Mambo 7 Ya Kuacha Ili Ufanikiwe

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 11. 2018
  • Mambo 7 ya kuacha ili ufanikiwe:
    Kila mtu ana ndoto ya kufanikiwa siku moja. Lakini kamwe mafanikio hayawezi kutokea tu bila wewe kuandaa msingi wake mzuri.
    Mafanikio yanajengwa na msingi wa tabia fulani zenye muendelezo na pia kuna tabia fulani ukiwa nazo basi kamwe huwezi kupata mafanikio.
    Ungana na Ezden Jumanne akichambua tabia hizi saba (7) za kuacha ili uweze kufanikiwa:
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
    #Siri #mambomuhimu #Mafanikio

Komentáře • 4K

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 4 lety +334

    Ukihitaji msaada wangu kuhusu :
    1. Kufungua channel
    ya youtube
    2. Kama unayo channel tayari (Unataka niipitie na kuirekebisha ikae kibiashara)
    .
    Wasiliana nami sasa kwa whatsapp namba (+255)759191076
    .
    CZcams ni biashara nzuri sana kama ukiianza na kuifanya kwa usahihi. Karibu sana!

  • @ezekielisaya4053
    @ezekielisaya4053 Před 3 lety +15

    Ahsante sana kaka, nina kila sababu ya kusema ahsante ni kwa sababu binafsi unanipa kujifunza nisivyovijua na hasa ktk maisha haya yanayoendelea, mimi napenda kujifunza, kifupi nimekuelewa sana kaka na ubarikiwe na mungu akupe afya njema 🤝🤝🤝🤝🙏🙏

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Před 5 lety +162

    "watu waliofanikiwa ni wale wanaotatua matatizo, na ili uwe na uwezo wa kutatua matatizo lazima uwe umepitia nyakati ngumu"
    Hii nukuu nimeilewa sana Brother

  • @michaelnyangusi7417
    @michaelnyangusi7417 Před 3 lety +45

    Even if there are others doing what you are doing you can never be exactly the same, each one of you is different and unique. You are doing a great job empowering others.

  • @anithamasangula625
    @anithamasangula625 Před 3 lety +4

    Kwa jinsi nnavyozidi kukusikiliza ndivyo nnavyohisi maisha yangu yatavyobadirika kuanzia sasa be blessed brother

  • @swabuldinabdul4763
    @swabuldinabdul4763 Před 5 lety +11

    Kweli kabisaaa uoga ni kitu kibaya na kulalamika ni kosa kubwa mimi nakumbuka Mwaka 2017 nilisafiri kwenda nchini uganda kutokea mkoa wa mwanza kumuangalia rafiki yangu alinishirikisha biashara nikakataa but after him to make 100 millions just in one year I was so embarrassed but guess what baada ya kukatishwa kukatishwa Tamaa nirirudi mkoa wa mwanza nikawa focus kufanya kazi kwa bidii ndani ya miezi 5 nilitengenez millions 10 now my life is super
    Thanks God to make me stonger💪💪💪💪💯

  • @sagudatv1575
    @sagudatv1575 Před 5 lety +10

    kufanikiwa ni mtuwenyewe akiamua napia wanasema kuzaliwa masikini so tatizo tatizo kufa masikini nekuelewa sana brother asante sana Mungu akuinue zaidi

  • @princekulwa7258
    @princekulwa7258 Před 2 lety +4

    Upo sawa Sana ndugu yangu kweli nimejaribu kubadili mfumo. Wangu ktk maisha yangu kutokana na mazungumzo yako upo sawa mungu akubariki Sana IshaAlha

  • @majumamasinde1953
    @majumamasinde1953 Před 2 lety +4

    Nimependa points zote umesiongelea ndugu na ninashukuru sana kwa unifungua macho ili nione kweli am blessed with ur teachings God bless you dear keep it up. Nitaendelea kukufatilia ili niwe jasiri wa maisha yangu

  • @sumahassan7326
    @sumahassan7326 Před 5 lety +11

    ninajifunza mengi mkuu kupitia hii crip na mungu akuongozee na akusimamie kwa kazi zako za kila sikuu

