Am 50 yrs old now Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏
Mr Joel mm nakupa big up San uko vym .🙏
Am 50 yrs old now
Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
Umeua kwenye hii elimu unayotupatia bureee Arafati Tz nanyumbu mtwara
ASANTE MENTOR, MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
Kiukweli speech zako huwa nazikubali sana. Hasa kwa jinsi unavyotoa mifano
Asante sana Mr Joel , Nina mshukuru Mngu mwenye kutupa mutu kama wewe🙏
(ENOCK from Rwand🇷🇼)
Maneno ya kiingereza mm cyaelewi, muwe mnajikita kwenye lugha zetu zilizonyooka ili tuwe tunaelewa zaidi.
Mungu akubariki sana wasema kweli umeniumbia kitu ndani ya maisha ya ngu🇨🇩
Unanifungua Sana ubongo na maneno yako na vitabu vyako usichoke kutupa maarifa
Ukweli kabisa mungu akubaliki sana . Kupitia mafudisho yako sai najitabua sana .
Ahsante sana kaka Joel leo nimejifunza kitu kikubwa sana MUNGU akubariki
Watu watatu kama wewe dunia inakuwa sehemu nzuri yaku ishi 🤝❤️🫴
Ni kweli baba mafundisho yako mazuri sana
Nimekuelewa sana kaka
I'm speechless!
Brother Mungu akubariki sana
Neno moja tu kaka Nashua sana
Barikiwa sana kaka,na Mungu azidi kukujaza maarifa ili wengine tunufaike❤❤❤
Thanks a lot a man of God
That's what you said ni vizuri ❤
Mungu akubaliki sana!
Unatakiwa utumie Lugha moja wapo,Kama Kiingereza au kiswahili
Safi sana okoa jamii n kazi ya Mungu iyo
Asante san umetfunua san mung akuwek maish marefu
You never disappointed daddy 👏🏼👏🏼🙏🏻 be blessed
Mi nakukubali sana mungu akubariki
Kaka nakupenda sana unafundisha Mambo mazurió sana
Uko vzr unafaa kuwa kiongoz wa taifa
Barikiwa Sana bro unatupa madini imara
Noel tunashukuru Tanzania lazima tupambane tuzishinde roho za umasikini 😢
My MENTOR, God bless you
asante kaka @nanauka ❤
❤ asante Kwa kweli
Ahsante sana kaka nina jambo langu nitakushirikisha kama unaniruhusu maana umekua mtu muhimu sana kwangu.
Ahsante 🙏
Kila siku napenda kuchukua point zako, napenda unachokifanya bro. Mungu akubariki sana Ili uzidi na uzidi kutupa hayo madini.
God bless you servant of God
Asante kwa mafundisho yako Mr.Joel
Kaka Mung anakutumia kushape zone
Mungu akubariki sana sana ki ukweli Huwa unanifanya kupiga hatua kubwa
Nakuelewa sana
we jamaa uishi milele najivunia sana kuwa haki kipindi kimoja n wwe
Facts and inspires for really get u from malawi as a refugee in dzaleka dowa
Asante sana
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏
Jamani uko sahihi mmmh penye kusaidia ndugu hapo hakika yakikukuata hata kama uliwasaidia vipi hawakusaidii dah Wacha nichukue hatua binafsi nimeshuhudia
Kaka ubarikiwe sana
BE BLESSED.
Be blessed
Fact sana bro
Barkiwa sana
Kweli kabisa
Nakutakia kila la kher
Mr joel nmekuelewa
Hakika umenifungua Leo
UBARIKIWE KAKA
Mm nilikua nataka no Yako kaka
Kweli ndugu yangu
Brain Vitamins from this man is such an awesome❤
Mwalimu ❤😊
Nimekupata kaka
Asante brother ❤
Blessed
Fact😢😢😢
Vitabu vinapatikana wapi na vinauzwaje
Good advice broh I want to be alike oneday🙏🙏
Brave one day I'll meet with you for more conversation sir brace
Hakika ❤
Tatizo Unachanganya Lugha,
Good bro
KAKA WEWE MTU BORA SANA
Mwalimu wanqu huyu 👨🏫
naitaji namba zako braza joel
Madini ya kutosha
💯💯
Great
Shukrani somo nzur la kujifunza 🙏🙏
Asntee
Sensa ya nchi gani hyo kaka
😅😅😅😅
Kaka nilikuwa naomba unisaidie kwa kutoa ushauri kuhusu upambanaji kwa eneo la shule
🙏🙏🙏
❤❤❤❤🎉
✍️
🧠🧠🧠🧠
👍👍👍👍👍
😆😆😆😆💯💯💯💯💯💯💯💯💯
That's what you said ni vizuri ❤
Asante sana