Mambo 6 ya Kufanya Watu Wakupende Zaidi
Vložit
- čas přidán 23. 06. 2020
- Mambo sita (6) ya kufanya watu wakupende zaidi:
Ikiwa tutaweza kuwashawishi watu wakatupenda zaidi bila kutumia nguvu basi bila shaka watapenda hata kushirikiana nasi katika baadhi ya mambo yao ambapo inaweza kuwa moja ya njia za mafanikio.
.
Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
.
KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
👇🏼👇🏼
Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
NUNUA VITABU:
Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
.
KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
Ichukue hapa: / @youtubepesa255
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Media Personnel & An Entrepreneur
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ ezden_voiceover
.
KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
Tuwasiliane:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
#upendo #watu #mapenzi
Oya tunao mwelewa huyu broo gonga like hapa
Thanks
👍
Well said,kaka!
Lúolpppippippplpuppppllllppllppppppppll
Amin amin nawambien kama tungeish au tukiishi Kwa maneno haya hata Mungu atakuwa p1 nasi!! dua kwako jumanne mwlm:
Hii point ya kutokuomba msamaha kiukweli nlikua nayo 2 yrs nyuma , nliwahi katika mapito kuwa konda wa daladala za mbagara to mkuranga , nilimpitisha mama mmoja kituo ambacho aliniambia kua nimshushe nikampitisha bahati mbaya , alipokuja kustuka akawa ananifokea balaa na abiria wote walikua wanafoka , nilikua mpole nikaomba radhi kwa yule mama na nikaonesha unyenyekevu na upole wa hali ya juu , sasa hivi nipo kaniajiri ofisini kwake baada ya kuchkua namba zangu kutokana na kitendo kile katika maneno yake anasema hakuwahi kutarajia kama kuna konda mstaarabu namna ile msamaha sio dhaifu msamaha ni tabia njema asante brother edzen
Kuomba msamaha NI Jambo la upole❤ hata mtoto wako ukiomba msamaha hata Kama wataka kitu NI vyema
Allah akupe maisha marefu ili tujifunze zaidi. Ameen.
Point nyengine ukitaka upendwe na jamii.
7. Uwe simple. Jishushe cheo chako mbele za watu.
8. Door open kusamehe wanajamii.
9.Unaficha siri za watu.
10. Saidia jamii kadiri ya uwezo wako.
11. Familia yako ifanye yenye huruma sana kwa jamii na inasaidia jamii kwa hali na mali.
12.Tabasam hata ukikerwa.
13.Kuwa tayari wakati wowote kuwasaidia watu. Hata usiku ikiwa emergency amka saidia.
14. Usiwe mchoyo.
15. Usiwe mfitinishaji.
Nalilia uzima kupendwa sio lazma
Elimu si lazima mtu aende shuleni, maneno yako pia ni darasa tosha bro!!! Mungu akuinue zaidi kaka. Anything happens for reasons, kuna sababu ya wewe kuwepo hapo!!
Sure!!
True
Yeah braza nmekuelewa zaidi ya sana salute kwako endelea kutupigisha pindi
Nice, tungeishi hivi jamii ingependeza sana.
Kwakweli tungeeshii hivi ata Mungu tungemuona
Good
Kiukweli nilikuwa mtu ambaye sina ratiba kamili katika maisha yangu lakini baada ya kuanza kukufatilia nimeanza kuwa MTU makini yani najari mda, najipa mda wa kupumzika, nimeachana na content zisizo na umuhimu mfano nilikuwa muanga wa kusikiliza miziki tuu kula mda lakini sahivi more time nimekuwa nasoma vitabu. Nakushukuru sana Mr edzen kwa kuni insipire mwenyezi mungu akujalie naarifa zaidi ili uweze kuwasaidia watu wengi kama Mimi ulivyo nisaidia maana bola use unajitambua kuliko kuwa na fedha nyingi bila Uhuru wa pesa
Baba Mungu wa mbinguni akubariki wa huduma yako, nimeipenda saaaana!! Kwakweli kwenye point ya 6, be blessed much!!
Nashukuru sana kaka...
"Talk less listen more'"WONDERFULL ONE MASHAALLAH
Yaani bro mimi nazifatilia contents KWANI nàkuona UKO makini NA unayo yafundisha yana msaada sana . Inshallah nitapambana ilikuhakikisha watoto wangu wana amkia kitabu NA hawaLali BILA kusoma kitabu. 🤔
Upendo pius
Umepata kaz
Nashukuru kwa elimu yako.
OMBI: naomba utoe video inayohusu Customer services/Namna ya kuhudumia Wateja.Ahsante!
