MAMBO 10 YA KUKUJENGEA POSITIVE THINKING

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 10. 2020
  • Mtazamo au mawazo chanya vinaweza kukuongoza katika mambo mengi sana ya maendeleo katika maisha yako.
    .
    Lakini maisha yana juu na chini kuna hali yaweza kutokea ukashindwa kuwa mtazamo sahihi au mawazo chanya.
    .
    Kwahiyo ni lazima kuwa mlinzi wa mawazo na mtazamo wako wakati wote kwani gharama ya kukutana na athari ya mawazo hasi (negative thinking) ni kubwa sana.
    .
    Kuna mambo 10 hapa unaweza fanya kuhakikisha unakuwa na mawazo chanya siku zote:
    .
    1- Kuwa na watu sahihi wanaokuzunguka
    2- Kubali kosa ukifanya na badilika
    3- wapongeze wengine wakifanya vizuri.
    4- Jijali/ Jipende.
    5- Shukuru kwa yale uliyonayo
    6- Jione wewe ni mshindi kila siku
    7- Kila siku fanya kitu kuhusu malengo au ndoto yako
    8- Soma vitabu au makala zenye kukupa nguvu na shauku ya kuwa bora zaidi
    9- Saidia wengine au shiriki shughuli za kijamii
    10- Usiache ibada kila siku
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    DR. ISRAEL: / drisraelofficial
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    #Positive #Thinking #SPN

Komentáře • 232

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 3 lety +6

    Watu wengi wana dhana ya kuwa kama Mungu hajataka huwezi kufanikiwa. Never, hii ndio ile negative thinking. God helps those who help themselves. Mungu husaidia wale wanaojisaidia wenyewe kwanza. Unataka kwenda peponi halafu husali. Au unataka kuwa tajiri bila ya kazi. How come, it is impossible. Kazi ndio msingi wa mafanikio. Asante sana bro kwa kutoa elimu nzuri na kwa hakika wanaokufuata watafanikiwa kimaisha.

  • @amiriabdul6305
    @amiriabdul6305 Před rokem +2

    kwel bro yamwishoo fact

  • @jovinmutakumwa9611
    @jovinmutakumwa9611 Před 3 lety +6

    Asante Brother kwa chakura kizuri kama hiki hakika Mungu ni mwema sana Azidi kukupa uwezo wa kuenderea kutupa somo 🙏🙏🙏

  • @HuseyinAfrika
    @HuseyinAfrika Před 5 měsíci +1

    mashaAllah Allah akujalie zaidi ya ichi ulicho tuelekeza na aweze kutujalia tuweze kupata nguvu za kubitekeleza na kubifanya vitu ivyo

  • @MwamediMahobela
    @MwamediMahobela Před 8 měsíci +2

    Me mohammad kutoka kigoma napenda unavyo tujenga nakupenda bro

  • @timamahendo4172
    @timamahendo4172 Před 3 lety +3

    Yani bro umenifanya nimekua na courage sijui imetoka wapi .....kupitia lecture zako nimejifunza mengi sana

  • @zistmassawe2189
    @zistmassawe2189 Před 3 lety +2

    Unani_inspire sana God bless you

  • @zakiahaeuna1849
    @zakiahaeuna1849 Před 3 lety +1

    Mashaallah saf san mung akubark ezden

  • @leilatyabbasi482
    @leilatyabbasi482 Před 3 lety +5

    Who else is watching/listening while cleaning,another boom from bro Ezden, point that hits me harder
    1 ibada
    2 good friends/ right people
    3 self positive talk
    4 every day do something towards ur goals
    Bro keep on inspiring Allah akuzidishie Maalim

  • @FahmaAbdallah
    @FahmaAbdallah Před 14 dny

    Nimejifunza vitu vingi sana Allah akutunze inshallah

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 Před rokem +1

    Dida dadaangu sijui ilikuwaje ukaachaana na hii nuru.huyu ilikuwa umnganganie wallah.mume Bora sana.aa ndo mambo lakini

  • @iddmambo3218
    @iddmambo3218 Před 3 lety +14

    Blessed brother may Allah Grant u more in return than what you have inspired us..

  • @hussensangoda3855
    @hussensangoda3855 Před 2 lety

    Nakubali Sana bro mungu akuzidishie Ktk Elim tunanufaika mno

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 3 lety +2

    Shukran hubby ❤❤

  • @rachealmwale3897
    @rachealmwale3897 Před 3 lety +1

    Mafunzo mazuri sana. Nafundishika kila siku ninapokuskiza. Be blessed brother.

