MAMBO 8 YA KUFANYA UWE NA MAISHA MAZURI ZAIDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • Maisha mazuri ni yapi? Jibu lake linaweza kutofautiana kutokana na kila mtu anafikiria ubora kwake ni nini. Lakini pamoja na kutofautiana huko kuna tafiti nyingi ambazo tayari zimeonesha kuna mambo fulani yanawachukiza wengi katika maisha na hata kuwaondolea ile furaha ya kuishi vizuri.
    .
    Kwahiyo kutokana na hili tu, tunaweza sasa kuangalia mambo kadhaa na tukawa na uhakika kabisa haijalishi umetokea kwenye familia ya namna gani au una uwezo kiasi gani, kama ukiyafanya kwa usahihi basi matokeo yake yatakuletea maisha yenye kukuridhisha kwa kiasi kikubwa. Basi somo hili linacheza hapo leo karibu darasani.
    .
    Usiache kuniambia hapo chini kwenye comments nini umepata kwenye somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tusome. "Each One Teach One"
    .
    CHAPTERS:
    0:00 Ishi maisha mazuri zaidi
    0:00 Opening bumper
    01:15 Punguza watu kwenye maisha yako
    02:55 Fanya mipango yako kwa siri
    04:25 Kila chenye mwanzo kina mwisho
    06:09 Athari za social media
    08:40 Utulivu wa akili ni muhimu zaidi
    09:53 Kama hawakujui wasikushughulishe
    11:01 Mtu mkimya sio mnyonge
    11:58 Jifunze kufurahi ukiwa mwenyewe
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WHATSAPP GROUP
    Kujiunga na whatsapp group la vitabu (SPN BOOK CLUB)
    Tuma ujumbe whatsapp andika "SPN BOOK CLUB"
    Kwenda whatsapp number: 0759191076
    (Ada: 2,000 TZS kwa wiki)
    .
    KUNUNUA VITABU:
    Tuma ujumbe wenye jina au majina ya vitabu utakavyo na mahali ulipo kwenda namba 0759191076.
    1. Biashara ndani ya ajira (20,000 TZS)
    2. Elimu ya msingi ya fedha (20,000 TZS)
    3. Elimu ya msingi ya biashara (20,000 TZS)
    4. Una nguvu ya kutenda miujiza (20,000 TZS)
    5. Epuka utumwa wa kidigitali (20,000 TZS)
    6. Mfundishe mtoto wako kuishi (30,000 TZS)
    7. Mambo 100 kwa mwanafunzi wa kiafrika (15,000 TZS)
    .
    SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya HAMASA YA LEO
    / hamasayaleo
    .
    KWA VOICE-OVER, KUTENGENEZA MATANGAZO YA BIASHARA NA KUTANGAZA BIASHARA YAKO KWENYE CHANNEL HII
    Tuwasiliane hapa:
    0759191076
    ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #maisha #mazuri #spn

Komentáře • 94

  • @hatimnasri5184
    @hatimnasri5184 Před 2 lety +14

    Aisee bro!! Ushawahi kujiuliza una thamani gani katika maisha ya watu wanaobadilika kupitia ww ? Mungu akupe maisha marefu bro tunahitaji kujifunza mengi kupitia ww.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +7

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Naweza kujiuliza lakini huwezi kujua namba kamili ila nashukuru napata mrejesho kwa wengi kuwa masomo yanawasaidia. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

    • @hatimnasri5184
      @hatimnasri5184 Před 2 lety +3

      Asante Sana, nami nitahakikisha tuna share kwa wingi masomo haya ili kukamilisha neno la each one teach one!.🙏

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +4

      @@hatimnasri5184 Shukrani sana...

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 Před 2 lety +1

      @@successpathnetwork iyo ya 5 kama ni mumeo ndio anakufanya unaumiza kichwa inakuaje apo kaka mana unajitahid kufokas ufikie sehem flan alafu yy ndio anakuumiza kichwa kutokana na tabia zake yan ad unajikuta muda mwing unamuwaza yy

  • @ummyqassim2907
    @ummyqassim2907 Před 2 lety +7

    Allah akujalie umri mrefu
    Akili mingi,maarifa,hekima na busara.
    La kwanza kabisa akujalie akili ya kumtambua yeye.
    Asante kwa ujumbe mzuri

