FAHAMU TABIA 13 ZA WATU WASIO NA FURAHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2020
  • Furaha ni chanzo cha mafanikio ya kila aina katika maisha ya mwanadamu na wengi bila kujua huangukia katika mambo yanayowafanya hata kuanza kujichukia wenyewe. Katika somo la leo tutajifunza tabia 13 za watu wasio na furaha maishani.
    .
    Lengo la somo hili sio kucheka baadhi ya watu au kuwafanya wajisikie vibaya lakini ni kutufungua akili zetu katika utambuzi huu na kuweza kutusaidia kupiga hatua katika nyanja mbalimbali za mafanikio.
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / ezdenjumanne
    TWITTER: / ezdenjumanne
    FACEBOOK: / ezdenjumanne
    LINKEDIN: / ezdenjumanne
    .
    For Business please send me an email
    ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #Tabia13 #Wasiokua #Furaha

Komentáře • 177

  • @thomasmario950
    @thomasmario950 Před 4 lety +6

    Nakukubali sana kaka mungu akubariki sana ndugu yangu

  • @alifoncesimon6854
    @alifoncesimon6854 Před 4 lety +5

    Mungu akubariki sana kaka

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 4 lety +10

    Wa pili hapa kujifunza kwa Coach Ezden Jumanne

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 Před 4 lety +5

    Masha Allah somo zuri sana Mungu Akuzidishie kheri nyingi hapa Duniani na kesho Akhera

  • @sarahburhani231
    @sarahburhani231 Před 3 lety +6

    Najifunza mengi kupitia wewe asante sana broo...mashaallah mungu akuzidishie

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Asante sana sarah burhani kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!

    • @medii1467
      @medii1467 Před 3 lety

      Asant ndo marazi ninayo sijuwi atayisha aje

    • @medii1467
      @medii1467 Před 3 lety

      Aje naweza kuwa nafuraha🙏

    • @husseinkareem9914
      @husseinkareem9914 Před 3 lety +1

      Najfunz vitu vng xna broo

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Před 4 lety +7

    Asante San kk naona Leo umeniongolea mieee haswaa

  • @mayaswai4891
    @mayaswai4891 Před 4 lety +4

    Kiukwel najifunza mengi sn kutoka kwako... Najifunza namna ya kuish na Watu tofaut tofaut

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 9 měsíci

    Shukran sana kaka kwa elimu unayotoa hakika imekua ni msaada na faraja kwa watu wengi...Allah aifanye iwe ni swadakatul jaali yako.
    Binafsi nilipoana hii mada nilijua inanihusu sana make nikijitathmini hujiona mimi sio mtu mwenye furaha. But Alhamdulillah hizo tabia isipokua moja tu yakuto kusema shida zilizo moyoni mwangu wakati mweingine natamani nipate mtu nimuelezee yaliyo moyoni ila nashindwa kuzungumzia mambo yangu😢

  • @fadhilaaissa7046
    @fadhilaaissa7046 Před 3 lety

    Shukran sana Mungu akubarikii

  • @ashuraseif3020
    @ashuraseif3020 Před 3 lety +1

    shukran sana kaka

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Před 2 lety

    Asante sana kwa mafundisho Mazuri

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 Před 4 lety +3

    Meng nmejifunza kwako na kazi lazma niyafanyie🙏🙏🤝🤝

  • @sufianntambi6075
    @sufianntambi6075 Před 4 lety +3

    MashaAllah... Mada nzuri sana umeileta mezani, kiukweli watu wengi ni waathirika wa kutokuwa na furaha wengine tunajijua na wengine hawajijui!! Nitafurahi sana endapo utakuja kufafanua mada hii “Kwa nini watu wengi wanaowapa furaha watu wengine wao binafsi huwa hawana furaha ya kweli?”. Nadhani mada hiyo niliyoipendekeza hapo juu inaenda sambamba na mada ya somo lako la leo pia. Hongera sana kwa kuendelea kuiletea jamii chakula sahihi cha ubongo 👊.

  • @doreenogola1663
    @doreenogola1663 Před 3 lety +1

    The fact is that I'm always in my own world but i never mind anyone's business...and am always happy for anyone. Mihunyamaza sana and i like my environment to be quite very quite. Misiwezi share mambo yangu kulingana na jinsi nilivyoona watu wakinisaliti...unaeleza mtu shida yako then baadae ama siku nyingine mukiwa kwenye mazungumzo, ile story ulimweleza ndo example...i can't. Wale wamepitia hili wataelewa

  • @mbambabaypole8876
    @mbambabaypole8876 Před 4 lety

    Thanks again

  • @bakaribungale.473
    @bakaribungale.473 Před 4 lety +1

    Nice talk 👍

  • @mkatungu7457
    @mkatungu7457 Před 4 lety +1

    Ahsante sana.