  • @mercymercy8660
    @mercymercy8660 Před 3 lety +5

    Asante kaka.umenifungua xna stay blessed

  • @motiveperson143
    @motiveperson143 Před 6 měsíci

    I used to be mtu asiekubali kosa kwa sababu when I was young. I used to be criticized for a mistake whether I did or not, so it became a habit ila when I started learning myself, "I controlled myself when I wanna deny my mistakes ila am still a learner hope I will make it." ❤😊

  • @user-qd9qt7ro6b
    @user-qd9qt7ro6b Před 8 měsíci +1

    natokea mwanza niatwa rajabu. mashaallah mungu atupe uzima aminn

  • @shizzmntanatziii7066
    @shizzmntanatziii7066 Před rokem

    Unanijenga sana kifikra nashukuru sana ubarikiwe kila uchwao

  • @noornasir4378
    @noornasir4378 Před 2 lety

    Mashallah topic nzuri sana na inatutia moyo na kumshukuru Allah kwa kila neema alotujaalia. Alhamdulillah

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 Před rokem

    Allah akupe shahada wakati wa kufa kwako.wewe na sisi pia.unatusaidia sana bro.alhamdulillah.unatutoa kwenye mawazo mamoja kwenda mengine ambayo ni sahihi Zaid.Allah akubarik

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 2 lety +1

    Kaka Edeni mwenyezi Mungu akuhalie kila siku, Asante nimejifunza vitu vingi sana

  • @sitapaul5835
    @sitapaul5835 Před 2 lety +1

    Nakwelewaa sana kaka

  • @motiveperson143
    @motiveperson143 Před 6 měsíci

    On the first point brother you are 💯 right.
    I used to have poor setting boundaries, and most of the people never respected me, and they use to use me, then couple months ago nime jifunza setting boundaries 😂 guess what alot of them dropped and left

  • @masolaz_boy
    @masolaz_boy Před 2 lety +1

    100% mpk mwisho in shaa Allah

  • @kahejashukuru4797
    @kahejashukuru4797 Před 2 lety

    Sijawai jutiya kufuata videos zako. Mungu akubariki sana

  • @user-ot5of3si6y
    @user-ot5of3si6y Před 2 měsíci

    Napenda sana

  • @martinmhelela1393
    @martinmhelela1393 Před rokem

    Mifano yako ipo hai sana,unagusa ukweli kinyama,
    Motivation zinasaidia sana mtu kufanya vizuri kwa kazi na ubunifu zaidi,Ali ya kujituma na kujiamini na sio kulalamika .mind it that kulalamika niwazi umeshindwa kufanya Jambo Hilo,
    Asante

  • @zamanjohn4612
    @zamanjohn4612 Před 3 lety +1

    Kazi nzuri sana kaka

  • @SarahDavid-nz8ir
    @SarahDavid-nz8ir Před rokem

    Barikiwa sana

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 Před 3 lety +1

    Nice Kamanda Wangu

  • @hatimahalikhamis1333
    @hatimahalikhamis1333 Před 3 lety +1

    Mashalla positively received

  • @khadijasaidi911
    @khadijasaidi911 Před 3 lety +1

    Maa shaa Allah, Shukran sana

  • @zephulinsosipetel3215
    @zephulinsosipetel3215 Před 3 lety

    Nakukubari jumanne

  • @flavianayusuph1309
    @flavianayusuph1309 Před 3 lety +3

    May Almighty God bless and protect you for good inspired

  • @IbrahimDaudi-bo7ke
    @IbrahimDaudi-bo7ke Před 3 měsíci

    Shukran Jazila

  • @maulideabdala3832
    @maulideabdala3832 Před 3 lety +1

    Ipo safii sana

  • @MillionaireBorntowin
    @MillionaireBorntowin Před 2 lety

    Brother uko vzr sana

  • @RukiyaButoyi-sk5nm
    @RukiyaButoyi-sk5nm Před rokem

    Assaalam aalaykum warahmatullah kweli Kaka duuuh hakika nimejifunza mengi.