  • @simonkiprotich3300
    @simonkiprotich3300 Před 2 lety +8

    Asante kwa usaidizi ya kufaulu kimaisha kwani hakuna mtu hataki kufaulu hata waliotutangulia wangefufuliwa bidii Bado watafanya kumaanisha success is a wide thing but remember to do the best of your ability.💪

  • @josephmushi129
    @josephmushi129 Před rokem +3

    I get you bro. "Kama hatutatumia Ideas za vitabu tunavyo visoma basi tutakua tunapoze muda kusoma vitabu vingi "

  • @husseinmkushii8121
    @husseinmkushii8121 Před 3 lety +5

    Nimepata kitu,asante sana Mungu awe nawe katika kazi yako

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 Před 4 lety +21

    Nimependezwa na comment za walio tangulia Asante xn brother umenifunza kitu nayaona mafanikio yang yapo njiani 🙏naacha kufuraisha watu

  • @Babaverah
    @Babaverah Před 5 lety +35

    Bro i don't regret to watch this video!! be blessed!!!

  • @Laila-zl8lj
    @Laila-zl8lj Před 2 lety +3

    Love you blood ❤️ kwaushauli wako Mungu akubaliki sana kila itwayo Leo🤲

  • @khamiskazimoto9316
    @khamiskazimoto9316 Před 3 lety +11

    Brother, you've waked me up asante kwa moyo wako msafi coz I have realised smthing I have to create my self

  • @johnmulemela6884
    @johnmulemela6884 Před 3 lety +14

    Mr. Jumanne nakupongeza sana maana hizi Familiar zetu, watoto, mke na wengine hayo unayosema kuyaacha wengi ndo wamejikita huko!, Thanks so much!

    • @yusufubunu
      @yusufubunu Před rokem

      Big Up Brother
      Naomba mawasiliano yako wapo watu wengi wanaohitaji kusaidiwa

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 11 měsíci

      Najua kuna shida kubwa sana kwenye familia zetu, ndio jukumu letu sasa kuhakikisha tunarekesbisha

  • @mezani782
    @mezani782 Před 5 lety +6

    No 1 jambo la kujifunza daily..great points. Kingine kila mtu ana utofauti na mwingine hata wote tunalima tikitiki. On another we can all grow doing similar things

  • @husseinamar1027
    @husseinamar1027 Před 3 lety +5

    Kulinganisha ww na wengine kweli kosa la jinai haswaaa! Kaka somo zuri sana, Burundi twahitajia sana somo nzima kama hili, kaka just keep on again and again! Never give up

  • @sophiahamisi4458
    @sophiahamisi4458 Před 2 lety +1

    Asante sana Kwa uhusia wako. Kwani ukweli uponya nafsi zetu naamini kwamba umenigusa kwa huyo sina kusudi lolote la kuendelea kukaa sehemu moja. Mi wakati wa kusimama.

  • @deodatusmaliti7790
    @deodatusmaliti7790 Před 4 lety +37

    Thank you so much for this inspiring talk, I quickly learned a great thing here, "be the success before it becomes!"

  • @vanitosha844
    @vanitosha844 Před 5 lety +31

    "Beauty begins the moment you decide to be yourself" 😊😊😊😊 powerful message thank you for sharing no 3. "Complaining" OMG I hate to complain but I always do quiting now😊😊 4. "Second guessing" OMG yaani fear of failure is hunting me everywher😂😂😂😂 and hey broo your voice is captivating🙌🙌🙌

  • @justinetryphone2031
    @justinetryphone2031 Před rokem +4

    Ahsante sana wewe nimpigaji wa maisha umetufundisha kuwa dont give up nimependa sana kwamba anza sasa kile unachofikiri utatoboa bila kusubiri capital.

  • @ramadhaniyusuph1251
    @ramadhaniyusuph1251 Před 9 měsíci +1

    Bloo edzen umenigusa kabisaaaaa asante sana kuna ki2 nimegain hapa
    Mimi binafsi nina hiyo tabia ya kuwaridhisha wengine yaani kwamba nipo tayari kuingia gharama ili niwaridhishe wengine.......thanks so much, i promise i will be change my behaviour thus because ineed to achieve successful right now
    Ujumbe wako umenifikia moja kwamoja

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 Před 5 lety +26

    Successful start in your mind if you pass in mind you pass in real life if you fail in mind you fail in real life...

