USIFANYE "HII KITU" ASUBUHI | Ezden Jumanne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 06. 2020
  • Watu wengi hujipongeza kwa kuweza kuamka mapema na kisha kufanya kosa kubwa sana linalowarudisha nyuma kabisa katika juhudi yao ya kuamka mapema... Nayo ni kuipoteza asubuhi kwa kufanya mambo yasiyoleta tija au faida yoyote katika maisha yao.
    .
    Sasa karibu sana tujifunze ni mambo gani ambayo tunapaswa kuepuka kuyafanya kila asubuhi ili tuweze kuwa katika wale wenye kujenga msingi mzuri wa mafanikio katika maisha yetu.
    .
    Nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    JIUNGE NA FAMILIA YA SPN KWENYE TELEGRAM (BURE):
    Moja kwa moja bonyeza Link hii:
    BONYEZA👉🏽 t.me/successpathnetwork
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    Web: www.swahilivoiceovers.com
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    czcams.com/channels/Ofv.html...
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    czcams.com/channels/dkO.html...
    .
    VOICE-OVER WEBSITE 👇🏽
    swahilivoiceovers.com
    .
    KUPATA MATANGAZO:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    SIMU: (+255) 759 191 076
    EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
    .
    .
    #epuka #kufanya #asubuhi

Komentáře • 821

  • @alimasigasaleh8659
    @alimasigasaleh8659 Před 3 lety +13

    My friends this is my first time coming across this channel. It's amazing channel with much much to learn which is helpful to our daily life from ibada na mapema hadi kurudi kulala usiku. Thanks alot

  • @ngendakumanacynthia3444
    @ngendakumanacynthia3444 Před 3 lety +4

    Thank you very much i feel like unaniongelea mimi kabisa asubuhi napenda kuweka maneno negative saaaana and i' m gonna changes my morning routine umenigusaa saaana stay blessed

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 Před 4 lety +4

    Thenk you sir may almighty allah reward you in everything you do much love from Uganda thanks

  • @youngzionmashariki4469
    @youngzionmashariki4469 Před 4 lety +11

    Mash Allah,kaka mkubwa unatuelimisha aisei,Allah akuzidishie insh Allah.

  • @omaryubu1666
    @omaryubu1666 Před 4 lety +2

    Brother Ezden your words of wisdom are truly a reflection of our daily life n how we waste ourselves by wasting our morning. I will teach one

  • @shikaneno8861
    @shikaneno8861 Před 4 lety +87

    Ibada umeongea jambo la muhimu kuliko yote vijana wengi hatujui mwenye maskio na askie

    • @jimmyjckcomedian1840
      @jimmyjckcomedian1840 Před 4 lety +1

      Babukubwa

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 Před 3 lety +7

      Wallahi ukisoma Qur'an al fajiri mambo yako yanakwenda vizuri kabisa

    • @Josephmusambia
      @Josephmusambia Před 3 lety

      @Youth Insider lllll p llllp p lpllllpllpplllpllpllnlllllnllllnllnlknlllplllllnlnlnnllnllnllnllllllllpllllnllnllnlnkkkklknnlnlllllplllppllllllllplll l lllllllnlllplllllllllppllpplllplll l plllllnlnlpppplllllnlllllllnlnlnlnlllllppllklnlnlnllllnlnlnllnlnlnlnlllknllnlnnnnnlnlknlnlllllnlnlnllnllnlll k lllknlnlkllpnlnlnllnnlnlnlplllllnlnlllnlnlllllllllnlnllnllkknlklnlnlnlnlnllllpllkknllnllkknllnlk k h b nu

    • @Josephmusambia
      @Josephmusambia Před 3 lety

      @Youth Insider 7*Jambo Kwanza Wana Mkolwe Natal*
      Iyi habari Tunaisikiya ni kweli ao Ni Ma Affaire tu ya Ma Réseau Sociaux ? Hebu mutuheleweshe Vizuri kwa Aliye Tu Aksante. 🙏7

    • @Josephmusambia
      @Josephmusambia Před 3 lety

      @Youth Insider 7nachukulia 7777

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 4 lety +9

    Wallah ..sipendi maji moto hata iwe baridi siwez oga maji moto..Shukran kaka Ezden Jumanne kwa darsa nzuri...ALLAH AKUPE KILA LA KHER INSHALLAH👏

    • @devothasimbi1055
      @devothasimbi1055 Před 4 lety +3

      Ombra uishi tanzania tu tena dares salaam.maji ya moto utayaoga tu ukienda ulaya tena majira ya baridi.hâta Maji ya moto utayaona ya baridi

