MAADUI TISA (9) WA MUDA WAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 03. 2023
  • Mada hii inalenga kujadili mambo ambayo yanaweza kusababisha upotevu wa muda katika maisha yetu ya kila siku. Tunapoteza muda mwingi sana kufanya mambo ambayo hayana umuhimu au athari yoyote kwenye maisha yetu.
    Pia tutaangalia mambo mbalimbali yanayoweza kutupotezea muda na kuchukua nafasi ya mambo muhimu zaidi ambayo tunaweza kufanya kwa mafanikio zaidi katika maisha yetu, pamoja na jinsi ya kutumia muda wetu kwa njia yenye ufanisi zaidi ili kufikia malengo yetu binafsi na kuishi maisha yenye maana.
    Jisikie huru kujiunga nami katika safari hii ya kujifunza jinsi ya kuwa makini na mambo yasiyo ya msingi na kufanya muda wetu uwe wa maana zaidi.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
    Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
    .
    OUR SPONSOR’S DETAILS:
    Al-Rahmah Schools
    Location: Mkuranga
    Phone: 0673-52-66-44
    IG: / alrahmahschools
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @jewajua5506
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / voiceovertanzania
    .
    KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri
    Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    #maadui #wa #muda

Komentáře • 90

  • @BestiNasso
    @BestiNasso Před 8 měsíci +2

    Naitwa Hamisi Yohana, kaka kuhusu suala la maadui wa muda ni sahihi kabisa unachotufundisha sisi kama vijana kwasababu vijana wengi tunatumia muda wetu vibaya sana. Mfano , vijana wengi hutumia muda wao kupita katika mitandao ya kijammii mfano , FACEBOOK na kadhalika hivyo basi nawashauri vijana wenzangu tuwe makini sana na matumizi ya hii mitandao ya kijamii maana inapoteza muda wetu mwingi tukiwa tunafuatilia virus visivyo na ulazima kuvifuatilia na hivyo kutumia muda wetu vibaya . Ahsante sana kaka EZDEN JUMANNE kwa somo zuri maana unatusaidia sisi vijana kutambua ni vitu gani tufanye ili tuutumie muda wetu vizuri na nyongeza ni kwamba matumizi mazuri ya muda ni chanzo cha mafanikio makubwa . Ubarikiwe sana kaka kwa somo zuri kuhusu maadui 9 wa muda .

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 Před rokem +2

    Mimi umenigusia hapo kwenye simu sitoki salama na ajabu niko kwenye kazi ya ajira huwa najikuta nakurupuka kama mwehu hivi baada ya kuachwa namda sasa nimefahamu Alhamdulillah tangia Leo Naamka Yani smu atakuwa a nashida kabatini ili akome kuniibia mda wangu Wa mapumziko Asant sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před rokem +4

    Asante kaka kiukweli mimi nimuhanga kuangalia mitandao naweza sema nataka nilale nashika simu nakaa masaa hata matatu ila kwa leo naamua kutumia muda wangu ipasavyo 🤝

  • @ibrahimkapate7693
    @ibrahimkapate7693 Před rokem +4

    Ahsante sana brother, cha kuongezea hapo... Point hii especially kw vjana wa kiume... Huwa wengi wanapoteza muda kwenye mambo ya mabishano yasiyo na msingi, either vijiweni, ama hostel, na maeneo kama hayo... Utakuta wanabishana kuhusu mpira na katika hayo mabishano wanaweza chukua hata masaa 2 mpaka 3 kubishana mchezaji huyu ni bora kuliko huyu, ama timu hii ni bora kuliko hii, ikiwa kila mmoja anavutia upande wake... Instead.. huo muda wangetumia kufanya mambo yao ya msing ungekuwa na manufaa kwao hapo baadae...

  • @changumachomaganga-gc3pd
    @changumachomaganga-gc3pd Před 9 měsíci +2

    Mimi yote tu nipo niukweli nachokuahidi kuwa nitatumia ujuzi wangu wote ipasavyo ili kuachana na mambo yasiyo faa maana hayana faida kabisa, nashukuru mwalimu wangu

  • @PaulChalress-ke9rq
    @PaulChalress-ke9rq Před 9 měsíci +1

    Yani nilikuwa nikitumia mudawangu vibay kwakupatiliza mamba ambay kiukwel hayani husu, lakini najishukur nimepata maarifa kupitia video hii naamin mungu atatenda nitakuwa srias na muda Wang Asante San teachel

  • @user-qw2fv1uz6n
    @user-qw2fv1uz6n Před 10 měsíci +2

    Kwel,mimi,pianinahilo,tatizo,lakutojal,mda,nashukuru,Sana,kaka,nimejifunza,pia,kutunza,mda

