Video není dostupné.
Omlouváme se.

Dr. Chris Mauki : Hakikisheni Mmeyazungumza Haya Kabla Ya Kuoana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2022
  • Makosa mengi yanayofanywa na wanandoa wapya ni matokeo ya kunyamazia baadhi ya mambo muhimu sana wakati wanachumbiana. Je unajua mzungumze mambo yapi? Basi Hakikisha mnazungumza haya kabla ya kuoana.#DrChrisMauki#Kabla#Kuoana

Komentáře • 99

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph Před 3 dny

    Content zako ni relevant am proud kaka mauki mm ni mwanachana wako Mind of hope

  • @uzungupoint
    @uzungupoint Před 2 lety +23

    Daaah! Shukrani sana Dokta. Uchumba wangu umevunjika na sababu miongoni mwa ulizotaja imo. Ndiyo maana ndoa zina shida maana wengi wetu hatupati muda wa kuzungumza mambo ya msingi kama haya.

  • @MasikaPacheli
    @MasikaPacheli Před 11 měsíci +2

    Asante sana dkt nime juwa mengi kutoka kwako ubarikiwe kuliko wa barikiwa wote na itwa pache na ishi UG na tamani ni kuone Chris mshauri wangu. Nimejuwa mengi sana zaidi ya sana asante

  • @user-dm9on4ow3h
    @user-dm9on4ow3h Před 9 dny

    Me listening to you nikiwa kwa relationship yenye yafaa tuoane next year asanta bro

  • @EvaAfredy
    @EvaAfredy Před 4 dny

    asante sana nimejifuza vitu vikubwa sana

  • @rehemasharifu8985
    @rehemasharifu8985 Před 2 lety +6

    Mungu atakulipa unatusaidia sana

  • @girshonmatha1037
    @girshonmatha1037 Před rokem +3

    Asante Dr. Mauki kwa Mafundisho mazuri Mungu azidi kukuweka kwa ajili yetu

  • @scollalema4674
    @scollalema4674 Před 2 lety +4

    Ahsante Dr Chris .
    🙏 MUNGU akubariki
    Kila siku unazidi kutuelimisha..

  • @irenendauka4353
    @irenendauka4353 Před 2 lety +6

    Kiukweli kunabaadhi ya vitu hapo sijavifanyia kazi Asante sana kwa Darasa zuri Mungu azidi kukuweka kwaajili yetu

  • @laurenciajeremia8231
    @laurenciajeremia8231 Před 2 lety +5

    Ubarikiwe SANA

  • @hamuhadallas5651
    @hamuhadallas5651 Před rokem +4

    Hiyo ni kweli mipaka ya kujua kipato ni muhim. Coz mm mkewangu nilimruhusu mpka kujua mshahara wangu mwisho wasiku imani yangu ili niponza akawa ananisumbua sana.

  • @rosemsheshi9091
    @rosemsheshi9091 Před 2 lety +3

    Asante kwa somo... nimepata kitu cha kunisaidia

  • @ibahatimoses6431
    @ibahatimoses6431 Před 2 lety +3

    Dr asante somo limetuokoa wengi

  • @AngelaNicolaus
    @AngelaNicolaus Před rokem

    Nashukur doctor ,,,aaah mm cna mahusiano wala ndoa lkn huwa nafkiria kuhus ivo vtu kpnd iko nkifikia kua mahusiano na ndoa ,,,,asante coz unazd kuniongezea upana juu ya ilo 🎉❤

  • @rukcabby2572
    @rukcabby2572 Před měsícem

    Shukuran

  • @judagreemme5647
    @judagreemme5647 Před 2 lety +7

    Waw thanks for this doctor.. learning a lot from your lessons.

  • @dr.pastor.misericordemarce5365

    Ubarikiwe San Dct umenibariki San

  • @fridaKilomba
    @fridaKilomba Před 3 měsíci

    Somo nmelielewa nashukur Dr.Chris

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před 2 lety +2

    One hundred million dollar Clip💪 Hongera sana doctor👏👏👏👏👏👏

  • @OnesmoCharles-oe1hx
    @OnesmoCharles-oe1hx Před rokem

    Asante Sana dk mauki...
    Kwa elim unayo tupa na kuonyesha njia ya kupita sisi vijana Mungu Akulinde

  • @nyawiranyaga9614
    @nyawiranyaga9614 Před rokem +3

    Very great insights
    Watching from🇰🇪

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Před rokem

    Asnte sana Dr hapo kwenye uchumi ni pamuhinu sana

  • @user-nw1cy8jx4n
    @user-nw1cy8jx4n Před 11 měsíci

    Ubarikiwe sana Dkt chriss mauki kwa mafundisho yako

  • @WinnerNgowi-qi4wr
    @WinnerNgowi-qi4wr Před rokem

    Dr chris kuna wanaume wasiri sana

  • @zaitunialli1223
    @zaitunialli1223 Před rokem +1

    Ahsante sana doctor Charles mafundisho .