    • @magambojohn5165
      @magambojohn5165 Před 5 lety +1

      hongera sana kaka kwa kazi yako nzuri Mungu akubariki

    • @lilcastol7699
      @lilcastol7699 Před 5 lety +1

      Good ideas.thanks

    • @chazkoillah2652
      @chazkoillah2652 Před 5 lety

      @@magambojohn5165 pamoja sana brother

    • @khadijajuma5193
      @khadijajuma5193 Před 4 lety

      Chaz Koillah nice

    • @thegoldennation6815
      @thegoldennation6815 Před 4 lety

      Very true Chaz Kollah
      Safi sana Work of grace kwa kupenda kujifunza ni vizuri kuongeza maarifa kwa kujifunza kutoka kwa wengine
      karibu pia Golden Nation
      czcams.com/channels/X-ZMz52PbtoLHaW4ft9FuQ.html

  • @dominionbiginga4170
    @dominionbiginga4170 Před 4 lety +22

    Wow! Great motivation; I've learnt a lot. Be blessed abundantly!

  • @mondreznkorez4049
    @mondreznkorez4049 Před 3 lety +5

    This is very much amazing..exactly

  • @salamaally7683
    @salamaally7683 Před 3 lety +14

    This all me 😭, thanks bruuh for inspiring us and makes who wanna yo be ,I love this energy.

  • @wadewadex8747
    @wadewadex8747 Před 5 lety +4

    Na anza kuhisi kama akili ime anza kufunguka najiuliza maswali mengi Sana Asante kwa kunitoa usingizini

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před 5 lety +8

    Nimependa sana ujumbe huu. Nakuombea MUNGU akuzidishe maarifa na afya njema. Nimejifunza vitu muhimu Sana'a.

  • @azizially1970
    @azizially1970 Před rokem +1

    Usijilinganishe na watu ahhhhhh The main point brother uchambuzi mzuri Sana ushauri wangu mdogo Kila mada unayotoa iwe Ina point chache ili tupate uwelewa mzuri kwa sasabu Kila point inauchambuzi wakina Sana na mzurihii inapelekea sisi wanafunzi wengine kuhasau kushika point za msingi Asante

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 Před 2 lety

    Asante alakini usifundishe watu tuu kupata pesa ,pia uwambie wuzima wa milele wapatikana ndani ya Yesucristo

  • @marymaureen
    @marymaureen Před 4 lety +11

    Seen this popping up so much...I decided to look at it... I don't regret being here

  • @mhs-thehydraulicsolutionsf7243

    Wawo its True My Lord
    God bless
    God Are Rise your mind
    God Bless your Vision/mision

  • @jlkachinde6804
    @jlkachinde6804 Před 3 lety +6

    Nakushukuru sana kwa maelezo yako mazuri,Mafanikio ya KWELI yanapatikana kwa kutimiza kanuni,taratibu na Sheria za Kumtegemea na kumtumikia Mungu.Mungu ndiyo muweza wa yote.Ninaoushuhuda wa kutosha juu ya jambo hilo,ndiyo maana maandiko yanasema,WATU WANGU HUPOTEA KWA AJILI YA UKOSEFU WA MAARIFA,KUMCHA MUNGU NDIYO CHANZO CHA MAARIFA.

  • @gabrielmasanyiwa3889
    @gabrielmasanyiwa3889 Před 3 lety +2

    Thanks bro. Good inspirational messages. Be blessed.

  • @nindajanvier1503
    @nindajanvier1503 Před 3 lety +9

    woow you're so blessed my Brother I am encouraged with your advises

  • @eagleman9324
    @eagleman9324 Před 3 lety +11

    Be blessed brother, your lesson is very important!

  • @queenvictorialyoba8884
    @queenvictorialyoba8884 Před 3 lety +4

    The explanations are real awesome....I don't regret to watch the video.

  • @khadijatamimi2495
    @khadijatamimi2495 Před 3 lety

    Nakufwatilia nikiwa DUBAI unanielemisha kaka uzidiwe na ilmu llove you so much

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 5 lety +267

    Kitu gani kizuri umejifunza katika somo la leo? Na ni tabia gani ambazo unaona unaenda kuzifanyia kazi na kuziacha ili uwe mtu wa mafanikio?

