NJIA ZA KUKUPA FURAHA NA AMANI MAISHANI
Vložit
- čas přidán 9. 03. 2023
- Njia za Kukupa Furaha na Amani ya Kina katika Maisha Yako
Katika somo hili, tutajifunza njia kadhaa za kuishi maisha yenye furaha na amani. Tutaelezea jinsi ya kupata utulivu wa ndani kabisa, kujenga uhusiano mzuri na wengine, na kufanya mazoezi ya kujitambua.
Kaa karibu, fuatilia na usiache kutuachia maoni yako kwenye comments.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#success #path #network
Nakupata nikiwa oman 🇴🇲
Shukrani sana kwa mafunzo yako kwa kila unapoposti video mpya
Mimi ni mmoja wa member wako
Ubarikiwe zaid katika kipaji chako cha kutuelimisha jamii
Umesahau mungu pia lazima umfikirie kila asaaa utafurahi
Kumkumbuka mungu,ukiswali kwa ufahamu kuelewa unachokisema kwake na kujua yeye ndiyo kaumba kila kitu mfano bahari,milima vyote kwaajili yetu,tunavitumiaje lazima tuwe na afya na amani
Kuamini Mungu na kumtanguliza kwa kila jambo inasaidia kupunguza uzito wa jambo linalo kukosesha raha au stress so pia iyo ni njia nzuri sana ya kupunguza tress
Dodoma
Dodoma
Yeah mm I am one of the people huwa napenda kutoa vitu ambavyo huwa vimenizidi "For help" Am blessed with that strength maana nikikaa na the hard thoughts huwa naumia sana.
Huwezi amini, this page was one of the things ime treat my brain and life discipline. Asante Sana
Karibu sana na Asante kwa mrejesho
Mimi Niko CONCO RDC 🇨🇩
Allah ndio kilakitu katika maisha ya mwanadam tuache aliyoyakataza na tufanye aliyoyaamrisha ukashikamana na ibada utakua na furaha na amani kubwa
United kingdom
Jambo lingine ambalo linaweza kumfanya mtu kuwa na furaha na Amani ni kumtanguliza Mungu mbele kwa kila jambo hii itakufanya uwe ni mwingi wa kuridhika ktk kila unalolipitia na ukiwa na iman kwamba litakishwa ukiwa na spirit hiyo basi furaha uja yenyewe kwasbb unakuwa na Imani Mungu yupo na atakuongoza na kukusaidia.
Maa sha Allah...hivi hili sikulisema eeh. Nashukuru sana Kwa ukumbusho Al akhy, jambo kubwa zaidi hili.
@@successpathnetwork Hili ulisahahu kuliweka bro Allah nikitulizo cha Nafsi pia nimefurah sana kuona umejibu comment yangu Baraka llahu fiika
💯
Hii ndio ninayoiishi yakumtegemea mungu na imenibadilishia sana maisha
Nfurah kuckia nasaha zako ..Allah akuzdshie ...much ❤4rom saudi
Issa ally. Niko Singida shukuran ndugu na elimu unaoitoa, aah ukweli umenifungua mantiki sana. M, mungu akujalie afya na maarifa. p
Nafurahi sana kutoka inchini German🇩🇪❤❤❤kusikia ushauri wako kaka
Shukran brother from Mombasa ❤
Ni kwer kabsaaa ukifanya kitu chako mwenyewe unachokpenda utakuwa na Aman . Jambo mhm kuwa na Iman na Allah atakusaidia. Ukiwa na Yakin na Allah kila kitu kitaenda sawa Inshaallah
sahihi kabisa
from Uganda🇺🇬
Kaka yangu mwenyezi Mungu akubariki ,Nakufatilia nikiwa Dubai 🤝
Mungu akubarriki- NJOMBE
Ahsante sana jambo la nane fanya ibada
Asante sana ndugu yangu kwa kufanya kazi kubwa sana zaididi ya sana mimi nakufatilia sana na umekuwa mchango mkubwa sana kwangu mungu akubariki,mimi niko France
Pamoja sana kaka...wape salamu huko France
Bujumbura Burundi napenda vdio zako Saaanta Mungu akubariki
MUNGU AKUBARIKI umejibu comments nyingi sana,hii inaonesha ni jinsi gani unajali, hii inampa msikilizaji morality, next tm tutakua wengi zaidi,barikiwa kaka kwa kazi njema.
Nashukuru sana kwa kuona effort zinazofanyika. Karibu sana
Aisee ndugu Yako wa damu hapa Niko mtwara nakupata vizur sana kaka nimenufaika vitu vingi sana kutoka kwako mungu akujalie sana Yan katika wanafunzi wako waliofanikiwa angalau kidogo na mm nipo❤❤
8. Smiling/ laughing pia is on among it.
Nakupata Sanaa bro kutoka Tanga
From ARUSHA, TANZANIA. THANK YOU.
