MCH MBARIKIWA MWAKIPESILE NA MASANJA MKANDAMIZAJI LIVE🙏🏾

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2020
  • MZEE WA KIKOSI KAZI, SISI TUNAENDELEA KUJIFUNZA TOKA KWAKO, USITUCHOKE, HATA WEWE HAUKUANZIA HAPO, ASANTE KWA UTAYARI NA KUKUBALI KUFANYIKA MWALIMU!
    NAKUHAKIKISHIA TUNAMALIZA KAZI KWA HESHIMA💪🏽
  • Hudba

Komentáře • 111

  • @shalomizrael667
    @shalomizrael667 Před 4 lety +2

    Binafsi niyaonapo haya najuwa YESU yu karibu kuja, Mungu awabariki watumishi. Lisaidieni kanisa lipone liwe takatifu Yesu ajapo aikute IMANI ile aliyowaachia mitume. ✝️🛐😭

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Před 2 měsíci

    Ubarikiwe baba askofu emmanuel

  • @cliftonmahande9358
    @cliftonmahande9358 Před 4 lety +5

    Mbarikiwa ni miongoni mwa watumishi wanaofundisha kweli yaani maisha ya Toba
    Mfuate huyu Emmanuel na umsikilize na kuyafuata maagizo yake kama Yoshua alivyomsikiliza Musa hautojuta.
    Injili ya kweli isiyo na mizaha ndiyo yenye mamlaka ya kubadili tabia zetu.

  • @mrmhenipm
    @mrmhenipm Před 4 lety +1

    Masanja umenifurahisha kiukweli !
    Uendelee kubarikiwa mpaka wenye Wivu wabadilike wawe wema !Nawatakia kazi njema

  • @amosimichael208
    @amosimichael208 Před 4 lety +2

    Amen mch.masanja mabadiliko ni hatua moja baada ya nyingine huyo pastor anawokovu mgumu lakini ndo inayohitajika kwa sasa so wokovu wa sasa umebumbuliwa NB.maombi ndo iwe tabia ako mpaka mwisho achana na comment za watu huwezi kubadilika nipo India now wokovu wake nipo nae ni kam nipo Tanzania mfuate hasa.amen be blessed

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 Před 4 lety +7

    Inapendeza sana watoto wa MUNGU wakiwa pamoja ❤❤.
    .
    Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.
    1 Wakorintho 16:14
    .
    Salimianeni kwa ishara ya upendo.
    2 Wakorintho 13:12
    .

  • @gauedwin1960
    @gauedwin1960 Před 4 lety +6

    Woow..I looked and saw PAUL & TIMOTHY..Dady Emmanuel I Love Ur God,you are a blessed generation🙏

  • @bartolomeuhenrique1574

    Kwa mchugaji mbalikiwa,anawokovu mgumu ata kuhumeza shida,ila ukivumilia kukaha naye duh,kwanini usiokoke,...amen

  • @mwalongojames1507
    @mwalongojames1507 Před 4 lety +2

    Tunakukalibisha kwenye kikosi kazi Bwana masanja

  • @godfreykawibesele8545
    @godfreykawibesele8545 Před 4 lety +1

    Yani bro nashukuru Sana binafsi nabalikiwa kupitia ww so Mungu akulinde uenende sawasawa na mapenzi yake

  • @josephhizza8004
    @josephhizza8004 Před 2 lety

    Mch. Masanja ubarikiwe sana kwa unyenyekevu huu. Mungu atakupeleka mbali. Wana wa Mungu yatupasa kutokuwa wepesi katika kuhukumu. Na zaidi ya yote kutokuhukumu kabisa. Tuwe wanyenyekevu kwa kuwa Mungu ana watu wake.

