Dr. Chris Mauki: Hata kama unampenda vipi! Usidanganyike kwenye haya manne

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Wengi wamechemka kwenye mapenzi na ndoa baada ya kufanya maamuzi kama vipofu kisa tu penzi lilikuwa limenoga sana wakashindwa kuona vema. Nakusaidia usikosee kama wengine. Nifuatilie

Komentáře • 186

  • @mackilinapatrick4717
    @mackilinapatrick4717 Před rokem +10

    Namba nne niyamtu wangu kabisa na nashindwa kumuacha lkn nikweli najua lazma kunamtu anampa mda wake lkn kumuacha nashndw ,,,,,asanteh doctor tajtaid mana ni miaka miwil sasa lkn mimi ndo napambania sana penzi hili kuonana me niombe,,, kumtafuta mimi ndo nimtafute ye nimara chache sana dah nimevumilia izo tabia zake miaka miwili nw lkn abadiliki

    • @estabit5630
      @estabit5630 Před rokem +1

      Tunafanan na ivyo ivyo

    • @tasokwamichael2433
      @tasokwamichael2433 Před rokem

      Tunadanganywa wengi Mapenzi haya

    • @AnnerSon-cl9vn
      @AnnerSon-cl9vn Před měsícem

      Hanampango na wewe,mwache taratbu huku upo naye,hakupendi hata na atakuacha tu hata ipite miaka 6

    • @noelkaguo736
      @noelkaguo736 Před 20 dny

      Daaaaah! Pole Ila daaaah!

    • @noelkaguo736
      @noelkaguo736 Před 20 dny

      Kusema ukwel doctor @chris kuna watu asili yao kubadilika ningumu

  • @Bernadette-wn4mq
    @Bernadette-wn4mq Před měsícem +1

    Asante sana ubarikiwe sana kweli 🎉

  • @youthssuccesstv3162
    @youthssuccesstv3162 Před rokem +9

    1.usinidanganye atabadilika
    2.wivu mkubwa ndio kunipenda
    3.kukutenga baadhi ya watu
    4.busy sanaaa

    • @ExcitedColourfulShirt-tr7dr
      @ExcitedColourfulShirt-tr7dr Před 5 měsíci +1

      Shukrani sana Dr.Chriss

    • @user-kf5fy5pe9z
      @user-kf5fy5pe9z Před 5 měsíci

      Yote hayo nimeyapitia lakin mpk sasa moyo ushakufa ngazi,,,naomba uzungumze je na hii tabia ya mtu kugombana anakushikia silaha ,, badae anakwambia alikuwa anakutishia tu ni Zaid ya mara Moja sasa nimeamua kumove on kwaz dah,,😢😢😢

  • @user-kf5fy5pe9z
    @user-kf5fy5pe9z Před 5 měsíci +2

    Najuta kuchelewa kukufahamu doctor mauki dah,, nahitaji ushauri sana Mimi moyo ushakufa ngazi😢😢

  • @user-th3th6qb2e
    @user-th3th6qb2e Před 7 měsíci +1

    Ipo haja ya kusililiza wanasaikolojia kabla ya ndoa😢😢 sasa nivumilie tu mada zako sasa zanigusa kati tayari nimeingia kwenye ndoa😢😢😢😢😢

  • @azizakunubwa6902
    @azizakunubwa6902 Před rokem +3

    Asante Sana daktari hakika umekuwa na mchango mkubwa Sana katika Maisha yangu nimekuwa nikijifunza mengi Sana kutoka kwako hakika nami nitakuwa Bora na nitakuwa na mahusiano Bora na ndoa iliyobora
    Mungu akutunze na kukulinda kwa ajili yetu sote. Nakupenda Sana

  • @JacksonSimoni-j3x
    @JacksonSimoni-j3x Před 20 dny

    Asante sana

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 Před rokem +6

    Hiyo ya mwisho inamuhusu mtu Asante Sana mauki kwakuniongezea experience

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 Před rokem +1

    Haya maisha unaweza dhan kuna mtu amepewa historia ya mahusiano yako, kumbe wala nashukuru niliaamua mwenyewe kuwa huru God bless you Mauki

    • @user-hn5mc1vp2r
      @user-hn5mc1vp2r Před 5 měsíci

      Yaani mungu amlinde huyu kaka jamani anamaono na m beba maono hafi lazima yaonekane mbona kama umeingia kwa uhalisia wa maisha magumu wanayoishi watu kwenye ndoa zao? Duh mungu akulinde sana❤❤❤❤

  • @ChimamiMaryam
    @ChimamiMaryam Před 3 měsíci

    Ubarikiwe sana mtumishi Maana najifunza mambo fulani kutoka kwako

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya Před 4 měsíci

    Mungu akubariki Doctor hakika umenifunguwa akili yangu niliishi hayo maisha saaana.

