Mambo 7 Ya Kuacha Ili Ufanikiwe
Vložit
- čas přidán 15. 11. 2018
- Mambo 7 ya kuacha ili ufanikiwe:
Kila mtu ana ndoto ya kufanikiwa siku moja. Lakini kamwe mafanikio hayawezi kutokea tu bila wewe kuandaa msingi wake mzuri.
Mafanikio yanajengwa na msingi wa tabia fulani zenye muendelezo na pia kuna tabia fulani ukiwa nazo basi kamwe huwezi kupata mafanikio.
Ungana na Ezden Jumanne akichambua tabia hizi saba (7) za kuacha ili uweze kufanikiwa:
.
Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
.
KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
👇🏼👇🏼
Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
NUNUA VITABU:
Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
Ichukue hapa: / @youtubepesa255
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Media Personnel & An Entrepreneur
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ ezden_voiceover
.
KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
Tuwasiliane:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
#Siri #mambomuhimu #Mafanikio
Ukihitaji msaada wangu kuhusu :
1. Kufungua channel
ya youtube
2. Kama unayo channel tayari (Unataka niipitie na kuirekebisha ikae kibiashara)
.
Wasiliana nami sasa kwa whatsapp namba (+255)759191076
.
CZcams ni biashara nzuri sana kama ukiianza na kuifanya kwa usahihi. Karibu sana!
Nahitaj
Nahita Sana niweke vichekesho vyangu
Mm nina channel yangu blaza CZcams. Inaitwa FLYMEDIA project
Asante sana maana icho kinani gusa mm bnfs nnatabia hiyo
Ndio ndio
Ahsante sana kaka, nina kila sababu ya kusema ahsante ni kwa sababu binafsi unanipa kujifunza nisivyovijua na hasa ktk maisha haya yanayoendelea, mimi napenda kujifunza, kifupi nimekuelewa sana kaka na ubarikiwe na mungu akupe afya njema 🤝🤝🤝🤝🙏🙏
"watu waliofanikiwa ni wale wanaotatua matatizo, na ili uwe na uwezo wa kutatua matatizo lazima uwe umepitia nyakati ngumu"
Hii nukuu nimeilewa sana Brother
Kweli kabisa... Karibu sana
Nimekukubar kaka mkubwa tena nimeguswa hakika we nimkari mbona tutabadilika tu yan.
_
Km
Asante
Even if there are others doing what you are doing you can never be exactly the same, each one of you is different and unique. You are doing a great job empowering others.
Thank you so much my brother. Your comment means alot to me.
Kwa jinsi nnavyozidi kukusikiliza ndivyo nnavyohisi maisha yangu yatavyobadirika kuanzia sasa be blessed brother
Hata mimi
Kweli kabisaaa uoga ni kitu kibaya na kulalamika ni kosa kubwa mimi nakumbuka Mwaka 2017 nilisafiri kwenda nchini uganda kutokea mkoa wa mwanza kumuangalia rafiki yangu alinishirikisha biashara nikakataa but after him to make 100 millions just in one year I was so embarrassed but guess what baada ya kukatishwa kukatishwa Tamaa nirirudi mkoa wa mwanza nikawa focus kufanya kazi kwa bidii ndani ya miezi 5 nilitengenez millions 10 now my life is super
Thanks God to make me stonger💪💪💪💪💯
Fursa gani hiyo pls check me
0742962661
🔥🔥
kufanikiwa ni mtuwenyewe akiamua napia wanasema kuzaliwa masikini so tatizo tatizo kufa masikini nekuelewa sana brother asante sana Mungu akuinue zaidi
Upo sawa Sana ndugu yangu kweli nimejaribu kubadili mfumo. Wangu ktk maisha yangu kutokana na mazungumzo yako upo sawa mungu akubariki Sana IshaAlha
Nimependa points zote umesiongelea ndugu na ninashukuru sana kwa unifungua macho ili nione kweli am blessed with ur teachings God bless you dear keep it up. Nitaendelea kukufatilia ili niwe jasiri wa maisha yangu
ninajifunza mengi mkuu kupitia hii crip na mungu akuongozee na akusimamie kwa kazi zako za kila sikuu
Asante kwa usaidizi ya kufaulu kimaisha kwani hakuna mtu hataki kufaulu hata waliotutangulia wangefufuliwa bidii Bado watafanya kumaanisha success is a wide thing but remember to do the best of your ability.💪
I get you bro. "Kama hatutatumia Ideas za vitabu tunavyo visoma basi tutakua tunapoze muda kusoma vitabu vingi "
Nimepata kitu,asante sana Mungu awe nawe katika kazi yako
Nimependezwa na comment za walio tangulia Asante xn brother umenifunza kitu nayaona mafanikio yang yapo njiani 🙏naacha kufuraisha watu
haya
Uko sawa brother nimekukubar
umenifungua san kaka tabia zote ninazo niko tear ht kumkopea mt pesa kwajil yakufnikish mambo yke wkt yngu bd sojayawez mungu akubarik san umenifungua
Bro i don't regret to watch this video!! be blessed!!!
