ISHARA 4 KUWA WEWE UMEKUA | You're Matured
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2020
- Ishara 4 umekua matured:
Kuna vitu mtu anaweza fanya mpaka ukajiuliza inakuwaje kwa mwenye akili timamu akafanya hivyo, lakini upande mwingine huwa ni upeo mdogo au unakuta mtu bado hajakua, anafanya mambo ya kitoto.
.
Sasa katika somo hili tutajifunza ishara 4 zitakazokujulisha kuwa umekua yaani you're matured
.
GEMIX HONEY COMPANY: / gemixhoney
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Ishara4 #maturity #matured
Jambo gani wewe linakupa ishara kuwa mtu uliyekutana naye amekua au he/she is matured? Nijulishe hapa tafadhali. Asante
Akhy eeh...me nataka icho kitabu vipi kinaghalimu kiasi gani...me npo mwanza mpaka kinifikie ni kwa gharama ipi jumla!!!!!!
Mi naona Ni pale anapoweza kuzcontrol hisia zake ili kuruhusu akili yake ifanye maamuz mazuri
Ahsanteee
Me kwenye ubishiii hapo nashindwaga kuvumilia kbisa kwanzia leo naachaaa
kuzungumza kidogo inaonesha kukuwa
kweli kabisa! age is not a measure of maturity.. nafurahi kwamba kutokana na ishara hizo ulizotaja, naamini I am matured :-D
Iwe Leo au kesho nikifanikiwa katka maisha yangu ww ni moja ya vyanzo vya mafanikio yangu,kwa masomo mazuri unayotupatia.
nashukuru sana. Karibu sana. endelea kujifunza
To be patient,sincere,and humble
Maashalah thwayib somo safi kabisa bro hapo ume gonga ndipo nikama uli kuwepo 💪🤜🤛
Shukran sana mr. Ezden kwa somo lako zuri ulilotufunza. Pia nakuomba kama zipo ishara nyengine zaidi nakuomba utufunze kupitia hii channel yako
Shukrani sana kaka.. unatufungua macho..!
Hakika kaka umenena vyema big-up
Assalaam alaykum. Shkrn sana brother kwa somo zuri sana.
Great i do love your videos am just wooo motivated
Always huwa nakuwa happy kutokana na maneno smart kutoka kwako,videos zako zimenibadilisha sana kaka.have a long life bro
Asante sana Ahdal Rashid kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Very well God bless you.
Asante Sana kwa somo zuri..Nimejifunza mengi kwa kwelii
excellent advices
Asante kwa kuendelea kunijenga my broo mungu akulinde
thanks bro, I have learnt more, you are very smart
Shukran kaka J. Stay blessed always InshaAllah.
Asantee kakaa blessed
Thanks bro Ezden
Be blessed
Thankx 🙏🏻
Bro mm nilikuwa na wazo naomba uwe unaandika zile point back cover au pembeni yako then uwe unaelezea moja badala ya nyingine kwa ss watu wako tweny kusahausahau tusisahau uko point ya tano tushaasahau ya kwanza
Ahsante
Kakaa shkamoo,thanx kwasomo zuri,bt kitabu hujasema bei natunakipataje
mungu akulinde sana Edzen unanipaga michongo ya maana ntakutafuta bro tule hata nyama thanks sana
Thanks a lot
Thanks again bro!!
Hakika brother nimeelewa sana,,,
Ubarikiwe sana.
Hongera sana Kaka kwa somo zuri ila Kaka elimu unayo Itowa ina umuhimu mkubwa sana katika jamii na kwann usifunguwe darasa maalum watu wakawa wanakuja kujifunza mana kiupande wangu kama sifaidi ivi kupitia cm
Sawa nalifanyia kazi hili jambo. Nashukuru sana
Somo zuriii sana
Thank you brother
Kweli kabisa shukran
Asante kaka kwa somo laleo unanielimisha sana kaka.kwakweli kufikia sahii kaka watu wananiona tofauti.kupitia mafundisho yako.thanks alot
Daaah success path kiukwel nukua blessed sana kwa video zakoo
Asante kwakutueli misha ubarikiwe
Thank you bro
Ahsante kwa Elimu hii Brother
Hongera sana Mungu akupe uhai mrefuili uzi
This is good
.