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Před rokem +1

    Mungu akubaliki Dr kwa ushauri wako Yani niliye kuwa nae kabadilika sana Niko buys mara maisha magumu nimeamua kumove imebaki Salam tu

  • @pascalfranci8399
    @pascalfranci8399 Před rokem +1

    Tunashukuru ku mafundisho my pasta but hata kama unamupenda usidanganywe hakiwa mulevi hama mushipuko hama mwinzi nibigumu yeye kubadilika je kitu ambayo auvumiliye mu uchumba je mu ndoa unaweza kuyavumiliya kwasababu yote inaziyaka mu uchumba namahana ya upendo ni nini nini kwasababu upendo inavumiliya inasamehe haijivune haisabu mabaya etc

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +1

    Kweli ndugu Mauki🙏niliolewa na mwanaume mwenyevtabia za kupiga na kudharau wanawake nilidhani Upo cku atabadilika,ajawai kubadilika ndo amekuwa mbaya zaidi na amenitelekeza na watot 2 na tayari kazoa mwingine,

  • @KhadimHydar-si5nt
    @KhadimHydar-si5nt Před 5 měsíci

    Yaaani kama unaniongelea Dr Chris
    Shukran sana

  • @cheka480
    @cheka480 Před rokem +2

    Mungu akubariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Dr.

  • @TiffFatma-lw5mf
    @TiffFatma-lw5mf Před 6 měsíci

    Ahsante kaka nimejifunza jambo... Mungu akuzidishie

  • @ELIZAKipasisi-wo2qd
    @ELIZAKipasisi-wo2qd Před 11 měsíci

    Congratulate to you Dr good job ✌️

  • @evemeeshow.
    @evemeeshow. Před rokem

    That was my previous relationship...and I thank God mahali niko sai......I professie to God all 3 steps of relationship 🙏 inshallah ❤

  • @Betty864
    @Betty864 Před 3 měsíci

    Asante sana doctor kwa ushaur mzur

  • @winnieakarro5398
    @winnieakarro5398 Před rokem

    Asante dr ndio yananikuta Asante kwa kunifungua

  • @SwaumusaidKilua
    @SwaumusaidKilua Před 10 měsíci

    Duu kakaumegusa sana maishayangu namumewangu tunavyo ishi nihivyo

  • @SelineBhokeseline-go5eu

    ukweli kabisaa,I agree with you 🙏🙏

  • @happinessgaspha-iz7ct

    Asante baba

  • @JacklinaJeremaya-jb3zw

    Duh mungu anisaidie mm

  • @HildaTindwa
    @HildaTindwa Před 4 měsíci

    Thanks dady

  • @eunicemwalsumo2166
    @eunicemwalsumo2166 Před rokem

    Powerful sms be blessed

  • @yusufomosh5093
    @yusufomosh5093 Před rokem

    Fact sir hii imeshawah tokea kwa life yangu

  • @Medical101
    @Medical101 Před 8 měsíci

    Excellent topic

  • @mamajj2040
    @mamajj2040 Před rokem

    Bora nilikimbia mapemaaa, barikiwa sana,

  • @julias.mungai8807
    @julias.mungai8807 Před rokem

    Ubarikiwe umenifundisha kitu

  • @user-my2yi1rp6t
    @user-my2yi1rp6t Před rokem

    Be blessed kwa kutuelimisha

  • @nulovepyaar215
    @nulovepyaar215 Před rokem

    Nakupataje we baba nitoe madukuduku yangu

  • @aishadotto3640
    @aishadotto3640 Před rokem

    Nimeipenda hii 😭❤ asante sana my brother

  • @GuHi-d4v
    @GuHi-d4v Před 3 hodinami

    Dokta mm Nina mahusiano lkn anataabia mbya za wanawake kila kona na anaongea na simu hadi saa nane za uck mkiwa mmnelala. Mpaka nimeondoka kwake kwasasa ananiambia amebadiliki. Pia hamtaki niwe karibu na watu....lkn Alisha wahi kuniambia haijawahi kunipenda na fosi upendo na leo nipo Oman ananibembeleza kabadilika kaacha je anafaa naomba ushauri wako

