Mambo 6 ya Kufanya Watu Wakupende Zaidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2020
  • Mambo sita (6) ya kufanya watu wakupende zaidi:
    Ikiwa tutaweza kuwashawishi watu wakatupenda zaidi bila kutumia nguvu basi bila shaka watapenda hata kushirikiana nasi katika baadhi ya mambo yao ambapo inaweza kuwa moja ya njia za mafanikio.
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
    #upendo #watu #mapenzi

Komentáře • 1,1K

  • @stephanomaswagaa4860
    @stephanomaswagaa4860 Před 4 lety +465

    Oya tunao mwelewa huyu broo gonga like hapa

  • @realestateagent_binambingw309

    Hii point ya kutokuomba msamaha kiukweli nlikua nayo 2 yrs nyuma , nliwahi katika mapito kuwa konda wa daladala za mbagara to mkuranga , nilimpitisha mama mmoja kituo ambacho aliniambia kua nimshushe nikampitisha bahati mbaya , alipokuja kustuka akawa ananifokea balaa na abiria wote walikua wanafoka , nilikua mpole nikaomba radhi kwa yule mama na nikaonesha unyenyekevu na upole wa hali ya juu , sasa hivi nipo kaniajiri ofisini kwake baada ya kuchkua namba zangu kutokana na kitendo kile katika maneno yake anasema hakuwahi kutarajia kama kuna konda mstaarabu namna ile msamaha sio dhaifu msamaha ni tabia njema asante brother edzen

    • @sophietoya4617
      @sophietoya4617 Před 4 měsíci +1

      Kuomba msamaha NI Jambo la upole❤ hata mtoto wako ukiomba msamaha hata Kama wataka kitu NI vyema

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 4 lety +33

    Allah akupe maisha marefu ili tujifunze zaidi. Ameen.
    Point nyengine ukitaka upendwe na jamii.
    7. Uwe simple. Jishushe cheo chako mbele za watu.
    8. Door open kusamehe wanajamii.
    9.Unaficha siri za watu.
    10. Saidia jamii kadiri ya uwezo wako.
    11. Familia yako ifanye yenye huruma sana kwa jamii na inasaidia jamii kwa hali na mali.
    12.Tabasam hata ukikerwa.
    13.Kuwa tayari wakati wowote kuwasaidia watu. Hata usiku ikiwa emergency amka saidia.
    14. Usiwe mchoyo.
    15. Usiwe mfitinishaji.

  • @allynkungu9208
    @allynkungu9208 Před 4 lety +125

    Elimu si lazima mtu aende shuleni, maneno yako pia ni darasa tosha bro!!! Mungu akuinue zaidi kaka. Anything happens for reasons, kuna sababu ya wewe kuwepo hapo!!

  • @oshemuemgimwa3161
    @oshemuemgimwa3161 Před 4 lety +57

    Nice, tungeishi hivi jamii ingependeza sana.

  • @fadhilibrahim3480
    @fadhilibrahim3480 Před 4 lety +15

    Kiukweli nilikuwa mtu ambaye sina ratiba kamili katika maisha yangu lakini baada ya kuanza kukufatilia nimeanza kuwa MTU makini yani najari mda, najipa mda wa kupumzika, nimeachana na content zisizo na umuhimu mfano nilikuwa muanga wa kusikiliza miziki tuu kula mda lakini sahivi more time nimekuwa nasoma vitabu. Nakushukuru sana Mr edzen kwa kuni insipire mwenyezi mungu akujalie naarifa zaidi ili uweze kuwasaidia watu wengi kama Mimi ulivyo nisaidia maana bola use unajitambua kuliko kuwa na fedha nyingi bila Uhuru wa pesa

  • @devisdenis7305
    @devisdenis7305 Před 4 lety +11

    Baba Mungu wa mbinguni akubariki wa huduma yako, nimeipenda saaaana!! Kwakweli kwenye point ya 6, be blessed much!!

  • @bokas2549
    @bokas2549 Před 3 lety +8

    "Talk less listen more'"WONDERFULL ONE MASHAALLAH

  • @simbaali8233
    @simbaali8233 Před 4 lety +60

    Yaani bro mimi nazifatilia contents KWANI nàkuona UKO makini NA unayo yafundisha yana msaada sana . Inshallah nitapambana ilikuhakikisha watoto wangu wana amkia kitabu NA hawaLali BILA kusoma kitabu. 🤔

  • @emmanuelmakindi4409
    @emmanuelmakindi4409 Před 4 lety +45

    Nashukuru kwa elimu yako.
    OMBI: naomba utoe video inayohusu Customer services/Namna ya kuhudumia Wateja.Ahsante!