  • @johnlearnmaths.2538
    @johnlearnmaths.2538 Před 4 lety +3

    Kikosi kazi mbarikiwe

  • @mwachamwacha5538
    @mwachamwacha5538 Před 4 lety +1

    Mbarikiwa mzee wa gombo .injili isiyogoshiwa inapatikana hapo ..nakujua hukopeshi

    • @shalomizrael667
      @shalomizrael667 Před 4 lety

      Huyu mzee anapiga gombo lileee la nyakati za biblia

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 Před rokem

    Kwa kweli kaka Emmanuel mungu azidi kukutunza ainue huduma yako wewe ni mfano wa kuingwa👈💪💪🔥👏🙌🤩🤩🤩🤩🤩🙏

  • @natifasmith3468
    @natifasmith3468 Před 4 lety +2

    Usipokubali kufundishwa huwezi kuwa mwalimu msanja mungu akubariki kwa kujishusha

  • @ernestinamgeni6329
    @ernestinamgeni6329 Před 4 lety +1

    Mungu awabariki sana katika kazi zako

  • @teeanna2060
    @teeanna2060 Před 4 lety +6

    Mungu nipe Mume mcha MUNGU kama Masanjaa🙏🙏 furaha kama yote

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  Před 4 lety +2

      Tee Anna Pokea sawasawa na haja ya Moyo wako

    • @teeanna2060
      @teeanna2060 Před 4 lety +1

      @@Feelfreechurch Amen napokea kwa jina la YESU

    • @kitasyajohn6033
      @kitasyajohn6033 Před 4 lety +2

      Ubarikiwe Sana Dada hebu nakusihi nitafute kwenye namba hii 0764597887

    • @kitasyajohn6033
      @kitasyajohn6033 Před 4 lety +1

      Tee

    • @shalomizrael667
      @shalomizrael667 Před 4 lety

      Mungu akubariki umeomba lililo jema machoni pa Mungu amini imekuwa ivyo. Wengine tuliangukiaga ktk mikono ya wanyang'anyi ndoa zikafa tupo tunahangaika na dunia. Ninamachozi yasiyo kauka machoni maisha yote.

  • @cliftonmahande9358
    @cliftonmahande9358 Před 4 lety +1

    Naomba daima adumu Mbarikiwa katika unyenyekevu asije akayaacha maagizo ya Bwana Yesu.
    Katika waimbaji anaongoza kwa nyimbo zenye nguvu za Mungu na zenye jumbe za kweli

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 Před 4 lety

    Kazi isonge mbele Yesu Kristo ahubiriwe kwa nguvu zote

  • @revinaimani6846
    @revinaimani6846 Před 5 měsíci

    Mtumishi wa mungu masanja mbona ili la mbarikiwa upo kimya jaman kuna nn hujui kuwa alifungwa? Na mwanae alikufa! Inapendeza saba ndg kukaa pamoja kwa umoja

  • @benardsamwelministry7024
    @benardsamwelministry7024 Před 4 lety +4

    Kwa yesu kumenoga hako katishet mtumishi nimekaelewa

  • @ericksuleiman9619
    @ericksuleiman9619 Před 2 lety

    Mungu awakumbuke kwa kazi nzuri

  • @ev.eng.enockl.mwakapalila2499

    Dah ni neema ya namna gani watu kukaa pamoja na kukubali kujifunza kwa waliowatangulia. Kaka Emmanuel na mchungaji niseme tu Mungu akubaliki sana kwa moyo wa namna hiyo.

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 4 lety

    Kwa Yesu kuna raha Armani,Mungu azidi kuwa bariki kila iitwapo leo

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 Před 4 lety

    Ukipata wa hivi kama mch Emmanuel hujutii mahusiano unaona kama alikuwa wap toka zamani hongera mtumishi one day naiombea siku utupatie darasa daah i swear Mungu atatenda

  • @christophermgoli1236
    @christophermgoli1236 Před 4 lety

    Barikiwa Sana. Mchungaji Masanja kazi ndio kwanza imeamka panda mbegu za uzima.

  • @prayalways9416
    @prayalways9416 Před 4 lety +1

    Amina. Mbarikiweee 😍

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Před 2 lety

    Askof umenipa rahaaa jinsi tu unavyotabasamu hivi na unavyoitikia amen askof haya bwana

  • @esterbarinaba5891
    @esterbarinaba5891 Před 4 lety +1

    Mungu awainue ila siku nyingine sauti ifanyiwe marekebisho

  • @iluminathawilliam6549
    @iluminathawilliam6549 Před 4 lety +1

    Waoooooo nimefurahi kumuona mwakipesile kwa mwasanja

  • @gracelutumo6911
    @gracelutumo6911 Před rokem

    Mbarikiwe sana watumishi.

