Dr haya nimekuwa nikimwambia mno mume wangu,hatuvai vzr,hatuli vzr hela zote tunajenga majumba,kitu ambacho naona tutayaacha tutakufa mapema,hatujawahi ht kuenjoy chochot,na mbinguni hatuingii pia.maan hatukuwa na mda na Mungu pia
Mauki sema sema usiogope,,unaniongelea Mimi na mme wangu,alinikimbia akaoa na akazaa,nilipompeleka balaza la kata tupeane taraka sukari ilipanda Sana akawa magonjwa!!
Ahsante saana pastor sisi wanawake tumefundwa na kla tukijaribu kuwafanyia wa mme haawaerewi kabisa sio katika tendon la ndoa sio heshima Wala v Chochote unafka wakati nawaza fundisheni wanaume saana ndoa nakuishina wake zao
Chris I learn from a friend that, let ur girls children to have of their father's touch and keep close to their daughters. Men's always they know many mistake they did and always share direct or indirectly to their daughters. I full concur with you we need to prepare our boys to the new empowered women. Review of bejiin aftermath and recorrect where we are heading wrong from family level
Ukitangulia mbinguni maisha uendelea tu, so wazee acha pressure nyingi za kutafuta hela nyingi, huku watoto wakifuta bhangi. Kwa eulorogy ni watoto uandikwa tu sio mali, chunga husi Rest in peace unaachia mama watoto bonoko aki,,,
Habari za apa ...naomba mnifunze jinsi ntachukua hii vidéo...imenifunza kitu kikubwa. Kisha docteur wetu mtu anakuaga na maswala ya private anakupata aje? Asante Mungu akubariki
Dr haya nimekuwa nikimwambia mno mume wangu,hatuvai vzr,hatuli vzr hela zote tunajenga majumba,kitu ambacho naona tutayaacha tutakufa mapema,hatujawahi ht kuenjoy chochot,na mbinguni hatuingii pia.maan hatukuwa na mda na Mungu pia
😂😂😂😂
😢😢😢😢
Maukk naomba namba Yako ya WhatsApp tafadhali
Umesema vyema Sana watu wanafikiri kuwa na Mali nyingiii ndio furaha
Mauki sema sema usiogope,,unaniongelea Mimi na mme wangu,alinikimbia akaoa na akazaa,nilipompeleka balaza la kata tupeane taraka sukari ilipanda Sana akawa magonjwa!!
Dr. Chris I love your teachings more kwani wanaume hawawathamini wake zao. Mungu akubariki
Hii Elimu nimeikibali Sanaaa
elimu muhimu sana hii
yapo mengi ya kujifunza
kama umetizama hizi video kuwa balozi mzuri washirikishe jamaa zako ata watano
Dr.Mauki you have spoken well
Mimi nakuomba dr mauki utuandalie somo la kuoa mwanamke anae kuzidi umli,linaniumiza sana kichwani
Asante sana dr kwa somo zuri mungu akupe siku nyingi za kuishi ili utufundishe mengi
Dr chris najitaji hivyo vitabu
Congratulations ,sir Chris ,,tuelimishe zaidi.... shukran
Ahsantee kwa maarifa mungu akujaalie,Good participle
Chriss Pongenzi sana napenda mafundisho yako keep it up
Dr Chriss. I love your teachings. , infact , most of our African men don't value their wives . Hongera kwa kazi nzuri. 🎉 I'll be following you.
Nashukur San Dr Chris's Huwa nawek jamaa akiwep angalau asikie
Hakika wewe ni doctor and just be blessed by almighty God i love you fundiSha baba
God bless you man of God
MAHUKI IS NUMBER ONE
Mafundisho ya kuwafaa wote hasa kina baba, James kutoka Kenya.
Wangu..ni mamake..na dada zake.....akisema mla nawe Hadi nawe....nishamzoea
Ahsante saana pastor sisi wanawake tumefundwa na kla tukijaribu kuwafanyia wa mme haawaerewi kabisa sio katika tendon la ndoa sio heshima Wala v
Chochote unafka wakati nawaza fundisheni wanaume saana ndoa nakuishina wake zao
Thank you so much for the Advice i learn alot
Dori dori kuna watu wanawachukulia Wanawake si kitu
Hahaha ha!!!! Hallelujah!!!! Basi jaaman mkikosa duniani mpate mbinguni!
