Jinsi Ya Kujidhibiti Usitoke Nje Ya Ratiba Zako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 10. 2023
  • Jinsi Ya Kujidhibiti Usitoke Nje Ya Ratiba Zako
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    Bonyeza hapa: WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
    .
    CHUKUA KOZI YA CZcams BURE HAPA:
    Bonyeza hapa: / @youtubepesa255
    .
    NUNUA VITABU:
    Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    TikTok: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    EZDEN JUMANNE CHANNEL👇🏽
    / @ezdenjumanne8521
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    #Success #Path #Network

Komentáře • 40

  • @happyvalence5352
    @happyvalence5352 Před 7 měsíci +1

    Nimejifunza zaidi kuhusu kutoogopa ninapokosea. Yaani napaswa kuzijua Kona zote kama ufagio wa zamani.💪🤣

  • @user-pt7ww5rg8l
    @user-pt7ww5rg8l Před 2 měsíci +1

    nilichojifunza ni kwamba hatutakiwi kuyumba katika majambo yetu by abdulmarick wa udom

  • @SalmaMsikiti-lu5eb
    @SalmaMsikiti-lu5eb Před 7 měsíci +2

    Asalam alaykum warahmatullaah wabarakatuh maashallaah unaongea vitu vilivyo hai nanindio uhalisia wasisi binadam tulio wengi allaah akupe umri mrefu kutokana na elim uliyonayo na hukutaka ibaki kwako ukaamua kuifanya swadakati jjaali swadaka yenye kuendrlea allaah akulipe duniani na akhera aamin aamin

  • @georgeelias2573
    @georgeelias2573 Před 8 měsíci +1

    Ais hii ni yenyew kabisa EZDEN

  • @user-xj7cm1yx2y
    @user-xj7cm1yx2y Před 4 měsíci +1

    Sam Madoller pande za chuga👍

  • @suleim505
    @suleim505 Před 8 měsíci +1

    Shukrani sana mwalimu

  • @user-ro5qm1lh8g
    @user-ro5qm1lh8g Před 3 měsíci +2

    If you want to be Different, Be Ready to do Something Different👍 (Hiki kitu kinanikumbusha kutokukata tamaa)
    Magreth kutoka Mwanza.

  • @mrishosleoman
    @mrishosleoman Před 8 měsíci +1

    Thnk broo

  • @mshanajunior8877
    @mshanajunior8877 Před 7 měsíci +1

    Nimekuelewa Sana brother we need to change Mshana kutokea Dar es salaam ukonga Banana

  • @musadismas9512
    @musadismas9512 Před 8 měsíci +1

    Hongela sana kaka ezdeni kwakutuelielimisha binafsi najifunza sana mengi kwako namungu azidi kukupigania nakukuinua juu kwa elimu bola katika jamii nipo temeke yombi vituka

  • @norbertkauzeni1324
    @norbertkauzeni1324 Před 8 měsíci +1

    Iko vizuri

  • @mohamedmashaka4599
    @mohamedmashaka4599 Před 5 měsíci

    Naitwa Mohamed Mashaka nipo Zanzibar, nilijifunza ni kwamba makosa ni njia ya mafanikio, ulicho kikosea leo kesho kitakupigia alarm na utapita ukiwa pro

  • @rayaally5841
    @rayaally5841 Před 8 měsíci +1

    Kwa maoni yangu,naomba kushare na jamii niongezee ni kwamba jambo jingine ambalo unatakiwa kufanya usitoke katika ratiba zako ni kutochoka kujaribu Try and try mpaka utafanikiwa

  • @user-dc4lg8un2p
    @user-dc4lg8un2p Před 8 měsíci +1

    Mungu akuzidishie hekma kaka

  • @BALOGEENTERPRISES
    @BALOGEENTERPRISES Před 8 měsíci

    ni kweli kaka.kujifunza lazima uwe umekosea. na mafanikio yanakuja kutokana nakuto ludia makosa uloyafanya.
    Big up sana kaka God bless you 🙏

  • @seifpembe5600
    @seifpembe5600 Před 7 měsíci

    🙏🙏

  • @SarahThadey-bs4ey
    @SarahThadey-bs4ey Před 8 měsíci +1

    Asante sana Ezden kaka nmejifunza sana mpaka najiona mjinga

  • @mustafadjuma6504
    @mustafadjuma6504 Před 8 měsíci +2

    Shukrain Sana kwa mafunzo haya I'm from Burundi 🇧🇮 but sahii nakuskilizeni nikiwa nnje na nchi yangu Sema video zenu muhimu San twaomba mfanye ujuzi ili tuwe twazipata in Tiktok maan apa CZcams ningumu San kuu Downloader

  • @marceljosee8046
    @marceljosee8046 Před 2 měsíci

    Each one teach one. Nakubali kaka umekuwa nguzo kubwa kwetu mungu akutunze teundelee kujifunza❤❤❤❤❤

  • @zainabuzainabu4160
    @zainabuzainabu4160 Před 8 měsíci +1

    Upo sahihi kaka Allah akuifadhi.

  • @user-ex6vo5wu2x
    @user-ex6vo5wu2x Před 3 měsíci +1

    Shukrani sana bro we need more like this one

  • @selinakavishe6345
    @selinakavishe6345 Před 8 měsíci +1

    Asante sana kwa msaada ni nzur sana

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Před 8 měsíci

    Tuko pamoja kaka na kwa upande wangu nakuelewa sana

  • @FordPeter
    @FordPeter Před 8 měsíci

    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @user-sh7oi7bm3v
    @user-sh7oi7bm3v Před 8 měsíci +1

    😢nimejifunza kusimamia latiba zangu mim nimekuwa nikipanga mambo mengine lakin kunamambo tu ambayo yanaingiliana nashidwa kwenda saw kwenye mambo yang.

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 8 měsíci +1

    As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh.....Tunaomba utuwekea video zingine tunapenda kazi zako each one teach one❤

  • @saidmakamejanja3616
    @saidmakamejanja3616 Před 6 měsíci +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kaka eznden naomba no y kupata vitabu

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 Před 8 měsíci +1

    Mr Ezden nmejifunza kujitolea muda nakuskiza nikiwa usa

  • @sharifamsuri
    @sharifamsuri Před 8 měsíci

    Hakika kaka

  • @KhamisMohamed-fu4bc
    @KhamisMohamed-fu4bc Před 8 měsíci +2

    Nipo pamoja na wewe sikupingi kaka

  • @JOHNPAULO-bv8rd
    @JOHNPAULO-bv8rd Před 3 měsíci

    kiukweli jambo kubwa nililojifunza ni kuto kuogopa kukosea

  • @omeblvck3096
    @omeblvck3096 Před 8 měsíci +2

    brother i think ni wakati sahihi wa kuanzisha podcast

  • @MariamJuma-nj9fc
    @MariamJuma-nj9fc Před 2 měsíci

    Mariam Niko Dubai, nimejifunza kutokukimbia changamoto.. kwamana pale nitakapo PATA wakat mgum ndio nipashikilie Ili kufikia lengo