MAMBO 8 YA KUFANYA UWE NA MAISHA MAZURI ZAIDI
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2024
- Maisha mazuri ni yapi? Jibu lake linaweza kutofautiana kutokana na kila mtu anafikiria ubora kwake ni nini. Lakini pamoja na kutofautiana huko kuna tafiti nyingi ambazo tayari zimeonesha kuna mambo fulani yanawachukiza wengi katika maisha na hata kuwaondolea ile furaha ya kuishi vizuri.
.
Kwahiyo kutokana na hili tu, tunaweza sasa kuangalia mambo kadhaa na tukawa na uhakika kabisa haijalishi umetokea kwenye familia ya namna gani au una uwezo kiasi gani, kama ukiyafanya kwa usahihi basi matokeo yake yatakuletea maisha yenye kukuridhisha kwa kiasi kikubwa. Basi somo hili linacheza hapo leo karibu darasani.
.
Usiache kuniambia hapo chini kwenye comments nini umepata kwenye somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tusome. "Each One Teach One"
.
CHAPTERS:
0:00 Ishi maisha mazuri zaidi
0:00 Opening bumper
01:15 Punguza watu kwenye maisha yako
02:55 Fanya mipango yako kwa siri
04:25 Kila chenye mwanzo kina mwisho
06:09 Athari za social media
08:40 Utulivu wa akili ni muhimu zaidi
09:53 Kama hawakujui wasikushughulishe
11:01 Mtu mkimya sio mnyonge
11:58 Jifunze kufurahi ukiwa mwenyewe
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WHATSAPP GROUP
Kujiunga na whatsapp group la vitabu (SPN BOOK CLUB)
Tuma ujumbe whatsapp andika "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsapp number: 0759191076
(Ada: 2,000 TZS kwa wiki)
.
KUNUNUA VITABU:
Tuma ujumbe wenye jina au majina ya vitabu utakavyo na mahali ulipo kwenda namba 0759191076.
1. Biashara ndani ya ajira (20,000 TZS)
2. Elimu ya msingi ya fedha (20,000 TZS)
3. Elimu ya msingi ya biashara (20,000 TZS)
4. Una nguvu ya kutenda miujiza (20,000 TZS)
5. Epuka utumwa wa kidigitali (20,000 TZS)
6. Mfundishe mtoto wako kuishi (30,000 TZS)
7. Mambo 100 kwa mwanafunzi wa kiafrika (15,000 TZS)
.
SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya HAMASA YA LEO
/ hamasayaleo
.
KWA VOICE-OVER, KUTENGENEZA MATANGAZO YA BIASHARA NA KUTANGAZA BIASHARA YAKO KWENYE CHANNEL HII
Tuwasiliane hapa:
0759191076
ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#maisha #mazuri #spn
Aisee bro!! Ushawahi kujiuliza una thamani gani katika maisha ya watu wanaobadilika kupitia ww ? Mungu akupe maisha marefu bro tunahitaji kujifunza mengi kupitia ww.
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Naweza kujiuliza lakini huwezi kujua namba kamili ila nashukuru napata mrejesho kwa wengi kuwa masomo yanawasaidia. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Asante Sana, nami nitahakikisha tuna share kwa wingi masomo haya ili kukamilisha neno la each one teach one!.🙏
@@hatimnasri5184 Shukrani sana...
@@successpathnetwork iyo ya 5 kama ni mumeo ndio anakufanya unaumiza kichwa inakuaje apo kaka mana unajitahid kufokas ufikie sehem flan alafu yy ndio anakuumiza kichwa kutokana na tabia zake yan ad unajikuta muda mwing unamuwaza yy
Allah akujalie umri mrefu
Akili mingi,maarifa,hekima na busara.
La kwanza kabisa akujalie akili ya kumtambua yeye.
Asante kwa ujumbe mzuri
Ameen Ummy Qassim, dua njema iwe kwetu sote. Be blessed!