Customer service sector? or in which establishment unahitaj kujua kujua zaid
Its all about customer services.
Oky good let us wait...buh f u real need it i can give some tips on how to be a good service provider. While waiting for the video from our Brother
@@tabithampinga4606 instagram yako please
Taby Ridhaa same as fb
My first time listening your teachings 👏👏👏👏👏nitakufatilia Sasa in every episode
Hi Esther, I hope bado tuko pamoja...
Shukran..kaka Ezden Jumanne.
Wallah nimejifunza mengi kupitia hili somo..
Allah akufungulie milango ya kheri inshaaAllah👏
Mashaallah mafunzo sio ya shule tu kwa wtt hata ss wtu wazma yanatufaa sana, nmejifunza kwa kweli Allah akujaze kila la kher
Thank you my brother Ezden your lessons helped me a Lot May ALLAH Bless you abundantly 🙏🙏
Much love from Kenya guy's like back
Maa shaa Allah
Shukran sana
Mungu Akubariki
Allah! bless u bro
hongera sana kaka
Mashallah
Unanifurahishaga Sana kuongea kwako hasa English na mbwembwe much love in Allah be bless
braza usije ukaacha kusali hasa swala tano mm nilichokiona kwenye uso nikavutiwa na tunaamini waislmu huwa ni kweli sana sijawatukana wakiristo pia wapo wazuri snaaaaa haki mungu
Asantee sana bro unatupa masomo mazuri ubarikiwe sana
Nakuelewa sana Ezden kwa kazi unayofanya ina nifanya niwe makini sana Allah akuzidishie kila la kheri
Jazaka llah kheir Ahsante najifunza mengi hapa Allah bless you and your family
NaKufatilia Since 2017 mpaKa LEO hii
Naendelea KUJIFUNZA kupitia Wewe "ALLAH AKUBARIKI🙏🙏🙏🙏🙏"
KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI
@_1zM
Bro wewe ni Genius
Nimejifunza sanaaa, japo mm kama hazijanigusa sanaa karibu zote 😁Alhamdulillah.
Ili upendwe na watu;
1.Usiwe easily offended( unaekasirishwa haraka).
2.Usidharau watu, penda kusikiliza na kusaidia watu.
3.Ucwe mwepesi wa kuanzisha ugomvi.
4.Usiwe mshindani wa kupita kiasi.
5.Jifunze kuomba radhi unapokosea.
6.Usipende ku interfere mazungumzo.Usipende kumkatisha MTU anapokua anazungumza.
Asante kaka nime summarize nilichoelewa.
Asant mkuu kwa elim
Asanti Umenielewesha Pia. 🙏
Pia kua Makin na matumizi ya mitandao ya kijamii
I love it and thanks for your great advise! Shukran 🙏🏿
Kaka me sijawahi kumiss vitu vyako Asante Mr Ezden Jumanne👊👊👍 halafu mifano yako ipende pia kuwagusa hata wanafunzi simply because am still a student and always very interested on listening your advices 🙏🙏🙏🙏
Hujawah kumiss..kwani umelazimishwa kumiss??
Kazi mzuri kijana
Kuna vingi CZcams lakin we umewazid wote
Broo uko sahihi
Nampenda
It is exactly
Akili kubwa
Aisee huwa nikipata mda napenda KUFATILIA chanel razima nicheke mana Nakupenda kweli kwa Ajili YA ALLAH Azza WA jalla kwanza huwa napata elmu erimu mbari mbali zanyeti Zaid huwa najikuta Nime furahia uhodari NA kipaji chamuhusika kwa kutufunza kweli ma sha Allah 👌 Jazak Allah khayran Mola wetu MLEZI Akudhidishie elmu yenye kunufaisha.
daaah kaka sjawah kujuta tangu nianze kukufatlia,sijapata pesa wala sijawa tajiri lakin umenifanya niwe a real meaning of gentlmn,thanx so much ezden jumanne
Kaka upo vizuri yani unaeleweka ,asante kwa somo nzuri
Bro nina miaka 30 nafatilia CZcams vitu mbal mbal muzik nn ani vitu vingi ilaa we ndo wa kwanz kufanya naandika comment yangu na kukupigia saluti unatisha san inshallah mungu akuongoze unajua kufundisha watu
Asante sana kaka. Karibu sana. Tuko Pamoja
Kaka Samahan mi nataka kama hutojali niongee na ww japo kwa video call what's app so namba zako katika hizo cjui ni zpi itakua rahisi
Nimependa sana kaka usipojifunza hapa ndiobasi tena
Asante sana kwa mafundisho yako.nimejifunza kuomba msamaha , kusikiliza , pia tusiwe wakorofi katika jambo lolote.
