USIFANYE "HII KITU" ASUBUHI | Ezden Jumanne
Vložit
- čas přidán 18. 06. 2020
- Watu wengi hujipongeza kwa kuweza kuamka mapema na kisha kufanya kosa kubwa sana linalowarudisha nyuma kabisa katika juhudi yao ya kuamka mapema... Nayo ni kuipoteza asubuhi kwa kufanya mambo yasiyoleta tija au faida yoyote katika maisha yao.
.
Sasa karibu sana tujifunze ni mambo gani ambayo tunapaswa kuepuka kuyafanya kila asubuhi ili tuweze kuwa katika wale wenye kujenga msingi mzuri wa mafanikio katika maisha yetu.
.
Nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
JIUNGE NA FAMILIA YA SPN KWENYE TELEGRAM (BURE):
Moja kwa moja bonyeza Link hii:
BONYEZA👉🏽 t.me/successpathnetwork
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Web: www.swahilivoiceovers.com
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
czcams.com/channels/Ofv.html...
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
czcams.com/channels/dkO.html...
.
VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
swahilivoiceovers.com
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
.
.
#epuka #kufanya #asubuhi
My friends this is my first time coming across this channel. It's amazing channel with much much to learn which is helpful to our daily life from ibada na mapema hadi kurudi kulala usiku. Thanks alot
Thank you very much i feel like unaniongelea mimi kabisa asubuhi napenda kuweka maneno negative saaaana and i' m gonna changes my morning routine umenigusaa saaana stay blessed
Thenk you sir may almighty allah reward you in everything you do much love from Uganda thanks
Mash Allah,kaka mkubwa unatuelimisha aisei,Allah akuzidishie insh Allah.
Brother Ezden your words of wisdom are truly a reflection of our daily life n how we waste ourselves by wasting our morning. I will teach one
Ibada umeongea jambo la muhimu kuliko yote vijana wengi hatujui mwenye maskio na askie
Babukubwa
Wallahi ukisoma Qur'an al fajiri mambo yako yanakwenda vizuri kabisa
@Youth Insider lllll p llllp p lpllllpllpplllpllpllnlllllnllllnllnlknlllplllllnlnlnnllnllnllnllllllllpllllnllnllnlnkkkklknnlnlllllplllppllllllllplll l lllllllnlllplllllllllppllpplllplll l plllllnlnlpppplllllnlllllllnlnlnlnlllllppllklnlnlnllllnlnlnllnlnlnlnlllknllnlnnnnnlnlknlnlllllnlnlnllnllnlll k lllknlnlkllpnlnlnllnnlnlnlplllllnlnlllnlnlllllllllnlnllnllkknlklnlnlnlnlnllllpllkknllnllkknllnlk k h b nu
@Youth Insider 7*Jambo Kwanza Wana Mkolwe Natal*
Iyi habari Tunaisikiya ni kweli ao Ni Ma Affaire tu ya Ma Réseau Sociaux ? Hebu mutuheleweshe Vizuri kwa Aliye Tu Aksante. 🙏7
@Youth Insider 7nachukulia 7777
Wallah ..sipendi maji moto hata iwe baridi siwez oga maji moto..Shukran kaka Ezden Jumanne kwa darsa nzuri...ALLAH AKUPE KILA LA KHER INSHALLAH👏
Ombra uishi tanzania tu tena dares salaam.maji ya moto utayaoga tu ukienda ulaya tena majira ya baridi.hâta Maji ya moto utayaona ya baridi
Karibu sana Njombe dear
@@queenmeddy2315 huyu hajakaa miji ya baridi huyu
shukran sana Allah akubariki
Allah azidi kukupa afya njema.....ameen
j'adore tes propos mon cher frère en fait je suis au congo et j'aime vraiment apprendre a partir de tes vidéos
Detailed message bro, your my inspiration.
Most positive video , i have watched today. Good work
Shukran sana....
Nashukuru Azden unanifungua ktk Mambo mengi.mungu akulinde.
Umetisha kinoma brothr....healthy morn routine( readings, ibada, break fast)😊😊
Mashaallah Kaka
Asante brother kwa mafundisho yako
Asante kakangu kwamafunzo yako Allah akuzidishie
Ooh thanks broo Allah may bless u ofcause u teach us on molkage feature
Shukran Ezden Jumanne😍
Mashaallah asnt san kak
Jazakka llahu khayra
Wow great thank you umenisaidia
Twatotela ,twasanta,thank you,tunasakiriri,Asante sana
Ni ujumbe mzuri sana. Ahsante kwa kutufundisha
Asante sana , this is helpful
Thank you 👏👏👏
Allah blessing you, we always learning good think from you
Allahumma ameen Ghalib
Kweli
Thanks much Mr ezden ,l
Asante kwa ujumbe mzuri nilikua sijui
Sir i appreciates your video because they are always instructive
Mm ni chali wa kidato cha nne nimependa God bless u broo
Yaaan Kuna Ving CZcams lakin we umewazd woteeee
Nimeipenda mafundisho yako naomba kukuona kwa ushauri zaidi 0693083777 asante
Zwena ramadhani :yes mdogo wangu uko vizuri ibada,elimu asubuhi mungu hutia wepes kila jambo
Kweli kabisa Kaka mungu akubariki
shukran sana kak nice message
Masha Allah Somo Zuri Sana Mungu Akubariki
Hi bro I like ua teaching they enlighten me alot.