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Před 2 lety +6

    kweli kabisa, marafiki ni Influence nzuri ama mbaya na pia ukieleza mambo yako unapata Husda na ina Affect malengo ama mipango yako, hata mie yashanipata

  • @monicajoseph1002
    @monicajoseph1002 Před 2 lety +4

    Kweli hii ni each one teach one,,ckuwa nakufahamu lakin rafiki yangu kanifanya nikufahamu nakuendeleaa kufatilia vipindi vyako,MUNGU aendelee kukupa upeo zaidi,,maana kuna watu tunajifunza kupitia wewe🙏🙏🙏🙏

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Asante sana Monica Joseph kwa kufuatilia. Usiache ku-share link ya somo hili kwenye groups na wengine ili ujumbe ufike mbali zaidi. Stay blessed!

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 2 lety +3

    Mkuu ahsante kwa Elimu hii, kitu kilikuwa kinipa shidaa ya kusema kitu hata kabla sijafanya, na kingine watu wanaongea mambo amabayo siyo ni kuwapuuzia kwa kweli maana hawakujuwi vzr, na kuhusu mtu kukaa kimyaa kweli siyo mnyonge ni hekima tu ya kujivika busara zaidi ,Ubarikiwe sana mkuu nimepata madini sana aise 🙏🥋🥊👉🏆

  • @gharibmohd3088
    @gharibmohd3088 Před 2 lety +1

    Bro ezden mm nipo znz ila nakufatilia sana wallahi wewe unasaidia sana jamii hakika kwa hili unafanya sadakat l jariyya ambayo ata ukitangulia mbele za haki basi manufaa yake utayapata mungu akujalie siku moja uwe mtu mkubwa sana hapa nchini kwetu Tz Amiin

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Před 2 lety

    nashukuru sana broo tokea nimeanza kukusikiliza na kukufatilia nimejifunza mambo mengi na Nimeyafanyia kazi vizuri na nanimepata matokeo mazuri san kwa yale ambayo najifunza kutoka kwako.Aisee kwel nimeamini elimu uondoa ujinga na kukupa maarifa...Shukran bro Mungu azidi kukulinda katka kila jambo na akupe maisha marefu pia.🙏

  • @EBMSCHOLARS
    @EBMSCHOLARS Před 2 lety +4

    Thank you for the sharing, somo zuri sana

  • @aminiellukumay7869
    @aminiellukumay7869 Před 2 lety

    Ahsante ndg. Ezden Jumanne....hakika nimeokota kitu kwa somo hili

  • @owlbig
    @owlbig Před 2 lety +1

    Thnk you so much brotha umenigusa sana love from Burundi 🇧🇮

  • @salmashoo8100
    @salmashoo8100 Před 2 lety +3

    Broo kwel sio mpaka uwe na mtu au na watu ndy nifulai nimejifunza furaha yangu kuto shikiliwa na mtu au na watu

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 Před 2 lety +1

    Unanibadilisha Sana ndugu yangu..Mungu akujaze kheri hapa duniani na kesho akhera❤️❤️

  • @edmondjr17
    @edmondjr17 Před 2 lety +4

    Much respect brother, Allahumma barik

  • @kalelaonlinetv
    @kalelaonlinetv Před 2 lety +3

    mashaallah jazaka llahu khayr

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 Před 2 lety

    Hongera sanaaa kaka ,yangu Ezden kwa somo zuri ,Nimejifunza kila chenye mwanzo kina mwisho !!!

  • @leilalusekelo153
    @leilalusekelo153 Před 2 lety

    Shukrani kaka Allah akujaalie afya njema tupate kujifunza zaidi🙏🙏

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Před 2 lety +1

    Shukurn brother

  • @petroyovenary311
    @petroyovenary311 Před 2 lety +1

    Tunashukuru sana kwa elimu ya uhalisia wa maisha maana kama vile umeniona mungu akubariki sana.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 2 lety

    Asante sana my brother from another mother

  • @munahashim8898
    @munahashim8898 Před 2 lety

    Shukran Sana brother God bless you 🙏

  • @iama.l.l.y209
    @iama.l.l.y209 Před 2 lety +3

    Blessed 🙏🏿

  • @amankinyamagoha2861
    @amankinyamagoha2861 Před 2 lety +3

    Thank you brother

  • @bongosky2012
    @bongosky2012 Před rokem +2

    Dua mingi dady 🙏🤛👣

  • @nyongesabenjamin3762
    @nyongesabenjamin3762 Před rokem +1

    Ni ukweli point understood bro

  • @suzangathoni7141
    @suzangathoni7141 Před 2 lety

    Gud advice nmejifunza kuwa n furaha peke yangu si lazma uwe na mtu au kitu furani ili ufurahie