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 2 lety +2

    Shukrani baba

  • @adeladavis1876
    @adeladavis1876 Před rokem +1

    No 2 is very important

  • @EstherAntony-bt8uv
    @EstherAntony-bt8uv Před 2 měsíci

    Your much blessed our psychologist

  • @marymary8313
    @marymary8313 Před rokem +2

    Thanks alot doc🙌 🇰🇪🇰🇪

  • @elizabethemeram4285
    @elizabethemeram4285 Před 2 lety +2

    Shukran sanaaa

  • @nassirkhalfan3166
    @nassirkhalfan3166 Před 2 lety +4

    Somo zuri sana

  • @lydiakemunto6652
    @lydiakemunto6652 Před 2 lety +2

    That's true my brother,thank you for this messsege nimejifunza mengi sana God bless you🙏🙏

  • @rukialupenza3939
    @rukialupenza3939 Před rokem

    Asante sana Dr.chris nimekuwa nakufuatilia Sana kiukweli napata faida mungu akubariki

  • @shakylahamad8326
    @shakylahamad8326 Před 2 lety +3

    Thank you so much DR

  • @RehemaDamiano-uv3yw
    @RehemaDamiano-uv3yw Před rokem

    Mungu akubari mtumishi

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 Před 2 lety +1

    Upo sahihi kabisaa👌🏾

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 2 lety +2

    Shukran Sanaa ♥️♥️♥️

  • @richardkayumbo2885
    @richardkayumbo2885 Před rokem

    Asante sana Dkt. Mauki umenifungua vizuri sana.

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Shukran San

  • @gilbertsemiono8661
    @gilbertsemiono8661 Před rokem

    Asant elimu nzuri sana hii Mungu akubaliki

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 Před rokem

    Uko sahihi kabisa,Mungu akulinde

  • @user-ju2og9dy8t
    @user-ju2og9dy8t Před 6 měsíci

    Thanks so much great man of God 🙏🙏🙏

  • @wemajay1462
    @wemajay1462 Před rokem

    Mola akubariki

  • @chizo_hancho
    @chizo_hancho Před rokem

    It's true,,, salute Dr

  • @roseallen7198
    @roseallen7198 Před rokem

    Dah somo zuri sana barikiwa mno

  • @user-yh3im3gm9b
    @user-yh3im3gm9b Před rokem

    Thanks from🇰🇪🇰🇪

  • @jonasmusakamba630
    @jonasmusakamba630 Před 2 lety

    Somo nzuri sana mungu akebariki docta

  • @sophiahatibu1435
    @sophiahatibu1435 Před 11 měsíci

    Asante sana

  • @husseinchai1133
    @husseinchai1133 Před rokem

    Ahsanteh Sana mungu Akubaliki

  • @EvamaryJumanne-uw6wj
    @EvamaryJumanne-uw6wj Před rokem

    Asante doctr

  • @SarahNsajigwa-up8sv
    @SarahNsajigwa-up8sv Před rokem

    Asante kaka

  • @judagreemme5647
    @judagreemme5647 Před 2 lety +4

    But curses.... others do not know even their own back grounds ( don't know if you can call it ignorance) let alone their partners backgrounds, how are we going to deal with that

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před rokem

    Bravo.

  • @mariamupatric8437
    @mariamupatric8437 Před rokem

    Asante sanaaaaaa

  • @RoseMbwawa
    @RoseMbwawa Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @FloraJulienne
    @FloraJulienne Před 13 dny

    🙏🙏🙏🙏

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg Před 6 měsíci

    Eee Mungu ningekuwa na napata nafasi nyingine ningeitumia vizuri 😭😭😭😭

  • @annakaunda6634
    @annakaunda6634 Před 2 lety

    Barikiwa Sana Dr, mejifunza jambo

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 Před 2 lety

    Mwalim bora 👌

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 Před 2 lety

    🙌well said be blessed🙏

  • @christinesalama793
    @christinesalama793 Před rokem

    Wow

  • @harriethkalindili7980

    Exactly!