  • @gibsonsilas6342
    @gibsonsilas6342 Před 4 lety +13

    Thanks brother for good lesson that help us to learn more.

  • @collyinswambura1063
    @collyinswambura1063 Před 3 lety +1

    i love the discussion for real. be blessed

  • @mondreznkorez4049
    @mondreznkorez4049 Před 3 lety +9

    Be blessed my brother with what a truth you spread

  • @ashatura646
    @ashatura646 Před 5 lety +7

    This is proper use of social networks.....appreciated

  • @charlotnawate4340
    @charlotnawate4340 Před 3 lety +8

    A very great and motivating message indeed thank you soo much

  • @danielchilakol1552
    @danielchilakol1552 Před měsícem

    Am happy for your good advice, and It'll make me change.

  • @yusufubunu
    @yusufubunu Před 10 měsíci +1

    Hongera. Sana Mwl. Jumanne
    Tukipenda kukualika utupe Mhadhara wa madini Kama haya tufanyeje tukupate

  • @muhingiramuhingira9715
    @muhingiramuhingira9715 Před 4 lety +12

    Brother j4 you're extremely talented! Nimejifunza kitu juu ya kulalamika kila wakati, I'm going to change! Thanks be blessed

  • @ibrahimmohamed3399
    @ibrahimmohamed3399 Před 4 lety +17

    Dahhhhh mbn nlichelewa xana kuiona hiii 😢 ila cjachelewa asante kaka big up yaan zote ninazo izo

  • @cecilewanja8273
    @cecilewanja8273 Před 3 lety +2

    Inspiration, be blessed

  • @jedidahchepkoech2818
    @jedidahchepkoech2818 Před rokem

    Thanks alot nimejifunza vitu vingi Sana Glory to God

  • @evemariette6609
    @evemariette6609 Před 4 lety +3

    Thank you so much for ur teachings,I have to stop the behavior and succeed

  • @risperawinoodhiambo4543
    @risperawinoodhiambo4543 Před 5 lety +12

    This is great Jumanne! I cant just listen I have to write it down for everyday review. Barikiwa saana nd keep passing the wisdom

  • @getrudamubiligi7836
    @getrudamubiligi7836 Před rokem +2

    Asante sana, nimepata funzo kubwa sana 💪💪💪💪💪💪💪

  • @missbantu3274
    @missbantu3274 Před 2 lety +5

    You are right. Find your niche and focus what makes you happy. Great message and inspirational.

  • @user-rf5tz5ft2y
    @user-rf5tz5ft2y Před 5 lety +3

    Thanks brother contunue teaching us God bless you.

  • @lucasmakaka426
    @lucasmakaka426 Před 4 lety +3

    Thank you s very much for this essential and important education for success

  • @2nukasim804
    @2nukasim804 Před 3 lety

    Shukran broo allah akuzidishie

  • @janethphilip8778
    @janethphilip8778 Před 2 lety +1

    Nashukuru kwa somo lako kweli nafundishika sana kaka Ezden🙏

  • @toughffulintime6534
    @toughffulintime6534 Před 5 lety +12

    Nimekukubali sana bro,Naamini kuwa tangu kuzaliwankwangu mpaka siku na kufa akuna mtu ambae atakae kuja kufanana na mimi ,respect my brother

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety +1

      naam, sawasawa. everyone is born unique, but most people die copies.. tukijiamini tumemaliza kazi

    • @peninambwete8220
      @peninambwete8220 Před 4 lety

      Ubarikiwe sana kwa kazi njema, kwa umuhimu wa masomo haya bado kuna uhitaji mkubwa wa walimu. Mungu awatie nguvu nyie mliothubutu kutusaidia kwa kutoa mlicho pewa na Mungu

  • @apolyevans9232
    @apolyevans9232 Před 3 lety +6

    Thanks bro your talk is really inspiring may God bless you beyond measure

  • @kelvinmbeikya4520
    @kelvinmbeikya4520 Před 20 dny +1

    Nashukuru sana kwa eliku kubwa moja nimenote nilikuwa sijui kama ni moja tabia nayo paswa kuacha, nilikuwa ni mtu wa kulalamika kazini nikibadrishwa kitengo nalalamika nikibadrishiwa shift nalalamka ivyo point kubwa ya msingi nimeichukua kwako na kuanzia sasa sitakuwa mtu wa kulalamika zaidi ya kuchapa kazi kwa mazingira yeyote yale ya kazi