@@successpathnetwork 🙏🙏🙏🙏
kweli kabisa, marafiki ni Influence nzuri ama mbaya na pia ukieleza mambo yako unapata Husda na ina Affect malengo ama mipango yako, hata mie yashanipata
Kweli hii ni each one teach one,,ckuwa nakufahamu lakin rafiki yangu kanifanya nikufahamu nakuendeleaa kufatilia vipindi vyako,MUNGU aendelee kukupa upeo zaidi,,maana kuna watu tunajifunza kupitia wewe🙏🙏🙏🙏
Asante sana Monica Joseph kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!
Mkuu ahsante kwa Elimu hii, kitu kilikuwa kinipa shidaa ya kusema kitu hata kabla sijafanya, na kingine watu wanaongea mambo amabayo siyo ni kuwapuuzia kwa kweli maana hawakujuwi vzr, na kuhusu mtu kukaa kimyaa kweli siyo mnyonge ni hekima tu ya kujivika busara zaidi ,Ubarikiwe sana mkuu nimepata madini sana aise 🙏🥋🥊👉🏆
Bro ezden mm nipo znz ila nakufatilia sana wallahi wewe unasaidia sana jamii hakika kwa hili unafanya sadakat l jariyya ambayo ata ukitangulia mbele za haki basi manufaa yake utayapata mungu akujalie siku moja uwe mtu mkubwa sana hapa nchini kwetu Tz Amiin
nashukuru sana broo tokea nimeanza kukusikiliza na kukufatilia nimejifunza mambo mengi na Nimeyafanyia kazi vizuri na nanimepata matokeo mazuri san kwa yale ambayo najifunza kutoka kwako.Aisee kwel nimeamini elimu uondoa ujinga na kukupa maarifa...Shukran bro Mungu azidi kukulinda katka kila jambo na akupe maisha marefu pia.🙏
Thank you for the sharing, somo zuri sana
Asante sana EBM SCHOLARS kwa kufuatilia. Stay blessed!
Ahsante ndg. Ezden Jumanne....hakika nimeokota kitu kwa somo hili
Thnk you so much brotha umenigusa sana love from Burundi 🇧🇮
Broo kwel sio mpaka uwe na mtu au na watu ndy nifulai nimejifunza furaha yangu kuto shikiliwa na mtu au na watu
naam...
Unanibadilisha Sana ndugu yangu..Mungu akujaze kheri hapa duniani na kesho akhera❤️❤️
Much respect brother, Allahumma barik
mashaallah jazaka llahu khayr
Waanta kadhalikah...
Hongera sanaaa kaka ,yangu Ezden kwa somo zuri ,Nimejifunza kila chenye mwanzo kina mwisho !!!
Shukrani kaka Allah akujaalie afya njema tupate kujifunza zaidi🙏🙏
Shukurn brother
Tunashukuru sana kwa elimu ya uhalisia wa maisha maana kama vile umeniona mungu akubariki sana.
Asante sana my brother from another mother
Shukran Sana brother God bless you 🙏
Blessed 🙏🏿
Thank you brother
Dua mingi dady 🙏🤛👣
Ni ukweli point understood bro
Gud advice nmejifunza kuwa n furaha peke yangu si lazma uwe na mtu au kitu furani ili ufurahie
Shukran kwashawuri
MashAllah. Namba 1na 8.nimeielewa sana. Shukrani Kaka
bro nashukuru sana kwa elimu ulionipa leo maana imenifungua brain yan yan ndo maana sichoki kukuangalia bro wewe ndo mentor wang yan nimejifunza mengi san kupitia kwako maarifa unayonipa yana thamani kwang zaid ya kitu chochote yan kam iyo point ya4 imenigusa sana maana nilikuwa siishi na uwalisia wang nilikuwa nacopy watu kweny mitandao ya kijamii lkn now nimeshapata maarifa meng kutoka kwako na nayafanyia kazi bro Mungu akubariki sana kazi nzuri sana we say Each one teach one!🙏
Yaani wewe kijana ni ZAID ya MWALIMU!; Uko vizuri sana mafundisho yko MTU akiyafuata Anauwezekano mkubwa saaanna WA KUFANIKIWA HONGERA DANA!;
Nashukuru sana Bwana John. Karibu sana!
