FAHAMU TABIA 13 ZA WATU WASIO NA FURAHA
Vložit
- čas přidán 29. 06. 2020
- Furaha ni chanzo cha mafanikio ya kila aina katika maisha ya mwanadamu na wengi bila kujua huangukia katika mambo yanayowafanya hata kuanza kujichukia wenyewe. Katika somo la leo tutajifunza tabia 13 za watu wasio na furaha maishani.
.
Lengo la somo hili sio kucheka baadhi ya watu au kuwafanya wajisikie vibaya lakini ni kutufungua akili zetu katika utambuzi huu na kuweza kutusaidia kupiga hatua katika nyanja mbalimbali za mafanikio.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Tabia13 #Wasiokua #Furaha
Nakukubali sana kaka mungu akubariki sana ndugu yangu
Mungu akubariki sana kaka
Wa pili hapa kujifunza kwa Coach Ezden Jumanne
Merci beaucoup pour cette conseil
Masha Allah somo zuri sana Mungu Akuzidishie kheri nyingi hapa Duniani na kesho Akhera
Ameen ..
Najifunza mengi kupitia wewe asante sana broo...mashaallah mungu akuzidishie
Asante sana sarah burhani kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Asant ndo marazi ninayo sijuwi atayisha aje
Aje naweza kuwa nafuraha🙏
Najfunz vitu vng xna broo
Asante San kk naona Leo umeniongolea mieee haswaa
Kiukwel najifunza mengi sn kutoka kwako... Najifunza namna ya kuish na Watu tofaut tofaut
Shukran sana kaka kwa elimu unayotoa hakika imekua ni msaada na faraja kwa watu wengi...Allah aifanye iwe ni swadakatul jaali yako.
Binafsi nilipoana hii mada nilijua inanihusu sana make nikijitathmini hujiona mimi sio mtu mwenye furaha. But Alhamdulillah hizo tabia isipokua moja tu yakuto kusema shida zilizo moyoni mwangu wakati mweingine natamani nipate mtu nimuelezee yaliyo moyoni ila nashindwa kuzungumzia mambo yangu😢
Shukran sana Mungu akubarikii
shukran sana kaka
Asante sana kwa mafundisho Mazuri
Meng nmejifunza kwako na kazi lazma niyafanyie🙏🙏🤝🤝
MashaAllah... Mada nzuri sana umeileta mezani, kiukweli watu wengi ni waathirika wa kutokuwa na furaha wengine tunajijua na wengine hawajijui!! Nitafurahi sana endapo utakuja kufafanua mada hii “Kwa nini watu wengi wanaowapa furaha watu wengine wao binafsi huwa hawana furaha ya kweli?”. Nadhani mada hiyo niliyoipendekeza hapo juu inaenda sambamba na mada ya somo lako la leo pia. Hongera sana kwa kuendelea kuiletea jamii chakula sahihi cha ubongo 👊.
Shukrani sana. Naifanyia kazi mada hiyo uliyopendekeza
The fact is that I'm always in my own world but i never mind anyone's business...and am always happy for anyone. Mihunyamaza sana and i like my environment to be quite very quite. Misiwezi share mambo yangu kulingana na jinsi nilivyoona watu wakinisaliti...unaeleza mtu shida yako then baadae ama siku nyingine mukiwa kwenye mazungumzo, ile story ulimweleza ndo example...i can't. Wale wamepitia hili wataelewa
Thanks again
Nice talk 👍
Ahsante sana.
Thanks bro
thanks bro
Thanks I'm still learning from you..
Nakuelewa Sana Kaka kwa kweli uko vizuri Sana Asante brother jumanne
Thank you Ezden
Bless you...
Nimejifunza God bless you Brother
Ni ujumbe wa kuzingatia sana, masna ni uhalisia ambao upo.
Allah akujalie ubunifu & maarifa uzidi kutuletea MADINI.
NAPENDA SANA MASOMO YAKO Brother maana yanaamsha SUBCONSCIOUS mind.
🥰🥰🥰🥰 I'm here for listening this 🤝🤝
Shukran sana kaka kwa Mafunzo mazuri
Mungu akubariki sana
Shukran kaka Ezden Jumanne🙏
may God bless you👌👌
Asante sana Kaka kwakutuponya
Asante sana me mmoja wpo
Asante sana kaka kwa elimu yako👏👏
Thnx ezden
Ahsante kwa somo zuri kaka Ezden nakupenda bure🙏🙏
Nice one👍
Maa shaa Allah keep it up bro..
Maa shaa Allah
Asante nimejifunza kitu
Penye kuwaza pesa hapo umenigusa Bro, thanks sana
Nimefurahi kuona kwamba wewe ni muislam mzuri Mwanangu nafatilia sana mada zako kwa kweli hazilingani na umri wako uko juu mwanangu ALLAH akuzidishie elimu,kheri baraka ktk maisha yako
Jazakallahul khair Bro
Ahsante sana.
Respect ✊ brother have a nice day
ahsante brother ezden
Bado naenedelea kusikiliza hakika uko sahihi sana kuna ndug yangu ana hizi shida and i have to share it with him..
Asante sana kwa somo nzuri
God bless you
Umekuwa sababu ya mimi kubadilika sana asante kaka mada nzuri
Karibu sana Hilda
Br uko vizuri
Kaka, nazidi kukushkuru sana kwa masomo mazuri,Leo nimechelewa kupata notification, nkawa cjatulia kbsa kiakili, ila sasa am relaxed, coz umenipa somo,asante kaka
Ubarikiwe sana kaka mungu akupe mayisha marefu 💪🏾❤️❤️🙏🙏
Exactly bro
Nice
Hongera sana kaka,pia nakushukuru sana maana tangu nimekufaham napata mawazo sahihi juu ya maisha
Hakik hujakosea juu ya hili🙏
Saf sana broh i get you
Dah umenifundisha sana bro
new subscriber here. Mungu akulnde bro, keep on changing the world. Huku biashara hku thwawabu.
