Dr. Chris Mauki: Hata kama unampenda vipi! Usidanganyike kwenye haya manne
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Wengi wamechemka kwenye mapenzi na ndoa baada ya kufanya maamuzi kama vipofu kisa tu penzi lilikuwa limenoga sana wakashindwa kuona vema. Nakusaidia usikosee kama wengine. Nifuatilie
Namba nne niyamtu wangu kabisa na nashindwa kumuacha lkn nikweli najua lazma kunamtu anampa mda wake lkn kumuacha nashndw ,,,,,asanteh doctor tajtaid mana ni miaka miwil sasa lkn mimi ndo napambania sana penzi hili kuonana me niombe,,, kumtafuta mimi ndo nimtafute ye nimara chache sana dah nimevumilia izo tabia zake miaka miwili nw lkn abadiliki
Tunafanan na ivyo ivyo
Tunadanganywa wengi Mapenzi haya
Hanampango na wewe,mwache taratbu huku upo naye,hakupendi hata na atakuacha tu hata ipite miaka 6
Daaaaah! Pole Ila daaaah!
Kusema ukwel doctor @chris kuna watu asili yao kubadilika ningumu
Asante sana ubarikiwe sana kweli 🎉
1.usinidanganye atabadilika
2.wivu mkubwa ndio kunipenda
3.kukutenga baadhi ya watu
4.busy sanaaa
Shukrani sana Dr.Chriss
Yote hayo nimeyapitia lakin mpk sasa moyo ushakufa ngazi,,,naomba uzungumze je na hii tabia ya mtu kugombana anakushikia silaha ,, badae anakwambia alikuwa anakutishia tu ni Zaid ya mara Moja sasa nimeamua kumove on kwaz dah,,😢😢😢
Najuta kuchelewa kukufahamu doctor mauki dah,, nahitaji ushauri sana Mimi moyo ushakufa ngazi😢😢
Naelewa hii doctor
Ipo haja ya kusililiza wanasaikolojia kabla ya ndoa😢😢 sasa nivumilie tu mada zako sasa zanigusa kati tayari nimeingia kwenye ndoa😢😢😢😢😢
Asante Sana daktari hakika umekuwa na mchango mkubwa Sana katika Maisha yangu nimekuwa nikijifunza mengi Sana kutoka kwako hakika nami nitakuwa Bora na nitakuwa na mahusiano Bora na ndoa iliyobora
Mungu akutunze na kukulinda kwa ajili yetu sote. Nakupenda Sana
Asante sana
Hiyo ya mwisho inamuhusu mtu Asante Sana mauki kwakuniongezea experience
Haya maisha unaweza dhan kuna mtu amepewa historia ya mahusiano yako, kumbe wala nashukuru niliaamua mwenyewe kuwa huru God bless you Mauki
Yaani mungu amlinde huyu kaka jamani anamaono na m beba maono hafi lazima yaonekane mbona kama umeingia kwa uhalisia wa maisha magumu wanayoishi watu kwenye ndoa zao? Duh mungu akulinde sana❤❤❤❤
Ubarikiwe sana mtumishi Maana najifunza mambo fulani kutoka kwako
Mungu akubariki Doctor hakika umenifunguwa akili yangu niliishi hayo maisha saaana.
Mungu akubaliki Dr kwa ushauri wako Yani niliye kuwa nae kabadilika sana Niko buys mara maisha magumu nimeamua kumove imebaki Salam tu
Tunashukuru ku mafundisho my pasta but hata kama unamupenda usidanganywe hakiwa mulevi hama mushipuko hama mwinzi nibigumu yeye kubadilika je kitu ambayo auvumiliye mu uchumba je mu ndoa unaweza kuyavumiliya kwasababu yote inaziyaka mu uchumba namahana ya upendo ni nini nini kwasababu upendo inavumiliya inasamehe haijivune haisabu mabaya etc
Kweli ndugu Mauki🙏niliolewa na mwanaume mwenyevtabia za kupiga na kudharau wanawake nilidhani Upo cku atabadilika,ajawai kubadilika ndo amekuwa mbaya zaidi na amenitelekeza na watot 2 na tayari kazoa mwingine,
Yaaani kama unaniongelea Dr Chris
Shukran sana
Mungu akubariki saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana Dr.