  • @godsfavouritegal4936
    @godsfavouritegal4936 Před 3 lety

    Thanks bro

  • @universalgospelministriesh8751

    thanks bro

  • @namaizesalimu8430
    @namaizesalimu8430 Před 3 lety

    Thanks I'm still learning from you..

  • @michaelmzava7103
    @michaelmzava7103 Před 2 lety

    Nakuelewa Sana Kaka kwa kweli uko vizuri Sana Asante brother jumanne

  • @revinabakalemwa9542
    @revinabakalemwa9542 Před 4 lety

    Thank you Ezden

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před 4 lety

    Bless you...

  • @dorrysamuel9484
    @dorrysamuel9484 Před rokem

    Nimejifunza God bless you Brother

  • @khalifalutonja6125
    @khalifalutonja6125 Před 4 lety +2

    Ni ujumbe wa kuzingatia sana, masna ni uhalisia ambao upo.
    Allah akujalie ubunifu & maarifa uzidi kutuletea MADINI.
    NAPENDA SANA MASOMO YAKO Brother maana yanaamsha SUBCONSCIOUS mind.

  • @najlazezynaji117
    @najlazezynaji117 Před 4 lety +2

    🥰🥰🥰🥰 I'm here for listening this 🤝🤝

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 Před 4 lety

    Shukran sana kaka kwa Mafunzo mazuri
    Mungu akubariki sana

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 4 lety

    Shukran kaka Ezden Jumanne🙏

  • @relieverhadulu8579
    @relieverhadulu8579 Před 3 lety

    may God bless you👌👌

  • @rosemakamba499
    @rosemakamba499 Před 4 lety

    Asante sana Kaka kwakutuponya

  • @arafamaneno2477
    @arafamaneno2477 Před 3 lety

    Asante sana me mmoja wpo

  • @giselalukas6108
    @giselalukas6108 Před 4 lety

    Asante sana kaka kwa elimu yako👏👏

  • @tweedstoursonline9324
    @tweedstoursonline9324 Před 4 lety

    Thnx ezden

  • @amanichao6759
    @amanichao6759 Před 4 lety +1

    Ahsante kwa somo zuri kaka Ezden nakupenda bure🙏🙏

  • @hamskim3864
    @hamskim3864 Před 4 lety

    Nice one👍

  • @khalidalsinany893
    @khalidalsinany893 Před 4 lety +1

    Maa shaa Allah keep it up bro..

  • @MohaaElectronics
    @MohaaElectronics Před 4 lety

    Maa shaa Allah

  • @mapishinaamanda6944
    @mapishinaamanda6944 Před 4 lety

    Asante nimejifunza kitu

  • @mbokamwakaje3699
    @mbokamwakaje3699 Před 4 lety +1

    Penye kuwaza pesa hapo umenigusa Bro, thanks sana

  • @fatmamohammedali4306
    @fatmamohammedali4306 Před 4 lety +3

    Nimefurahi kuona kwamba wewe ni muislam mzuri Mwanangu nafatilia sana mada zako kwa kweli hazilingani na umri wako uko juu mwanangu ALLAH akuzidishie elimu,kheri baraka ktk maisha yako

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Před 4 lety

    Jazakallahul khair Bro

  • @mahadsuleiman3647
    @mahadsuleiman3647 Před 2 lety

    Respect ✊ brother have a nice day

  • @evanshillaton7808
    @evanshillaton7808 Před 3 lety

    ahsante brother ezden

  • @allymfaume8707
    @allymfaume8707 Před 4 lety +1

    Bado naenedelea kusikiliza hakika uko sahihi sana kuna ndug yangu ana hizi shida and i have to share it with him..
    Asante sana kwa somo nzuri
    God bless you

  • @HildaPetro
    @HildaPetro Před 7 měsíci +1

    Umekuwa sababu ya mimi kubadilika sana asante kaka mada nzuri

  • @josephmenyali3342
    @josephmenyali3342 Před 4 lety

    Br uko vizuri

  • @joycengatunga3052
    @joycengatunga3052 Před 4 lety +1

    Kaka, nazidi kukushkuru sana kwa masomo mazuri,Leo nimechelewa kupata notification, nkawa cjatulia kbsa kiakili, ila sasa am relaxed, coz umenipa somo,asante kaka

  • @jamesjosephm6358
    @jamesjosephm6358 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana kaka mungu akupe mayisha marefu 💪🏾❤️❤️🙏🙏

  • @attensantah584
    @attensantah584 Před 3 lety

    Exactly bro

  • @mariamshaban2101
    @mariamshaban2101 Před 3 lety

    Nice

  • @kaifalawa5873
    @kaifalawa5873 Před 4 lety +1

    Hongera sana kaka,pia nakushukuru sana maana tangu nimekufaham napata mawazo sahihi juu ya maisha

  • @harmal7_
    @harmal7_ Před 4 lety +1

    Hakik hujakosea juu ya hili🙏

  • @issahakim5954
    @issahakim5954 Před 4 lety

    Saf sana broh i get you

  • @irenethom7897
    @irenethom7897 Před 3 lety

    Dah umenifundisha sana bro

  • @saphiaamir6987
    @saphiaamir6987 Před 3 lety

    new subscriber here. Mungu akulnde bro, keep on changing the world. Huku biashara hku thwawabu.