  • @decastillognabry529
    @decastillognabry529 Před 2 lety +1

    Thenks bro we need to at all times have positive auto suggestions (kujiambia mambo mazuri kujihusu) till we attain positive thinking as a daily habit ❤️🇰🇪👑💪🧠

  • @user-ro5qm1lh8g
    @user-ro5qm1lh8g Před 3 měsíci +1

    Yaan leo umenigusa pakubwaaa
    Be the Person you want to Attract
    Magreth from Mwanza

  • @citymaxbookshoptanzania2924

    Upo sahihi sana mwalimu

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 Před 3 lety +1

    Lakini unafanya kazi nzuri sana kaka

  • @rahmahussein6579
    @rahmahussein6579 Před 3 lety

    Very inspirational video,. thanks for sharing together with su

  • @user-mv7uf7jo1j
    @user-mv7uf7jo1j Před 9 měsíci +1

    Bro mm hata sijui niseme nn ila mejifunza sana kiukweli na nakuahidi nitawashawishi na wengine naanze kukufatilia ili na wao wapate elimu ninayoipata mm toka siku ya kwanza nilipoanza kukufatilia, asante sana kwa elimu nzuri sana mm nakuombea kwa MUNGU akupe nguvu na uelewa wa mamb zaidi ili na sisi tupate kujifunza kupitia ww zaidi na zaidi.... Me nakukubali sana

  • @alfredmnazareth898
    @alfredmnazareth898 Před 3 lety

    wallah napenda mada zako

  • @francissixmundy8654
    @francissixmundy8654 Před 3 lety

    Pongezi sanaaa kwakoo hakika weeewe ni mtu mwenye knowledge Pana sana ya kutoa ELIMU.endelea kutupa mafunzo kak naamin kupitia wew nmeanza kuwa na mawazo chanya

  • @mbaloplatnumz646
    @mbaloplatnumz646 Před 2 lety

    Daaah kakaumenifunza mengi Sana kk mwenyez mungu akubarkh kk

  • @yusufyusuf4180
    @yusufyusuf4180 Před 3 lety

    Great

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 Před rokem

    Yes, Be yourself

  • @HonestaMwita-wf4ow
    @HonestaMwita-wf4ow Před 3 měsíci +1

    Thanks

  • @husnaismail8921
    @husnaismail8921 Před 3 lety

    Masha Allah..mungu akubariki..nimejifunza kitu

  • @nurujonas7302
    @nurujonas7302 Před 3 lety

    Thx bro God bless you

  • @sallys3229
    @sallys3229 Před 3 lety

    Woooow am encouraged 💪💪💪👌👌👌

  • @mtindimagogera2525
    @mtindimagogera2525 Před 3 lety

    Thanks bro ezden jumanne for this concept

  • @jumeletv7794
    @jumeletv7794 Před 3 lety +1

    thanks brother be blessed!!!

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 Před 3 lety

    Shukran kaka ezden

  • @zainabuamiri4463
    @zainabuamiri4463 Před 2 lety

    Shukrani kaka Allah akuifadhi.

  • @anithahoza4016
    @anithahoza4016 Před 3 lety +2

    wow thank u bro ezden . i appriciate u , u alway show me the light in my lyf GOD BLEES U

  • @mashaurinelson7106
    @mashaurinelson7106 Před 3 lety +2

    Thank bro Ezden for this concept

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Před 2 lety

    Ameen

  • @mbuyutv8271
    @mbuyutv8271 Před 3 lety

    MashaAlla MashaAlla, nimeipenda hii.

  • @Jouniorkids_
    @Jouniorkids_ Před 3 lety +1

    Mbona Yesu alitembeaa na wenye Dhambii

  • @user-vp3oz7ho1h
    @user-vp3oz7ho1h Před rokem

    Kweli brother

  • @nasibukhaled8709
    @nasibukhaled8709 Před 3 lety +1

    Kaka nazid kkuelew kila cku nakubal xna kaka unatutoa ucngzn,,, bless xna mzeee

  • @rajabujuma8725
    @rajabujuma8725 Před 3 lety

    Ubarikiwe kaka nimejifunza kitu kuhusu matumizi ya bundle langu....asante sana

  • @aminameena14
    @aminameena14 Před 2 lety

    Shukrani sana kaka

  • @christopherrichmangi8570
    @christopherrichmangi8570 Před 3 lety +1

    Ezden blessed man.thanks so much bro

  • @mzamilubaraka9131
    @mzamilubaraka9131 Před 3 lety

    Safi sana Bro.nimekuelewa

  • @routecamino185
    @routecamino185 Před 3 lety

    really bro una mafundisho mazuri tena ya kweli

  • @counselingandmotivationcenter

    Thank you brother apart of being my brother your My teacher.

