MCH MBARIKIWA MWAKIPESILE NA MASANJA MKANDAMIZAJI LIVE🙏🏾
Vložit
- čas přidán 27. 02. 2020
- MZEE WA KIKOSI KAZI, SISI TUNAENDELEA KUJIFUNZA TOKA KWAKO, USITUCHOKE, HATA WEWE HAUKUANZIA HAPO, ASANTE KWA UTAYARI NA KUKUBALI KUFANYIKA MWALIMU!
NAKUHAKIKISHIA TUNAMALIZA KAZI KWA HESHIMA💪🏽 - Hudba
Binafsi niyaonapo haya najuwa YESU yu karibu kuja, Mungu awabariki watumishi. Lisaidieni kanisa lipone liwe takatifu Yesu ajapo aikute IMANI ile aliyowaachia mitume. ✝️🛐😭
Ubarikiwe baba askofu emmanuel
Mbarikiwa ni miongoni mwa watumishi wanaofundisha kweli yaani maisha ya Toba
Mfuate huyu Emmanuel na umsikilize na kuyafuata maagizo yake kama Yoshua alivyomsikiliza Musa hautojuta.
Injili ya kweli isiyo na mizaha ndiyo yenye mamlaka ya kubadili tabia zetu.
Amina
Masanja umenifurahisha kiukweli !
Uendelee kubarikiwa mpaka wenye Wivu wabadilike wawe wema !Nawatakia kazi njema
Amen mch.masanja mabadiliko ni hatua moja baada ya nyingine huyo pastor anawokovu mgumu lakini ndo inayohitajika kwa sasa so wokovu wa sasa umebumbuliwa NB.maombi ndo iwe tabia ako mpaka mwisho achana na comment za watu huwezi kubadilika nipo India now wokovu wake nipo nae ni kam nipo Tanzania mfuate hasa.amen be blessed
Agaria sana watu kuwamakin
Inapendeza sana watoto wa MUNGU wakiwa pamoja ❤❤.
.
Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.
1 Wakorintho 16:14
.
Salimianeni kwa ishara ya upendo.
2 Wakorintho 13:12
.
christ olivier Ni kweli kabisaaa
Woow..I looked and saw PAUL & TIMOTHY..Dady Emmanuel I Love Ur God,you are a blessed generation🙏
Gaudenciar Edwin AMEN my Daughter 🙏🏾
Kwa mchugaji mbalikiwa,anawokovu mgumu ata kuhumeza shida,ila ukivumilia kukaha naye duh,kwanini usiokoke,...amen
Tunakukalibisha kwenye kikosi kazi Bwana masanja
Yani bro nashukuru Sana binafsi nabalikiwa kupitia ww so Mungu akulinde uenende sawasawa na mapenzi yake
Mch. Masanja ubarikiwe sana kwa unyenyekevu huu. Mungu atakupeleka mbali. Wana wa Mungu yatupasa kutokuwa wepesi katika kuhukumu. Na zaidi ya yote kutokuhukumu kabisa. Tuwe wanyenyekevu kwa kuwa Mungu ana watu wake.
Mungu ni mwema siku zote mbarikiwe watumishi wa Mungu
Kikosi kazi mbarikiwe
Mbarikiwa mzee wa gombo .injili isiyogoshiwa inapatikana hapo ..nakujua hukopeshi
Huyu mzee anapiga gombo lileee la nyakati za biblia
Kwa kweli kaka Emmanuel mungu azidi kukutunza ainue huduma yako wewe ni mfano wa kuingwa👈💪💪🔥👏🙌🤩🤩🤩🤩🤩🙏
Usipokubali kufundishwa huwezi kuwa mwalimu msanja mungu akubariki kwa kujishusha
natifa Smith Very True
Mungu awabariki sana katika kazi zako
Mungu nipe Mume mcha MUNGU kama Masanjaa🙏🙏 furaha kama yote
Tee Anna Pokea sawasawa na haja ya Moyo wako
@@Feelfreechurch Amen napokea kwa jina la YESU
Ubarikiwe Sana Dada hebu nakusihi nitafute kwenye namba hii 0764597887
Tee
Mungu akubariki umeomba lililo jema machoni pa Mungu amini imekuwa ivyo. Wengine tuliangukiaga ktk mikono ya wanyang'anyi ndoa zikafa tupo tunahangaika na dunia. Ninamachozi yasiyo kauka machoni maisha yote.
Naomba daima adumu Mbarikiwa katika unyenyekevu asije akayaacha maagizo ya Bwana Yesu.
Katika waimbaji anaongoza kwa nyimbo zenye nguvu za Mungu na zenye jumbe za kweli
Kazi isonge mbele Yesu Kristo ahubiriwe kwa nguvu zote
Mtumishi wa mungu masanja mbona ili la mbarikiwa upo kimya jaman kuna nn hujui kuwa alifungwa? Na mwanae alikufa! Inapendeza saba ndg kukaa pamoja kwa umoja
Kwa yesu kumenoga hako katishet mtumishi nimekaelewa
Benard samwel ministry Amen Asante sanaaa
Mungu awakumbuke kwa kazi nzuri
Dah ni neema ya namna gani watu kukaa pamoja na kukubali kujifunza kwa waliowatangulia. Kaka Emmanuel na mchungaji niseme tu Mungu akubaliki sana kwa moyo wa namna hiyo.
Kwa Yesu kuna raha Armani,Mungu azidi kuwa bariki kila iitwapo leo
Ukipata wa hivi kama mch Emmanuel hujutii mahusiano unaona kama alikuwa wap toka zamani hongera mtumishi one day naiombea siku utupatie darasa daah i swear Mungu atatenda
Barikiwa Sana. Mchungaji Masanja kazi ndio kwanza imeamka panda mbegu za uzima.