Naitaj tena naham yakujua
Thanks bro and i so proud of u, ur video make me confident with my succefully🙏🙏🙏
ASAnte sana kaka umenifungua masikio
Waoo wote!
Love you blood ❤️ kwaushauli wako Mungu akubaliki sana kila itwayo Leo🤲
Brother, you've waked me up asante kwa moyo wako msafi coz I have realised smthing I have to create my self
Mr. Jumanne nakupongeza sana maana hizi Familiar zetu, watoto, mke na wengine hayo unayosema kuyaacha wengi ndo wamejikita huko!, Thanks so much!
Big Up Brother
Naomba mawasiliano yako wapo watu wengi wanaohitaji kusaidiwa
Najua kuna shida kubwa sana kwenye familia zetu, ndio jukumu letu sasa kuhakikisha tunarekesbisha
No 1 jambo la kujifunza daily..great points. Kingine kila mtu ana utofauti na mwingine hata wote tunalima tikitiki. On another we can all grow doing similar things
definitely. Thanks
Kulinganisha ww na wengine kweli kosa la jinai haswaaa! Kaka somo zuri sana, Burundi twahitajia sana somo nzima kama hili, kaka just keep on again and again! Never give up
Vipi kaka
Asante sana Kwa uhusia wako. Kwani ukweli uponya nafsi zetu naamini kwamba umenigusa kwa huyo sina kusudi lolote la kuendelea kukaa sehemu moja. Mi wakati wa kusimama.
Thank you so much for this inspiring talk, I quickly learned a great thing here, "be the success before it becomes!"
"Beauty begins the moment you decide to be yourself" 😊😊😊😊 powerful message thank you for sharing no 3. "Complaining" OMG I hate to complain but I always do quiting now😊😊 4. "Second guessing" OMG yaani fear of failure is hunting me everywher😂😂😂😂 and hey broo your voice is captivating🙌🙌🙌
Thank you so much Vani
Vp
Umejuaje alicho ongea kama haujui kiswahili na kama unajua kipi kilikufanya ukoment lugha za wenzetu tubadilike
Zambia hii baba niekuelewa kaka
@@shabanikamsawa181
Ahsante sana wewe nimpigaji wa maisha umetufundisha kuwa dont give up nimependa sana kwamba anza sasa kile unachofikiri utatoboa bila kusubiri capital.
Bloo edzen umenigusa kabisaaaaa asante sana kuna ki2 nimegain hapa
Mimi binafsi nina hiyo tabia ya kuwaridhisha wengine yaani kwamba nipo tayari kuingia gharama ili niwaridhishe wengine.......thanks so much, i promise i will be change my behaviour thus because ineed to achieve successful right now
Ujumbe wako umenifikia moja kwamoja
Successful start in your mind if you pass in mind you pass in real life if you fail in mind you fail in real life...
hongera sana kaka kwa kazi yako nzuri Mungu akubariki
Good ideas.thanks
@@magambojohn5165 pamoja sana brother
Chaz Koillah nice
Very true Chaz Kollah
Safi sana Work of grace kwa kupenda kujifunza ni vizuri kuongeza maarifa kwa kujifunza kutoka kwa wengine
karibu pia Golden Nation
czcams.com/channels/X-ZMz52PbtoLHaW4ft9FuQ.html
Wow! Great motivation; I've learnt a lot. Be blessed abundantly!
This is very much amazing..exactly
This all me 😭, thanks bruuh for inspiring us and makes who wanna yo be ,I love this energy.
Na anza kuhisi kama akili ime anza kufunguka najiuliza maswali mengi Sana Asante kwa kunitoa usingizini
Nimependa sana ujumbe huu. Nakuombea MUNGU akuzidishe maarifa na afya njema. Nimejifunza vitu muhimu Sana'a.
