Hizo pesa utazipataje kama hujitambui na huwezi kuwa wewe? Nikweli pesa ni muhimu sasa ili nawewe uzipate za kutosha, jitahidi kufuata utaratibu na ufanye kazi kwa bidii.
kabisa kama hauna pesa ata ukiazima kiatu cha milion mia utajulikana tu na mwisho utadharaulika tu, zipo story nyingi zilizowaumbua watu za jinsi hiyo na zipo story nyingi zizilowakoshesha watu nafasi fulani kisa tu kwakuangalia muonekano wa watu , wapo watu walio fukuzwa kazi kwasababu ya dharau walimdharau boss wao wenyewe kisa tu muonekano na mava duni aliyoyatinga , watu masikini wengi duniani ufikiri mavazi au vazi fulani uleta hesdhima zaidi kuliko fedha kumbe wanajiongopea wenyewe 🤣 mimi siamini katika mavazi napenda kuva simply sana sipendi mbwembwe zamavazi i believe mali na fedha nasi katika swala la mavazi hayo mambo mengine nakubaliana nayo asilimia 100 lakini si mavazi kwasababu binadamu si kitu na binadamu ata ufanyenini hawanaga jema , hii nimejifunza sana wakati sina chochote nilijaribu kuva kiheshima lakini sikuheshimiwa na nami si muongeji mbele za watu so kama hauna kitu na muonekano wako wakawaida tu ata lafiki yako au mpenzi wko atangutenga kiainaina mbele za watu anaona kama unamchoresha vile au mnamzuilia michongo fulani so mimi I appreciate katika fedha ,na kunyamaza kimya ili mambo yaende, so kimavazi I never trust hayo mengine ni sawa tu , SUTI NA TAI BILA FEDHA NI MBWEMBWE TU ata wachekeshaji wanawaga katika maigizo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo mengingine nakubaliana na wewe asilimia 100 % na zaidi ilo lakuka kimya yani mikausho mikali lakini swala la mavazi hapana hii kwangu si kitu ata kidogo 🤣🤣🤣🤣Kwani SUTI NA TAI BILA FEDHA NI MBWEMBWE TU ata wachekeshaji wanavaaga katika maigizo yao
From UGANDA 🇺🇬 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed 🔥🔥🔥
Jambo jema maana kwenye maisha kuheshimiwa na kuthaminiwa ni jambo mhimu.
Sasa Twende kazi.
Nce presentation iam learning something from it
Ukiwa huna kitu unadharaulika Broo kweli kbs Broo big up sana
Wa Kwanza from Kenya 🇰🇪
This is so nice
Asante sana kwa somo nzuri
Ahsante Kwa Elimu
you are brilliant🎉🎉🎉
Nimekupata kaka Asante from now on wanitazame tofauti
Hapo umenena mzee ✅
Broo mada hii umetisha broo
Naamin ktk hili
Kweli kaka
Kweli hili imetisha kwa kuelimisha
iyo nikweli kaka
Safi sana ujumbe umeeleweka, hata wajinga tutawatambuwa hapa kupitiya comments zao, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Asante kaka take a big comment
Pesa brother tafuta heshima itakuamkia
Heshima inakupa fursa nyingi ya pesa
👊✌️🙏.
Kweli kabisa
Heshima pesa tu ,shikamo makelele bwashe tutafute pesa heshima itakuja yenyewe 😂😂😂😂
Hizo pesa utazipataje kama hujitambui na huwezi kuwa wewe?
Nikweli pesa ni muhimu sasa ili nawewe uzipate za kutosha, jitahidi kufuata utaratibu na ufanye kazi kwa bidii.
kabisa kama hauna pesa ata ukiazima kiatu cha milion mia utajulikana tu na mwisho utadharaulika tu, zipo story nyingi zilizowaumbua watu za jinsi hiyo na zipo story nyingi zizilowakoshesha watu nafasi fulani kisa tu kwakuangalia muonekano wa watu , wapo watu walio fukuzwa kazi kwasababu ya dharau walimdharau boss wao wenyewe kisa tu muonekano na mava duni aliyoyatinga , watu masikini wengi duniani ufikiri mavazi au vazi fulani uleta hesdhima zaidi kuliko fedha kumbe wanajiongopea wenyewe 🤣 mimi siamini katika mavazi napenda kuva simply sana sipendi mbwembwe zamavazi i believe mali na fedha nasi katika swala la mavazi hayo mambo mengine nakubaliana nayo asilimia 100 lakini si mavazi kwasababu binadamu si kitu na binadamu ata ufanyenini hawanaga jema , hii nimejifunza sana wakati sina chochote nilijaribu kuva kiheshima lakini sikuheshimiwa na nami si muongeji mbele za watu so kama hauna kitu na muonekano wako wakawaida tu ata lafiki yako au mpenzi wko atangutenga kiainaina mbele za watu anaona kama unamchoresha vile au mnamzuilia michongo fulani so mimi I appreciate katika fedha ,na kunyamaza kimya ili mambo yaende, so kimavazi I never trust hayo mengine ni sawa tu , SUTI NA TAI BILA FEDHA NI MBWEMBWE TU ata wachekeshaji wanawaga katika maigizo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
huwezi pata pesa bila kujiheshimu
@@justingodfrey8282 aya wewe endelea kutafuta heshima wengine wana tafuta pesa bwashe
zidi kufanya video kama hizi
Hayo mengingine nakubaliana na wewe asilimia 100 % na zaidi ilo lakuka kimya yani mikausho mikali lakini swala la mavazi hapana hii kwangu si kitu ata kidogo 🤣🤣🤣🤣Kwani SUTI NA TAI BILA FEDHA NI MBWEMBWE TU ata wachekeshaji wanavaaga katika maigizo yao