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 Před 3 lety

    Exactly!

  • @mwanangura4475
    @mwanangura4475 Před 3 lety

    Yaani kaka nakushukuru sana mm nimeolewa familia nina iko hivyo naomba ushauri wako

  • @johnsangiri3445
    @johnsangiri3445 Před 4 lety

    Yes big up,ndugu yangu umeongea vitu vizuri sana maana tuliyo wengi tunaamini furaha iko katika vitu na hasa wengi wana amini katika pesa.Kitu ambacho siyo kweli,watu wanaishi maisha ya kawaida bila hata pesa ila wanaishi maisha yenye furaha sana.Hasa wale wanaopenda kushirikiana na wengine katika mambo mengi na kugawana elimu kama ufanyavyo hongera sana.

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 3 lety

    Kweli kabisa

  • @mahdishdesigner679
    @mahdishdesigner679 Před 4 lety

    Big up brother

  • @khadijajuma3887
    @khadijajuma3887 Před 4 lety

    Nikushkuru kaka kupitia lesson zako nimejifunza mengi na nimebadilisha maisha yangu Allah akubariq

  • @sabinashabani4688
    @sabinashabani4688 Před 4 lety

    Hupo sahii kaka

  • @salemale6830
    @salemale6830 Před 4 lety

    Asante san san brother EZDEN 8 9 nimdgo wng kabisa huyo nashkur san kam unavyosema touch one iche one imitation is limitation nakubali san hii misemo yko broo mungu akuweke uzid kutufunguwa brother hatuna chakukulipa zaid ya long life

  • @romwaldjumanne2066
    @romwaldjumanne2066 Před 4 lety

    Kaka shikamoo hapa umetisha nimekuelewa

  • @anithabenson7584
    @anithabenson7584 Před 3 lety

    Najifunza

  • @mahmoodalghefeili5370

    Shukran sana japo nmechelewa cm yangu iliharibka nmeona nijiunge leo nipate madin zaid na zaid

  • @akilibright715
    @akilibright715 Před 4 lety

    Nimekusom bro hakika unatusaidia

  • @salimshalifu9293
    @salimshalifu9293 Před 4 lety

    Kiukweli broh sijawi kujuta kukufaham Allah akuweke

  • @giftmmary170
    @giftmmary170 Před 4 lety

    Umenikumbusha mbali sana.A level tumesoma nae

  • @stephanowillium7367
    @stephanowillium7367 Před 4 lety +1

    Ezden jumanne is on air

  • @ifah5100
    @ifah5100 Před 4 lety +1

    Huhuhuu hiv speedo zipo jaman!! Eti miguu km........

  • @frankafrica3973
    @frankafrica3973 Před 4 lety +1

    Ezden Kama Ezden twende pamoja

  • @jemairisparick7541
    @jemairisparick7541 Před 4 lety +2

    Asante sana kwa somo nzuri lakini hapa mimi kuna hawa watu wa kuchafuliwa wengine jina mpaka ukajikuta yani ulikuwa mutu wa furaha , mpeanaji, mkarimu lakini ikatokea hiyo issue ya kusema vibaya kiasi ya kwamba furaha ikatoweka hapo Sasa ni vipi waeza regesha furaha yako?

  • @fahimaumazi7048
    @fahimaumazi7048 Před 3 lety

    Asante sana maana hii hali nko nayo na cjui naeza kufanya nn ili nisaidike aki maana furaha kwangu ndio shida

  • @casillasiller3331
    @casillasiller3331 Před 4 lety

    u change me a lot bro,

  • @hamskim3864
    @hamskim3864 Před 4 lety

    Umegonga ndipo bro👍

  • @sifabanga5735
    @sifabanga5735 Před 4 lety +1

    Kaka hiyo Ni kweli kabisa mina mujuwa umoja.

