachanganyikiwa kimaisha namuomba mungu kILA.wakati lkn afadhali yajana lkn najua mungu yupo na ananiona

  • @jrmr7517
    @jrmr7517 Před 3 lety +3

    kaka allah akuongoze nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwako na nashkuru mungu nimepata mafanikio makubw kupitia wewe

  • @user-lh3bt4rz9z
    @user-lh3bt4rz9z Před 3 lety +4

    جزاك الله أزدن أنا معك دائما

  • @herybwanga507
    @herybwanga507 Před 3 lety +1

    Leo umenigusa sana Mimi mana napitia changamoto ngumu sana ya kifedha kila ninachofanya hakiendi ni mwezi 1 sasa Yan naishi maisha ambayo sijawahi kuyaishi. Asante kwa uwepo wako Kaka🙏🙏Nakwenda kuinuka tena kwa uwezo wake Mungu.

  • @guccionesmo1632
    @guccionesmo1632 Před 2 lety

    Unatugusa vijana wengi maana maisha bila changamoto bhado hayajawa na ukamilifu wa kuitwa maisha brother.Pongezi zangu kwa Mwenyezi Mungu kwa kukupa maarifa haya na kwa Wazazi wako kwa njinsia zao zote Bless Up Man

  • @halimamwinyi6384
    @halimamwinyi6384 Před 3 lety +1

    Like your videos very helpful pls prepare something about how to deal with Toxic people thanks

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 Před 3 lety +1

    Mimi uandika mafunzo yako kwenye vitabu na sasa ivi nishafikisha vitabu vinee inanisaidia sana na imeanza kubadilisha maisha yangu haswa ile ya kusaidia watu nimeanza kusaidia watu na kweli nimeanza kuwa na furaha sana moyoni mwangu mungu akuinue zaidi kaka ili uzidi kutuletea mafunzo mazuri ya kubadilisha maisha ya kila mmoja wetu

  • @watumnjangu8312
    @watumnjangu8312 Před 3 lety +2

    This is good. Very courageous, inspirational, and has touched me extremely. Thax very much bro. Much love from US.

  • @ZERUZERUINTERNATIONAL
    @ZERUZERUINTERNATIONAL Před 4 měsíci +1

    Bro Upo Fact Sana Nikifanikiwa Nitakuona ❤

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 3 lety +1

    Asante sana nakumbuka nikiwa shule nimepitia changamoto ya Karo lakini nashukuru Mungu sana ndio naelewa kumbe aliruhusu nikose hili anifunze kujuwa kutafuta,kujituma,ukarimu namtukuza sana Mwenyezi kwa kuruhusu haya.

  • @ihsaanyusuf8309
    @ihsaanyusuf8309 Před 3 lety +1

    Mungu ndiye apaswaye kutegemewa pindi kunapokuwa na matatizo tusichoke jaMani kumuomba

  • @webnet484
    @webnet484 Před 3 lety +1

    Shukran sana👏👏

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety

    Shukran akhy

  • @sikukuuabdallasikukuuabdal5278

    kazi nzuri sana thanks Allah akuzidishie maarifa ila pamoja nayoote usiache swala.🤲

  • @angeldaud285
    @angeldaud285 Před 3 lety +1

    That's wonderful bro🙏

  • @jaliafyayako6053
    @jaliafyayako6053 Před 3 lety +1

    Aiseh absolute good thing ni kwamba god is first I'm nt that point "Jana yangu imepita Leo yangu unatumia kujenga kesho yangu". Broh hii kitu ni 💪💪

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety

    Shukran

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 Před 2 lety +3

    Nakubaliii sanaaa kaka Ezden ,tunajifunza Mamb mazurii snaaaa Broo !!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Asante sana Mery Kabogo kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @ree6082
    @ree6082 Před rokem +1

    Im going through a very hard time and this came through my feed imenisaidia sana sana asante broo ezden

