MAMBO 10 YA KUKUJENGEA POSITIVE THINKING
Vložit
- čas přidán 4. 10. 2020
- Mtazamo au mawazo chanya vinaweza kukuongoza katika mambo mengi sana ya maendeleo katika maisha yako.
.
Lakini maisha yana juu na chini kuna hali yaweza kutokea ukashindwa kuwa mtazamo sahihi au mawazo chanya.
.
Kwahiyo ni lazima kuwa mlinzi wa mawazo na mtazamo wako wakati wote kwani gharama ya kukutana na athari ya mawazo hasi (negative thinking) ni kubwa sana.
.
Kuna mambo 10 hapa unaweza fanya kuhakikisha unakuwa na mawazo chanya siku zote:
.
1- Kuwa na watu sahihi wanaokuzunguka
2- Kubali kosa ukifanya na badilika
3- wapongeze wengine wakifanya vizuri.
4- Jijali/ Jipende.
5- Shukuru kwa yale uliyonayo
6- Jione wewe ni mshindi kila siku
7- Kila siku fanya kitu kuhusu malengo au ndoto yako
8- Soma vitabu au makala zenye kukupa nguvu na shauku ya kuwa bora zaidi
9- Saidia wengine au shiriki shughuli za kijamii
10- Usiache ibada kila siku
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
DR. ISRAEL: / drisraelofficial
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
#Positive #Thinking #SPN
Watu wengi wana dhana ya kuwa kama Mungu hajataka huwezi kufanikiwa. Never, hii ndio ile negative thinking. God helps those who help themselves. Mungu husaidia wale wanaojisaidia wenyewe kwanza. Unataka kwenda peponi halafu husali. Au unataka kuwa tajiri bila ya kazi. How come, it is impossible. Kazi ndio msingi wa mafanikio. Asante sana bro kwa kutoa elimu nzuri na kwa hakika wanaokufuata watafanikiwa kimaisha.
kwel bro yamwishoo fact
Asante Brother kwa chakura kizuri kama hiki hakika Mungu ni mwema sana Azidi kukupa uwezo wa kuenderea kutupa somo 🙏🙏🙏
mashaAllah Allah akujalie zaidi ya ichi ulicho tuelekeza na aweze kutujalia tuweze kupata nguvu za kubitekeleza na kubifanya vitu ivyo
Me mohammad kutoka kigoma napenda unavyo tujenga nakupenda bro
Yani bro umenifanya nimekua na courage sijui imetoka wapi .....kupitia lecture zako nimejifunza mengi sana
Unani_inspire sana God bless you
Mashaallah saf san mung akubark ezden
Who else is watching/listening while cleaning,another boom from bro Ezden, point that hits me harder
1 ibada
2 good friends/ right people
3 self positive talk
4 every day do something towards ur goals
Bro keep on inspiring Allah akuzidishie Maalim
thank you ukhty
@@raiffaabdallah7705 karibu sana
Yhhhh
Gy ; bbu
Nimejifunza vitu vingi sana Allah akutunze inshallah
Dida dadaangu sijui ilikuwaje ukaachaana na hii nuru.huyu ilikuwa umnganganie wallah.mume Bora sana.aa ndo mambo lakini
Blessed brother may Allah Grant u more in return than what you have inspired us..
ameen
Thanks soo much. I appreciate..
Good advise and so nice
Nakubali Sana bro mungu akuzidishie Ktk Elim tunanufaika mno
Shukran hubby ❤❤
Mafunzo mazuri sana. Nafundishika kila siku ninapokuskiza. Be blessed brother.
Asante kaka.umenifungua xna stay blessed
I used to be mtu asiekubali kosa kwa sababu when I was young. I used to be criticized for a mistake whether I did or not, so it became a habit ila when I started learning myself, "I controlled myself when I wanna deny my mistakes ila am still a learner hope I will make it." ❤😊
natokea mwanza niatwa rajabu. mashaallah mungu atupe uzima aminn
Unanijenga sana kifikra nashukuru sana ubarikiwe kila uchwao
Mashallah topic nzuri sana na inatutia moyo na kumshukuru Allah kwa kila neema alotujaalia. Alhamdulillah
Allah akupe shahada wakati wa kufa kwako.wewe na sisi pia.unatusaidia sana bro.alhamdulillah.unatutoa kwenye mawazo mamoja kwenda mengine ambayo ni sahihi Zaid.Allah akubarik
Kaka Edeni mwenyezi Mungu akuhalie kila siku, Asante nimejifunza vitu vingi sana
Nakwelewaa sana kaka
On the first point brother you are 💯 right.
I used to have poor setting boundaries, and most of the people never respected me, and they use to use me, then couple months ago nime jifunza setting boundaries 😂 guess what alot of them dropped and left
100% mpk mwisho in shaa Allah
Sijawai jutiya kufuata videos zako. Mungu akubariki sana
Napenda sana
Mifano yako ipo hai sana,unagusa ukweli kinyama,
Motivation zinasaidia sana mtu kufanya vizuri kwa kazi na ubunifu zaidi,Ali ya kujituma na kujiamini na sio kulalamika .mind it that kulalamika niwazi umeshindwa kufanya Jambo Hilo,
Asante
Kazi nzuri sana kaka
Barikiwa sana
Nice Kamanda Wangu
Mashalla positively received
Maa shaa Allah, Shukran sana
Nakukubari jumanne
May Almighty God bless and protect you for good inspired
thank you so much Flaviana
Shukran Jazila
Ipo safii sana
Brother uko vzr sana
Assaalam aalaykum warahmatullah kweli Kaka duuuh hakika nimejifunza mengi.