    • @queenmeddy2315
      @queenmeddy2315 Před 4 lety

      Karibu sana Njombe dear

    • @mxofmfk8406
      @mxofmfk8406 Před 4 lety +1

      @@queenmeddy2315 huyu hajakaa miji ya baridi huyu

  • @freddyngabonziza5864
    @freddyngabonziza5864 Před 4 lety +2

    shukran sana Allah akubariki
    Allah azidi kukupa afya njema.....ameen

  • @jacqueskabagaya3774
    @jacqueskabagaya3774 Před 3 lety +1

    j'adore tes propos mon cher frère en fait je suis au congo et j'aime vraiment apprendre a partir de tes vidéos

  • @husseinmasuke9265
    @husseinmasuke9265 Před 4 lety +3

    Detailed message bro, your my inspiration.

  • @BrianDavidAmtheBest
    @BrianDavidAmtheBest Před 4 lety +3

    Most positive video , i have watched today. Good work

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 4 lety

    Shukran sana....

  • @mwajinachallo4471
    @mwajinachallo4471 Před 2 lety

    Nashukuru Azden unanifungua ktk Mambo mengi.mungu akulinde.

  • @hudhaimaissa8144
    @hudhaimaissa8144 Před 3 lety +3

    Umetisha kinoma brothr....healthy morn routine( readings, ibada, break fast)😊😊

  • @yaasinabdillah2479
    @yaasinabdillah2479 Před 4 lety +3

    Mashaallah Kaka

  • @geofreychimbamawe7937
    @geofreychimbamawe7937 Před 3 lety

    Asante brother kwa mafundisho yako

  • @esharamadhani554
    @esharamadhani554 Před 3 lety

    Asante kakangu kwamafunzo yako Allah akuzidishie

  • @twahamatwani471
    @twahamatwani471 Před 4 lety +1

    Ooh thanks broo Allah may bless u ofcause u teach us on molkage feature

  • @designermoherdin5412
    @designermoherdin5412 Před 4 lety +4

    Shukran Ezden Jumanne😍

  • @twaibuvarishtuvarishtu2220

    Mashaallah asnt san kak

  • @kisiwanimedia8828
    @kisiwanimedia8828 Před 4 lety

    Jazakka llahu khayra

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 3 lety

    Wow great thank you umenisaidia

  • @stanlychishimba2729
    @stanlychishimba2729 Před 2 lety

    Twatotela ,twasanta,thank you,tunasakiriri,Asante sana

  • @safiyaalrawahi7526
    @safiyaalrawahi7526 Před 4 lety

    Ni ujumbe mzuri sana. Ahsante kwa kutufundisha

  • @glorykimonge8629
    @glorykimonge8629 Před 4 lety

    Asante sana , this is helpful

  • @willnesspatrick4888
    @willnesspatrick4888 Před 4 lety +2

    Thank you 👏👏👏

  • @ghalibsalim3029
    @ghalibsalim3029 Před 4 lety +14

    Allah blessing you, we always learning good think from you

  • @maulidikimwaga9634
    @maulidikimwaga9634 Před 3 lety

    Thanks much Mr ezden ,l

  • @shadah.kihwili9878
    @shadah.kihwili9878 Před 4 lety

    Asante kwa ujumbe mzuri nilikua sijui

  • @michaelbasiapai1374
    @michaelbasiapai1374 Před 4 lety

    Sir i appreciates your video because they are always instructive

  • @chekamood168
    @chekamood168 Před 4 lety +6

    Mm ni chali wa kidato cha nne nimependa God bless u broo

  • @asmaabdallah9103
    @asmaabdallah9103 Před 4 lety +25

    Yaaan Kuna Ving CZcams lakin we umewazd woteeee

    • @zaituniswai6390
      @zaituniswai6390 Před 3 lety

      Nimeipenda mafundisho yako naomba kukuona kwa ushauri zaidi 0693083777 asante

  • @hynaombanambayakohy207
    @hynaombanambayakohy207 Před 4 lety +4

    Zwena ramadhani :yes mdogo wangu uko vizuri ibada,elimu asubuhi mungu hutia wepes kila jambo

  • @gradnessmagge6041
    @gradnessmagge6041 Před 4 lety +3

    Kweli kabisa Kaka mungu akubariki

  • @meshackmwaipopo5669
    @meshackmwaipopo5669 Před 4 lety

    shukran sana kak nice message

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 Před 4 lety +2

    Masha Allah Somo Zuri Sana Mungu Akubariki

  • @jamesmalonza6976
    @jamesmalonza6976 Před 4 lety +2

    Hi bro I like ua teaching they enlighten me alot.