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem +2

      Karibu... Na pole sana kwa lolote unalopitia kwasasa. Nakuombea kwa Mungu akufanyie wepesi na upate uhuru katika hilo. Kama utaweza kumsaidia mtu yoyote leo kwa chochote haijalishi kidogo kiasi gani, lakini weka nia Kwa Mwenyezi Mungu kwa sadaka hiyo akuondolee mitihani uliyonayo, na kwa uwezo wake yeye itakuwa. Amiin

  • @assadullahhassan
    @assadullahhassan Před 3 lety +1

    Shukran sana kaka

  • @suleim505
    @suleim505 Před 11 měsíci +1

    Shukran sana mwalimu kwa somo zuri

  • @Agnesssafari0217
    @Agnesssafari0217 Před 3 lety +1

    Dat's great bro,,,,, keep it up

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 3 lety +1

    nimeptia mengi magumu ila sahz yamepungua nmshukur mwenyez mungu

  • @zaminjaffer5608
    @zaminjaffer5608 Před 2 lety +1

    Thanks bro may God blees u

  • @gobaonlinetv9690
    @gobaonlinetv9690 Před 3 lety +1

    Allah akubaarik

  • @mambo3689
    @mambo3689 Před 3 lety +3

    Thanks brother!! may Allah increase u more in knowledge and wisdom

    • @cathbethanney6185
      @cathbethanney6185 Před 2 lety

      Kuna kipindi nilikata tamaa ktk mtihan wangu wa taifa lkn namshukuru mungu nilipatw na ujasir ambao hata mm sielew ulitokea vp lkn bila shaka. niliweza. Kuushinda

  • @eliyagervas8680
    @eliyagervas8680 Před 3 lety +1

    Thanks bro, you made my day

  • @richardkigeso4764
    @richardkigeso4764 Před 3 lety +3

    Asante bro kutupa maujanja

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Nashukuru sana Richard Kigeso kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!

  • @jamilayusuph2375
    @jamilayusuph2375 Před 2 lety +2

    Shukran kwa ujumbe ,,

  • @iradukunda1352
    @iradukunda1352 Před rokem +1

    Nimekuerewa sana kitucakwanza nikumuamini mwenyezimungu

  • @jofreymlay7804
    @jofreymlay7804 Před 2 lety

    Thanks God for this product I'm so proud for you bro

  • @user-ew1ns3yq7b
    @user-ew1ns3yq7b Před 4 měsíci +1

    Nilipata ajali kubwa Sana pesa zilihitajika nyingi operation za kutoka bado dodi napokaa kiukwwli nilichanganyikiwa lakini Kwa nguvu za mumungu lilipita

  • @kaisimwichande5014
    @kaisimwichande5014 Před 3 lety +1

    Hongela sana broo vipi somo bado lipo la kusoma vitabu kwa njia ya wat sap

    • @rehemamapunda2852
      @rehemamapunda2852 Před 3 lety

      Mungu akubariki umenipafunzo,hadisasaajionaninamiaka 25 wakarininamiaka zaidi ya48

  • @sammymwadzombo2520
    @sammymwadzombo2520 Před 2 lety

    Somo zuri bro thnx alot

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před 2 lety

    Best class ever you are the best MashaAllah 🙏

  • @noornasir4378
    @noornasir4378 Před 2 lety

    Kweli maneno yako na nilitoka kwenye matatizo kwa nguvu za mola wetu. Napenda sana kipindi chako. Mungu akuzidishie elimu zaidi na mafanikio mema. Tu nafaidika na tunapata manufaa.

  • @davidjob2118
    @davidjob2118 Před 3 lety +1

    Umenipa sana nguvu ya kufanya kitu thanx bro.

  • @bennybenedict7679
    @bennybenedict7679 Před 3 lety +1

    Nakushukuru sana ndugu nina matatizo mengi lakini umenitia moyo nina amka tena ubarikiwe sana.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Nashukuru sana Benny Benedict kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!

