Jinsi Ya Kujidhibiti Usitoke Nje Ya Ratiba Zako
Vložit
- čas přidán 30. 10. 2023
- Jinsi Ya Kujidhibiti Usitoke Nje Ya Ratiba Zako
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
Bonyeza hapa: WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
CHUKUA KOZI YA CZcams BURE HAPA:
Bonyeza hapa: / @youtubepesa255
.
NUNUA VITABU:
Click hapa uje whatsapp moja kwa moja kisha andika neno VITABU
WHATSAPP: wa.me/255759191076
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entrepreneur | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
TikTok: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
EZDEN JUMANNE CHANNEL👇🏽
/ @ezdenjumanne8521
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
#Success #Path #Network
Nimejifunza zaidi kuhusu kutoogopa ninapokosea. Yaani napaswa kuzijua Kona zote kama ufagio wa zamani.💪🤣
nilichojifunza ni kwamba hatutakiwi kuyumba katika majambo yetu by abdulmarick wa udom
Asalam alaykum warahmatullaah wabarakatuh maashallaah unaongea vitu vilivyo hai nanindio uhalisia wasisi binadam tulio wengi allaah akupe umri mrefu kutokana na elim uliyonayo na hukutaka ibaki kwako ukaamua kuifanya swadakati jjaali swadaka yenye kuendrlea allaah akulipe duniani na akhera aamin aamin
Ais hii ni yenyew kabisa EZDEN
Sam Madoller pande za chuga👍
Shukrani sana mwalimu
If you want to be Different, Be Ready to do Something Different👍 (Hiki kitu kinanikumbusha kutokukata tamaa)
Magreth kutoka Mwanza.
Sahihi
Thnk broo
Nimekuelewa Sana brother we need to change Mshana kutokea Dar es salaam ukonga Banana
Hongela sana kaka ezdeni kwakutuelielimisha binafsi najifunza sana mengi kwako namungu azidi kukupigania nakukuinua juu kwa elimu bola katika jamii nipo temeke yombi vituka
Iko vizuri
Nakusoma vzr nwalimu
Naitwa Mohamed Mashaka nipo Zanzibar, nilijifunza ni kwamba makosa ni njia ya mafanikio, ulicho kikosea leo kesho kitakupigia alarm na utapita ukiwa pro
Kwa maoni yangu,naomba kushare na jamii niongezee ni kwamba jambo jingine ambalo unatakiwa kufanya usitoke katika ratiba zako ni kutochoka kujaribu Try and try mpaka utafanikiwa
Mungu akuzidishie hekma kaka
ni kweli kaka.kujifunza lazima uwe umekosea. na mafanikio yanakuja kutokana nakuto ludia makosa uloyafanya.
Big up sana kaka God bless you 🙏
🙏🙏
Asante sana Ezden kaka nmejifunza sana mpaka najiona mjinga
Shukrain Sana kwa mafunzo haya I'm from Burundi 🇧🇮 but sahii nakuskilizeni nikiwa nnje na nchi yangu Sema video zenu muhimu San twaomba mfanye ujuzi ili tuwe twazipata in Tiktok maan apa CZcams ningumu San kuu Downloader
Each one teach one. Nakubali kaka umekuwa nguzo kubwa kwetu mungu akutunze teundelee kujifunza❤❤❤❤❤
Amin
Upo sahihi kaka Allah akuifadhi.
Shukrani sana bro we need more like this one
More is Coming
Asante sana kwa msaada ni nzur sana
Tuko pamoja kaka na kwa upande wangu nakuelewa sana
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
😢nimejifunza kusimamia latiba zangu mim nimekuwa nikipanga mambo mengine lakin kunamambo tu ambayo yanaingiliana nashidwa kwenda saw kwenye mambo yang.
As salaam alaikum warahmatullah wabarakatuh.....Tunaomba utuwekea video zingine tunapenda kazi zako each one teach one❤
Shukrani sana
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kaka eznden naomba no y kupata vitabu
Mr Ezden nmejifunza kujitolea muda nakuskiza nikiwa usa
Hakika kaka
Nipo pamoja na wewe sikupingi kaka
kiukweli jambo kubwa nililojifunza ni kuto kuogopa kukosea
brother i think ni wakati sahihi wa kuanzisha podcast
Sawasawa...
Mariam Niko Dubai, nimejifunza kutokukimbia changamoto.. kwamana pale nitakapo PATA wakat mgum ndio nipashikilie Ili kufikia lengo
Hakika, umejifunza vyema Mariam