  • @estermalembwamalembwa1936
    @estermalembwamalembwa1936 Před 10 měsíci +2

    Kiukweli kaka mafundisho Yako yamenitoa kwenye Giza na kuniweka kwenye Nuru nasasa ninainuka nakuangaza nakuombea kwa mungu akupe siku nyingi za kuishi

  • @awadhikiyanga308
    @awadhikiyanga308 Před rokem +2

    Mungu akubariki sana Brother 🙏 nakushukuru kwa kuwa umekuwa mwenye kunielimisha ktk njia za kuboresha maisha yangu ....changamoto nyingi zilizo nikumba but kwa Mungu kuniktanisha na kukufwatilia Kwa muda mrefu tangu 2018 nikiwa advance so Mungu Akubariki sana 🙏

  • @gamariel5337
    @gamariel5337 Před 21 dnem +1

    Asante kwa somo zuri linalo husu kutumia wakati vizuri. Mimi limenigusa sana KTK kipengere Cha SITA Cha kukosa kutokuwa na mpangilio wa vituo vyako, unapohitaji kitu unatumia muda mrefu kukipata kwa kuwa tuna utaratibu wa kuweka vituo vyako vya muhimu.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 19 dny

      Nashukuru sana kwa mrejesho, na ni kweli siku zote vile vitu vidogo ambavyo vyaweza kudharaulika mara nyingi vinakuwa na matokeo makubwa sana. Kwahiyo mpangilio maalum kwenye maisha ni kitu muhimu sana.

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před 8 měsíci +1

    Amina Kaka Ujumbe Bola tupo Pamoja

  • @user-mt7qm5lb3m
    @user-mt7qm5lb3m Před 6 měsíci +2

    Samahani Naomba kununua vitabu nipo Zanzibar

  • @gilbertmatambe2435
    @gilbertmatambe2435 Před rokem +2

    Good

  • @kelvinmbeikya4520
    @kelvinmbeikya4520 Před 13 dny

    Asante sana Kwa mada nzuri. Me niwe mkweli jambo namba 6 lilikuwa linanipotezea mda wangu sana nikiamuka asubuh kwanza kutafuta mavazi changamoto navua hii navaa hii naona hazijakaa vizuri nikitoka uko naanza kutafta soksi mara funguo za pikipiki kama dakika 20 zinaisha nazunguka ndani tu

  • @SuleimanRashid-xx5us
    @SuleimanRashid-xx5us Před 3 měsíci +1

    Assee brother.... I was far about,zote ponts 9 zimenigusa mnoo mnoo... but from now najiwekea kubadilika thank u brother.

  • @OliverDaudi-lo7rx
    @OliverDaudi-lo7rx Před 7 měsíci +1

    Ubarikiwe sana kaka

  • @aminalumbi7031
    @aminalumbi7031 Před 8 měsíci +1

    Lingine lenye kupoteza muda kutokuwa na ratiba maalumu

  • @justingeorge-rs1ou
    @justingeorge-rs1ou Před rokem +1

    Hongera Kaka . Vijana tunapoteza muda vijiweni, ps game, pool table ,kutembea huku na kule na marafiki hasa tukijifariji kazi hatufanyi , unamwona mtoto wa mzee idy kibahati kafanikiwa muda ukifika tutafanikiwa tu. Tunasahau imeandikwa tutakula kwa jasho na uzee fainal.

  • @maulidipingika4452
    @maulidipingika4452 Před 8 měsíci +1

    Asee umesaidia sana

  • @user-pu3km4ov5e
    @user-pu3km4ov5e Před 9 měsíci +1

    Asante sana kakangu kiukweli unatufunza mambo mazuri

  • @estermalembwamalembwa1936
    @estermalembwamalembwa1936 Před 10 měsíci +1

    🌃

  • @user-xv9th2rj7b
    @user-xv9th2rj7b Před 6 měsíci +1

    Asante sana kaka nimekupata vizuli

  • @YedidiaHalifa
    @YedidiaHalifa Před 10 měsíci +1

    Misina mengi yakusema ila ila saiz nimefanikiwa pakubwa na namshukulu mungu pia naendelea kujifunza mengi kwako so na zawadi yako brother

  • @allyalmasi-fi1uz
    @allyalmasi-fi1uz Před rokem +1

    Mr ezden jumanne your a teacher hiyo point ya kuweka vitu shyagala bagala ishanitokea nilitoka kazini kisa nawahi tamthilia sikuweka funguo sehemu ntayoza kuiona kwa urahisi niliitafuta nusu saa

  • @SwaumYasin-ld6xb
    @SwaumYasin-ld6xb Před 10 měsíci +1

    Asanteh sana umenifungua sana kaka mimi tabia zote zinanihusuu ni mda wangu sasa wakubadilikaa

  • @ayoubmohamed5348
    @ayoubmohamed5348 Před 9 měsíci +1

    Senk you brother

  • @ramadhanabdallahlibondo6709
    @ramadhanabdallahlibondo6709 Před 7 měsíci

    Jambo lingine ni kutoijali afya yako.Ukipata maradhi utapoteza muda mwingi na pesa' kujitibu.

