FANYA HIVI WATU WAKUHESHIMU BILA KUJALI PESA, AU ELIMU ULIYONAYO

Sdílet
Vložit

Komentáře • 29

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 Před rokem +2

    From UGANDA 🇺🇬 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed 🔥🔥🔥

  • @fabianlucas3594
    @fabianlucas3594 Před rokem +3

    Jambo jema maana kwenye maisha kuheshimiwa na kuthaminiwa ni jambo mhimu.
    Sasa Twende kazi.

  • @user-hb1fv5mv8y
    @user-hb1fv5mv8y Před 5 měsíci

    Nce presentation iam learning something from it

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 Před měsícem

    Ukiwa huna kitu unadharaulika Broo kweli kbs Broo big up sana

  • @NgaoSimba-qf8vx
    @NgaoSimba-qf8vx Před rokem +1

    Wa Kwanza from Kenya 🇰🇪

  • @zachaxerking6333
    @zachaxerking6333 Před rokem +1

    This is so nice

  • @rosemarry1274
    @rosemarry1274 Před rokem

    Asante sana kwa somo nzuri

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 Před 6 měsíci

    Ahsante Kwa Elimu

  • @rewardnjau7220
    @rewardnjau7220 Před rokem +1

    you are brilliant🎉🎉🎉

  • @sammysmartboy4072
    @sammysmartboy4072 Před rokem +1

    Nimekupata kaka Asante from now on wanitazame tofauti

  • @Tanzanian395
    @Tanzanian395 Před rokem +1

    Hapo umenena mzee ✅

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 Před měsícem

    Broo mada hii umetisha broo

  • @zachaxerking6333
    @zachaxerking6333 Před rokem +1

    Naamin ktk hili

  • @daudikitungulu9120
    @daudikitungulu9120 Před rokem

    Kweli kaka

  • @HawayRamadhn-rr6vf
    @HawayRamadhn-rr6vf Před rokem +1

    Kweli hili imetisha kwa kuelimisha

  • @user-tu5yz3ii6f
    @user-tu5yz3ii6f Před 11 měsíci

    iyo nikweli kaka

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před rokem

    Safi sana ujumbe umeeleweka, hata wajinga tutawatambuwa hapa kupitiya comments zao, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @clintonaward7580
    @clintonaward7580 Před rokem

    Asante kaka take a big comment

  • @BwanaTajiri-pv9st
    @BwanaTajiri-pv9st Před rokem +1

    Pesa brother tafuta heshima itakuamkia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    👊✌️🙏.

  • @user-ff3cw1jb5y
    @user-ff3cw1jb5y Před rokem

    Kweli kabisa

  • @chancelebishopofficial2785

    Heshima pesa tu ,shikamo makelele bwashe tutafute pesa heshima itakuja yenyewe 😂😂😂😂

    • @mandalorian_4.11
      @mandalorian_4.11 Před rokem +3

      Hizo pesa utazipataje kama hujitambui na huwezi kuwa wewe?
      Nikweli pesa ni muhimu sasa ili nawewe uzipate za kutosha, jitahidi kufuata utaratibu na ufanye kazi kwa bidii.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      kabisa kama hauna pesa ata ukiazima kiatu cha milion mia utajulikana tu na mwisho utadharaulika tu, zipo story nyingi zilizowaumbua watu za jinsi hiyo na zipo story nyingi zizilowakoshesha watu nafasi fulani kisa tu kwakuangalia muonekano wa watu , wapo watu walio fukuzwa kazi kwasababu ya dharau walimdharau boss wao wenyewe kisa tu muonekano na mava duni aliyoyatinga , watu masikini wengi duniani ufikiri mavazi au vazi fulani uleta hesdhima zaidi kuliko fedha kumbe wanajiongopea wenyewe 🤣 mimi siamini katika mavazi napenda kuva simply sana sipendi mbwembwe zamavazi i believe mali na fedha nasi katika swala la mavazi hayo mambo mengine nakubaliana nayo asilimia 100 lakini si mavazi kwasababu binadamu si kitu na binadamu ata ufanyenini hawanaga jema , hii nimejifunza sana wakati sina chochote nilijaribu kuva kiheshima lakini sikuheshimiwa na nami si muongeji mbele za watu so kama hauna kitu na muonekano wako wakawaida tu ata lafiki yako au mpenzi wko atangutenga kiainaina mbele za watu anaona kama unamchoresha vile au mnamzuilia michongo fulani so mimi I appreciate katika fedha ,na kunyamaza kimya ili mambo yaende, so kimavazi I never trust hayo mengine ni sawa tu , SUTI NA TAI BILA FEDHA NI MBWEMBWE TU ata wachekeshaji wanawaga katika maigizo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @justingodfrey8282
      @justingodfrey8282 Před rokem +1

      huwezi pata pesa bila kujiheshimu

    • @chancelebishopofficial2785
      @chancelebishopofficial2785 Před rokem

      @@justingodfrey8282 aya wewe endelea kutafuta heshima wengine wana tafuta pesa bwashe

  • @togetheranythingdf2212
    @togetheranythingdf2212 Před rokem +1

    zidi kufanya video kama hizi

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před rokem +1

    Hayo mengingine nakubaliana na wewe asilimia 100 % na zaidi ilo lakuka kimya yani mikausho mikali lakini swala la mavazi hapana hii kwangu si kitu ata kidogo 🤣🤣🤣🤣Kwani SUTI NA TAI BILA FEDHA NI MBWEMBWE TU ata wachekeshaji wanavaaga katika maigizo yao