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 2 měsíci

    Nikweli kbs

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Před 2 měsíci

    Emmanul ni humble sanq

  • @maryemanuel5263
    @maryemanuel5263 Před 4 lety

    Kaka Masanja wewe ni watofauti sana napenda maisha unayoishi ya kumtanguliza Mungu maishani wacha Mungu aendelee kukubariki Na kukupeleka mbali kwa viwango.

  • @yohanamlagala8608
    @yohanamlagala8608 Před 4 lety

    Nawapenda sanaa watumishi wa mugu...nimefurah kwamkwli kuona mnakumbuka kutembeleana

  • @servantjosiahtv3129
    @servantjosiahtv3129 Před 4 lety +2

    Nimefrahi sana... Nimebarikwa pia

  • @fanuelngambiye1342
    @fanuelngambiye1342 Před 4 lety

    Mungu azidi kuwainua watumishi

  • @sabinagerold9962
    @sabinagerold9962 Před 4 lety

    Sijui lin nitakutana nanyi Watumishi, Kaka Ema naomba namba

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 Před 4 lety

    God may bless you Emanuel

  • @evangelistgideon6917
    @evangelistgideon6917 Před 4 lety

    Mungu akubarikiwe sana

  • @kedricksiame6167
    @kedricksiame6167 Před 3 lety

    Hongera kwa kupokea ugeni mkubwa

  • @masterke536
    @masterke536 Před rokem

    Sawaaa masanja

  • @sabinagerold9962
    @sabinagerold9962 Před 4 lety

    Mungu awe nanyi, karibuni na kwangu

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 2 měsíci

    Naitazama nikiwa ujerumani

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 Před 4 lety

    Hakika Mungu ni mwema.

  • @ezekieljolam3961
    @ezekieljolam3961 Před 4 lety

    Mahali mlipo ni sehem sahihi mungu awabariki

  • @florapeudy3963
    @florapeudy3963 Před 2 lety

    Amina kubwa

  • @virginiakibe1846
    @virginiakibe1846 Před 4 lety

    One day iwill be in Tz will such you mchunganji masanja

  • @sillassaid3257
    @sillassaid3257 Před rokem

    Balikiwa Sana sana

  • @m.amanitv8534
    @m.amanitv8534 Před 4 lety

    Sauti iko chini Sana Masanja

  • @jumakitandu5438
    @jumakitandu5438 Před 4 lety

    Kujifunza kutoka kwa waliopita ndiyo maarifa mema

  • @gabrielenocygabriel4623

    dah ebwana ubarikiwe mwakipesile

  • @mjakazieunicelucas
    @mjakazieunicelucas Před 2 lety

    Mke wa masanja 1 Timotheo 2:9,1petro 3:3-4

  • @naomijohn1273
    @naomijohn1273 Před 4 lety

    Vizur sana

  • @felistasabuni4285
    @felistasabuni4285 Před 2 lety

    Amina

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 Před 4 lety

    Amen

  • @emmosilver6039
    @emmosilver6039 Před 2 měsíci

    Baada ya masumbufu naiyona faraja ya MUNGU mwenye Rehema ikikujia,utabiri pokea kutoka kwa Bwana,naona badiliko la fanaka hutalia Tena Nuru naikujie,Pokea bubujiko la faraja na'am na usahau yote.Ili makusudi mema ya MUNGU ya timie kwako..

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 Před 2 lety

    Njoo na kwetu jmn

  • @salvatorymasaki4758
    @salvatorymasaki4758 Před 4 lety

    Wao God bless you

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 Před 2 lety

    Mh!!!

  • @godfreymbuya-go5zd
    @godfreymbuya-go5zd Před rokem

    Mrudishe njia kuu alianza nae kupoteza ngudu yetu huyo kukandamiza ilikuwa Kwa upande wa comedy ila Kwa upande wa Imani naona Kwa upande wangu angesema kubembeleza coz watu wanahitaji maandalizi kama hayo na sio vitisho maana automatical ukisema kukandamiza inamaana zakuendelea kudiskasi kitaalam niseme hii kukandamiza ilikaa kule original comedy Kwa ukomedy barikiwa mtumishi wa Mungu mtoto akiunyea mkono elewa.

  • @naomioman9794
    @naomioman9794 Před 4 lety

    AmeeeN

  • @ligthinessfilipo6475
    @ligthinessfilipo6475 Před rokem

    Masanja ninaamini hapo umekutana na upako .