  • @khalidhamad4132
    @khalidhamad4132 Před 3 lety

    Ahsante na shukran sana Brother. Hongera sana kwa hichi kipind nimekua nikiendelea kujifunza sana kupitia success path. Allah azidi kukubarik na kukupa mafanikio mema. UNATISHA SANA

  • @user-bu1vd8my8l
    @user-bu1vd8my8l Před 4 měsíci

    God bless

  • @kelvinchristopher1853
    @kelvinchristopher1853 Před 2 lety

    Ooh bro unaupeo mkubwa mungu akubarik na akuzidishie neema you changed my life

  • @mashaurinelson7106
    @mashaurinelson7106 Před 3 lety

    Be blessed brother

  • @habibaally2943
    @habibaally2943 Před 2 lety

    Shukran

  • @hopezakskincare6745
    @hopezakskincare6745 Před 3 lety +1

    Thanks so much najifunza kitu japo nimechelewa kukufahamu brooo

  • @masambenyankena6547
    @masambenyankena6547 Před 3 lety

    Bro uko poa sana..,,GOD BE WITH YOU

  • @shufaarajab2141
    @shufaarajab2141 Před 3 lety

    Be blessed bro Kaz nzuri tunazd kujifunza

  • @mzaliwajohn1395
    @mzaliwajohn1395 Před 3 lety +2

    good sana mr. Ezeden,
    youn should also provide enterpreneurship skills

  • @alfadulibro7713
    @alfadulibro7713 Před 3 lety

    Really uncle

  • @brotherisaiahtv
    @brotherisaiahtv Před 3 lety

    Asante bro

  • @petrongosha7914
    @petrongosha7914 Před 3 lety

    Tangu nianze kukusikiliza umenisaidia sana be blessed brother.

  • @sandraumulisa239
    @sandraumulisa239 Před 3 lety

    Thanks brother 🙏

  • @misschado1385
    @misschado1385 Před 3 lety +4

    Nilikutafuta watsap ukaniskilza ukaahid kunichek then from there najitahd kukutafuta wanidharau. Akhui hujui wengi tumetoka pabaya kuelekea pazur kupitia this channel but tunapokutana n hii ni athar kwetu. Atleast nisubirishe tu kwa busara n hekima Kukaa kimya kunanipa tafsir nyng. OK then Allah akulipe kher kwa hili ulifanyalo umenibadil alhamdulillah. Still goin

    • @petrongosha7914
      @petrongosha7914 Před 3 lety +1

      Msamehe bure huenda anakuwa bize sana

    • @coletashirima2193
      @coletashirima2193 Před 3 lety

      Mambo ni mengi sana na unakuwa sio wewe tu umemtafuta wakati mwingine mambo yanakuwa mengi hadi unasahau ... Msamehe tu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Pole sana... nafikiri sehemu sahihi pa kunirudia ni kwenye whatsapp. napata sms nyingi sana, sana. niandikie tena tafadhali kama bado kuna uhitaji.

    • @ksnjos001
      @ksnjos001 Před 3 lety +1

      Sheikh unashida gani? Tunaweza kukushari hata hapa

  • @idrisaismail5359
    @idrisaismail5359 Před 3 lety

    ,asante sana

  • @belindakilatu4409
    @belindakilatu4409 Před 3 lety +1

    Hongera sana uko vzr kaka

  • @rashidisabina5356
    @rashidisabina5356 Před 3 lety

    Very good leçon bro.

  • @alfredkenz380
    @alfredkenz380 Před 3 lety

    Suite always big up bro

  • @nkomyajohn4271
    @nkomyajohn4271 Před 3 lety

    Brother upo Vzr Sana ,

  • @newicononlinetv
    @newicononlinetv Před 3 lety

    Kazi nzuri sana kaka
    Napenda kifanya mausiano ya jamii ili kukuza na kufikisha mbali elimu hizi

  • @burjiboyz8977
    @burjiboyz8977 Před 3 lety +1

    Thank you so much bro

  • @stabilityh2423
    @stabilityh2423 Před 3 lety

    Thanks bro.

  • @jandpelectronics363
    @jandpelectronics363 Před 3 lety

    Thank you brother

  • @rukiabaybe8594
    @rukiabaybe8594 Před 3 lety

    Asant sana brother

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis6684 Před 3 lety

    Thanks bro👌💯💯

  • @edwinadam778
    @edwinadam778 Před 3 lety

    Umetisha mkuu✍️✍️👍

  • @aminahkhamis8710
    @aminahkhamis8710 Před 3 lety

    Mungu akupe nguvu zaidi ninazidi kujifunza

  • @jackeliassilaamollel1364

    May God bless you umenijenga kiasi kikubwa

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 Před 3 lety

    Asantee sana kaka