  • @albertbiden6386
    @albertbiden6386 Před 2 lety

    Pole sanaa kaka

  • @carhoodcarhood8702
    @carhoodcarhood8702 Před 3 lety +1

    Mm mpaka apa nimeshatatuwa tatizo kubwa sn ambalo lilikuwa linataka kunipelekea maisha yangu kageuka na kuwa history bro lkn namshukuru mungu San niliweza litatuwa na mpaka sasa nilisahau ila tatizo ambalo linataka kunitoa njian kwasasa bro watu tu ambao wamekukuta katika kazi bc tu wanataka kuleta upinzan Na chuki San Yan ilo swara linanifanya nakuwa Na hofu ya kufell naitaj kujua zaidi kutoka kwako bro 🙏🙏🙏💬👈

  • @dinajoseph9960
    @dinajoseph9960 Před 3 lety +1

    Asante sana kaka,umenifumbua macho.

  • @user-ci2mw8mt2i
    @user-ci2mw8mt2i Před 2 měsíci

    Bro unatupa 🧠 food mungu akupe maisha marefu uzid kuwapa watu hii faida kubwa sana

  • @antashaal2257
    @antashaal2257 Před 3 lety +1

    Yaani mungu kama aliniambia angalia cm utapata ushaur amini mungu nna matatizo mpaka nachanganyikiwa biashara. Imekufa madeni yameniandama

  • @herybwanga507
    @herybwanga507 Před 3 lety +1

    Asante kaka 🙏🙏🙏🙏 Najivunia uwepo wako

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 Před 3 lety

    Thnx so much ezden

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 Před rokem +2

    asante sana kaka kwaushauli mungu akubaliki

  • @careennyange6080
    @careennyange6080 Před rokem

    I just like it ❤❤❤

  • @mwanangura4475
    @mwanangura4475 Před 3 lety

    Asante sana kaka umenigusa sana nakushukuru sana changamoto nazopitia ni nyingi ila nimemuachia allah maana yeye ndiye kila kitu nakuombea kwa allah akupe after njema pia maisha marefu

  • @amranikigolo5974
    @amranikigolo5974 Před 3 lety

    Makimi sana

  • @saleemnngimba6732
    @saleemnngimba6732 Před 3 lety +1

    Shukran brother nimejifunza vingi

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 2 lety +1

    Hakika Mungu akubariki sana kaka

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 3 lety

    Shukran bro mungu azid kukubarik

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 2 lety

    Asante Sana nafurahia najifunza ,

  • @brysonkaaya1059
    @brysonkaaya1059 Před 2 lety +1

    ongera sana nimepata vitu vikbwa sana asante

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Asante sana Bryson Kaaya kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @patriciafabiani1938
    @patriciafabiani1938 Před 3 lety +1

    asante kaka umenisaidia elewesha zaid na itanisaidia

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Nashukuru sana Patricia Fabiani kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya vitabu au kujiunga na group la vitabu nitumie Text / Whatsapp hapa 0759191076

  • @LekshonMingarai-hf2yy

    hongera sana endelea kutupa somo

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 Před 3 lety

    Hakika umenijenga. Barikiwa sana bro

  • @chozilasamaki5473
    @chozilasamaki5473 Před 2 lety

    Somo la leo lakwanza na la 6 limenigusa sana GOD BLESS you and your family ⚘⚘⚘

  • @allymalloko6915
    @allymalloko6915 Před 3 lety +1

    Shuklan sana ndugu of course na enjoy kukuskiliza

  • @edithavalelian256
    @edithavalelian256 Před rokem

    Dah! Mungu ni mwema sana kila wakati

  • @samsonmzava1316
    @samsonmzava1316 Před 2 lety

    Up vzr mtaalam.

