NAMNA SAHIHI YA KUTOKA KWENYE MADENI | Festo Amos
Vložit
- čas přidán 28. 07. 2022
- NAMNA SAHIHI YA KUTOKA KWENYE MADENI | Festo Amos
Madeni ni sumu ya mafanikio na maendeleo. Madeni mabaya ni chanzo cha wengi kuingia katika umasikini. Karibu tujifunze namna sahihi ya kutoka kwenye madeni.
.
Ungana na mwalimu Festo Amos akifafanua kwa undani somo hili muhimu kabisa katika elimu ya fedha kwenye maisha yetu.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA FESTO AMOS
Mkufunzi wa elimu ya fedha na mwadishi wa vitabu.
Instagram: @festoamos989
Facebook: Festo S.Amos
You tube: Festo Amos
Phone: (+255)766181367
Email:festoamos989@gmail.com
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ @footballskill01
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
swahilivoiceovers.com
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
Moja kwa moja bonyeza Link hii:
BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Madeni #Festo #Amos
Nataka hivyo vitabu
Twakupata kwa uwazi kutoka Kuwait ndani ya K.O.C
Nashukuru Mungu sina madeni mengi😜😜ila nimejifunza kuwekeza akiba ambayo inanisaidia kuwekeza kwenye vyanzo vingine....
Sina madeni naninaweka akiba japo mwanzo nilikuwa siweki akiba na Sina madeni Ila kwasasa Sina madeni naninaweka akiba💪
Hongera sana
nahitaj kitabu