Thenks bro we need to at all times have positive auto suggestions (kujiambia mambo mazuri kujihusu) till we attain positive thinking as a daily habit ❤️🇰🇪👑💪🧠
Yaan leo umenigusa pakubwaaa
Be the Person you want to Attract
Magreth from Mwanza
Naam Naam...namna hiyo Maggy
Upo sahihi sana mwalimu
Lakini unafanya kazi nzuri sana kaka
Very inspirational video,. thanks for sharing together with su
Bro mm hata sijui niseme nn ila mejifunza sana kiukweli na nakuahidi nitawashawishi na wengine naanze kukufatilia ili na wao wapate elimu ninayoipata mm toka siku ya kwanza nilipoanza kukufatilia, asante sana kwa elimu nzuri sana mm nakuombea kwa MUNGU akupe nguvu na uelewa wa mamb zaidi ili na sisi tupate kujifunza kupitia ww zaidi na zaidi.... Me nakukubali sana
Amiin. Nashukuru sana
wallah napenda mada zako
Pongezi sanaaa kwakoo hakika weeewe ni mtu mwenye knowledge Pana sana ya kutoa ELIMU.endelea kutupa mafunzo kak naamin kupitia wew nmeanza kuwa na mawazo chanya
Daaah kakaumenifunza mengi Sana kk mwenyez mungu akubarkh kk
Great
Yes, Be yourself
Thanks
Masha Allah..mungu akubariki..nimejifunza kitu
Thx bro God bless you
Woooow am encouraged 💪💪💪👌👌👌
Thanks bro ezden jumanne for this concept
thanks brother be blessed!!!
Shukran kaka ezden
Shukrani kaka Allah akuifadhi.
wow thank u bro ezden . i appriciate u , u alway show me the light in my lyf GOD BLEES U
Thank bro Ezden for this concept
Ameen
MashaAlla MashaAlla, nimeipenda hii.
Mbona Yesu alitembeaa na wenye Dhambii
Kweli brother
Kaka nazid kkuelew kila cku nakubal xna kaka unatutoa ucngzn,,, bless xna mzeee
Ubarikiwe kaka nimejifunza kitu kuhusu matumizi ya bundle langu....asante sana
Shukrani sana kaka
Ezden blessed man.thanks so much bro
Safi sana Bro.nimekuelewa
really bro una mafundisho mazuri tena ya kweli
Thank you brother apart of being my brother your My teacher.
Ahsante na shukran sana Brother. Hongera sana kwa hichi kipind nimekua nikiendelea kujifunza sana kupitia success path. Allah azidi kukubarik na kukupa mafanikio mema. UNATISHA SANA
God bless
Ooh bro unaupeo mkubwa mungu akubarik na akuzidishie neema you changed my life
Be blessed brother
Shukran
Thanks so much najifunza kitu japo nimechelewa kukufahamu brooo
Bro uko poa sana..,,GOD BE WITH YOU
Be blessed bro Kaz nzuri tunazd kujifunza
good sana mr. Ezeden,
youn should also provide enterpreneurship skills
Really uncle
Asante bro
Tangu nianze kukusikiliza umenisaidia sana be blessed brother.
Thanks brother 🙏
Nilikutafuta watsap ukaniskilza ukaahid kunichek then from there najitahd kukutafuta wanidharau. Akhui hujui wengi tumetoka pabaya kuelekea pazur kupitia this channel but tunapokutana n hii ni athar kwetu. Atleast nisubirishe tu kwa busara n hekima Kukaa kimya kunanipa tafsir nyng. OK then Allah akulipe kher kwa hili ulifanyalo umenibadil alhamdulillah. Still goin
Msamehe bure huenda anakuwa bize sana
Mambo ni mengi sana na unakuwa sio wewe tu umemtafuta wakati mwingine mambo yanakuwa mengi hadi unasahau ... Msamehe tu
Pole sana... nafikiri sehemu sahihi pa kunirudia ni kwenye whatsapp. napata sms nyingi sana, sana. niandikie tena tafadhali kama bado kuna uhitaji.
Sheikh unashida gani? Tunaweza kukushari hata hapa
,asante sana
Hongera sana uko vzr kaka
Very good leçon bro.
Suite always big up bro
Brother upo Vzr Sana ,
Kazi nzuri sana kaka
Napenda kifanya mausiano ya jamii ili kukuza na kufikisha mbali elimu hizi
Thank you so much bro
Thanks bro.
Thank you brother
Asant sana brother
Thanks bro👌💯💯
Umetisha mkuu✍️✍️👍
Mungu akupe nguvu zaidi ninazidi kujifunza
May God bless you umenijenga kiasi kikubwa
Asantee sana kaka