    • @tabithampinga4606
      @tabithampinga4606 Před 4 lety

      Customer service sector? or in which establishment unahitaj kujua kujua zaid

    • @emmanuelmakindi4409
      @emmanuelmakindi4409 Před 4 lety

      Its all about customer services.

    • @tabithampinga4606
      @tabithampinga4606 Před 4 lety

      Oky good let us wait...buh f u real need it i can give some tips on how to be a good service provider. While waiting for the video from our Brother

    • @Jitu_Lisilofikirika.
      @Jitu_Lisilofikirika. Před 4 lety

      @@tabithampinga4606 instagram yako please

    • @tabithampinga4606
      @tabithampinga4606 Před 4 lety +1

      Taby Ridhaa same as fb

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 Před 4 lety +9

    My first time listening your teachings 👏👏👏👏👏nitakufatilia Sasa in every episode

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 4 lety +9

    Shukran..kaka Ezden Jumanne.
    Wallah nimejifunza mengi kupitia hili somo..
    Allah akufungulie milango ya kheri inshaaAllah👏

  • @chunaamina8719
    @chunaamina8719 Před 4 lety +9

    Mashaallah mafunzo sio ya shule tu kwa wtt hata ss wtu wazma yanatufaa sana, nmejifunza kwa kweli Allah akujaze kila la kher

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety +11

    Thank you my brother Ezden your lessons helped me a Lot May ALLAH Bless you abundantly 🙏🙏

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Před 5 měsíci +2

    Much love from Kenya guy's like back

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 Před 4 lety +5

    Maa shaa Allah
    Shukran sana
    Mungu Akubariki

  • @albinamarcel3117
    @albinamarcel3117 Před 4 lety +34

    Allah! bless u bro

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 4 lety +28

    Unanifurahishaga Sana kuongea kwako hasa English na mbwembwe much love in Allah be bless

  • @huseninchasi
    @huseninchasi Před 12 dny +1

    braza usije ukaacha kusali hasa swala tano mm nilichokiona kwenye uso nikavutiwa na tunaamini waislmu huwa ni kweli sana sijawatukana wakiristo pia wapo wazuri snaaaaa haki mungu

  • @lwidikoluwondo4109
    @lwidikoluwondo4109 Před 4 lety +2

    Asantee sana bro unatupa masomo mazuri ubarikiwe sana

  • @maubusiness2409
    @maubusiness2409 Před 4 lety +8

    Nakuelewa sana Ezden kwa kazi unayofanya ina nifanya niwe makini sana Allah akuzidishie kila la kheri

  • @kanjisaliim5691
    @kanjisaliim5691 Před 4 lety +6

    Jazaka llah kheir Ahsante najifunza mengi hapa Allah bless you and your family

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 Před 4 lety +2

    NaKufatilia Since 2017 mpaKa LEO hii
    Naendelea KUJIFUNZA kupitia Wewe "ALLAH AKUBARIKI🙏🙏🙏🙏🙏"

  • @HaleluyaTv
    @HaleluyaTv Před 3 lety

    KARIBU KUTAZAMA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 02.08.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS- KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA, MBEZI BEACH DAR ES SALAAM PIA USISAHAU KU SUBSCRIBE CHANNEL HII UBARIKIWE, GUSA LINK HII CHINI
    @_1zM

  • @santosgirbert8522
    @santosgirbert8522 Před 4 lety +11

    Bro wewe ni Genius

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Před 4 lety +8

    Nimejifunza sanaaa, japo mm kama hazijanigusa sanaa karibu zote 😁Alhamdulillah.

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 Před 4 lety +16

    Ili upendwe na watu;
    1.Usiwe easily offended( unaekasirishwa haraka).
    2.Usidharau watu, penda kusikiliza na kusaidia watu.
    3.Ucwe mwepesi wa kuanzisha ugomvi.
    4.Usiwe mshindani wa kupita kiasi.
    5.Jifunze kuomba radhi unapokosea.
    6.Usipende ku interfere mazungumzo.Usipende kumkatisha MTU anapokua anazungumza.
    Asante kaka nime summarize nilichoelewa.