Miak ming kiongoz kwel n Zaid ya shule unagusa hisia za watu 🙏🙏🙏
Honger sana bro masomo yak ni zaid ya shule big up may allah bless you
Sema mkuu tunaomba upunguze matangazo meng kuliko ujumbe tunao upata au matangazo mafupi yanatosha
Nashukuru kwa maoni nitayafanyia kazi brother
Nimejifunza kwa Utulivu sana,
bless 🤝
nakukubali sana,siku ya pili nacomment kwako
pamoja sana kaka
Asante sana nimekuelewa Kaka ake
Mm ni mgeni naitaj kujifunza Zaid ongera Allah akuzidishie Zaid na zaid
Allahumma ameen
Hongera Sana bro ezde yaan nimejifunza kitu hapo maana Mimi kila Jambo nonalotaka kufanya lazima niseme kwa watu, lakini baada ya kuwaambia watu tu Jambo langu linasimama hapohapo. Yaan bro umenizindua ubongo asante Sana dia.
I appreciate that bro!
Excellent talk
I gotta something over here ,,,, thanks for letting me know
Congratulations! Kazi nzuri
Barikiwa 🙏 sana
I really get it broh
Ahsante sana mkuu
Nakupenda sana una nisaidianga sana 🙌 mungu akubariki sana
Asante sana kaka
Safi sana br ezden uzidi kuwepo
Ahsante
Asanteee ubarikiwe san 💋
Safi sana nimejifunza mengi
Asante kaka 🍹nakukubal Sana
All the best brother.
Nimeanza kukueleawa kaka Asante
U're good bro
Mungu aibariki kazi unayoifanya broo thamani yako ni kubwa kwetu kamwe tutaendelea kukuombea mema tu
Usmdharau use mjua
Allah akulipe Kaka nakuelewa Sana🙏🙏
Good
Ushauri mzuri sana.
,asantee,,sana,kaka
Nakupata vizur
Nakuelewa sana bro mafunzo yako ni reality life
Allah atakulipa kwajitihada yako aaamiiin🙏
AMINA
Kiukweli mie nimependa kutoa Hawa marafiki wasiokuwa na msaada wowote kwangu toka niwape block hata stress zimepungua sana
Point namba mbili, ulishawahi kunipoza, usikubali kumpa mtu yyte siri zako za kibiashra
🙏🙏🙏
Mumejifunza kufanya vitu kwanza nisisema kabur ya wakati ubarikiwe
bro please teach about how to maintain a woman please please let do this success plath nation
Broo nimejifunza apo kwenye Kuna watu ili ufanikiwe Kuna marafiki mizigo bidi uwapunguze ili mafanikio yaje
kakanime kuerewasana ubarikiwe
Sosho midia ndo pwenti imeyo nigusa sana
One day Nita kuja kukuona
jinsi ya kuendesha biashala yaduka nakubansi matumiz hatakama unamizi makubwa yanazidi biashala
Hii namba 8 imenigusa mno na namba 2 mana ndio vinanitesa mno na kunirudisha nyuma
Kitabu cha Biashara ndani ya Ajira
Nipo Itigi Manyoni kaka
Start and stop
Madini matupu ila namba mbili kiboko yao
kwl kabiaa ila ninge penda unapo ongea kwa kiswail maandishi yapite kwa English
Nashukuru sana kwa maoni yako ndugu yangu. Nitalifanyia kazi jambo hili ili kuboresha masomo haya. - Each One Teach One!