Exactly!
Yaani kaka nakushukuru sana mm nimeolewa familia nina iko hivyo naomba ushauri wako
Yes big up,ndugu yangu umeongea vitu vizuri sana maana tuliyo wengi tunaamini furaha iko katika vitu na hasa wengi wana amini katika pesa.Kitu ambacho siyo kweli,watu wanaishi maisha ya kawaida bila hata pesa ila wanaishi maisha yenye furaha sana.Hasa wale wanaopenda kushirikiana na wengine katika mambo mengi na kugawana elimu kama ufanyavyo hongera sana.
Kweli kabisa
Big up brother
Nikushkuru kaka kupitia lesson zako nimejifunza mengi na nimebadilisha maisha yangu Allah akubariq
Hupo sahii kaka
Asante san san brother EZDEN 8 9 nimdgo wng kabisa huyo nashkur san kam unavyosema touch one iche one imitation is limitation nakubali san hii misemo yko broo mungu akuweke uzid kutufunguwa brother hatuna chakukulipa zaid ya long life
Kaka shikamoo hapa umetisha nimekuelewa
Najifunza
Shukran sana japo nmechelewa cm yangu iliharibka nmeona nijiunge leo nipate madin zaid na zaid
Nimekusom bro hakika unatusaidia
Kiukweli broh sijawi kujuta kukufaham Allah akuweke
Umenikumbusha mbali sana.A level tumesoma nae
Ezden jumanne is on air
Huhuhuu hiv speedo zipo jaman!! Eti miguu km........
Ezden Kama Ezden twende pamoja
Asante sana kwa somo nzuri lakini hapa mimi kuna hawa watu wa kuchafuliwa wengine jina mpaka ukajikuta yani ulikuwa mutu wa furaha , mpeanaji, mkarimu lakini ikatokea hiyo issue ya kusema vibaya kiasi ya kwamba furaha ikatoweka hapo Sasa ni vipi waeza regesha furaha yako?
Asante sana maana hii hali nko nayo na cjui naeza kufanya nn ili nisaidike aki maana furaha kwangu ndio shida
u change me a lot bro,
Umegonga ndipo bro👍
Kaka hiyo Ni kweli kabisa mina mujuwa umoja.
Hapo Kwel kabsaa ezden
Bro this session is nyc but tell us ways of getting a true happiness
Kwenye familia ya SUCCESS PATH nadhani hakuna viumbe vya namna hiii.. 🙄🙄🙄 Bro unamafundusho mazuri.. Yani kwamtu anae kufuatilia kwa ukaribu hawezi kukosa amani hata siku moja, Yani kila kukicha kwake anaiona nuru ya mafanikio... Yani anaweza kufiwa hata na mtu wakaribu ila bado akawa ana fill tabasam badala ya kilio.. namaanishakua hata akiondokewa na mtu wa karibusana bado atakua na tumaini badala ya kukata tamaa...🙏🙏🙏.. Be Blessed Brother....
Subhanallah kaka unasema ukweli balah.😃😃😃
Ahsante kwa kutufundisha,hapa kuna tabia zangu na tabia za rafiki yangu 😁😁japo huwa nadhani ni kwa sababu ya HAIBA ZETU (tabia zakuzaliwa nazo ambazo zipo damuni kabisaa)japo zipo ambazo negative na Positive.Hizi negative labda ndo matatizo yetu,tutajitahidi kuziachaa bro.
Asante sana kaka tunao watu hivyo ila mhh wakali hata ukiwaendea taratibu
sana kaka unatufundisha kiroho mpaka kiakili
🔥🥰
Asante Sanaa kiongoz kwa kuweza kutabadilisha mind zetu unatisha sanaaa ila bado Mimi Nina changamoto utanisaidiaje
WHATSAPP GROUP & BUSINESS:
Kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa : chat.whatsapp.com/JefLwp7YinU6PwSwsJYJs2
Kama una ujumbe wowote. Kuhitaji ushauri. Au biashara. Kuhitaji tangazo. Kutangaza kwenye chaneli yetu. Tuma whatsapp text hapa :
(+255)759191076
🤝
Tafadhali
Nakupenda sana broo
Asante. Hunishindi mimi
Mie nahitaji msaada maana tabia kama zote ninazo Mimi kwa jina nitwa najida husseni nipo Zanzibar
Tunajifunza
Ahsante sana ndugu yangu.Kumbuka wengi wana mchanganyiko wa mawazo bila kujijua.depression
Unifungua akili yangu kwakweli Mungu akupe umri mrefu brother
Kweli broo mm fulaha sina kbs
Keke bajaji
naomba namba yako ya sim nkutfte bro
Eden kuna point flani imenigusa 😂😂😂 hiyo ya chop money ohhhh!!!! nitajitahidi sana niwe mtu wakutumia hela poa
Wanawake wengi wa siku hizi wapo katika hili group...
Salama kaka juma mm na shukur sana tena sana kwa sababu namtu huyo kwangu 1/hajuwi ku shukur 2/ hasiranyingi/3 maneno mengi sana
Asante sana Ramadhan Rwibanga kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Huh napenda vile huwa unaji ongelesha katikati ya mafunzo bro🤜thwayib nikweli tuna ishi kwa mazingara yetu na watu kama hao kabisaa kumbe nita kua makini sasa shukran
Hahahahaa. Karibu sana Rukii
kaka mimi pia nimwisiram narafiki yangu anamapugufuhayo lakini ukimwabiaukweri habandiriki kabasa zaidiyakupaniki san namutuwa hasira sana