  • @saramueller7423
    @saramueller7423 Před 4 lety +1

    I love it and thanks for your great advise! Shukran 🙏🏿

  • @edmundisospeter7837
    @edmundisospeter7837 Před 4 lety +13

    Kaka me sijawahi kumiss vitu vyako Asante Mr Ezden Jumanne👊👊👍 halafu mifano yako ipende pia kuwagusa hata wanafunzi simply because am still a student and always very interested on listening your advices 🙏🙏🙏🙏

  • @asmaabdallah9103
    @asmaabdallah9103 Před 4 lety +33

    Kuna vingi CZcams lakin we umewazid wote

  • @muhammadahmedaliyyu3854

    Aisee huwa nikipata mda napenda KUFATILIA chanel razima nicheke mana Nakupenda kweli kwa Ajili YA ALLAH Azza WA jalla kwanza huwa napata elmu erimu mbari mbali zanyeti Zaid huwa najikuta Nime furahia uhodari NA kipaji chamuhusika kwa kutufunza kweli ma sha Allah 👌 Jazak Allah khayran Mola wetu MLEZI Akudhidishie elmu yenye kunufaisha.

  • @johnjohnson-hc5fr
    @johnjohnson-hc5fr Před 4 lety +1

    daaah kaka sjawah kujuta tangu nianze kukufatlia,sijapata pesa wala sijawa tajiri lakin umenifanya niwe a real meaning of gentlmn,thanx so much ezden jumanne

  • @sabinashabani4688
    @sabinashabani4688 Před 4 lety +5

    Kaka upo vizuri yani unaeleweka ,asante kwa somo nzuri

  • @fikirihamisi1485
    @fikirihamisi1485 Před 3 lety +22

    Bro nina miaka 30 nafatilia CZcams vitu mbal mbal muzik nn ani vitu vingi ilaa we ndo wa kwanz kufanya naandika comment yangu na kukupigia saluti unatisha san inshallah mungu akuongoze unajua kufundisha watu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety +1

      Asante sana kaka. Karibu sana. Tuko Pamoja

    • @pitajohn8793
      @pitajohn8793 Před 3 lety

      Kaka Samahan mi nataka kama hutojali niongee na ww japo kwa video call what's app so namba zako katika hizo cjui ni zpi itakua rahisi

    • @user-ro2bf1js3j
      @user-ro2bf1js3j Před 14 dny

      Nimependa sana kaka usipojifunza hapa ndiobasi tena

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 Před 4 lety +2

    Asante sana kwa mafundisho yako.nimejifunza kuomba msamaha , kusikiliza , pia tusiwe wakorofi katika jambo lolote.

  • @user-ux4cx3xe5j
    @user-ux4cx3xe5j Před 2 měsíci

    Kusema kweli hiyo ni hekima ya juu kuwaimiza watu wenye hawafahamu mahadili njema kwa jamii hongela sana.

  • @hadijaabuu4178
    @hadijaabuu4178 Před 4 lety +5

    Ur so creative honestly nimepata funzo , Allah akuzidishie elmu zaidi ya hyo

  • @obedyvyuguta9920
    @obedyvyuguta9920 Před 3 lety +3

    Daa mm huyu broo namelewa sana , be blessed Mr. Jumanne

  • @AbubakariLigi
    @AbubakariLigi Před měsícem

    Big up sana wewe,joel na mpagaze nimewafatilia kwa muda wa m3 lakini matokeo nilio pata ni very potentially kwenye maisha yangu nimepiga hatua kubwa muda mfupi kwa ujumla mungu awabaliki kwa kazi ya kuelimisha jamii

  • @evahealthservice7390
    @evahealthservice7390 Před 4 lety +1

    Nimejifunza vitu vikubwa sana, asante mwanasaikolojia.

  • @khalifalutonja6125
    @khalifalutonja6125 Před 4 lety +3

    Ujumbe wa kuzingatia sana huo maana ni ujumbe wenye uhalisia.