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 20 dny

      Nashukuru kwa mrejesho na itakusaidia sana kuona mabadiliko kama kweli utaifanyia kazi. Kila la kheri

  • @vivianmjema5222
    @vivianmjema5222 Před 2 lety +9

    Throw this I know I can become the person I wanna be thankss much ezden you opened may eye's today 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @simonrasthoe2808
    @simonrasthoe2808 Před 4 lety +5

    Thanks for the advice and be blessed sana brother

  • @peteradiema6765
    @peteradiema6765 Před 4 lety +8

    I like mostly your teachings may my lord grant you more time

    • @meshackmollel2567
      @meshackmollel2567 Před 2 lety

      Kaka nakuelew sana naomba kama una audio ya clips zako nijiunge unitumie kw what ssap

  • @mulilorugain3141
    @mulilorugain3141 Před 3 lety +1

    Asante sanaa
    Na taka nipate ujuzi mwingi kupitiya maneno yako

  • @zuhrasharfu4947
    @zuhrasharfu4947 Před 9 měsíci +1

    Shukran broo Aki Allah akubarik❤️

  • @charleswasike3800
    @charleswasike3800 Před 4 lety +3

    The lesson will assist me big. Thanks brother

  • @rehemabonza4529
    @rehemabonza4529 Před 5 lety +6

    Asante kaka, hii video nimeilewa sana, god bless u

  • @shadrackemmanuel8114
    @shadrackemmanuel8114 Před 2 lety

    Asante kwa mafundisho haya

  • @agentmsami5303
    @agentmsami5303 Před rokem

    Shukran sana Allah akuinue zaidi ya ulipo kwa idhni yake pamoja nasi aamiin

  • @starmfordsamwel3720
    @starmfordsamwel3720 Před 4 lety +10

    Thanks mtanzania unatupa elimu nzuri Mungu akupe maarifa zaid ili tujifunze mengi zaid

  • @fathiyamahanyu4413
    @fathiyamahanyu4413 Před 4 lety +3

    Thank you may God bless you so much i have learn a lot today

  • @Mbogo
    @Mbogo Před měsícem +2

    Yes bro! Unazidz kutufanya tuwe positive Sana mungu akusimamie milele uzili kutubadilisha ss kizaz Cha utandawaz respect sn🤝🤝

  • @wickliffeorina518
    @wickliffeorina518 Před 2 lety

    Santee nashukuru kwa juu ujimbe,naomba unionyeshe vile nitaomba maombi kumi na mbili 🙏🙏🙏

  • @giliviasval706
    @giliviasval706 Před 3 lety +5

    Thanks alot for the motivation am inspired
    Be blessed

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 5 lety +34

    Shukran sana.... Allah akuzidishie 🙏

  • @jolliespicy8925
    @jolliespicy8925 Před 2 lety +1

    Thanks bro unafundisha vizuri sana and that the reality of our lives ntaacha baadhi ya mambo hayo🙏

  • @dadesumail5358
    @dadesumail5358 Před 2 lety

    Asante Allah akuzidishie ilimo zaidi

  • @abdulapolinari178
    @abdulapolinari178 Před 5 lety +13

    Jazakalakheri

  • @tedyokachu5013
    @tedyokachu5013 Před 5 lety +29

    Una sauti nzuri sana Uncle,inasikilizika,inashawishi,inahamasisha,inanipa nguvu na imani kubwa ya kufanikiwa.Nina imani Mungu alikuumba kwa ajili ya kuwasaidia watu.You are blessed maaan🀄🀄🀄🙏🙏🙏🙏🙏

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety +1

      I dont know what to say.... maybe this will mean what I feel and mean.... "THANK YOU SO MUCH" Be blessed

    • @khadjakidahilo6843
      @khadjakidahilo6843 Před 5 lety +2

      Sito kata tamaa wala sitoongea mipango yangu kwa watu 🙏

    • @jjmeliyo4625
      @jjmeliyo4625 Před 5 lety +1

      Tedy Okachu nimeipenda san

    • @gasperthobias6295
      @gasperthobias6295 Před 5 lety +1

      Safi sana kaka nimejifunza mengi,nitayafanyia kazi.Be blessed brother.

