Dr. Chris Mauki: Dalili 3 kwamba anakufaa kwa ndoa
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2022
- Yamkini unajiuliza ni yeye au siye? nikae hapa au niondoke? Atanifaa au hatoni faa? Nimkubalie au nimkatalie? Na maswali mengi mengine kuhusu huyo unaye mpenda. Uta juaje anakufaa kwa ndoa? Hizi hapa dalili #DrChrisMauki #Dalili #Anakufaa
Ambao hamjaoa au kuolewa mnapata madini ambayo mgodi wake ni adimu kuupata, msikilizeni na kuchukua hatua, Mungu anamtumia kuwasaidia kuwa na mahusiano bora yenye furaha na amani. Live long Dr Chris 🙋
Point sana hii..
duuh,kwel aisee binafsi najivunia, mungu ampe moyo huo huo maana anaponya jahaz
Asante Mungu kwa kumleta huyu mtu na kulizaliwa tanzania,ajuwa tunakula chakula cha ubongo,Mungu akubariki wewe na familia yako
Asante hi imenijenga sasa nlkua na struggle sana nauyu mjamaa huku
Wow, Asante dokta kwa somo zuuri,nimekuelewa mno
shukra sana dr mauki🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mwalimu wangu mzuri Mungu akupe umri mrefu
Thanks sana umetufumbua macho God bless you more and akutangulie
Hii topic ni kubwa daktari aki.ungegusia zaidi.Asante kwa elimu.
Thank u Chris umenifumbua fikra Zang Mungu akubark sana
Chris you're a gift to world
Asanteee kwa somo zur doctor cris
Shukran Sana kaka
Asanteeee dr chris
Tunazidi kupona Dr chris 🤝🤝
Thanks
Shukran sana ama kweli mafundisho yako mazuri
Thank's so much
Barikiwa sana mtu wa Mungu
Asante sana docta
Bless you
Asante
Mauki ni mmoja tu Tanzania na dunia nzima 🫡
Hongera kwa kuelimisha.
Naomba kuelewa jinsi Kumuepuka mtu Mkorofi.
😂😂kimbia
I got it🥰be blessed Dr chris mauki🙏🙏
I got you, Dr chris.
Yes, I got it 🙌 thank you so much
You’re blessed ✌️
Àsante kaka mi ntàkupigia unisaidie jambo
I wish I knew this before 😔
Yeah
Thanks dr najifunza sanaa
Asante sanaa
Nilichelewa kuyajua mafundisho Yako haki nisinge kua kwenye 🔥🔥🔥
😊😊
Hahahaaa dr.chriss ume nichekesha eti mnakurupushwa wote mnakimbia
🙏❤💘💘💖
Mapemaa
Hizi zote nnazo na niko single
😂😂😂
Iam regretting
Wish I knew this
Ooh😢
Napat elim hapo
no yko plz doctor
Naaam
Asnte xna
Hapa nimepata mwanga doctor
Mi ndio naanza kusikiliza nisaidieni namba za uyu baba jaman
Somo konki.
Kwe yaan 😔
Chombo kwa hewa
Wa nne na mm leo
Nzuri Sana
Nasubiri kusikiliza izo dalili
Asanteee kwa mafundisho