Christopher Mgoli Amen Amen
Amina. Mbarikiweee 😍
Askof umenipa rahaaa jinsi tu unavyotabasamu hivi na unavyoitikia amen askof haya bwana
Mungu awainue ila siku nyingine sauti ifanyiwe marekebisho
Waoooooo nimefurahi kumuona mwakipesile kwa mwasanja
Safi sana balikiwa
Mbarikiwe sana watumishi.
Nikweli kbs
Emmanul ni humble sanq
Kaka Masanja wewe ni watofauti sana napenda maisha unayoishi ya kumtanguliza Mungu maishani wacha Mungu aendelee kukubariki Na kukupeleka mbali kwa viwango.
Mungu akubaliki sana MBARIKIWA MCHUNGAJI
Ameeeeen
Kweli kaka Immanuel
Nawapenda sanaa watumishi wa mugu...nimefurah kwamkwli kuona mnakumbuka kutembeleana
Yohana Mlagala Amen Amen
Nimefrahi sana... Nimebarikwa pia
servant Josiah TV Amen Asante sanaaa
Mungu azidi kuwainua watumishi
Sijui lin nitakutana nanyi Watumishi, Kaka Ema naomba namba
God may bless you Emanuel
Mungu akubarikiwe sana
Hongera kwa kupokea ugeni mkubwa
Sawaaa masanja
Mungu awe nanyi, karibuni na kwangu
Naitazama nikiwa ujerumani
Hakika Mungu ni mwema.
Mahali mlipo ni sehem sahihi mungu awabariki
ezekiel jolam Amen
Amina kubwa
One day iwill be in Tz will such you mchunganji masanja
virginia kibe anytime my friend
Balikiwa Sana sana
Sauti iko chini Sana Masanja
Kujifunza kutoka kwa waliopita ndiyo maarifa mema
dah ebwana ubarikiwe mwakipesile
Mke wa masanja 1 Timotheo 2:9,1petro 3:3-4
Vizur sana
Amina
Amen
Baada ya masumbufu naiyona faraja ya MUNGU mwenye Rehema ikikujia,utabiri pokea kutoka kwa Bwana,naona badiliko la fanaka hutalia Tena Nuru naikujie,Pokea bubujiko la faraja na'am na usahau yote.Ili makusudi mema ya MUNGU ya timie kwako..
Njoo na kwetu jmn
Wao God bless you
salvatory masaki Amen Asante sana
Mh!!!
Mrudishe njia kuu alianza nae kupoteza ngudu yetu huyo kukandamiza ilikuwa Kwa upande wa comedy ila Kwa upande wa Imani naona Kwa upande wangu angesema kubembeleza coz watu wanahitaji maandalizi kama hayo na sio vitisho maana automatical ukisema kukandamiza inamaana zakuendelea kudiskasi kitaalam niseme hii kukandamiza ilikaa kule original comedy Kwa ukomedy barikiwa mtumishi wa Mungu mtoto akiunyea mkono elewa.
AmeeeN
Masanja ninaamini hapo umekutana na upako .
wakaribishe ndani wageni
Huyo mwakipesile ni mchungaji wa kweli ambae anakagua mpaka kijiko Cha wali umekiwekaje mdomoni yaani namaanisha anakagua Kila tendo ufanyalo
masanja na mbarikiwa????? Mungu atusaidie tuwe na mwisho mzuri.
wawili hawawezi kwenda pamoja kama hawajapatana. sina imani saaana na muunganiko huu. mwenye jicho la roho ataona kitu hapo , walio waombaji watapata kitu cha kufanyia kazi na watu wa mwilini hawataona chochote.
Roho wa Mungu atusaidie katika kila huduma anayotupa itufanye tuzidi kushuka zaidi kuliko kuinuka.
shetani mbaya jamani....
Leo masanja mpole km nini
This is amazing
IZ_THINKER TV 🙏🏾
Kalambo national Park
Next stop Kwa mwamposya mkakanyage mafuta
Nakataka hako kashati kalikoandikwa kwa Yesu kumenoga
Mchango wake ili nikapate ni shingap
Prince Emma Munda Sawa wala hamna neno UTAKAPATA KABISAA
@@Feelfreechurch mi pia masanja ila nipo mbeya naomba nikapatee pleaseeee
Hicho kigae kilichopasuka mkeo hakioni
Mhhh kila mtu Ana mtazam wako.... Big up mchg ema
Masanja ni mtu mwenye akili sana,, ana uwezo wa kubadilika kulingana Na mazingira Na kuishi Na mtu wa aina yeyote.
Blionea Bichwa Ndivyo itupasavyo kuwa🙏🏾
Paulo anasema nilikuwa Kama myahudi ili niwapate wayahudi nilikuwa Kama mtumwa ili niwapate watumwa...nilikuwa kama chini ya Sheria ili niwapate walioouwa chini sheria ingawa sipo chini ya Sheria
Njoo Lumo huku
Barikiwa sana
Nampenda sana Masanja na mke wake wana upendo wakutoka ndani wako wazi, Mungu awabariki sana hamna roho yakujikweza.
Mungu awabariki
Pastor masanja Mungu azidi kukuinua kwa unyenyekevu wako tunajifunza mengi
Uwiiii kaka Masanja jmn chunguza Kwanza .wakuachie kitabu chake yale nimaono yk
Ukipata wa hivi kama mch Emmanuel hujutii mahusiano unaona kama alikuwa wap toka zamani hongera mtumishi one day naiombea siku utupatie darasa daah i swear Mungu atatenda