JINSI KUFANIKIWA SEHEMU UNAPOPIGWA VITA
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2023
- Kufanikiwa sehemu unapopigwa vita inaweza kuwa vigumu sana endapo hali hii ikikukuta, sababu mara zote utakuwa na imani ya juu sana kuwa watu wanaokuzunguka au watu wa karibu wanaweza kukupa sapoti na huenda utaamini kuwa ni wajibu wao kushirikiana na wewe kuhakikisha jambo lako linasimama.
Lakini kwa wengi huwa kinyume kabisa, na hushangaa kwanini inakuwa vigumu kwa watu wa karibu kutoonesha ushirikiano wowote. Karibu ujifunze jambo kwenye somo hili leo hii na Ezden Jumanne.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 10,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR'S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#Kufanikiwa #unapopigwa #vita
Imani yangu inaniambia kuchagua njia yako ya tofauti ni vizuri lakini omba sana usianguke kati kati ya mchakato kabla ya matokeo unaweza kugeuka mtumwa maisha yote yaliyobaki kwa wale waliokua wanakupinga kuonekana wameshinda
Bro shukran kwa masomo mazuri. Najifunza mengi sana tangu nikufahamu. Masha Allah
Dah yani brother ushakanifunguwa akili sana tu mungu akubariki sana🎉🎉🎉
Ezden asant sana
success path next levels😜😜😜 video iko on fire
Asante sana Mr Ezden. Kwa kweli kwa elimu hii umekuwa faraja kwangu. Binafsi mahala nafanya kazi nakutana na ukinzani mkubwa ila nnachofanya ni kupuuzia na kuchapa kazi na kikubwa zaidi najitolea na muda wangu wa ziada kukamilisha kila kitu. Binafsi najua ndo changamoto zenyewe mahala pa kazi. Asante bro. Bless sana
I appreciate you because you motivate me every morning God bless ❤
Swali la kwanza: ndio nishawahi pata izo challenge ,niliondoka iyo sehemu,niliona hainifai iyo environment.
Swali la pili: nimepuuzia na still I am on the journey of my future success.
Nilichofanya nikukomaa kufanya ninachokiamini mimi.Nilikuwa masikilizaji kisha sibadili my plan
I love this channel, and once I shared it with 9 people of mine, I ila sijui, if they do watch consistently like me.
I know why I love this channel because it changed my life from low to middle zone. I love you all in a million languages ❤.
I will keep on support this channel by watching and learning everyday
Thank you very much Furaha, may the Lord bless your life to be full of happiness just like your name. Ameen
@@successpathnetworkkaka naitaji msaada wako
mashaallah mung akupe afya n nguv yakuwez kutufikishia katik jamii na mungu atuwepeshia katika haya kuyazingatia na kuyatekeleza. Amin amin
Allahumma amiin. Nashukuru sana kwa dua njema
Hl
Aisee mm imenitokea nilipigwa vita na ndugu wakuzaliwa nao tena nikapewa na Nina kabisa naitwa maskini lakini kilichonisaidia nikuwa na msimamo nasijakata tamaa mpaka sasa alhamdulillaah kwanilipofikia na nimtu ambae napendwa sana na walewale maadui zangu na nazidi kuwapenda na mm
nakubali sna kaka mkubwa
Kama una muelewa ezden kama mimi shafii nipeni maua yangu
hii vita nishaiona yakawaida, kikubwa ni kama ulivosemauvumilivu na kutokata Tamaa
Naam sahihi sana
Umenisaidia kuwa mvumilivu kaka.
🙏 Appreciate Sana bro,
Karibuni maake naona mmekawia sana, kupost masomo,
Am much blessed on how to prosper in a hardship and A resistance environment,
Niseme tu kwamba, vita ambavyo mara nyingi inakuwa katika eneo, ninaloishi mara nyingi, n vya kishirikina,
Yaan mtu akikuona umefanya hili, baasss anaweza kukuronga au kukufanyia hiana ya aina yoyote ile,
Lingne bro, ni kwamba, mbali na kwamba, ushirikina siamini lakini, kuna namna, nikishaakuwa mazingira ya hapo home, I start see myself blind, ata sioni chochote changu cha kuanzisha unless niko nje na maeneo ya home ndo ubongo unaanza kuchakata mambo, bila ya kuyaweka katika matendo na kuleta katika uhalisia,!🙏
Nitashukuru sana kama nitaona ushauri wenu, kaka
Kuna mtu anauliza mimi nmesoma au lah,!;?❗ Yeah nmesoma, nmemaliza diploma ya BA na sasa nko KENYA Kikazi
Asante!
Hey Samwel, pole sana kwa hiyo situation brother. Wakati mwingine ili tufanikiwe zaidi ni muhimu sana kuhama eneo unaloishi na kuhamia pengine ambako utakuwa mgeni kabisa. Watu huogopa na kuhofia kwenda maeneo ambapo ni wageni kabisa lakini huko utaweza kuanzisha kitu na kikawa kikubwa...mara nyingi vita za hivyo ziko baina ya wazawa sana sana. Tazama hata jiji kama Dar es salaam...watu waliofanikiwa kabisa hapa na wenye maisha makubwa ni wageni, watu waliotoka mikoa mingine na kuja tu hapa kutafuta maisha...wenyeji wengi wao wapo tu.... Kwahiyo hata wewe, tafuta namna ya KUHAMA HARAKA
@@successpathnetwork Success pathnetwork Asanteni sana kwa namna mnavyowajali wadau wenu na kwa ushauri mlionipa bila kukawia,
Ulichosema kaka ni kweli maana even on the Bible, ilibidi Ibrahim Ahamishwe kwanza na Mungu kwenda eneo jingine,. Hivyo
Napenda tu kusema kwamba i will be a testimony later on,,,
Kwamba Nilipokea ushaur kwenu na nikafanyia kazi na nikafanikiwa,!❗So am appreciating much for your quick response unto me..!
Huwa najifunza mengi kupitia kwako bro 👍
Nashukuru sana, karibu sana.
Nimekuwa napitia ila nilikuwa nakata tamaa kwa sababu mda mwingine unaikuta anayekupinga ni mtu mkubwa unaemheshimu
Mi nishapigwa vita sana lkn mpaka leo nanga inapaa iyo
MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI WA MUNGU.
Amiin... shukrani
Hii imenigusa Mimi nilikuwa nafungua biashara wakati huo huku na endelea na ujenzi Lakin wazazi wangu hawakunielewa wanataka eti nimalize kwanza nyumba ndo nifungue biashara Bas niliongea na Mama taratibu akanielewa Lakin Baba alinionesha kama amekubali Lakin mim najua hajanielewa hili nifanyeje naomba ushauri