Enx broo
Nimekuelewa sana brother,
Nashukuru sana kaka ezden
Bother Eziden nakuelewa Sana Mungu akubarik akupe maisha marefu ili uendelee kutoa elimu kwa vizazi na vizazi
Nashukuru sana kaka
Amina amina kbx mungu akulinde milele na milele!!
Proud for you brodaa one love
Good work
Thnks kaka nimejifunz kitu zaid
Somo zuri sana asante kaka
Bonge la somo Allah akubariki mtaalam
Masha Allah
Ur the best ma bro
Thanksssssss
Ezden jumanne ur the best of ol
asante bro
Nimechelewa sana kukufatilia...sijui nilikua Dunia gani....asee asante kak
Ahsante kaka
Nashukulu sana kaka
Nakukubali sana bro allah akutunze
Ahsante sana kaka
Balikiwa sana kwa somo zuuuri, ningekua na uwezo ningefunga Chanel zote leo ili kila anaeingia CZcams leo aitazame kwanza hii video
Shukrani sana Samson
Am 23 nilianza kukufatilia mwaka juzi mwezi wa 11 yaani nikiwa na 21 but now najiona mtu mzima Sana yaani hata nikongea kwenye familia yetu natazamika kwema mtu mwenye busara. Asante bro umekuwa mwalimu mzuri Sana kwangu. Mungu akuweke Sana!
Bro...maa Shaa Allah
Sana kaka hakika nimekuelewa mungu akubariki
Shukuran🙏
Huwa nakupenda bila kukujua uko vizuri masha
allah
Nice studies bro be blessed
Asante sana bro najifunza mengi sana kutoka kwako
Nice
Ezden upo vizuri kaka Niamini mimi 🙌🏾
How about those who play with others filling in first and third points
Upo sawa
Makini sana
Masha Allah maneno kuntu
Kwa maelezo haya basi nimekua kwa asilimi 95% ,hizi 5 za kubishana 😁😁huwa sipendi kuonewa japo nikimuelewesha asiponielewa naacha kubishana lkn lazima tubishane kidogo.
Ahsante kaka kwa kutufunza.
😅😅😅😅
Hahahhaa
Hii ni kwel kuna watu ni matured by age ila co kwa mindset mungu akubariki edzen uzidi kutupa mambo mengne muhimu leo nimejifunza mengi sanaa
Asnt bro...
Mimi ni mgeni ndio kwanza naanza kufuatilia hii ni story darasa lkn japo nimeanza MDA si mrefu najikuta kuna baadhi ya mambo au vitu vinaniingia akilini ahsante kwa kazi zako
Ezden unafanya vzl sana kutupa elimu ya dunian, ,,ila mawazo yangu naomba mafundisho yako uwe unayapa namba pls coz wengine wanakosa kuangalia kwa wakati na wakat huo unakua umefanya presentation zaid ya Mara moja dhahiri tutakua tunaporeza baadh ya session
Nice one bro
Sante sana
Nimekuelew sana bro
Asante
Napenda sana ushauri wako
Allah akupe umli mlefu maneno yako ukweli mtupu ongera sana
Somo zuri
Safi sana kakangu 🥰🥰🔥🔥
Respect sana bro nimependa hiii.. nahitaji no zako kaka. .
Nakuelewa sana kaka
Broo nimekuelewa sana
Maalim ww unafaa kuwa kiongozi coz akili yako ni kubwa mno, jazakallahulkhayr
Nakufatilia sana bro
Funzo zuri bro tuna xhukulu xana
Thanks for sharing it's worth listening +254 🇰🇪
Thank you... Caroline
Barikiwa sana Mungu akupe maisha MAREFU mnoo
Unatixha cana bro big up
Nce
Mashallah u are more than a teacher broh big up
Thank you Twaha....
Kwli kabisa ushidani aunamaana
Mafundisho yote hayo ni mazuri wakati kwa wakati ninapokufuata lakini kwa upande wetu sisi tunaohishi congo ni namba gani tunaweza fikiya kupata vitabu mbali,mbali ili tuwe tunasoma maandishi yatakayo tuhelimisha zaidi!
Mimi nimejifunza , point namba mbi2 Asante
Jambo, Baba mafunzo unayetupa
Ni mazuri zaidi na yanahelimisha jamii duniani.
Surely nimebarikiwa Sana na hilo somo
Kaka nashukuru kwa ushauri tutaufanyia kazi
Yes