Kusema kweli hiyo ni hekima ya juu kuwaimiza watu wenye hawafahamu mahadili njema kwa jamii hongela sana.
Ur so creative honestly nimepata funzo , Allah akuzidishie elmu zaidi ya hyo
Daa mm huyu broo namelewa sana , be blessed Mr. Jumanne
Unajuwa jamaa
Big up sana wewe,joel na mpagaze nimewafatilia kwa muda wa m3 lakini matokeo nilio pata ni very potentially kwenye maisha yangu nimepiga hatua kubwa muda mfupi kwa ujumla mungu awabaliki kwa kazi ya kuelimisha jamii
Nimejifunza vitu vikubwa sana, asante mwanasaikolojia.
Ujumbe wa kuzingatia sana huo maana ni ujumbe wenye uhalisia.
Success Path Network tuko sambamba teacher💪🏿💪🏿
Yap mafunzo ya kuishi salama Na kwa adabu from ur teacher
Kaka mungu akujalie maana unafundisha vizuri unaelimisha
Ahsante bro NAKUPENDA !Barikiwa sana kwa mafundisho mazuri saaana bigup bro!
Nashukuru sana Kwa SoMo hili🙏
Your article really helped a lot. I was a sort of a person, used to downlook others especially when they mess up spellings, which caused many friends of mine to hate me. I learnt more here thanks
Asante brother kwa kutufundisha mambo yatakayo tusaidia katika maisha yetu big up
Mashaallah brother Allah akubariq
Nice kaka
Umenifungua sana mwanangu
Mi nimekupenda sababu ya hiyo alama kwenye pahi lako. Mashallah
Asante kwa mafundisho mazuri ndio mara yangu ya pili nitakuwa nakufuatilia kila siku mungu akubariki kwa kutuelimisha na kupata mafanikio
Umefundisha vizuri nakupa zawadi ya wmbo huu Yasoo ya Malik imoulouk utafute
Thank you so much bro...you've teach me things that I've no been taught at school.... Respect bro!!!
Asante sana nashukuru kwa hili 🙏🙏🙏
Asante kwa mafunzo I love your advice
My brother, God bless you
May God bless you big
Asante 👏👏👏👏👏👏👏
Asante Sana kwa somo zuri
Shukran Wajazaukum llah khayra
Perfect lesson.
Unyama
Am linet from KENYA
Infact naendelea kupata ufahamu sana ndugu Ezden God bless you na azidi kukupa hekima
Mtaita mwenzangu kumbe na wew upo hapa,Tuendlee kuelimishana
Dah hongera sana nimepata something very nice
Safi sana! Mungu amekutumua ili uwaambie watu hasa vijana! Wanadharau kanakwamba wao ndio walitakiwa kuwa tu duniani! As wao tu ndio wamesoma! Lea kweli twaambie watu tumjue Mungu na kumwogopa! TUheshimu kila mtu mana ATUwezi jua unayemdharau ni nani wa badae KTK MAISHA YETU! Good Boy! I pray for you!
Shukrani sana Bro.
Asante sana kaka ezden nimejifunza mengi sana Alhamdhulilah sasa nitaishi vizuri nahawa waarabu ndani yasaudia msimu huu wacorona
True talks out about Mtandao etc,thank Our Bro!
Pamoja sana
Naitwa IZHYOO MWAKISAMBWE nimuimbaji wa injili Imani yangu nitakua muimbaji mkubwa breath najifunza Sana kwako song mbele Kaka endelea kutujuza u unanisaidia Sana Kaka🙏
Asante kwa maarifa mazuri sna kiongozi God bless you na akutunze
Thank you for your lesson bro. You remind me why we have two ears and one mouth.
Wish a good luck...
Mungu anitanguliye nataka kuwa Wise man kabisa
Mungu akuongoze
Barikiwe sana kwa good advice
Nakubl kaz boss wng yn upo vzr mungu akuzdshie kipaji chako
Bro , i wish I could write everything you said on my body as my tattoo , so that everyone can get the chance to read on me.i really like the lesson. From Johannesburg South Africa. Thanks
I like you ezden but I think you should try to be more specific and stick to your original points, yaani moja baada ya nyingine mpk ziishe kwa mujibu wa intro yako coz sisi wengine tuna muda mfupi sana wa kuangalia vitu mitandaoni, so plz try to be more specific itapendeza zaidi mkuu, niwie radhi lakini! Ahsante!
Thanks bro
@@mbwanaali4251 fact100%
Bro tupo pamoja.