  • @nshimirimanadjamilla7270

    Shukran kwashawuri

  • @happynesbaemuhappynes8813

    MashAllah. Namba 1na 8.nimeielewa sana. Shukrani Kaka

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Před 2 lety

    bro nashukuru sana kwa elimu ulionipa leo maana imenifungua brain yan yan ndo maana sichoki kukuangalia bro wewe ndo mentor wang yan nimejifunza mengi san kupitia kwako maarifa unayonipa yana thamani kwang zaid ya kitu chochote yan kam iyo point ya4 imenigusa sana maana nilikuwa siishi na uwalisia wang nilikuwa nacopy watu kweny mitandao ya kijamii lkn now nimeshapata maarifa meng kutoka kwako na nayafanyia kazi bro Mungu akubariki sana kazi nzuri sana we say Each one teach one!🙏

  • @johnmangaga4949
    @johnmangaga4949 Před 2 lety +1

    Yaani wewe kijana ni ZAID ya MWALIMU!; Uko vizuri sana mafundisho yko MTU akiyafuata Anauwezekano mkubwa saaanna WA KUFANIKIWA HONGERA DANA!;

  • @danielcharles1250
    @danielcharles1250 Před rokem +1

    Miak ming kiongoz kwel n Zaid ya shule unagusa hisia za watu 🙏🙏🙏

  • @hasnuuahmed9834
    @hasnuuahmed9834 Před 2 lety +1

    Honger sana bro masomo yak ni zaid ya shule big up may allah bless you

  • @wilisonwilliam6484
    @wilisonwilliam6484 Před 2 lety +2

    Sema mkuu tunaomba upunguze matangazo meng kuliko ujumbe tunao upata au matangazo mafupi yanatosha

  • @mrmisosiliuma9366
    @mrmisosiliuma9366 Před 2 lety

    Nimejifunza kwa Utulivu sana,
    bless 🤝

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 Před 2 lety +1

    nakukubali sana,siku ya pili nacomment kwako

  • @ziadachewa2043
    @ziadachewa2043 Před 2 lety

    Asante sana nimekuelewa Kaka ake

  • @user-gx2hn1js7x
    @user-gx2hn1js7x Před 10 měsíci +1

    Mm ni mgeni naitaj kujifunza Zaid ongera Allah akuzidishie Zaid na zaid

  • @careenchengula2682
    @careenchengula2682 Před 2 lety

    Hongera Sana bro ezde yaan nimejifunza kitu hapo maana Mimi kila Jambo nonalotaka kufanya lazima niseme kwa watu, lakini baada ya kuwaambia watu tu Jambo langu linasimama hapohapo. Yaan bro umenizindua ubongo asante Sana dia.

  • @eliasmamba9924
    @eliasmamba9924 Před 2 lety

    I appreciate that bro!

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 2 lety

    Excellent talk

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson Před 2 lety +1

    I gotta something over here ,,,, thanks for letting me know

  • @ramadhaniathumani2636
    @ramadhaniathumani2636 Před 2 lety +1

    Congratulations! Kazi nzuri

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Před 2 lety +1

    Barikiwa 🙏 sana

  • @davidchawala6260
    @davidchawala6260 Před 2 lety

    I really get it broh

  • @goalhall
    @goalhall Před 2 lety

    Ahsante sana mkuu

  • @tetemamg8821
    @tetemamg8821 Před 2 lety

    Nakupenda sana una nisaidianga sana 🙌 mungu akubariki sana

  • @boniphacecharles5118
    @boniphacecharles5118 Před 2 lety

    Asante sana kaka

  • @kharifasiraji3446
    @kharifasiraji3446 Před 2 lety

    Safi sana br ezden uzidi kuwepo

  • @maryannoor8092
    @maryannoor8092 Před 2 lety

    Ahsante

  • @blandinageorge8738
    @blandinageorge8738 Před 2 lety

    Asanteee ubarikiwe san 💋

  • @yussufamour6567
    @yussufamour6567 Před 2 lety +1

    Safi sana nimejifunza mengi

  • @piusrodlick2945
    @piusrodlick2945 Před 2 lety

    Asante kaka 🍹nakukubal Sana

  • @kobokothemilan2025
    @kobokothemilan2025 Před 2 lety

    All the best brother.