  • @moussababanla399
    @moussababanla399 Před 4 lety +26

    Success Path Network tuko sambamba teacher💪🏿💪🏿

    • @chunaamina8719
      @chunaamina8719 Před 4 lety +1

      Yap mafunzo ya kuishi salama Na kwa adabu from ur teacher

    • @davidmichael9748
      @davidmichael9748 Před 4 lety

      Kaka mungu akujalie maana unafundisha vizuri unaelimisha

  • @revocatuskamugisha8138
    @revocatuskamugisha8138 Před 3 lety +1

    Ahsante bro NAKUPENDA !Barikiwa sana kwa mafundisho mazuri saaana bigup bro!

  • @user-ph8qi4lc4p
    @user-ph8qi4lc4p Před 2 dny +1

    Nashukuru sana Kwa SoMo hili🙏

  • @masterkey2253
    @masterkey2253 Před 3 lety +5

    Your article really helped a lot. I was a sort of a person, used to downlook others especially when they mess up spellings, which caused many friends of mine to hate me. I learnt more here thanks

    • @user-yf3lq3hx9f
      @user-yf3lq3hx9f Před 6 měsíci

      Asante brother kwa kutufundisha mambo yatakayo tusaidia katika maisha yetu big up

  • @aminamundhir2713
    @aminamundhir2713 Před 4 lety +6

    Mashaallah brother Allah akubariq

  • @taybatanaka1484
    @taybatanaka1484 Před 4 lety +1

    Mi nimekupenda sababu ya hiyo alama kwenye pahi lako. Mashallah

  • @user-lz7sd1vd2e
    @user-lz7sd1vd2e Před měsícem

    Asante kwa mafundisho mazuri ndio mara yangu ya pili nitakuwa nakufuatilia kila siku mungu akubariki kwa kutuelimisha na kupata mafanikio

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 Před 4 lety +7

    Umefundisha vizuri nakupa zawadi ya wmbo huu Yasoo ya Malik imoulouk utafute

  • @caritaspaul7702
    @caritaspaul7702 Před 4 lety +6

    Thank you so much bro...you've teach me things that I've no been taught at school.... Respect bro!!!

  • @sahilobedi3871
    @sahilobedi3871 Před 4 lety

    Asante sana nashukuru kwa hili 🙏🙏🙏

  • @hubaabubakar6477
    @hubaabubakar6477 Před 4 lety

    Asante kwa mafunzo I love your advice

  • @souzyrajabmaganga844
    @souzyrajabmaganga844 Před 4 lety +5

    My brother, God bless you

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 Před 4 lety +4

    Asante 👏👏👏👏👏👏👏

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 Před 4 lety +1

    Asante Sana kwa somo zuri

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 Před 11 měsíci

    Shukran Wajazaukum llah khayra

  • @reginabenedict2912
    @reginabenedict2912 Před 4 lety +6

    Perfect lesson.

  • @mwashighadijames3018
    @mwashighadijames3018 Před 4 lety +8

    Am linet from KENYA
    Infact naendelea kupata ufahamu sana ndugu Ezden God bless you na azidi kukupa hekima

  • @ritajoseph4218
    @ritajoseph4218 Před 4 lety

    Safi sana! Mungu amekutumua ili uwaambie watu hasa vijana! Wanadharau kanakwamba wao ndio walitakiwa kuwa tu duniani! As wao tu ndio wamesoma! Lea kweli twaambie watu tumjue Mungu na kumwogopa! TUheshimu kila mtu mana ATUwezi jua unayemdharau ni nani wa badae KTK MAISHA YETU! Good Boy! I pray for you!

  • @pascalshio3361
    @pascalshio3361 Před 7 měsíci +1

    Shukrani sana Bro.

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 Před 4 lety +3

    Asante sana kaka ezden nimejifunza mengi sana Alhamdhulilah sasa nitaishi vizuri nahawa waarabu ndani yasaudia msimu huu wacorona

  • @faredamobilo3678
    @faredamobilo3678 Před 4 lety +3

    True talks out about Mtandao etc,thank Our Bro!

  • @izhyoomwakisambwe759
    @izhyoomwakisambwe759 Před 6 měsíci +1

    Naitwa IZHYOO MWAKISAMBWE nimuimbaji wa injili Imani yangu nitakua muimbaji mkubwa breath najifunza Sana kwako song mbele Kaka endelea kutujuza u unanisaidia Sana Kaka🙏

  • @hildamasonda3243
    @hildamasonda3243 Před 3 lety

    Asante kwa maarifa mazuri sna kiongozi God bless you na akutunze

  • @M-BembeTv
    @M-BembeTv Před 4 lety +9

    Thank you for your lesson bro. You remind me why we have two ears and one mouth.
    Wish a good luck...