Asanth sana
That’s brilliant bro, I really appreciate u bro, that’s true bro ... we gona try to learn slowly slowly bro yeah 😀😀... it’s so hard to change someone especially wen u getting old, but yeah we gona try it bro, yeah safi sana bro keep gone bro,
Awesome.... rad 💪💪💪
Doctor napenda sana darsa lako liko na elmu ya hali ya juu. MashaaaAllah barakAllah!🙏
Shukran jazakallah kheri
Umebadilisha life style yangu broh big up👏👏👏
Kwenye hiipointyamwisho watuniwengisana wenyehiyotabia even me I was! But from now never hapen thenks kaka
mungu akubariki sana ..nimejifunza mengi kupitia video zako...inshaallah nitapo rud tz nitajiunga na kamouni yenu
Kweli nimejifunza sana ila naomba kila Mara utuletee elimu nilikuwa nakuona tu kumbe Bonge la Mwalim wa maisha asante
Ukitaka kupendwa na watu mpende Mola wako na fuata aliyokuamrisha utajikuta unafanya mema kwa watu lkn unategemea malipo kwa Allah na yale mapenzi ya watu ni ziada. Lkn ukisema unafanya mazuri ili watu wakupende utaishia kujiumiza moyo wako na stress.
1)Watu hawajali chochote zaidi ya pesa yako na ikimaliza upendo umeisha.
2)Watu utawashauri wakifanikiwa watakupongeza na wakiharibikiwa kwa uliowashauri watakuona hasidi umewapoteza makusudi.
3)Utatupa nguvu zako wapo watakaothamini na wapo watakaoona unajieka kimbelembele na kutaka kujua mambo ya watu.
4) Wapo watakaokuja na mambo yao maovu uwashauri ukikataa hawatokuelewa.
Usijikalifishe kwa mwanaadamu mwenzio, Laa yukalifu nafsan il-la wus-'aha. Timiza aliyokuamrisha Mola km zakka na sadaka, tenda wema kwa wote kwa mazungumzo, vitendo na ishi na watu vizuri na jiepushe na mafarakano. Allah atakusogezea wema mtasaidiana na kupendana na atakuepushia wabaya. Mana hata na ww unahitaji mtu wa kukupa ushauri, kukusaidia na kukupenda. Kwa hio km hujatenda matendo yako kwa ajili ya Allah, ukitenda kwa ajili ya mtu linapokufika ww utajikuta peke yako kwa sabbu wale wote uliokua unawaona wanakupenda walikupenda kwa ajili ya kitu na nguvu yako na sio upendo wa kweli.
Hao ni uoni wangu.
Asantesana kwakunifungua ufaham
Kaka tunajifunza mengi, ndio maana napenda kukusikiliza asubuhi
KAKA TUNASHUKURU KWA USHAURI WAKO NA ELIMU YAKO UNAYOTUPATIA YA MAADILI MEMA MBELE ZA WATU
Poapoa
Ni kweli
Bro much appreciation kwa fabulous teachings,, hii ni zaid ya kukubali🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mwenyezi Mungu akubariki.
Sasa hizi dislike 33 maaanake hawajaelewa
Aisee napenda English speaking yako
Good, better & best.
Unatufungua ufahamu kwa kiwango kikubwa. Mungu akuongezee maarifa,, be blessed. Tuko pamoja
Asante, nimejifundisha mengi Niko kenya.
Watu wenge hutuwezi au hatuna mbinu za kuomba msamaha hivyo ningependa kaka eziden ungeandaa somo la jinsi ya kumuomba mtu msamaha na aka ulewa msamaha wako asante
usijali ndugu inakuja soon....
Thank you sir. May God Almighty reward you accordingly in Jesus name
Asante kwa funzo nzuri sana
Asante Sana jmanne,, very insiped lesson.
You're absolutely right for all that you said.
Kaka kwanza niseme hongera sana kwasababu hii akili kwanza chanzo niwazazi walio kuzaa wanahekima sana nahii ni majaaliwa kutoka kwa Allah Kaka Allah akuzidishie hekima utuelimishe tulio kosa busara Asante sana
Asante sana kaka kwa moyo wako mzuri M mungu akuzidishie upendo wa kusaidia watu
Tanks brother
Asante mdogo angu mungu atakulipa,unanifungua sana.
Asante sana brother ubarikiwe
Asanten kwa ukumbusho wako
Shukran brooo
Shukran kaka kwa mawaidha yako.
Asante Sana kaka nakuerewa sana
Be blessed nimeelewa. Sanaa
Umenisaidia sana bro thanks God bless you
Shukran sana kaka