Asante naenda masomo yako
Nipo mbeya❤🎉
Wape salamu wa-Mbeya wote... 😀😀🙌🏽
Mungu abariki kazi yako, nakufuatilia nikiwa Nairobi
Nashukuru sana sana Chris. Wape salamu Naii
Nipo Dar, nakufuatilia sana bro, uko vzr sana, nifundishe na mm kujiamini
Njoo What'sApp niandikie hiyo comment yako kule. Chukua namba kwenye description
From kenya, napenda funzo chako.asante sana
Karibu sana. Asante sana
Asante san Burundi ❤🇧🇮🇧🇮
Nakupata vizuri kutoka Arusha
Makini sana kaka
Am from Kenya kaka nakupata vzr Alhamdulilah
Maa sha Allah... karibu sana
Mungu akubariki sana iringa
Mwenyezi mungu akubariki kaka kutupa somo sahihi ubarikiwe naendeleya kufatiliya makala Yako
Amiin
Mocambique
shukran sana
Barikiwa kaka nipo Kilimanjaro
Pamoja sana wape salamu Kilimanjaro...
Mie natokea Zanzibar ahsante kwa kutuelimisha
Mungu akubariki brother,nakufatilia kutoka masasi Mtwara
Asanti Sana buro
Kutoka BURUNDI 🇧🇮 Nakufuatilia 5/5✍️
Mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla mashalla
Thanks listening from Kenya Nairobi
Thank you very much, I appreciate it.
From South Africa, Allah akuongoz vyema ktk juudi zako, ongera sana
nashukuru sana...Karibu sana
Natazama video hii nikiwa kyerwa, kagera, nakuelewa sana kaka ezden
I am enjoying this sound from oman🇴🇲🇴🇲
Shukrani sana wape salamu huko
Nipo dar
Nikweli ibada ni ya muhimu sana lakin Mungu kaweka maarifa kwa watu kwa ajili ya watu
From Oman 🇴🇲
Nakupata sana bro nikiwa DSM🇹🇿
From Bukavu DRC
nawatazama kutoka chalnze kwakwer tunabalkiwa sana nakaz yako kaka
Asalam Alaykum Nipo Hawasa Ethiopia
am in dar es salaaam
Niko pemba upembani mashallah unaupiga mwingi
John tanga tz jombaa tuko pamojaaaa🙈🙈🔥🔥🔥🔥🔥
Kagera bukoba salute u brother!
Karibu sana Kaka
Nawatakia nguvu kwasababu video zenu zinanijenga vizur kierimu nikiwa zambia Lusaka 🇿🇲
Karibu sana...wasalimie Zambia
Zanzibar 🇹🇿 Allah akubariki
Mwanza ❤❤❤❤
Nyeri Kenya 🇰🇪
We love your content from, USA Texas
Thank you very much, I appreciate it. wape salamu huko
❤Bahareen
Congo kk
nipo arusha
Dar es salaam
Uko vizuri bro
Listening from Kenya Mobasa
Burundi 🇧🇮
Aslm alykm kaka , nakuangalia kutoka Omani asante sana
From moshi kilimanjaro
Pamoja sana wape salamu kilimanjaro
Kenya Mombasa wattamu big up bro unanielimisha
Moçambique 🎉
Kombolela,,,,nakumbuka utoto ila sawa
3:35 I'm watching you my brother from, Bhago Majra_ INDIA
Thank you very much. I appreciate that. Wasalimie huko
Us 🇺🇸 hapa na kukubali sana 🔥
Hey man Ezden you made me to have a good day so well bro,I got u,Thanks
Nakupata ni kiwa Saudi 🇸🇦
Burundi Bujumbura
Bro your the one among of my favourite influencer honesty
Glad to hear it Martin. Thank you so much
@@successpathnetwork BIG UP
Nakupenda Ezden 🎉
Santee
Omani ❤❤
Asalaam Aleykhum kaka shukrani nipo Omani
Somo zuri,, nimefaidika na soma hili nikiwa italia
Fafanua Tena kuhusu Fanya vitu uvipendavyo
Mm niko somalia 🇸🇴Muqdisho .mm ni Mtanzania bro asante kwa kumuelimisha 💯🤝🙏
From Netherlands 🇳🇱
Geita
Na enjoy nikiwa omani napenda sana ushauri wako pia mafundisho una yo tupatia nimefaidika nayo sana
Southi Africa
Kenya
Nakufatilia Nikiwa america America
Nairobi
Nakufatilia nikiwa Mwanza
Jason Nalianya wanyonyi from Kenya
From Italy
natikea Arusha
DAREESALAMU
Serengeti Mara
Niku fatiya toka Burundi Bujumbura
Asante
salalah