  • @musackasabiya6464
    @musackasabiya6464 Před 4 lety +4

    Mungu anitanguliye nataka kuwa Wise man kabisa

  • @eliyaetlawe9116
    @eliyaetlawe9116 Před 4 lety

    Barikiwe sana kwa good advice

  • @zenamuhammed4057
    @zenamuhammed4057 Před 4 lety +1

    Nakubl kaz boss wng yn upo vzr mungu akuzdshie kipaji chako

  • @erickbasombana5685
    @erickbasombana5685 Před 4 lety +34

    Bro , i wish I could write everything you said on my body as my tattoo , so that everyone can get the chance to read on me.i really like the lesson. From Johannesburg South Africa. Thanks

    • @mbwanaali4251
      @mbwanaali4251 Před 4 lety +3

      I like you ezden but I think you should try to be more specific and stick to your original points, yaani moja baada ya nyingine mpk ziishe kwa mujibu wa intro yako coz sisi wengine tuna muda mfupi sana wa kuangalia vitu mitandaoni, so plz try to be more specific itapendeza zaidi mkuu, niwie radhi lakini! Ahsante!

    • @raphaelomae27
      @raphaelomae27 Před 4 lety +1

      Thanks bro

    • @kimutattoo4067
      @kimutattoo4067 Před 4 lety +1

      @@mbwanaali4251 fact100%

    • @tonybezzy4796
      @tonybezzy4796 Před 2 lety +1

      Bro tupo pamoja.

    • @jonsonibarinaba
      @jonsonibarinaba Před rokem +1

      Asanth sana

  • @farouqsilvester9918
    @farouqsilvester9918 Před 4 lety +14

    That’s brilliant bro, I really appreciate u bro, that’s true bro ... we gona try to learn slowly slowly bro yeah 😀😀... it’s so hard to change someone especially wen u getting old, but yeah we gona try it bro, yeah safi sana bro keep gone bro,

  • @fatmarefai9209
    @fatmarefai9209 Před 4 lety

    Doctor napenda sana darsa lako liko na elmu ya hali ya juu. MashaaaAllah barakAllah!🙏

  • @aishatabwara6018
    @aishatabwara6018 Před 4 lety

    Shukran jazakallah kheri

  • @divaimafuru2394
    @divaimafuru2394 Před 4 lety +4

    Umebadilisha life style yangu broh big up👏👏👏

  • @liberatussylvanus9952
    @liberatussylvanus9952 Před 4 lety +7

    Kwenye hiipointyamwisho watuniwengisana wenyehiyotabia even me I was! But from now never hapen thenks kaka

    • @aminaabas554
      @aminaabas554 Před 4 lety

      mungu akubariki sana ..nimejifunza mengi kupitia video zako...inshaallah nitapo rud tz nitajiunga na kamouni yenu

    • @mariambazil6158
      @mariambazil6158 Před 3 lety

      Kweli nimejifunza sana ila naomba kila Mara utuletee elimu nilikuwa nakuona tu kumbe Bonge la Mwalim wa maisha asante

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 4 lety +2

    Ukitaka kupendwa na watu mpende Mola wako na fuata aliyokuamrisha utajikuta unafanya mema kwa watu lkn unategemea malipo kwa Allah na yale mapenzi ya watu ni ziada. Lkn ukisema unafanya mazuri ili watu wakupende utaishia kujiumiza moyo wako na stress.
    1)Watu hawajali chochote zaidi ya pesa yako na ikimaliza upendo umeisha.
    2)Watu utawashauri wakifanikiwa watakupongeza na wakiharibikiwa kwa uliowashauri watakuona hasidi umewapoteza makusudi.
    3)Utatupa nguvu zako wapo watakaothamini na wapo watakaoona unajieka kimbelembele na kutaka kujua mambo ya watu.
    4) Wapo watakaokuja na mambo yao maovu uwashauri ukikataa hawatokuelewa.
    Usijikalifishe kwa mwanaadamu mwenzio, Laa yukalifu nafsan il-la wus-'aha. Timiza aliyokuamrisha Mola km zakka na sadaka, tenda wema kwa wote kwa mazungumzo, vitendo na ishi na watu vizuri na jiepushe na mafarakano. Allah atakusogezea wema mtasaidiana na kupendana na atakuepushia wabaya. Mana hata na ww unahitaji mtu wa kukupa ushauri, kukusaidia na kukupenda. Kwa hio km hujatenda matendo yako kwa ajili ya Allah, ukitenda kwa ajili ya mtu linapokufika ww utajikuta peke yako kwa sabbu wale wote uliokua unawaona wanakupenda walikupenda kwa ajili ya kitu na nguvu yako na sio upendo wa kweli.
    Hao ni uoni wangu.