Asante Sana Kaka yangu nimeelewa
Asante sana kwa somo nahitaji kuuliza ktk kupunguza uzito nini cha kufanya ili kupungua
Nashukuru sana kwa elimu. yko nakingine.kwamfano mtu.kuwamkia.kugombana.asubui.huwa.nivpi.
🙏🙏 thanks brother ez unanifunza mengi sana
Asante sana Somo zuri naendelea kujifunza
Asante sana Bro ....
Asanteni xana kaka mungu ipitize kukupa hekima.
Kweny maji ya barid Mimi nimefel Njombe unaweza zima kwa kuoga maji baridi😢😢😢point ya msingi hii imenipita, mengine yess bless up Kaka.
Umeona Eeeeeh
😂😂😂
Asante kwa uzinduzi
Dah thanks bro
Asante sana kaka umenisaidia sana kunibadili kifikra
Thanks 4 ur nice classic class
Apo sawa kuusu ayo mafunzo nimeyaelewa shukrani
Asante sana kaka umetufundisha vitu vizuri sana hongera
Elimu kubwa sana... be blessed
Shukran Sana brother nimekuta ila mm huwa napanga vitu afu nashindwa kuvifuata je nifanyeje ili niondokane na hii Hari ya kugaili
Asante ndugu kwa mafundisho ma zurii
Thank you brother nimekuerewa sanaaa ❤ ❤
Ndio naanza kuangalia maada zako Kaka nimezipenda na nimejifunza mengi kwa leo
Karibu sana sana... Usiache kuandika comment zako, humo nami najifunza kitu. Each One Teach One
Masha Allah ibada muhimu sana mengine badae Shukran kaka
Asante sana kaka ubarikiwe
Asanteee... kaka Edzen
Thanks my. Brother
Thank very much for teach us
Asante nimependa sana Nitaanza leo maana sinaga ratiba.
Maa shaaaa Allah kaka Allah akuzidishie katika kutuhamasisha 🤲🙏🤲
Ahsante sana kwa mafunzo.
Asante sn
napenda kipi chako because unatuelimisha sn thank you for that information
We kiboko bro ezden nabadirika sana kupitia madini yako unayotupatia allah akulinde sana
Thank you so much Allah bless you in your all life
Amiin
Nimependa mafundisho yako kaka akika umeniamsha asante mungu akuzidishie kwa kila kitu amina
Shukran sana bro hapo kwenye maji ya moto mtihan
Asante sana bro nimejifunza
Unafuraisha kweli brother ALLAH akujaalie uzidi kutuelimisha
Thanks, following from QATAR
Asante sana kaka
Shukran
Thanks bro nimekuelewa sna nakukubali
Thank you soo mch brother
Kaka nashukuru nmekuerewa Mungu akubariki sana
Merci beaucoup de cette vidéo
Asante brooo,umenifungua macho
Daaaaah... Safi sana
Mungu akubariki kwakwel tunajifunza kny hizi jumbe MUNGU azidi kukutumia
Asanteni sana bro
Asante sana kaka ila me Naomba jambo moja kuwa unapokuwa unaorodhesha point basi tunaomba ziwe zinaonekana kwenye kioo kwan kuna zingne huwa unaweka ndan ya maelezo AF dah unadhindwa kutambua Ipi ndio point
Asante
Maashaallah,
Allah akupe afya njema tuendelee kupata faida zako
INSHALLAH WABILLAH TAUFQ.
Asante sana kaka nimejifnza mengi sana
Mafundisho mazur san mung akutie nguvu tuendelea kujifunza kupitia wew
Asante Sana brother nakuelewa sana uko vizuri kaka nimefurahi kukutana na link yako God bless you
so thanks kaka unazidi kutupatia mwanga wa mafanikio
Thank u so much dear mimi naamkanga tu na kisirani aki nimeona kwa nini siendelei asante ndugu
Napenda sana mafundisho yako thanks very much
shukrani sana...
Safi sana.
Thanks a lot for giving out such an motivaiting clip..well you have inspired hundrends of us...keep it up and we must follow what u said so that we can progress more in life....
Shukran
Asante Sana Kaka kwa somo zur
perfect..
You guy u know blessed
Allah bless you brother
Mashaallah Allah akujaalie kwa kuelimisha jamii
Yes good advice