Justine shed mm ni mmoja wapo wa watu wanaokufuatilia kwa umakini! Ila mi naomba unielezee kwanini main characters wa TOM & JERRY hawazungumzi /hawaongei kama CHARACTERS wengine???? Especially za director FREDDY LUIMBY?
@@senyaelinicodemumbise4814 kuna watu wanasema dunia inazunguka kwenye mhimili wake ikiizunguka jua. Sasa hiyo Greenland vipi? Hainzunguki? Hapa ndipo unagundua kuwa jua huzunguka juu ya dunia. Na jua sio kubwa kuliko dunia kama wengi wanavyosema. Maana lingekuwa kubwa kuliko dunia, huko Greenland wangelipata kama ilivyo sehemu zingine
Leo ni Mimi naitwa Justin shedi sasa twende Antarctica.
🎉❤Congratulations brother ❤❤🎉
Asante bro Justin hii nimeisubiri Sana!
Kazi nzuri kaka Justin
Bongo fasta mimi napenda unionesha vizuri niwanani wahazilishi wa Kiswahili maana tunabisha sana na wezangu ni kenya ao ni Tanzania?
Imengia kabisa brother
nakubali kazi yako Sana Justin shedi.
Asante sana Brother Lusajo
Namie nataka kwenda Justin nifanyie mpango 🤣🤣
Noma
Asante sana
Mimi nakuomba historia ya sim Samsung tu.
Good 💪
😂😂😂today you caught me off guard. Nimezpea phrase haya twende kazi kumbe ilikuwa twende Antarctica
😂😂😂😂
Asante bongo fasta
Kazi nzuri
Wa tatu nimewahi apa
🔥🔥🔥 I like it
Twende Antarctica baba 😂😂😂😂😂
Wakwanz like zenu jameni twende kazi
Samahani Kaka shedi tuandalie the aluur4
Kindly reduce background voice
Historia ya YAKUTSK SIBERIA please
Cjaelewaaaa
Wanaficha ukweli bara la antantc akuna anae weza kufika katikati wanaogopa watu wa kawaida kwenda maana watafichua siri ya dunia 😊
Story ta Akothee Kenya
Asante kwa kuni juza ndio yajua
Asante kwa kuni juza nisioyajua
Ninapoiangalia hii stori namtukuza mwenyezi MUNGU
Wamarekani hawajawahi kushindwa na kitu hapa Duniani.
Nakubali sana kazi ya JASTIN SHED ni kazi ngumu sana. 🤝🏴
BoNGO FAST NI SHULE KUBWA SANA
Justin usisahabu kunipa video
😂😂mwanadamu hatari mbwa hana mana kabisa yani walisaidiwa na mbwa baadaye mkawala tena
Justine shed mm ni mmoja wapo wa watu wanaokufuatilia kwa umakini! Ila mi naomba unielezee kwanini main characters wa TOM & JERRY hawazungumzi /hawaongei kama CHARACTERS wengine???? Especially za director FREDDY LUIMBY?
Sasa twende Antartica
Sema jamaaa napenda uhodari wako ktk luga
Wakwanzaaaa
Naangalia huku nimejifunika blanket, maana ile kuangalia tu hii video nimehisi hilo baridi.😂🙌
Sasa twende antactica
Naam tumefaidika na makala yako murua endelea kupekua zaidi yaliyoko hukoo utujuze
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.
Heshima kwako brother
Kaka justin kuna sehemu dunia inaweza fikia hata miezi Hawaoni jua je unaweza tuletea story yake na kwanini jua hliwezi piga kwa mda mrfuu @bongofasta
nchi kama Greenland.wanaona jua kwa nadra. nchi ile ina wenyeji Waeskimo.
@@senyaelinicodemumbise4814 kuna watu wanasema dunia inazunguka kwenye mhimili wake ikiizunguka jua. Sasa hiyo Greenland vipi? Hainzunguki? Hapa ndipo unagundua kuwa jua huzunguka juu ya dunia. Na jua sio kubwa kuliko dunia kama wengi wanavyosema. Maana lingekuwa kubwa kuliko dunia, huko Greenland wangelipata kama ilivyo sehemu zingine
Bongo fasta nawakubali,