asante Daud
ubarikiwe sana nimepokea ki2 kikubwa mnoo naahidi kuwa MTU mkubwa sana kwa jili yako ishaalah
Amiiiin
Usijilinganishe na watu ahhhhhh The main point brother uchambuzi mzuri Sana ushauri wangu mdogo Kila mada unayotoa iwe Ina point chache ili tupate uwelewa mzuri kwa sasabu Kila point inauchambuzi wakina Sana na mzurihii inapelekea sisi wanafunzi wengine kuhasau kushika point za msingi Asante
Asante alakini usifundishe watu tuu kupata pesa ,pia uwambie wuzima wa milele wapatikana ndani ya Yesucristo
Seen this popping up so much...I decided to look at it... I don't regret being here
Wawo its True My Lord
God bless
God Are Rise your mind
God Bless your Vision/mision
Nakushukuru sana kwa maelezo yako mazuri,Mafanikio ya KWELI yanapatikana kwa kutimiza kanuni,taratibu na Sheria za Kumtegemea na kumtumikia Mungu.Mungu ndiyo muweza wa yote.Ninaoushuhuda wa kutosha juu ya jambo hilo,ndiyo maana maandiko yanasema,WATU WANGU HUPOTEA KWA AJILI YA UKOSEFU WA MAARIFA,KUMCHA MUNGU NDIYO CHANZO CHA MAARIFA.
Qq
Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa na c kama ulivyoandika
Thanks bro. Good inspirational messages. Be blessed.
woow you're so blessed my Brother I am encouraged with your advises
Be blessed brother, your lesson is very important!
The explanations are real awesome....I don't regret to watch the video.
Nakufwatilia nikiwa DUBAI unanielemisha kaka uzidiwe na ilmu llove you so much
Kitu gani kizuri umejifunza katika somo la leo? Na ni tabia gani ambazo unaona unaenda kuzifanyia kazi na kuziacha ili uwe mtu wa mafanikio?
Ezden Jumanne asante kwaushauri
Moja tu me ndo ime nigusa" yaku ogopa ku fail tu.
Ezden Jumanne sawa ntafanyia kazi ushauri wako asante sn mkuu
Good & attractive technics in my life
safi sana brother unatufuza mengi sana ambayo tunajisahau so nimeupenda ujumbe wako
Thanks brother for good lesson that help us to learn more.
i love the discussion for real. be blessed
Be blessed my brother with what a truth you spread
god blessed
This is proper use of social networks.....appreciated
A very great and motivating message indeed thank you soo much
Am happy for your good advice, and It'll make me change.
Hongera. Sana Mwl. Jumanne
Tukipenda kukualika utupe Mhadhara wa madini Kama haya tufanyeje tukupate
Tuwasiliane tafadhali 0759191076
Brother j4 you're extremely talented! Nimejifunza kitu juu ya kulalamika kila wakati, I'm going to change! Thanks be blessed
Online0744557976
Dahhhhh mbn nlichelewa xana kuiona hiii 😢 ila cjachelewa asante kaka big up yaan zote ninazo izo
Inspiration, be blessed
Thanks alot nimejifunza vitu vingi Sana Glory to God
Thank you so much for ur teachings,I have to stop the behavior and succeed
This is great Jumanne! I cant just listen I have to write it down for everyday review. Barikiwa saana nd keep passing the wisdom
Asante sana, nimepata funzo kubwa sana 💪💪💪💪💪💪💪
You are right. Find your niche and focus what makes you happy. Great message and inspirational.
Thank you miss bantu
Thanks brother contunue teaching us God bless you.
Thank you s very much for this essential and important education for success
Shukran broo allah akuzidishie
Nashukuru kwa somo lako kweli nafundishika sana kaka Ezden🙏
Nimekukubali sana bro,Naamini kuwa tangu kuzaliwankwangu mpaka siku na kufa akuna mtu ambae atakae kuja kufanana na mimi ,respect my brother
naam, sawasawa. everyone is born unique, but most people die copies.. tukijiamini tumemaliza kazi
Ubarikiwe sana kwa kazi njema, kwa umuhimu wa masomo haya bado kuna uhitaji mkubwa wa walimu. Mungu awatie nguvu nyie mliothubutu kutusaidia kwa kutoa mlicho pewa na Mungu
Thanks bro your talk is really inspiring may God bless you beyond measure
Nashukuru sana kwa eliku kubwa moja nimenote nilikuwa sijui kama ni moja tabia nayo paswa kuacha, nilikuwa ni mtu wa kulalamika kazini nikibadrishwa kitengo nalalamika nikibadrishiwa shift nalalamka ivyo point kubwa ya msingi nimeichukua kwako na kuanzia sasa sitakuwa mtu wa kulalamika zaidi ya kuchapa kazi kwa mazingira yeyote yale ya kazi
Nashukuru kwa mrejesho na itakusaidia sana kuona mabadiliko kama kweli utaifanyia kazi. Kila la kheri