  • @yakobolusasu1821
    @yakobolusasu1821 Před rokem +1

    Yaan Dr tatizo cc wanawake tunakuwa wakweli tatizo wanaume waongo akishaingia kwa ndoa anamgeuka mwanamke

    • @monicakidyagila5520
      @monicakidyagila5520 Před rokem

      Daaaaah umeongea point ya za msingi hiki kitu kilivunja ndoa yangu nimejifunza Asante sana Dr Mungu akubariki 🙏✍️

  • @user-mt9gi7uy2t
    @user-mt9gi7uy2t Před rokem

    Amen

  • @sithey8608
    @sithey8608 Před rokem

    Mm kwakweli haya nafunzo yalikua yangu kabisa yani nimejifunza vtu vingi sn n naiazid kkufuatilia ndio nigifunze mengi zaidi, mm kufikia sahii ndoa yangu ilivunjika n sababu nyingi n zenye umeongelea sn

  • @user-mt9gi7uy2t
    @user-mt9gi7uy2t Před rokem

    ❤❤

  • @VailethAndrew-g7w
    @VailethAndrew-g7w Před měsícem

    Doctor nina mpenzi na imefika wwakati anataka kunioa sasa naogopa maana ni muongo sana kiasi ambacho tunaweza kuongea yote haya lkn akakubali kwa sasa na baadae akanigeuka nikabaki na maumivu tu

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd Před rokem

    Kaka hii ilinisumbua mimi,

  • @adeccenter9193
    @adeccenter9193 Před 2 lety +2

    leta baba tunasubiri

  • @_meckmill2
    @_meckmill2 Před rokem +1

    Nahisi kwa sasa nina masters ya haya masomo ya mahusiano vizuri kbsa . Ata nikishauri mtu hua anakuja na feedback nzuri #mwanafunzihuru #mwanagenzi #drmaukithementor

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Před rokem

    💊

  • @NeemaJoseph-iq5tr
    @NeemaJoseph-iq5tr Před 3 měsíci

    Naomba jibu 5:49

  • @eunicemarcel1546
    @eunicemarcel1546 Před rokem +1

    Acha leo nicomment ivi hawa watu wanao comment kizungu wakati somo ni is kiswahili inakaaje hapo?

  • @jessica-zq5pd
    @jessica-zq5pd Před rokem

    AK umeniguza Dr, hataki tuzungumzie hayo maneno, yote. Hataki hayo maswali yoote. A nasema usijali hayo "kwani huniamini"aki nisaidie.

  • @sholastikaHenjewele-rh4gw
    @sholastikaHenjewele-rh4gw Před 2 měsíci

    Zungumzeni ni Aina ya ndoa unayotaka
    Zungumzeni kuhusu mambo ya pesa
    Watoto
    Mila desturi za kufamilia
    Misimamo ya kiiman

  • @AronMzumbwe
    @AronMzumbwe Před rokem

    Nimeinda asee

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema6087 Před 2 lety

    Dr mauki nitakutafuta binafsi

  • @user-pw5tu7yf3q
    @user-pw5tu7yf3q Před rokem

    Yanidokita nambaushauli nakwanza nikutana namwana muke akonambiwa anamutoto umoja lakini kunamusiba ulitoke kumbealikua nawa toto wawili nasimoja apanilipo nipokwewakati mugumu

  • @faidhasuleiman9493
    @faidhasuleiman9493 Před rokem

    Dr ulozungumza 😢 imegusa

  • @nezmasleiman7435
    @nezmasleiman7435 Před rokem

    Diktat hayo mambo 6 yakunifanya nipendw zaid nataka nifanye mazoez kingereza niko nyuma

  • @annajackson7886
    @annajackson7886 Před 2 lety

    Dr. Nnajambo naitaji ushauri Lakin nlijarbu kupga cm akapokea mtu mwingne😩😓🙏

  • @nuratyabdalla8463
    @nuratyabdalla8463 Před rokem

    Tunashkr kwasomo
    Lakn naitj ushaur nimepata mchumba lkn amenizd sana umr ila ntamjuaje kama nimtu sahh ila amenipeleka mpaka kupima sijajua alimaanish nn naomba msaad jmn

  • @naifatothman6553
    @naifatothman6553 Před 2 lety

    Namba namb yko ya wthpp

  • @dr.pastor.misericordemarce5365

    Ubarikiwe San Dct umenibariki San

  • @RoseMbwawa
    @RoseMbwawa Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @marcylinekanzo8760
    @marcylinekanzo8760 Před 3 měsíci

    🙏🙏🙏🙏