  • @hamoudking6219
    @hamoudking6219 Před 3 lety

    Hapo Kwel kabsaa ezden

  • @janeynceyjohny6400
    @janeynceyjohny6400 Před 3 lety

    Bro this session is nyc but tell us ways of getting a true happiness

  • @endrewmhina3371
    @endrewmhina3371 Před 4 lety +4

    Kwenye familia ya SUCCESS PATH nadhani hakuna viumbe vya namna hiii.. 🙄🙄🙄 Bro unamafundusho mazuri.. Yani kwamtu anae kufuatilia kwa ukaribu hawezi kukosa amani hata siku moja, Yani kila kukicha kwake anaiona nuru ya mafanikio... Yani anaweza kufiwa hata na mtu wakaribu ila bado akawa ana fill tabasam badala ya kilio.. namaanishakua hata akiondokewa na mtu wa karibusana bado atakua na tumaini badala ya kukata tamaa...🙏🙏🙏.. Be Blessed Brother....

  • @lorryrurangwa5277
    @lorryrurangwa5277 Před 3 lety

    Subhanallah kaka unasema ukweli balah.😃😃😃

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Před 4 lety

    Ahsante kwa kutufundisha,hapa kuna tabia zangu na tabia za rafiki yangu 😁😁japo huwa nadhani ni kwa sababu ya HAIBA ZETU (tabia zakuzaliwa nazo ambazo zipo damuni kabisaa)japo zipo ambazo negative na Positive.Hizi negative labda ndo matatizo yetu,tutajitahidi kuziachaa bro.

  • @saumumbukuzi4922
    @saumumbukuzi4922 Před 4 lety

    Asante sana kaka tunao watu hivyo ila mhh wakali hata ukiwaendea taratibu

  • @frankmwatosya132
    @frankmwatosya132 Před 3 lety

    sana kaka unatufundisha kiroho mpaka kiakili

  • @sadakhamis6684
    @sadakhamis6684 Před 3 lety

    🔥🥰

  • @tiffahyusuph5695
    @tiffahyusuph5695 Před 3 lety +1

    Asante Sanaa kiongoz kwa kuweza kutabadilisha mind zetu unatisha sanaaa ila bado Mimi Nina changamoto utanisaidiaje

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      WHATSAPP GROUP & BUSINESS:
      Kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa : chat.whatsapp.com/JefLwp7YinU6PwSwsJYJs2
      Kama una ujumbe wowote. Kuhitaji ushauri. Au biashara. Kuhitaji tangazo. Kutangaza kwenye chaneli yetu. Tuma whatsapp text hapa :
      (+255)759191076

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 4 lety +1

    🤝

  • @swaummboko8078
    @swaummboko8078 Před 4 lety

    Tafadhali

  • @njuujera1415
    @njuujera1415 Před 4 lety +1

    Nakupenda sana broo

  • @saidishaur8218
    @saidishaur8218 Před 2 lety +1

    Mie nahitaji msaada maana tabia kama zote ninazo Mimi kwa jina nitwa najida husseni nipo Zanzibar

  • @judithmwereke7315
    @judithmwereke7315 Před 3 lety

    Tunajifunza

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 3 lety

    Ahsante sana ndugu yangu.Kumbuka wengi wana mchanganyiko wa mawazo bila kujijua.depression

    • @JumaKulonda-cb5un
      @JumaKulonda-cb5un Před 11 měsíci

      Unifungua akili yangu kwakweli Mungu akupe umri mrefu brother

  • @paulofesto7812
    @paulofesto7812 Před 3 lety

    Kweli broo mm fulaha sina kbs

  • @ummytwalib2705
    @ummytwalib2705 Před 3 lety

    Keke bajaji

  • @hassanbululiga8745
    @hassanbululiga8745 Před 3 lety

    naomba namba yako ya sim nkutfte bro

  • @kassimali1477
    @kassimali1477 Před 4 lety +1

    Eden kuna point flani imenigusa 😂😂😂 hiyo ya chop money ohhhh!!!! nitajitahidi sana niwe mtu wakutumia hela poa

  • @ksnjos001
    @ksnjos001 Před 3 lety

    Wanawake wengi wa siku hizi wapo katika hili group...

  • @ramadhanrwibanga8876
    @ramadhanrwibanga8876 Před 3 lety +1

    Salama kaka juma mm na shukur sana tena sana kwa sababu namtu huyo kwangu 1/hajuwi ku shukur 2/ hasiranyingi/3 maneno mengi sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Asante sana Ramadhan Rwibanga kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!

  • @rukiamusa9916
    @rukiamusa9916 Před 4 lety

    Huh napenda vile huwa unaji ongelesha katikati ya mafunzo bro🤜thwayib nikweli tuna ishi kwa mazingara yetu na watu kama hao kabisaa kumbe nita kua makini sasa shukran

  • @mariamogelasanayohana7442

    kaka mimi pia nimwisiram narafiki yangu anamapugufuhayo lakini ukimwabiaukweri habandiriki kabasa zaidiyakupaniki san namutuwa hasira sana