Throw this I know I can become the person I wanna be thankss much ezden you opened may eye's today 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Thanks for the advice and be blessed sana brother
I like mostly your teachings may my lord grant you more time
Kaka nakuelew sana naomba kama una audio ya clips zako nijiunge unitumie kw what ssap
Asante sanaa
Na taka nipate ujuzi mwingi kupitiya maneno yako
Shukran broo Aki Allah akubarik❤️
The lesson will assist me big. Thanks brother
Asante kaka, hii video nimeilewa sana, god bless u
Asante kwa mafundisho haya
Shukran sana Allah akuinue zaidi ya ulipo kwa idhni yake pamoja nasi aamiin
Thanks mtanzania unatupa elimu nzuri Mungu akupe maarifa zaid ili tujifunze mengi zaid
Thank you may God bless you so much i have learn a lot today
Yes bro! Unazidz kutufanya tuwe positive Sana mungu akusimamie milele uzili kutubadilisha ss kizaz Cha utandawaz respect sn🤝🤝
Shukrani sana kaka. Tuko pamoja
Santee nashukuru kwa juu ujimbe,naomba unionyeshe vile nitaomba maombi kumi na mbili 🙏🙏🙏
Thanks alot for the motivation am inspired
Be blessed
Shukran sana.... Allah akuzidishie 🙏
Aamiin
Nice da Zahara
Kiukweri nimekuelewa kuhusu swala lakubadika maana Mimi binafs limenigusa Sana
Zahra Myungile mambo
ok
Thanks bro unafundisha vizuri sana and that the reality of our lives ntaacha baadhi ya mambo hayo🙏
Asante Allah akuzidishie ilimo zaidi
Jazakalakheri
Shukrab ndugu
Una sauti nzuri sana Uncle,inasikilizika,inashawishi,inahamasisha,inanipa nguvu na imani kubwa ya kufanikiwa.Nina imani Mungu alikuumba kwa ajili ya kuwasaidia watu.You are blessed maaan🀄🀄🀄🙏🙏🙏🙏🙏
I dont know what to say.... maybe this will mean what I feel and mean.... "THANK YOU SO MUCH" Be blessed
Sito kata tamaa wala sitoongea mipango yangu kwa watu 🙏
Tedy Okachu nimeipenda san
Safi sana kaka nimejifunza mengi,nitayafanyia kazi.Be blessed brother.
Tusaidie kwa magumu kwa wanadamu mawazo mabaya
Fantastic message. God bless you
Thank you dear, be blessed 🙏
These tips bring me to one step ahead. Stay blessed bri
you give us something special message it sharpen,it make us to stepp forward,It motivate,it awake,It really nicely message
Asante kwa ujumbe mzuli
Asante kwa somo zur illa Kuna sehem umegusia kwamba kunamtu mmoja alisema sehem yenye mafanikio nautajili nimakaburn kwamba pare ndo kuna watu wamelala na ndoto ambazo hazikuwah kufanyiwa kazi naomba nikuulize swal kidg inawezekanaje mimi au yule kupata ndoto aidia mbalimbali za mtu tayali aliekwisha faliki namyaka namyaka Asante
Hahaha swali zuri na jibu lake ni rahisi sana, kila mtu amepewa kitu fulani na Muumba wetu Kwa hiyo ni jukumu letu sisi kukitafuta kitu hicho na kuanza kukifanyia kazi. badala ya kufikiria kupata cha hao waliotangulia tumia muda huo kujitafuta ndugu yangu, nini unaweza? Unganisha na nini unapendelea? Nini unaweza kufanya Kwa kujituma bila hata kutegemea malipo? Hapa panaweza kuwa pazuri pa kuanzia
So proud to have you guy, keep teaching us
Saaaawa rfk yangu
Really nimefarijika sana,all you talked are life experiences keep it up
Jembe my name iz luckey luckamo tulikutana last year kwenye seariz ya Sarafu ulikuwa usiku wa masaa matatu uliongea vitu nimetembea kwenye hizo line my life iz too change be blessed
Una ni saidiya Sana na iyi somo kakayangu, Mungu akubariki sana
Also follow joel nanauka for more content
Asante bradha kwa mafundisho yako yamenivusha kweri mungu akubariki sana kaka
Kaka I like you qoutes, natamani kujifunza mengi sana God bless u
Respect brother for ur advice big up San brother Allah akulinde na apanue elimu yako
Thx bro iyo kweli
Thanks bro umenifungia mahali nlikua nmejisahau na nmekua mafanikio yangu ninapo yapotezea,big up Sana bro.
Very educative and inspirinh. Thumbs up!
exactly bro I like one point which says quit complaining all in we together for sharing idea
brother sitachoka kukuangalia maana umebadilisha maisha yang sana nakushukuru sana Mungu azidi kukubariki
Nashukuru sana ndugu yangu Frenk Msang, Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
sawa broo tupo pamja lazima nishare mambo haya mazuri unayotufundisha broo unauwezo mkubwa san wakufundisha watu na tunakuelewa vizuri san Mungu azidi kukubariki kwa kazi nzuri san unayoifanya hakuna kama ww...your the best broo🇹🇿🙏we say each one teach one