  • @user-xv9th2rj7b
    @user-xv9th2rj7b Před 6 měsíci +2

    Mimi kuhusu sm nikweli inanilia muda

  • @leahmartine5620
    @leahmartine5620 Před rokem +1

    Kuna topic uliongelea juu yakuandika Mambo utakayofanya kwa cku inayofata tangu nifate iyo ratiba nimebadilika nafanya kazi zangu vizur.asantw

  • @aminalumbi7031
    @aminalumbi7031 Před 8 měsíci +1

    Vzr kk

  • @anordalexanior2906
    @anordalexanior2906 Před rokem +1

    Asante Kwa somo zur

  • @fadhlunsaggaf8240
    @fadhlunsaggaf8240 Před 8 měsíci +1

    Jambo Longine ninaloliona linapoteza mda ni kufanya kitu bila malengo yani unafanya kazi ambayo sio katika malengo yako ambayo kwa kipindi kile utaona unamshahara mzuri kumbe kwa hadhi yako histahili na utakapo kuja kushtuka umefanya kitu sio sahihi utajikuta ushachelewa so kwa mm naona jambo linalopoteza mda nikutokuwa na malengo ya unachotaka kufanya katika kipindi maalumu na nyakati maalumu

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Před 4 měsíci

    Masha Allah kaka Allah akulipe Inshaallah. Mm nimejfunza sana. Mda wa kupumzka mm naendelea na kazi na kuchukua cm kukusikiliza au kuckiliza mawaidha!!

  • @innodeculture8551
    @innodeculture8551 Před rokem

    1. Ni kutumia sana mitandao ya jamii..
    Ichi kitu kinakula sana pesa zangu na muda..
    Sasa hapa kuanzia leo naweka data limit ili niweze kupangilia..
    2. Ni kukaa bila kufanya kazi..
    Huku ninazo kazi zakufanyaa..
    Hapa ntaweka mpango mathubuti

  • @reganmsellemselle4419
    @reganmsellemselle4419 Před rokem +1

    Kaka ezden umekuwa mkufunz wangu mzuri sna nakushuru Kwa elimu Yako ya Ziad 🙏

  • @edwardminango8682
    @edwardminango8682 Před rokem

    Daaah umenigusa sana kaka thanks broo

  • @user-rr2hi2ec2x
    @user-rr2hi2ec2x Před 10 měsíci +1

    Kuchelewa kulala

  • @romanasilvan2963
    @romanasilvan2963 Před 10 měsíci +1

    Nimebadilika na kuacha kuingia Facebook, kwasababu ndo nilikuwa napoteza muda mwingi sana.

  • @annachille7982
    @annachille7982 Před rokem

    KWA kweli umenifundisha uliyoyasema mengi sana yananipitezea muda now nimejifunza

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem

    Mimi nimekubali kwamba kuweka vitu hovyo hovyo kunapoteza sana mda,huwanatafuta sana funguo zagar mpaka.

  • @mnugwaally4-xh4un
    @mnugwaally4-xh4un Před rokem

    Kaka yote hayo yanakula.muda wangu,,najipanga kubadilika,,

  • @Jake-gy7im
    @Jake-gy7im Před 10 měsíci +1

    But bro kwny suala la kupanga vitu kwa umakini watu hapo ndo wanakuwa na tatizo hasa kwa wanafunz kma mimi .kupng madftr , vitab vya kujisomea na hata mavazi ndio yanawachelewesh kuwahi masomo shuleni

  • @bekammika7665
    @bekammika7665 Před rokem

    Dua Nene kaka eziden jumanne 📚💰

  • @bestinamaro7645
    @bestinamaro7645 Před 10 měsíci +1

    Mtandao na kulala jamani nalala sana mimi naweza nikapanga vizuri ratiba zangu muda sasa ukifika yan nakua mvivu balaa😢😢

  • @JohariHassan-xm4nl
    @JohariHassan-xm4nl Před 11 měsíci

    Kaka ezden nisaidie, imagine upo kweny mtihani then ukaona kun maswali magum then mengine je utaanza kufanya swali gani, swali gumu ama jepesi recalled from ''eat frog first''