  • @rachelemmanuel6244
    @rachelemmanuel6244 Před 4 lety

    wakaribishe ndani wageni

  • @kitasyajohn6033
    @kitasyajohn6033 Před 4 lety +3

    Huyo mwakipesile ni mchungaji wa kweli ambae anakagua mpaka kijiko Cha wali umekiwekaje mdomoni yaani namaanisha anakagua Kila tendo ufanyalo

  • @angelantony5356
    @angelantony5356 Před 4 lety +1

    masanja na mbarikiwa????? Mungu atusaidie tuwe na mwisho mzuri.
    wawili hawawezi kwenda pamoja kama hawajapatana. sina imani saaana na muunganiko huu. mwenye jicho la roho ataona kitu hapo , walio waombaji watapata kitu cha kufanyia kazi na watu wa mwilini hawataona chochote.
    Roho wa Mungu atusaidie katika kila huduma anayotupa itufanye tuzidi kushuka zaidi kuliko kuinuka.
    shetani mbaya jamani....

  • @mangakwigema
    @mangakwigema Před 2 lety

    Leo masanja mpole km nini

  • @isackjrmedia6781
    @isackjrmedia6781 Před 4 lety

    This is amazing

  • @neemamwakasaje2801
    @neemamwakasaje2801 Před rokem

    Kalambo national Park

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 Před 2 lety

    Next stop Kwa mwamposya mkakanyage mafuta

  • @princeemmamunda4286
    @princeemmamunda4286 Před 4 lety

    Nakataka hako kashati kalikoandikwa kwa Yesu kumenoga
    Mchango wake ili nikapate ni shingap

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  Před 4 lety

      Prince Emma Munda Sawa wala hamna neno UTAKAPATA KABISAA

    • @tusajigwemathias3758
      @tusajigwemathias3758 Před 4 lety

      @@Feelfreechurch mi pia masanja ila nipo mbeya naomba nikapatee pleaseeee

  • @hellenimmaculate5953
    @hellenimmaculate5953 Před 4 lety

    Hicho kigae kilichopasuka mkeo hakioni

    • @sophiamduma7397
      @sophiamduma7397 Před 4 lety

      Mhhh kila mtu Ana mtazam wako.... Big up mchg ema

  • @bilioneabichwa
    @bilioneabichwa Před 4 lety +1

    Masanja ni mtu mwenye akili sana,, ana uwezo wa kubadilika kulingana Na mazingira Na kuishi Na mtu wa aina yeyote.

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  Před 4 lety +1

      Blionea Bichwa Ndivyo itupasavyo kuwa🙏🏾

    • @shushan1113
      @shushan1113 Před 4 lety

      Paulo anasema nilikuwa Kama myahudi ili niwapate wayahudi nilikuwa Kama mtumwa ili niwapate watumwa...nilikuwa kama chini ya Sheria ili niwapate walioouwa chini sheria ingawa sipo chini ya Sheria

    • @evangelistmagadula6509
      @evangelistmagadula6509 Před 4 lety

      Njoo Lumo huku

  • @tunukiwamahenge1549
    @tunukiwamahenge1549 Před 4 lety +1

    Barikiwa sana

    • @happynyahoro7334
      @happynyahoro7334 Před 4 lety

      Nampenda sana Masanja na mke wake wana upendo wakutoka ndani wako wazi, Mungu awabariki sana hamna roho yakujikweza.

    • @elicalyimo8592
      @elicalyimo8592 Před 4 lety

      Mungu awabariki

    • @mwasamwasomola7138
      @mwasamwasomola7138 Před 2 lety

      Pastor masanja Mungu azidi kukuinua kwa unyenyekevu wako tunajifunza mengi

    • @hawashedrack959
      @hawashedrack959 Před 2 lety

      Uwiiii kaka Masanja jmn chunguza Kwanza .wakuachie kitabu chake yale nimaono yk

  • @jackyluns8224
    @jackyluns8224 Před 4 lety

    Ukipata wa hivi kama mch Emmanuel hujutii mahusiano unaona kama alikuwa wap toka zamani hongera mtumishi one day naiombea siku utupatie darasa daah i swear Mungu atatenda