  • @kimwechanyamhanga516
    @kimwechanyamhanga516 Před 4 lety +1

    Asante Sana Kaka yangu nimeelewa

  • @user-tu4ly7sb7p
    @user-tu4ly7sb7p Před 4 lety +1

    Asante sana kwa somo nahitaji kuuliza ktk kupunguza uzito nini cha kufanya ili kupungua

  • @user-is8ok6ks5k
    @user-is8ok6ks5k Před 2 měsíci

    Nashukuru sana kwa elimu. yko nakingine.kwamfano mtu.kuwamkia.kugombana.asubui.huwa.nivpi.

  • @HR-ki9nz
    @HR-ki9nz Před 4 lety

    🙏🙏 thanks brother ez unanifunza mengi sana

  • @kikiebaby
    @kikiebaby Před 4 lety

    Asante sana Somo zuri naendelea kujifunza

  • @twaybachellah914
    @twaybachellah914 Před 4 lety

    Asante sana Bro ....

  • @emmanuelhatangimana3431

    Asanteni xana kaka mungu ipitize kukupa hekima.

  • @glaciouskivugo7775
    @glaciouskivugo7775 Před 4 lety +4

    Kweny maji ya barid Mimi nimefel Njombe unaweza zima kwa kuoga maji baridi😢😢😢point ya msingi hii imenipita, mengine yess bless up Kaka.

  • @riadhashaban1185
    @riadhashaban1185 Před 4 lety

    Asante kwa uzinduzi

  • @kulthumidd886
    @kulthumidd886 Před 4 lety +1

    Dah thanks bro

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 Před 4 lety

    Asante sana kaka umenisaidia sana kunibadili kifikra

  • @muddymtumbi9425
    @muddymtumbi9425 Před 4 lety

    Thanks 4 ur nice classic class

  • @husnasalim5739
    @husnasalim5739 Před 4 lety

    Apo sawa kuusu ayo mafunzo nimeyaelewa shukrani

  • @subirachrispin9209
    @subirachrispin9209 Před 4 lety

    Asante sana kaka umetufundisha vitu vizuri sana hongera

  • @mickidadyplanet6476
    @mickidadyplanet6476 Před 4 lety +2

    Elimu kubwa sana... be blessed

  • @user-gd3bn4st2x
    @user-gd3bn4st2x Před 7 měsíci

    Shukran Sana brother nimekuta ila mm huwa napanga vitu afu nashindwa kuvifuata je nifanyeje ili niondokane na hii Hari ya kugaili

  • @rogerbahihota7126
    @rogerbahihota7126 Před 4 lety

    Asante ndugu kwa mafundisho ma zurii

  • @captainjeff2875
    @captainjeff2875 Před 3 lety

    Thank you brother nimekuerewa sanaaa ❤ ❤

  • @user-lz7sd1vd2e
    @user-lz7sd1vd2e Před 2 měsíci +2

    Ndio naanza kuangalia maada zako Kaka nimezipenda na nimejifunza mengi kwa leo

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 měsíci

      Karibu sana sana... Usiache kuandika comment zako, humo nami najifunza kitu. Each One Teach One

  • @saddamshariff5077
    @saddamshariff5077 Před 4 lety

    Masha Allah ibada muhimu sana mengine badae Shukran kaka

  • @saadarahman7172
    @saadarahman7172 Před 3 lety

    Asante sana kaka ubarikiwe

  • @smartcreationpro_503
    @smartcreationpro_503 Před 4 lety +1

    Asanteee... kaka Edzen

  • @kingzerock1504
    @kingzerock1504 Před 3 lety

    Thanks my. Brother

  • @seiftv7783
    @seiftv7783 Před 3 lety

    Thank very much for teach us

  • @rukiaernest4466
    @rukiaernest4466 Před 4 lety +1

    Asante nimependa sana Nitaanza leo maana sinaga ratiba.

  • @SaidSaid-ps1dz
    @SaidSaid-ps1dz Před 4 lety +2

    Maa shaaaa Allah kaka Allah akuzidishie katika kutuhamasisha 🤲🙏🤲

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 Před 4 lety +1

    Ahsante sana kwa mafunzo.