Ahsante kaka nimejifunza jambo... Mungu akuzidishie
Congratulate to you Dr good job ✌️
That was my previous relationship...and I thank God mahali niko sai......I professie to God all 3 steps of relationship 🙏 inshallah ❤
Asante sana doctor kwa ushaur mzur
Asante dr ndio yananikuta Asante kwa kunifungua
Duu kakaumegusa sana maishayangu namumewangu tunavyo ishi nihivyo
ukweli kabisaa,I agree with you 🙏🙏
Asante baba
Duh mungu anisaidie mm
Thanks dady
Powerful sms be blessed
Fact sir hii imeshawah tokea kwa life yangu
Excellent topic
Bora nilikimbia mapemaaa, barikiwa sana,
Ubarikiwe umenifundisha kitu
Be blessed kwa kutuelimisha
Nakupataje we baba nitoe madukuduku yangu
Nimeipenda hii 😭❤ asante sana my brother
Dokta mm Nina mahusiano lkn anataabia mbya za wanawake kila kona na anaongea na simu hadi saa nane za uck mkiwa mmnelala. Mpaka nimeondoka kwake kwasasa ananiambia amebadiliki. Pia hamtaki niwe karibu na watu....lkn Alisha wahi kuniambia haijawahi kunipenda na fosi upendo na leo nipo Oman ananibembeleza kabadilika kaacha je anafaa naomba ushauri wako
Well said
Asante brother
Asante Chris
Yaan doctor Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu umeniponya tena Sana kuna topic yako uliirusha inasema dalili za mahusiano feki ki ukweli nilikuwa kwenye mahusiano ambayo yalikuwa yakiniumiza sana baada ya zile dalii ulizozitaja mtu nilokuwa naye kwenye mahusiano alikuwa nazo nimejitoa baada ya kunifundisha asante Sana baba kwan umeniponya na sasa niko huru Mungu akupe miaka ya furaha na amani uishi miaka 120 uone wana wa watoto wako
Nakubaliana na wewe 100%
Somo zuri
Amina mtumishi namba mbili umenielimisha Sana kwa sababu itakuwa Siri yangu😭😭
Asante san ..Mungu akubariki
Duuh,dr hyo ya 2 na3 inamuhusu mtu wang ila nashukur Mungu nili move on mapema
Kweli kabisa hz point zote ni sahihi
❤god bless u
Kweli kabisa
Asante
Nakuelewa Mauki nakuelewa kaka
Asante kwa mawaitha ❤❤
Dalili ya pili na ya tatu jmn khaaaa Namshukuru Mungu dada angu ametoka kwenye hiyo ndoa
Ubarikiwe sana
Aante sana
Hakika yote ni ukweli mtupu unaongea ,Mungu akuzidishie maarifa zaidi uzidi kutulea baba .
Nashukuru sana 🙏
Thnk boss b blssd for th great msge I hav learned
Wewe jamaa Sina neno juu yako ila Mungu akuzidishie sana unanigusa sana mmi
Ubarikiwe sanaaaaa
Asante sana Dr nimejifunza kitu hapo
Thank u
Very true doctor
be blessed pastor
Kabisa umeongea point
Yaani hizi tabia za ex husband nashukuru sipo tena huku . Na maisha yanaenda.
Da nimeumia Sana yaani Kaka umeongea ukweli mtupu nimejiona nimechelewa kukufwatilia
Kweli
😢Asante
Powerful mind 🙏🙏
Hapo ni kweli kabsa ex wangu alikua na hiyo tabia hta kwa mmake hataki nikae nae😢😢
Nimekuelewa kaka
Daaaaaaah brooooo
Somo lako zuri San Yan
Mhuuuuu ya mwisho imegota vzr
Dr. Chriss je kama huyo mtu wakati mimi namjali anakua yupo bize halafu nikikaa kimya na yeye anakuja anajali kabisa kama hakuna kilichotokea hiyo inakuaje na anafanya hivo sio mara moja ata ukimwambia
Hizo ndo tabia za mme wngu mtalajiwa Ila ngja nijiongeze mapema
Jamani Dr Mauki ubarikiwe, nimechoka ghafla niliye nae ana yote uliyoyazungumza
Aisee huyu ni wangu
👏👏👏👏👏👏👏
Kaka kris mimi nakutafuta Nina shida sana
Hii ipo kwa mwanaume wangu😢😢😢 kabisaaa
Aisee hiyo ya mwisho
Hahahah kwenye Figo na bandama,,,, barikiwa mtumishi wa MUNGU
Docta naomba no yak nikchek make 1,,4 yote umezungumzia mim tayal nipo kwene ndoa au naitaj ushaul
Kama umeniona jaman
Very true thanks 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hizo tatu tuziache ila hiyo ya nne 🤭ndo penyew hapo nilijua kabisa doctor asante
❤❤❤❤❤
adi kichwa kinaniuma maumivu sana moyo wangu umechomwachomwa yote napitia kwa mchumba wangu natunaishi wote na nishazaa
Ukweli usiopingika
Kwel De iyonikwel kbs mwanaume wangu iko naizo tabia
Kama vile ndoa yang unaichungulia ga hatak niwe namawasiliano na ndugu zang wal malafk
🤣🤣🤣 Asante sana Dr Chris nmekuelewa vzr
Tabia za ex bwanangu hizo😭😭😭
Asant dokta maut nilichelew kujua kpnd chak akik mm cna tena moy wa kpnd
kwakweli namwacha aende inauma lakini 9 ila hakuna nilichopata zaidi ya maumivu ya kumsubiri mtu asome apate kazi na alipopata kazi ndio kuangamia kwangu
Jamàn mm nàchoka kabsa maañà huo ubz ndo wimbo ninaoimbiwa
Hiyo nikwelii kabisaa mauki MTU yupo busy hata kusoma massage Tu hawezi hiyo siyo kwelii naamini kabisa unayo sema
👌👌👌
Yani yote ayo uriyo yasema yananihusu kabisa
Kabisa nmeshaurika katatika ushauri wako doctor
Mm mpenzi wangu ana wivu nahisi anipendi Ila uwa naniambia mke wangu nakupenda Sana Ila kuwa makini na wanadamu Ila ana wivu ata kidogo mm huwa najiuliza kwa nn
Ana au hana?
🙏🙏🙏🙏🙏