FANYA HIVI UPATE PESA ZAIDI
Vložit
- čas přidán 21. 07. 2021
- Haya ni mambo 13 ambayo masikini wengi wanapuuzia kuhusu pesa. Mambo ambayo wale wanaofanikiwa wanayazingatia sana na kuendelea kufanikiwa. Kwahiyo ili hali yako kiuchumi ibadilike ni muhimu sana kubadili baadhi ya mambo hasa kwenye tabia kuhusu pesa. Karibu tujifunze.
.
VITABU VILIVYOPO:
1. Elimu ya msingi ya fedha 20,000 TZS
2. Elimu ya msingi ya biashara 20,000 TZS
3. Biashara ndani ya ajira 20,000 TZS
4. Una nguvu za kutenda miujiza 20,000 TZS
5. Jiondoe katika utumwa wa kidigitali 20,000 TZS
6. Mfundishe mwanao kuishi 30,000 TZS
7. Mwanafunzi wa kiafrika (Mambo 100) 15,000 TZS
.
Tuma ujumbe neno "KITABU au VITABU" katika namba 0759191076 utapewa maelekezo.
.
JIUNGE NA GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
(SPN BOOK CLUB):
Karibu ujiunge ikiwa wewe:
- Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
- Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
- Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
.
ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
.
SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
.
UNGANA NAMI MITANDAONI:
INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
INSTAGRAM : / ezdenjumanne
FACEBOOK : / ezdenjumanne
TWITTER : / ezdenjumanne
LINKEDIN : / ezdenjumanne
CZcams : / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
/ hamasayaleo
.
.
#Pesa #Fedha #Zaidi
Nimependezwa sana Kwa somo hili,na nimeelewa vizuri kwa nini kuzaliwa maskini si kosa lakini kufa maskini ndio kosa.Asante sana kaka Ezden jumanne.
Asante sana bro ezden, Elimu ya PESA,, NI ELIMU AMBAYO NAHITAJI KUJIFUNZA ZAIDI. Asante Kwa haya madini god bless you 🙏🙏
pamoja sana
Izohera nazitaka ngoja nifanye
@@successpathnetwork asante
Nipo tayari kukua mtajiri nilizaliwa masikini lakini nitafuata somo hili nimeamini nitafanikiwa katika jina la Yesu 👏👏
Video hii nimeipenda hasa ulivyo nikumbusha kusave kilamwez niliachaga kusave mambo yalivyo kuwa mengi kuliko kipato lakin nitajibana xanks bro maisha malefu
Ahsante sana bro, hakika mimi nimejifunza kitu, namimi naharibu sana pesa kwa ukweli, na ndoto yangu nikifanya biashara. Mungu akubariki sana kwa hili lesson bro. Mimi wakwanza hakika umenisaidia. sana
Kuweka akiba shida kwangu ni moja huluma
Huruma gani Tena😁😁
On point bro respect for you unazidi kunipa morari ya ku do it vitu hata nlivyo kua nsha vkatia tamaa🙏
Pesa nlioisave niya kuinvest sio ya matumizi ,,,ino lesson of the day
Ahsante Kwa somo lako kaka nimelipenda na nimelielewa tumepewa funzo kubwa Sana
Pamoja sana nimekuelewa kaka mungu akubariki
Nice ideas
Dah asante 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kuanzia leo sipotezi muda au siku bila kufanya kitu ambacho kipo ndani ya malengo shukrani ziwe kwako kaka vyote nimependa
Mungu akubaliki kaka yngu somo zur sana
Asalamwalekum zaleo bro nimeikubali Sana somo ili Allah akuweke Sana ameen
Allahumma ameen...
Kaka kiukweli mi naelewa sana dalasa lako ni dalasa ambalo Lina zungumzia uhalisia mkubwa sana katika maisha ya kila siku mi naitaji nipate kitabu Cha biashala ndani ya ajila
Tuma ujumbe andika "KITABU - (Mahali ulipo)" kwenda namba 0759191076
Jazakkah Allahu bro
Perfect, thank you brother.
Allah akuhifadh
Ezden unakua umejiajili unakuta mwezi mzima ujapata pesa unapata ya kutumia kwa siku iyo tu upati ya kuweka akiba ya kuwaza kununua kitu flani unacho taka
Nimejifunza vitu vingi sana kupitia hi channel yako and am sure a m going to change . I nor were iam loss thanks so much and I have to continue to study about life Big up my brother jumanne nakupata vizuli sana nikiwa zambia .