  • @margaretmalandi37
    @margaretmalandi37 Před rokem

    Well said

  • @user-mw2ym5vp1p
    @user-mw2ym5vp1p Před 7 měsíci

    Asante brother

  • @nuruyaufunuoministry
    @nuruyaufunuoministry Před rokem

    Asante Chris

  • @gracemasawe7646
    @gracemasawe7646 Před rokem +3

    Yaan doctor Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu umeniponya tena Sana kuna topic yako uliirusha inasema dalili za mahusiano feki ki ukweli nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalikuwa yakiniumiza sana baada ya zile dalii ulizozitaja mtu nilokuwa naye kwenye mahusiano alikuwa nazo nimejitoa baada ya kunifundisha asante Sana baba kwan umeniponya na sasa niko huru Mungu akupe miaka ya furaha na amani uishi miaka 120 uone wana wa watoto wako

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před rokem +1

    Nakubaliana na wewe 100%

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před rokem

    Somo zuri

  • @AgnesjaneskephaJaneskeph-os7fu

    Amina mtumishi namba mbili umenielimisha Sana kwa sababu itakuwa Siri yangu😭😭

  • @user-ur3wh5fn3o
    @user-ur3wh5fn3o Před rokem

    Asante san ..Mungu akubariki

  • @MonikaJuma-n8b
    @MonikaJuma-n8b Před měsícem

    Duuh,dr hyo ya 2 na3 inamuhusu mtu wang ila nashukur Mungu nili move on mapema

  • @shangazizaynyenzi3121

    Kweli kabisa hz point zote ni sahihi

  • @Jasminemilima-lo9ep
    @Jasminemilima-lo9ep Před rokem

    ❤god bless u

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm Před rokem

    Kweli kabisa

  • @losaleennjikho7902
    @losaleennjikho7902 Před rokem

    Asante

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg Před 6 měsíci

    Nakuelewa Mauki nakuelewa kaka

  • @user-yh3im3gm9b
    @user-yh3im3gm9b Před rokem

    Asante kwa mawaitha ❤❤

  • @anethjoseph355
    @anethjoseph355 Před rokem

    Dalili ya pili na ya tatu jmn khaaaa Namshukuru Mungu dada angu ametoka kwenye hiyo ndoa

  • @user-jf8gn3gz8u
    @user-jf8gn3gz8u Před rokem

    Ubarikiwe sana

  • @Lily-xw6hg
    @Lily-xw6hg Před 8 měsíci

    Aante sana

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 Před rokem +2

    Hakika yote ni ukweli mtupu unaongea ,Mungu akuzidishie maarifa zaidi uzidi kutulea baba .

  • @GraceMichael-ze2oc
    @GraceMichael-ze2oc Před rokem

    Nashukuru sana 🙏

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 Před rokem

    Thnk boss b blssd for th great msge I hav learned

  • @clintonaward7580
    @clintonaward7580 Před rokem

    Wewe jamaa Sina neno juu yako ila Mungu akuzidishie sana unanigusa sana mmi

  • @hggvg9809
    @hggvg9809 Před rokem

    Ubarikiwe sanaaaaa

  • @rebeccasamsom5616
    @rebeccasamsom5616 Před rokem

    Asante sana Dr nimejifunza kitu hapo

  • @violethroth9076
    @violethroth9076 Před rokem

    Thank u

  • @SidiAm-wn4vb
    @SidiAm-wn4vb Před rokem

    Very true doctor

  • @zawadithomas1008
    @zawadithomas1008 Před rokem +1

    be blessed pastor

  • @munirakhalidikimaya4267

    Kabisa umeongea point

  • @peacemulokozi773
    @peacemulokozi773 Před rokem +1

    Yaani hizi tabia za ex husband nashukuru sipo tena huku . Na maisha yanaenda.

  • @theresiamwacha7845
    @theresiamwacha7845 Před rokem

    Da nimeumia Sana yaani Kaka umeongea ukweli mtupu nimejiona nimechelewa kukufwatilia

  • @catherinesabuni3453
    @catherinesabuni3453 Před rokem

    Kweli

  • @neema2822
    @neema2822 Před rokem

    😢Asante

  • @subiraadam2322
    @subiraadam2322 Před rokem

    Powerful mind 🙏🙏

  • @harosicharo2736
    @harosicharo2736 Před rokem

    Hapo ni kweli kabsa ex wangu alikua na hiyo tabia hta kwa mmake hataki nikae nae😢😢