  • @annastaziandoka5864
    @annastaziandoka5864 Před 3 lety

    Asante sn

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 4 lety +1

    napenda kipi chako because unatuelimisha sn thank you for that information

  • @shadyseengaiz5489
    @shadyseengaiz5489 Před 4 lety +5

    We kiboko bro ezden nabadirika sana kupitia madini yako unayotupatia allah akulinde sana

  • @khamissaid1950
    @khamissaid1950 Před rokem +1

    Thank you so much Allah bless you in your all life

  • @kangefathilikangefathili2313

    Nimependa mafundisho yako kaka akika umeniamsha asante mungu akuzidishie kwa kila kitu amina

  • @kijangwazay7711
    @kijangwazay7711 Před 4 lety

    Shukran sana bro hapo kwenye maji ya moto mtihan

  • @djammyomar4578
    @djammyomar4578 Před 4 lety

    Asante sana bro nimejifunza

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 Před 4 lety

    Unafuraisha kweli brother ALLAH akujaalie uzidi kutuelimisha

  • @emilyschanneltaaka8714

    Thanks, following from QATAR

  • @irenepifi4549
    @irenepifi4549 Před 3 lety

    Asante sana kaka

  • @mwalimubaydah6755
    @mwalimubaydah6755 Před 4 lety

    Shukran

  • @allysnear4993
    @allysnear4993 Před 3 lety

    Thanks bro nimekuelewa sna nakukubali

  • @shufaamohammed5357
    @shufaamohammed5357 Před 4 lety

    Thank you soo mch brother

  • @ernestdickison7270
    @ernestdickison7270 Před rokem

    Kaka nashukuru nmekuerewa Mungu akubariki sana

  • @mariebitungwa3833
    @mariebitungwa3833 Před 4 lety

    Merci beaucoup de cette vidéo

  • @FerdoosFerdoos-se7ff
    @FerdoosFerdoos-se7ff Před 4 měsíci

    Asante brooo,umenifungua macho

  • @officialmrangi5517
    @officialmrangi5517 Před 3 lety

    Daaaaah... Safi sana

  • @michellevida7658
    @michellevida7658 Před 4 lety

    Mungu akubariki kwakwel tunajifunza kny hizi jumbe MUNGU azidi kukutumia

  • @benardpaul1271
    @benardpaul1271 Před 4 lety +1

    Asanteni sana bro

  • @karaudionchabwakaraudionch8266

    Asante sana kaka ila me Naomba jambo moja kuwa unapokuwa unaorodhesha point basi tunaomba ziwe zinaonekana kwenye kioo kwan kuna zingne huwa unaweka ndan ya maelezo AF dah unadhindwa kutambua Ipi ndio point
    Asante

  • @amranikigolo5974
    @amranikigolo5974 Před 2 lety

    Maashaallah,
    Allah akupe afya njema tuendelee kupata faida zako
    INSHALLAH WABILLAH TAUFQ.

  • @jamillahmpuya8840
    @jamillahmpuya8840 Před 3 lety

    Asante sana kaka nimejifnza mengi sana

  • @rahmayussuf9328
    @rahmayussuf9328 Před 3 lety +1

    Mafundisho mazur san mung akutie nguvu tuendelea kujifunza kupitia wew

  • @isaacndyakalika6543
    @isaacndyakalika6543 Před 3 lety

    Asante Sana brother nakuelewa sana uko vizuri kaka nimefurahi kukutana na link yako God bless you

  • @raajquoteswords7805
    @raajquoteswords7805 Před 4 lety

    so thanks kaka unazidi kutupatia mwanga wa mafanikio

  • @majumamasinde1953
    @majumamasinde1953 Před 2 lety

    Thank u so much dear mimi naamkanga tu na kisirani aki nimeona kwa nini siendelei asante ndugu

  • @shadow4real868
    @shadow4real868 Před 2 lety

    Napenda sana mafundisho yako thanks very much

  • @elisantemeta5194
    @elisantemeta5194 Před 3 lety

    Safi sana.

  • @lucasmollel2522
    @lucasmollel2522 Před 4 lety

    Thanks a lot for giving out such an motivaiting clip..well you have inspired hundrends of us...keep it up and we must follow what u said so that we can progress more in life....

  • @protaspasian4297
    @protaspasian4297 Před 4 lety +1

    Asante Sana Kaka kwa somo zur

  • @masiangowi4897
    @masiangowi4897 Před 4 lety +1

    perfect..

  • @chogolanuru7318
    @chogolanuru7318 Před 4 lety

    You guy u know blessed

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 Před 4 lety

    Allah bless you brother

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi2115 Před 4 lety +1

    Mashaallah Allah akujaalie kwa kuelimisha jamii

  • @cesarinebahati1832
    @cesarinebahati1832 Před 4 lety

    Yes good advice