  • @amirclassic8326
    @amirclassic8326 Před 2 lety

    Nimeanza kukueleawa kaka Asante

  • @hildamushashu5056
    @hildamushashu5056 Před měsícem

    U're good bro

  • @salimkadau8257
    @salimkadau8257 Před 2 lety

    Mungu aibariki kazi unayoifanya broo thamani yako ni kubwa kwetu kamwe tutaendelea kukuombea mema tu

  • @user-jp5vt5lr8q
    @user-jp5vt5lr8q Před 10 měsíci +1

    Usmdharau use mjua

  • @aminamkawa7047
    @aminamkawa7047 Před 2 lety

    Allah akulipe Kaka nakuelewa Sana🙏🙏

  • @gharibmohd3088
    @gharibmohd3088 Před 2 lety

    Good

  • @Hopegivers.
    @Hopegivers. Před 2 lety

    Ushauri mzuri sana.

  • @idrisaismail5359
    @idrisaismail5359 Před 2 lety

    ,asantee,,sana,kaka

  • @masanjamalugwaja9972
    @masanjamalugwaja9972 Před 2 lety

    Nakupata vizur

  • @josephkabengwa5668
    @josephkabengwa5668 Před 2 lety

    Nakuelewa sana bro mafunzo yako ni reality life

  • @the_dy_namic225
    @the_dy_namic225 Před 2 lety

    Allah atakulipa kwajitihada yako aaamiiin🙏

  • @asteriamndeme5198
    @asteriamndeme5198 Před 2 lety

    AMINA

  • @eunicefalex4403
    @eunicefalex4403 Před 2 lety

    Kiukweli mie nimependa kutoa Hawa marafiki wasiokuwa na msaada wowote kwangu toka niwape block hata stress zimepungua sana

  • @machanomussa2687
    @machanomussa2687 Před 2 lety

    Point namba mbili, ulishawahi kunipoza, usikubali kumpa mtu yyte siri zako za kibiashra

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 2 lety

    🙏🙏🙏

  • @mussadismass9306
    @mussadismass9306 Před 2 lety +1

    Mumejifunza kufanya vitu kwanza nisisema kabur ya wakati ubarikiwe

  • @januarymuzaliwa1370
    @januarymuzaliwa1370 Před 2 lety

    bro please teach about how to maintain a woman please please let do this success plath nation

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    Broo nimejifunza apo kwenye Kuna watu ili ufanikiwe Kuna marafiki mizigo bidi uwapunguze ili mafanikio yaje

  • @ndewinimastra6759
    @ndewinimastra6759 Před 2 lety

    kakanime kuerewasana ubarikiwe

  • @sadikijoseph3064
    @sadikijoseph3064 Před rokem +1

    Sosho midia ndo pwenti imeyo nigusa sana

  • @tetemamg8821
    @tetemamg8821 Před 2 lety

    One day Nita kuja kukuona

  • @jonsonjohn2699
    @jonsonjohn2699 Před 2 lety

    jinsi ya kuendesha biashala yaduka nakubansi matumiz hatakama unamizi makubwa yanazidi biashala

  • @mahmoodalghefeili5370
    @mahmoodalghefeili5370 Před 2 lety

    Hii namba 8 imenigusa mno na namba 2 mana ndio vinanitesa mno na kunirudisha nyuma

  • @godfreyjuma9923
    @godfreyjuma9923 Před 2 lety

    Kitabu cha Biashara ndani ya Ajira
    Nipo Itigi Manyoni kaka

  • @mathiasphilipo9809
    @mathiasphilipo9809 Před 2 lety

    Start and stop

  • @immajuzo2440
    @immajuzo2440 Před 2 lety

    Madini matupu ila namba mbili kiboko yao

  • @mudyhangahanga
    @mudyhangahanga Před 2 lety +1

    kwl kabiaa ila ninge penda unapo ongea kwa kiswail maandishi yapite kwa English

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Nashukuru sana kwa maoni yako ndugu yangu. Nitalifanyia kazi jambo hili ili kuboresha masomo haya. - Each One Teach One!