  • @corboytv
    @corboytv Před 4 lety +3

    Asantesana kwakunifungua ufaham

  • @mwalimutesha9647
    @mwalimutesha9647 Před 4 lety +7

    Kaka tunajifunza mengi, ndio maana napenda kukusikiliza asubuhi

  • @alexrauya3168
    @alexrauya3168 Před 4 lety +5

    KAKA TUNASHUKURU KWA USHAURI WAKO NA ELIMU YAKO UNAYOTUPATIA YA MAADILI MEMA MBELE ZA WATU

  • @manp.....7694
    @manp.....7694 Před 4 lety +1

    Bro much appreciation kwa fabulous teachings,, hii ni zaid ya kukubali🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @maxmiliancharles8346
    @maxmiliancharles8346 Před 3 lety

    Mwenyezi Mungu akubariki.

  • @ditrammwanaharakatimike1492

    Sasa hizi dislike 33 maaanake hawajaelewa

  • @delphiniusalex
    @delphiniusalex Před 4 lety +21

    Aisee napenda English speaking yako

  • @lugendondayanse4910
    @lugendondayanse4910 Před 4 lety +1

    Good, better & best.
    Unatufungua ufahamu kwa kiwango kikubwa. Mungu akuongezee maarifa,, be blessed. Tuko pamoja

  • @rachelkungu3018
    @rachelkungu3018 Před 4 lety +2

    Asante, nimejifundisha mengi Niko kenya.

  • @mathiaslaban8530
    @mathiaslaban8530 Před 2 lety +2

    Watu wenge hutuwezi au hatuna mbinu za kuomba msamaha hivyo ningependa kaka eziden ungeandaa somo la jinsi ya kumuomba mtu msamaha na aka ulewa msamaha wako asante

  • @healinghomeprayercentre

    Thank you sir. May God Almighty reward you accordingly in Jesus name

  • @emilykilwake4693
    @emilykilwake4693 Před 3 lety

    Asante kwa funzo nzuri sana

  • @suzanedgar5113
    @suzanedgar5113 Před 4 lety +1

    Asante Sana jmanne,, very insiped lesson.

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Před 4 lety

    You're absolutely right for all that you said.

  • @mejachen5363
    @mejachen5363 Před 5 měsíci

    Kaka kwanza niseme hongera sana kwasababu hii akili kwanza chanzo niwazazi walio kuzaa wanahekima sana nahii ni majaaliwa kutoka kwa Allah Kaka Allah akuzidishie hekima utuelimishe tulio kosa busara Asante sana

  • @nasraabdi1529
    @nasraabdi1529 Před 4 lety +2

    Asante sana kaka kwa moyo wako mzuri M mungu akuzidishie upendo wa kusaidia watu

  • @mwajinachallo4471
    @mwajinachallo4471 Před rokem +1

    Asante mdogo angu mungu atakulipa,unanifungua sana.

  • @paskalinanaali1434
    @paskalinanaali1434 Před 4 lety

    Asante sana brother ubarikiwe

  • @asaaomar1912
    @asaaomar1912 Před 3 lety +1

    Asanten kwa ukumbusho wako

  • @zuhrasharfu4947
    @zuhrasharfu4947 Před 9 měsíci +1

    Shukran brooo

  • @mainamike2161
    @mainamike2161 Před 3 lety

    Shukran kaka kwa mawaidha yako.

  • @MwamediMahobela
    @MwamediMahobela Před 8 měsíci +1

    Asante Sana kaka nakuerewa sana

  • @marthaluambano2709
    @marthaluambano2709 Před 3 lety

    Be blessed nimeelewa. Sanaa

  • @lenardmomanyi7320
    @lenardmomanyi7320 Před 4 lety

    Umenisaidia sana bro thanks God bless you

  • @chuseomary6316
    @chuseomary6316 Před 3 lety

    Shukran sana kaka