    • @salometibamanya1679
      @salometibamanya1679 Před 5 lety +1

      Tusaidie kwa magumu kwa wanadamu mawazo mabaya

  • @learningire3759
    @learningire3759 Před rokem

    Fantastic message. God bless you

  • @victoriabwalya2271
    @victoriabwalya2271 Před 3 lety

    Thank you dear, be blessed 🙏

  • @ilemimbeyakwetu3198
    @ilemimbeyakwetu3198 Před 5 lety +9

    These tips bring me to one step ahead. Stay blessed bri

  • @irenelutakyamilwa9807
    @irenelutakyamilwa9807 Před 4 lety +10

    you give us something special message it sharpen,it make us to stepp forward,It motivate,it awake,It really nicely message

  • @magemahenge3939
    @magemahenge3939 Před 2 lety

    Asante kwa ujumbe mzuli

  • @hezekiaantony8090
    @hezekiaantony8090 Před 2 lety

    Asante kwa somo zur illa Kuna sehem umegusia kwamba kunamtu mmoja alisema sehem yenye mafanikio nautajili nimakaburn kwamba pare ndo kuna watu wamelala na ndoto ambazo hazikuwah kufanyiwa kazi naomba nikuulize swal kidg inawezekanaje mimi au yule kupata ndoto aidia mbalimbali za mtu tayali aliekwisha faliki namyaka namyaka Asante

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Hahaha swali zuri na jibu lake ni rahisi sana, kila mtu amepewa kitu fulani na Muumba wetu Kwa hiyo ni jukumu letu sisi kukitafuta kitu hicho na kuanza kukifanyia kazi. badala ya kufikiria kupata cha hao waliotangulia tumia muda huo kujitafuta ndugu yangu, nini unaweza? Unganisha na nini unapendelea? Nini unaweza kufanya Kwa kujituma bila hata kutegemea malipo? Hapa panaweza kuwa pazuri pa kuanzia

  • @marynnko6652
    @marynnko6652 Před 3 lety +13

    So proud to have you guy, keep teaching us

  • @rehemasalim7483
    @rehemasalim7483 Před 5 lety +3

    Jembe my name iz luckey luckamo tulikutana last year kwenye seariz ya Sarafu ulikuwa usiku wa masaa matatu uliongea vitu nimetembea kwenye hizo line my life iz too change be blessed

  • @aimeekungwa2701
    @aimeekungwa2701 Před 3 lety +1

    Una ni saidiya Sana na iyi somo kakayangu, Mungu akubariki sana

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege1692 Před 9 měsíci +1

    Asante bradha kwa mafundisho yako yamenivusha kweri mungu akubariki sana kaka

  • @bonitusmartinebebwa1237
    @bonitusmartinebebwa1237 Před 4 lety +6

    Kaka I like you qoutes, natamani kujifunza mengi sana God bless u

  • @charlesniyonkuzu3235
    @charlesniyonkuzu3235 Před 5 lety +4

    Respect brother for ur advice big up San brother Allah akulinde na apanue elimu yako

  • @umugumyabangakhadjraty8319

    Thx bro iyo kweli

  • @joycekahindi3102
    @joycekahindi3102 Před 3 lety +2

    Thanks bro umenifungia mahali nlikua nmejisahau na nmekua mafanikio yangu ninapo yapotezea,big up Sana bro.

  • @marymakwega1366
    @marymakwega1366 Před 3 lety +3

    Very educative and inspirinh. Thumbs up!

  • @luumidallei1994
    @luumidallei1994 Před 4 lety +7

    exactly bro I like one point which says quit complaining all in we together for sharing idea

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Před 2 lety +1

    brother sitachoka kukuangalia maana umebadilisha maisha yang sana nakushukuru sana Mungu azidi kukubariki

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety +1

      Nashukuru sana ndugu yangu Frenk Msang, Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

    • @frankmsangi
      @frankmsangi Před 2 lety

      sawa broo tupo pamja lazima nishare mambo haya mazuri unayotufundisha broo unauwezo mkubwa san wakufundisha watu na tunakuelewa vizuri san Mungu azidi kukubariki kwa kazi nzuri san unayoifanya hakuna kama ww...your the best broo🇹🇿🙏we say each one teach one