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 Před 3 lety

    Asante Sana kwa kutujuza

  • @inviolataluena8713
    @inviolataluena8713 Před rokem

    Nakubali kuwa wapo wanaopelekea mafanikio yako kwa kutaka kukujeruhi

  • @officialrayob6061
    @officialrayob6061 Před 3 lety

    Nakuelewa sana Kaka big up

  • @leahbenjamin6047
    @leahbenjamin6047 Před 2 lety

    Asante sana kaka angu kwa ushauli make nipo kwenye matatizo sana ila nimeenjoy

  • @iradukunda1352
    @iradukunda1352 Před rokem

    Mubarikiw sana

  • @hildamushashu5056
    @hildamushashu5056 Před 5 měsíci

    U're right

  • @wilsonkitundu8835
    @wilsonkitundu8835 Před 2 lety +1

    Kaka upo vizuri cn binafnc mimi nakukubali hatr

  • @mohammedshali6926
    @mohammedshali6926 Před 3 lety

    Mashala

  • @mosesvictor8480
    @mosesvictor8480 Před 3 lety

    Nimejifunza sana kwako brother

  • @MatildaMtaki
    @MatildaMtaki Před 2 měsíci

    Barikiwa sana kaka

  • @sadikijoseph3064
    @sadikijoseph3064 Před 2 lety

    Nilishtakiwaga nikawa kwenye wakati mgum wakati huo lakini kulitokea baadha ya watu kwenye hio familia ilio nishtaki wakanitetea nilishangah sana nikamshukur mungu

  • @norbypoltv
    @norbypoltv Před 3 lety

    Upo vizuri kaka🙏🙏

  • @frankmsigwa9385
    @frankmsigwa9385 Před 2 lety

    Nashukuru kwa kututia moyo ni kweli kuna wakati napitia changamoto sana hasa za madeni naomba uendelee kutupatua maarifa

  • @daynesmkombo7443
    @daynesmkombo7443 Před 3 lety

    Ni kweli kaka upo sahihi

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 Před 2 lety

    Mungu ni Tegemeo na jibu kwa kila Jambo. Kesheni mkiomba.

  • @goldenrhaw3509
    @goldenrhaw3509 Před 3 lety

    Exactly brother

  • @gavanaabbou3740
    @gavanaabbou3740 Před 3 lety

    Salute bro Tukopamoja

  • @allymansuri8497
    @allymansuri8497 Před 2 lety

    Kaka nashukuru Sanaa yani upo sahihi xnaa mmi shuhuda wa Kwanzaa.

  • @zuwenanyamsha1603
    @zuwenanyamsha1603 Před 2 lety

    Mungu akubariki

  • @vituskabula4770
    @vituskabula4770 Před 2 lety

    Asante sana 🙏🙏🙏

  • @jumabushiri5793
    @jumabushiri5793 Před 2 lety

    hongaIa sana ndugu kwa mafundisho mazuuIisana

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 Před 3 lety +3

    Shukrani sana kaka Ezden kwa somo hili,, blessed sana mkuu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Nashukuru sana Medson Starlon kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!

    • @daudimasila1011
      @daudimasila1011 Před 3 lety +1

      Yani kaka Umenifanya nielekee mahali ninapo afiki maisha yangu yanaanza kung'aa kwa lulu zako sadakta ezden kazi nzuri ina umakini pia👍

  • @abdullazjuma3106
    @abdullazjuma3106 Před 3 lety

    Asante

  • @carhoodcarhood8702
    @carhoodcarhood8702 Před 3 lety +1

    Video ya watu wanao watendea wenzio vibaya makusudi ili wao waende mbele daah ili somo limenishika San bro sababu ndo maisha yangu ya kila siku kwaiyo naitaj kujifunza zaid

  • @strongfighternal6512
    @strongfighternal6512 Před 3 lety

    Nice my broder and miss u so much,

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před 3 lety +1

    Hassan Hassan
    Kutoka ukonga magereza DSM
    Nakupata kwa ukaribu al akhy
    RAMADHANI Kareem brother Eden j4

  • @dicksonmwemezi7275
    @dicksonmwemezi7275 Před 3 lety

    Nafurahia Sana vipindi vyako mkuu

  • @saadarahman7172
    @saadarahman7172 Před 3 lety

    Asante sana kaka