  • @makamgimba5795
    @makamgimba5795 Před 11 měsíci

    Nimekuelewa kaka

  • @veronicamahende3718
    @veronicamahende3718 Před rokem

    Daaaaaaah brooooo

  • @ShabaniKateva
    @ShabaniKateva Před 11 měsíci

    Somo lako zuri San Yan

  • @suzancharles6163
    @suzancharles6163 Před rokem

    Mhuuuuu ya mwisho imegota vzr

    • @rehemaselemani9159
      @rehemaselemani9159 Před rokem

      Dr. Chriss je kama huyo mtu wakati mimi namjali anakua yupo bize halafu nikikaa kimya na yeye anakuja anajali kabisa kama hakuna kilichotokea hiyo inakuaje na anafanya hivo sio mara moja ata ukimwambia

  • @priscardanier8264
    @priscardanier8264 Před rokem +1

    Hizo ndo tabia za mme wngu mtalajiwa Ila ngja nijiongeze mapema

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo8320 Před rokem +1

    Jamani Dr Mauki ubarikiwe, nimechoka ghafla niliye nae ana yote uliyoyazungumza

  • @eliasmajambomwinyihaji1335
    @eliasmajambomwinyihaji1335 Před 3 měsíci

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @winnieakarro5398
    @winnieakarro5398 Před rokem

    Kaka kris mimi nakutafuta Nina shida sana

  • @getrudecharles8869
    @getrudecharles8869 Před 7 měsíci

    Hii ipo kwa mwanaume wangu😢😢😢 kabisaaa

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 Před rokem

    Aisee hiyo ya mwisho

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před rokem

    Hahahah kwenye Figo na bandama,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @AgnessFred
    @AgnessFred Před 2 měsíci

    Docta naomba no yak nikchek make 1,,4 yote umezungumzia mim tayal nipo kwene ndoa au naitaj ushaul

  • @user-gy8ld1zf5v
    @user-gy8ld1zf5v Před rokem

    Kama umeniona jaman

  • @antidiusalex7389
    @antidiusalex7389 Před rokem

    Very true thanks 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @edinaabiudi2382
    @edinaabiudi2382 Před rokem

    Hizo tatu tuziache ila hiyo ya nne 🤭ndo penyew hapo nilijua kabisa doctor asante

  • @user-fv1mj5rz8u
    @user-fv1mj5rz8u Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @naomidaudi1718
    @naomidaudi1718 Před 11 měsíci

    adi kichwa kinaniuma maumivu sana moyo wangu umechomwachomwa yote napitia kwa mchumba wangu natunaishi wote na nishazaa

  • @ummkolthumkoalthum3271

    Ukweli usiopingika

  • @user-dr6ix2sz3b
    @user-dr6ix2sz3b Před 4 měsíci

    Kwel De iyonikwel kbs mwanaume wangu iko naizo tabia

  • @AgnessFred
    @AgnessFred Před 2 měsíci

    Kama vile ndoa yang unaichungulia ga hatak niwe namawasiliano na ndugu zang wal malafk

  • @habibanassoro5732
    @habibanassoro5732 Před rokem

    🤣🤣🤣 Asante sana Dr Chris nmekuelewa vzr

  • @sharonjanery983
    @sharonjanery983 Před rokem +3

    Tabia za ex bwanangu hizo😭😭😭

  • @HawaUtegele
    @HawaUtegele Před 4 měsíci

    Asant dokta maut nilichelew kujua kpnd chak akik mm cna tena moy wa kpnd

  • @dafrosamapunda5884
    @dafrosamapunda5884 Před rokem

    kwakweli namwacha aende inauma lakini 9 ila hakuna nilichopata zaidi ya maumivu ya kumsubiri mtu asome apate kazi na alipopata kazi ndio kuangamia kwangu

  • @user-ku3ie5xn8z
    @user-ku3ie5xn8z Před 9 měsíci

    Jamàn mm nàchoka kabsa maañà huo ubz ndo wimbo ninaoimbiwa

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před 10 měsíci

    Hiyo nikwelii kabisaa mauki MTU yupo busy hata kusoma massage Tu hawezi hiyo siyo kwelii naamini kabisa unayo sema

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Před rokem

    👌👌👌

  • @NaomiBahat-bz6ri
    @NaomiBahat-bz6ri Před 5 měsíci

    Yani yote ayo uriyo yasema yananihusu kabisa

  • @florencefaida1495
    @florencefaida1495 Před měsícem

    Kabisa nmeshaurika katatika ushauri wako doctor

  • @katushabedotto2883
    @katushabedotto2883 Před rokem

    Mm mpenzi wangu ana wivu nahisi anipendi Ila uwa naniambia mke wangu nakupenda Sana Ila kuwa makini na wanadamu Ila ana wivu ata kidogo mm huwa najiuliza kwa nn

  • @KhalidAshjaie-cz7vg
    @KhalidAshjaie-cz7vg Před 9 měsíci

    🙏🙏🙏🙏🙏