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Asante sana Kaka nimejifunza kitu kikubwa Kutoka kwako Allah akuweke mda mrefu uendelee kufunguwa macho ya watu yaliyo pofoka
Ubarikiwe
Good nimekuwerewaa saana
Upo sahii san kka
Asante sana kwa hilo,,,, niko njia sawa kabisa
Nakushukuru saaaana nduguyangu zaidi île yakununua vitu
No 6 iko vzr
Asante sana nimejifunza kuwa namatumizi mazuri ya fedha
Zuri ajabu mungu akuzidishie
Asante San nitajimeck kwanzia Leo teacheli pia mungu atubarik san
Nimeipendaa Sana Iko Vzur
Shukrani sana
Allah bless you bro 🙏❤️❣️💕❣️
Shukran bro
Asante kaka kwa funzo lako
Nimekuerewa sanaaa kamauko kwenye moyo wngu ila chanzo sina ndio nakitafuta zen niyafanyie kazi
Ahsante kwa Elimu hii
Nakubali kabisa
Asante kwa somo zuri🙏
Nashukuru sana kwa hili somo nimesikiya napata juudi yaku fanya kazi bila Ku choka
Asante Sana brother
❤❤❤Asante sana kwel Muda ni mali
Nimekuelewa vizuri sana
Aksantesana kwamafundisho yapesa
Mashaallah nimeelewaa sana kufikiria kuaajiri nasii kuajiriwa na linginee kusev mudaa taim
Good bro mola akusimamie
Asante
DaH FACT TUPU 👊👊👊👊👊
Thank you you are the best
Asant san God bless you
Habari samahani kk mimi na kikundi cha uigizaji kinacho fahamika kama KIVYETU TV,
nilikuwa nahitaji support yako kama underground katika tasnia hii ya kuigiza vichekesho kwani wewe una uzoefu kwenye hili jambo naomba unisaidie kaka.nafikili itakua ni jambo kubwa sanaaa tunaomba support yako
Shukruni kwa Elimu ya pesa
Asante kwa somo nzuri
Shukran
Shukraniiii kwa Elimu hii
ishi miaka mingi kaka mm kuamka ndio huwa nachelewa kaz yang inaitaji kuwahi san mapema tafadhalnielekeze namna ya kufanya
Safi sana
Asante Sana Kaka😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimependa hili somo
Karibu sana
nice
Good work brother
Kwer brother upo sahihi
Thanks alot
Asanti sana kwa kielezo yako hii ni bora sana katika maisha ya watu.
Asante sana mkuu
Nikimsikiliza hii inanipa nguvu kupambana wallah asnt kaka
Ahsante Sana kaka
Nimekwelewa vizur
Thank you brother nimejifunza kitu
Asante nimejifunza kuusu ufanyaji wa biashala
Nashukuru sana kwa kunipa hamasa nan uliza swal mm napoteza sana pesa kwa kupitia soel net work kwa mambo ambayo yana tanuwa fikra zangu zilikua has na kuwa chanya
Kaka asante sana welcome tanga
Nimejifunza kuifanyia kazi master plan yangu ahsante
god bless you brother
Nakukubari sana bro
Asante kakangu ❤️ ubrikiwe mpak ushangae🦁
Nakuunga mkono haya
pamoja kaka
Mm naitaka elimu hii
Asante sana
Iko poa sana kaka hii
Fact bro.......
Big up brother Ezden
Thanks
Ni kwelii
Ezden,nimeelewa sana swala la kubali tabia za hovyo ilikufikia mafanikio
Napenda sana
Asantee
tunapata vitabo kupitia njia gani ao mutu ata wasiliana naww kutia njia gani
Assante sana kakaangu nimekwelewa kuanziya sasa nitajifunza jinsi akutumia pesa.
Ahsante,,, Nimekuelewa
Kaka Nanzakuwekeza kwnziy leho
Naqubaliii bro unaongea point Sana
daah! mungu akubark soma lenye madini2!
asante cna
Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asant Dana mungu akubalik
Thanks my brother
You're welcome
ibarikiwe kaka
Kitu gani nimeelewa ni swala la kujiajili
Kabisa
Nice
Nimejifunza kuweka akiba brother