Bro hiyo mm ndo changamoto yng kubwa! Na kitendo hcho kmenifny nionekane mtu wa tofaut sana hata kwa ndg zng wa dam na pia kmenikosesha michongo na washkaji wa faida mpk namuombaga mungu aniondolee hiyo kitu na njia ulitotaja cjui kama ztasaidia kujitoa
Ni kitu ambacho nafkri n ngumu sana kukiondoa na hamna dawa ya hio hamna mtu anaweza kukusaidia ujiamini bali n ww mwenyewe ila ukicontrol ubongo unaweza
Kuacha kufikiria njisi WENGINE wanavyo kuwazia, hili limeni gusa SANA. Tangu leo nime funguliwa kwa tatizo la aibu, mwengine alisemaga eti uwazavyo sivyo kweli
You have touched my situation! Thank you very much...! 🇲🇿
From UGANDA 🇺🇬 To Tanzania 🇹🇿 Justin Sheed 🔥🔥🔥
Wakanza Leo like
nakukubali sana justine shed
Ubarikiwe sana, Hali iyo inanisumbua sana sasa nmejifunza.
Haki ii vedio imenifurahisha na nime jifundisha
make more videos like this about life. I learnt something
Uko sahihi kabisa
Daah yani brother tuache tu
Bwana Justin shed bado hatujapata utafauti wa ndege za kivita ya su 57felon na ya marekani f 35
Bro hiyo mm ndo changamoto yng kubwa!
Na kitendo hcho kmenifny nionekane mtu wa tofaut sana hata kwa ndg zng wa dam na pia kmenikosesha michongo na washkaji wa faida mpk namuombaga mungu aniondolee hiyo kitu na njia ulitotaja cjui kama ztasaidia kujitoa
Hauko peke yako kaka watu wengi sana wanayo ila fuatilia kuna njia za kuficha hio kitu
Ni kitu ambacho nafkri n ngumu sana kukiondoa na hamna dawa ya hio hamna mtu anaweza kukusaidia ujiamini bali n ww mwenyewe ila ukicontrol ubongo unaweza
Noma
Sasa twende kazi🤏🏾😎
Twende kaz
Facts brother
Kuacha kufikiria njisi WENGINE wanavyo kuwazia, hili limeni gusa SANA. Tangu leo nime funguliwa kwa tatizo la aibu, mwengine alisemaga eti uwazavyo sivyo kweli
Nimependa sana clip yako kwakweli kila ulilo ongea ni lakweli na lipo kwenye fikra yangu asante sana kwa kunifungua God bless you
Imenigusa hii🙈
Umetisha
hiyo ni kweli endeleya kufanya video kama hizi.
Justin shed🔥🔥🔥🔥🔥
Umenisaidia sana kaka
😅😅
Nimejifunza
2:07..🤣🤣🤣
Kweli ulichokiongea hata Mimi nkohivyo
Mimi pia. Asante kwa Justine shed.
Kuomba likes kwenye comment ndio imekuwa fashion siku hizi 🤔
Kweli kabisa
Huna baya
🎉🎉
Mim naona aibu kwasabu ya uso wangu
5:39..🤣🤣🤣
Sasa me Nina swali aibu mbele za watu unakuta unamfata mtu labda anakuwa naa mabi mengine unashindwa kubwa na ujasiri