Mungu awe nawe baba,umetuponya.
❤great knowledge 👏 👌 👍 🙌 💯 🙏 👏
Nimeipenda. Iyo. Uko. Sahihi. Kirisi. Mauki
Mafunzo mazuri sana dr..tatizo mfumo dume
Umesema kweli Dr Nyumba za kupanga watu hawalali na afya zao ndio hizohizo
mungu akubarikie maneno mazuri zaid
Mungu ainue fikra zakooooo ziwe juu zaido
Uko vizuri Dr Criss
this man is wise.that of children is true
Ubarikiwee🙏
I like your seminar nimefundishwa Sana as a man
Chris I learn from a friend that, let ur girls children to have of their father's touch and keep close to their daughters. Men's always they know many mistake they did and always share direct or indirectly to their daughters. I full concur with you we need to prepare our boys to the new empowered women. Review of bejiin aftermath and recorrect where we are heading wrong from family level
Wababa wanabaka siku hiz pia
Ubarikiwe tumepokea
Mungu akutunze dct uzidi kutuelimisha ndoa zetu zinakufa
🤦♀️
Ukitangulia mbinguni maisha uendelea tu, so wazee acha pressure nyingi za kutafuta hela nyingi, huku watoto wakifuta bhangi. Kwa eulorogy ni watoto uandikwa tu sio mali, chunga husi Rest in peace unaachia mama watoto bonoko aki,,,
Ubarikiwe, napata wapi vitabu na sh ngapi? Natamani kuanza na kitabu Cha (1) kucontrol stress (2) saikolojia. Kwa kiswahili. Nimejifunza
Mimi naombeni no ya Chris jamani
Ubarikiwe baba
Very lucrative teachings;good job guys.Kudos Dr.Mauki
Nimepata kitu🙏🙏🙏
Maarifa makubwa sana
SoMo zuri sana
Hahaha hahaha 😂😂 da Chris umenielimisha
Kweli baba na wengine hawaji kweny mafundisho lakin wanahitaji hata maombi
Watanzania jifunzeni kusoma kitabu hard copy, kimbieni Sana kusoma kitabu kwa mtandao, Kuna madhara.
Asante mkuu
Nyie Chriss😂😂😂😂 ilove you ❤❤❤😂😂
Mafunzo mazur sana
Baba yuko bize na michongo ya michepuko😅😅😅😅
Great Dr Mauki, your expose' needs, absolutely, be disseminated
❤
Kweli wewe ni msaikololia,nimekupenda bure
Wasichana wanapata mafunzo sana jinsi ya ku handle familia lkn wavulana mmmm,wengiwanaingia kwenye familia kichwakichwa,
Very True
Uko vizur Dr cricc
Good
😂😂😂😂😂Mauki umenichekesha mno!!
Books how much price posterior
Niko Kenya Mombasa,,,ntaweza kuzipata vitabu vyako kwa NJIA ipi ?
Nivizuri kufanyiana mema wakati wote
❤🎉
....to the public
Kitabu tunakipataje
Habari za apa ...naomba mnifunze jinsi ntachukua hii vidéo...imenifunza kitu kikubwa.
Kisha docteur wetu mtu anakuaga na maswala ya private anakupata aje?
Asante Mungu akubariki
Unatumia sana lugha ngumu..sikusikilizi tena
Criss umenichekesha
SEMA baba
Vitabu vinapatikana mikoani?
Naomba jinsi ya kukupata. No ya cm pls
asanteni sana kwa maarifa yananijenga
B
Bb
Dr Chris's anagonjwa wa procrastination {kugairishaaa}
Why
Kama yeye hakutunzi?
Niko marekani nitabataje vitaba hibyo?
Sema wewe chris .kuna wanaume hawajaitambui kabisa
Kabisa
Dr, wape afya ya akir hao.
Vitabu tunapata wapi sisi tulio mbali
Live longer my kk. Wewe mtu ni hatarii😂😂😂🙏🙏
Vitabu tunavipataje jamani
😅😅😅😅nimecheka kama mazur
Asante sana mwalimu @chrismauki
❤