MBINU ZA KUKUTOA KWENYE MADENI HARAKA
Vložit
- čas přidán 8. 10. 2021
- Madeni ni kitu kinachoumiza sana kichwa sababu mara zote ukiwa unalipa huwa unajisikia kama hii pesa unaitoa bure. Na wakati mwingine huenda yakakufanya ushindwe kuendelea sababu kila pesa unayopata unataka kulipa madeni ya watu.
.
Sasa kitabu cha DENI LA DHAHABU - "Hatua 14 za kulipa madeni na kuanza kuwekeza" kimekuja wakati sahihi na kwa ajili yako. Unaweza kukinunua sasa kwa mwandishi mwenyewe Mr. Gastor Mtweve kupitia namba hizi hapa chini:
- 0656 066 066
- 0686 894 900
BEI: Kwasasa ni 20,000 TZS kwa vile uzinguzi bado, lakini baada ya hapo bei itapanda. Kwahiyo changamka mapema.
.
Usiache kuniambia hapo chini kwenye comments nini umepata kwenye somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tusome.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WHATSAPP GROUP
Kujiunga na whatsapp group la vitabu (SPN BOOK CLUB)
Tuma ujumbe kwenye WHATSAPP andika maneno "SPN BOOK CLUB"
Kwenda whatsapp number: 0759191076
(Ada: 2,000 TZS kwa wiki)
.
KUNUNUA VITABU:
Tuma ujumbe wenye jina au majina ya vitabu utakavyo na mahali ulipo kwenda namba 0759191076.
1. Biashara ndani ya ajira (20,000 TZS)
2. Elimu ya msingi ya fedha (20,000 TZS)
3. Elimu ya msingi ya biashara (20,000 TZS)
4. Una nguvu ya kutenda miujiza (20,000 TZS)
5. Epuka utumwa wa kidigitali (20,000 TZS)
6. Mfundishe mtoto wako kuishi (30,000 TZS)
7. Mambo 100 kwa mwanafunzi wa kiafrika (15,000 TZS)
.
SUBSCRIBE kwenye channel yetu ya HAMASA YA LEO
/ hamasayaleo
.
KWA VOICE-OVER, KUTENGENEZA MATANGAZO YA BIASHARA NA KUTANGAZA BIASHARA YAKO KWENYE CHANNEL HII
Tuwasiliane hapa:
0759191076
ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Jiondoe #Kwenye #Madeni
Mashallah very creative... Allah barik 🤲
Naisubiri 👏👏
Madeni yanafanya unashusha heshima yako siku nikichomoka sirudii tenaa
Naqubali broo naisubiri
Duuh hii ni kweli each one teach one nimekufaham mnoooo Mungu akuweke😘😘
Somo lipo vizuri braza!
MashAllah Allah akujaze kila la kheri
barakaAllah fikhi inshaalla
Great!
Nakuelew kaka Mungu akupe maisha marefu
amiin...
Shukran sana kwa somo zuri
Safi Sana nimekuelewa bro
Asante Kwa somo zuri
Hahahaha ukilala umelaliwa
Nzuri sana
Good content be blessed
SoMo zuri Sana
Gud idea..big deal
Ahsante sana kwa somo zuri . Ila punguza kuelezea kitu kimoja kwa muda mrefu kinachotoke tuna sahau kile cha mwanzo kwa maelezo mengi ya hiki cha sasa ivi (naitwa masoud)
M nakipataje nipo MSA
At m nakihtji hch ktbu friend
I don't know how can get it
Be blessed for that content.
The great man ever 🔥🔥
Sure madeni nimabay sana yamenifanye niwe kama mtumwa
❤
Unafunza vZuri adi raha nimejifunza
Hiyo Pareto rule nimeielewa Sana bro ezden
Asante snaaa Brother kwa elimu nzuri nmejifunza maana Nina madeni kama 7.5M lkn napambana kulipa leo nmejifunza kitu kwamba niwe na biashara nyingne
Mimi ni zaidi yako
How's can get it book 📚 kitb cha zahab??niko geita 🎉😅
Kaka nauliza ivi kunatajili ambae ametoboa bila madeni kaka tafazari naomba jibu
Samahan ezden naomba uogelee jinsi ya kua na nidhamu ya pesa na namna ya kubajeti matumizi ya fedha
Mr jumanne Mimi ni us follower Niko nrb Kenya naweza pata hiyo kitabu na how much Kenya money
Kitabu kizur sana ,,kinapatikanaje kwa wateja ambao tuko mikoani?
Biashara ya karanga na Ubuyu na alizeti zilimuezesha mama kunisomesha na kunilea vyema
Asante maana hata mm maden yananitesa
Jiuwe
Nipo tanga ntapataje na kwa bei gani
Tuma ujumbe kwenye whatsapp andika neno KITABU kwenda namba 0759191076
Napata vipi kitabu na niko sumbawanga
Na Mimi nahitaji kitabu. Niko Dar.