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 Před rokem

    Mitandao ya kijamii shikamoo, imenipotezea muda kuanzia leo naamini nitapona katika hili

  • @teacherd
    @teacherd Před rokem

    Niko naadika research haya yote yananikabili daaah.. let me change

  • @saidesalimo1497
    @saidesalimo1497 Před rokem +1

    Kaka we uko vzr sn

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo Před 6 měsíci

    Mimi apo kwenye mtandao Dah iyo siachi kbs siku yangu yote naipoteza kwenye mtandaoni 😢

  • @chrisskims597
    @chrisskims597 Před rokem +1

    Kusoma jumbe bila mpangilio. Hiyo umenitoa tongotongo 🙏

    • @nsubilibanunu1765
      @nsubilibanunu1765 Před rokem

      Nashukulu mim miongon mwakuailisha mambo muhimu adi najikuta jazi zinakuwa nyjngi umenikomboa mimi nafamilia yangu wataenjoy

  • @user-en2gp3fb7m
    @user-en2gp3fb7m Před 2 měsíci

    Sioni namb

  • @leahmartine5620
    @leahmartine5620 Před rokem +1

    Yani Mimi nimejifunza ntabadilika swala la kuamka na kushika cm unapekua vitu ambavyo avipo kwenye utaratibu,kiukweli vijana tubadilikeni.

  • @abshirohassen5
    @abshirohassen5 Před rokem +1

    Mimi ni issue ya simu ndo inakula mda wangu. I don't watch udaku, but series na education issue.

  • @user-df3gc1tt5w
    @user-df3gc1tt5w Před měsícem

    Vitabu

  • @fadhlunsaggaf8240
    @fadhlunsaggaf8240 Před 8 měsíci +1

    Samahani naweza kupata namba yako nilikuwa nahitaji majina ya vitabu

  • @user-ch3mz4os2n
    @user-ch3mz4os2n Před 6 měsíci

    Facebook

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 9 měsíci +1

    Shukran sana kaka nimejifunza mambo mengi niwakati wa kubadilisha lifestyle.
    Nahitaji vitabu naomba no ya wsp please

  • @alexikabakilwa2663
    @alexikabakilwa2663 Před rokem

    Mimi ni games

  • @saidesalimo1497
    @saidesalimo1497 Před rokem +1

    Kbs kamanda wadada wa miaka hii wao ni Whatsapp fesbook. Ndio manaaribika.

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před rokem +1

    ASANTE KWASOMO ZURI

  • @Nestoryshilinde-bb9ux
    @Nestoryshilinde-bb9ux Před 5 měsíci

    Naomba Kila ukitoa video mpya naomba unitumie

  • @pezuzacreator7837
    @pezuzacreator7837 Před rokem +1

    Hapo Mimi simu na TV kwenye simu shida Ni game nikishika game tu simu haitoki mkononi

  • @JOBOYCLASSIC
    @JOBOYCLASSIC Před rokem

    MTANDAONI BT HUWA NAFANYA MAMBO YANGU KAM CONTENT

  • @mfaumemkoma-ey2jd
    @mfaumemkoma-ey2jd Před 3 měsíci

    Yaniapo kunakitu nime jifunza nipo kwenye ajila kwamda mlefu sasa na lengo langu nimeki ili nipate mtaji wa biashala nasasa nime fanikiwa kupata mtaji sasa kupitsha maamuzi ndo nina patawakati mgumu sasa mwaka huhu nianze basi ukifika naongeza mwaka mwingine naonamda una zidikwenda asate kunakitu mimejifunza apo

  • @tumainijastus326
    @tumainijastus326 Před rokem

    Keep going on nigga

  • @omarhamad9489
    @omarhamad9489 Před rokem

    Mimi simu ! kwa kweli simu ina nipotezea sana muda😒😒😒😒

  • @IssaAlly-wz2kj
    @IssaAlly-wz2kj Před 3 měsíci

    Nawezaje kupata namba yako, ili tuwasiliane Whatsapp

  • @sylvestercharles3325
    @sylvestercharles3325 Před rokem +1

    Your whatsapp

  • @athumanipigo9295
    @athumanipigo9295 Před rokem

    Vitabu

    • @christophermtigandi5614
      @christophermtigandi5614 Před rokem +1

      Bih up sana kwa ubunifu upande wangu muda unapotea ktk kutekeleza kile nilichokipanga mf nimepaga nitasoma asubuhi baada ya kushukuru Mungu lkn napoteza muda na vitu vingine

    • @christophermtigandi5614
      @christophermtigandi5614 Před rokem

      Ombi langu kwako J naomba ufundishe mbinu za kusoma kitabu na kumaliza km uliwahi kufundisha bc urudie kwa manufaa ya wengine