USIFUPISHE MAISHA YAKO KWA KUFANYA MAMBO HAYA
Vložit
- čas přidán 4. 06. 2021
- Maisha ni mafupi sana kufanya baadhi ya mambo ambayo yatazidi yatayafupisha zaidi na zaidi. Kufikia mwisho wa somo hili utakuwa umejifinza namna bora zaidi ya kufanya na muda mchache wa maisha yako katika baadhi ya maeneo muhimu, karibu!.
.
GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
(SPN BOOK CLUB):
Karibu ujiunge ikiwa wewe:
- Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
- Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
- Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
.
ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
.
SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
.
UNGANA NAMI MITANDAONI:
INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
INSTAGRAM : / ezdenjumanne
FACEBOOK : / ezdenjumanne
TWITTER : / ezdenjumanne
LINKEDIN : / ezdenjumanne
CZcams : / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
/ hamasayaleo
.
.
#Success #Path #Network
Things to avoid wasting time with.
1.the past.
2.the future
3.the haters
4.getting old
5.opinions of others is not my reality
6.kujishughulisha nn wengine wanafanya.
7.your looks(ishi kama vile Mwenyezi MUNGU alivyokuumba)
8.making mistakes
9.the money.
Asante sana kaka I'm proud the way i was made.
Allah akuzidishie siku za kuishi kwakweli tuzidi kupataa meengi mazuri ya kujifunza kutoka kwako 🙏🙏🤝
Kaka ezden shkran sana MUNGU akusaidie upate maarifa zaidi ili tujifunze zaidi nimejifunza pakubwa sana nahiyo tabia nilikuwa nayo ila kwasasa nimeiacha
KUNA VITU NIMEJIFUNZA APA MUCH LISPECT SANA MY BROTHER EZDEN👊👊
Pamoja sana...
Nimejifunza kuridhika ,be yourself,be realistic ,pia kujikubali ulivyo,kuwa na kiasi ktk mapambano ya maisha
Blood unahofu na Mungu sana Mungu akuongoze zaid ya hapo,
SPN is my favorite channel on CZcams, I learned many things from you guys napenda kusema shukrani kwa masomo najihisi vibaya siku yangu ikipita bila kusikia mafundisho yenu thank you so much guys
Nashukuru sana kaka
AHSANTE MJA WA ALLAH
NIMEKUPATA VZR
Nimechekaa "Hatter" "Hetazi"
KK somo zuri sn hasa dada zetu, ni wagumu kujielewa juu ya kuhalibu utamaduni wa kiafrika
Mada nzuri
Hongera best kuzungumzia swala LA urembo usiofaa kujifanya bandia yaan huo ni msiba haswa cc kinamama mmi najuta xana ngoz yngu imeharibika mungu anisamehe xana..
Sio unahisi tunakosea ni kweli tunakosea ..... me nashukuru sana najiona mwenye bahati kupata ujumbe huu sasa ni wakati wangu kuyapa thamani maisha yangu.💪
Mwalim Wetu Yuko bizee sana siku iziii
Tuendelee kusikiliza hekima zakee🤝🤝🤝🙏🙏
Asante sana kwa somo zuri. Mwenye Sikio la kusikia na kufahamu ataelewa.
Bro kubwa ya juu bigi taimu sana
Powerful Words 👏👏👏👏👏
Asante sn kk nimejifunza mugu akuongeze xaidi na akupeuwezo wakutufuza sn
Vipi ezden unajuwa kweli yaliyopita yanapoteza mda lakini kitu tangu mdogo jambo lile umekuwanalo halijakutokea ila umepewa mzigo wa maisha ambayo hujawahi kuwishi umesingiziwa tu.hii inakuwa ngumu sana kuweza kutoka kwenye utumwa ya mambo yaliyopita kati ya hao mimi ni mmoja wa kuteseka juu ya mambo yaliyopita naona kama kesho yake litatokea kwani nikuulize hili jambo linadawa yake
😂😂😂😂😂😂nimecheka hapo KWENYE mawigi...but nikweli KABSA,,,,Sasa mzee wakiume anang'ang'ana kuweka brich nywele zoke
Kaka Ezden Somo Bora sana kwangu mwakan2023,Naomba uniambie Dar unaptikana sehemu gan nina Zawadii kaka!!
Anhaa jambo kubwa na zuri hilo. Njoo wahstapp tafadhali 0759191076
Ishi miaka mingi brother hakika wewe ni kioo chetu; Tunapata mambo mazur sana kutoka katika Channel hii.
Nakuelewa sana bro na ninajifunza mengi sana kupitia video zako. Barikiwa sana
Maa sha Allah
❤
Thaxs, gud advice
sawa
Reality brother, good lesson
May the Almighty God bless you Brother Ezden
Allahumma Amiyn
Ujumbe mzuri kaka ubalikiwe
Hongera sana bro J,,,,,somo zuri,,,,naishi maisha yabgu na si ya mwingine
Good speech thank you brother
Mashallah broo nakupenda KWa ajili ya Allah umetupa SoMo na ukumbusho pia 🙏🙏🙏
Asante kaka ezden
Thanks...
Thanks brother God bless you
Nice one Kip doing what you doing is very good and important
Ubarikiwe Sana somo zuri
Yan sichoki kuangalia videos zako yan mwanamke ataepata mwanaume ka wewe wallah amebarikiwa sana maana amepata mtu ambaye anaakili kubwa sana...nways somo zuri sana yan nakukubali sana👊
Mungu akbark somo zur
Well said
Sawa
Thanks bro
Asante sana bro kwa mafundisho mazuri
Napenda sana
Ahsante sana brother nimejisikia amani sana maana mm mtumwa wa makosa na mambo ya kale nakaa tu kusema isinge inge n.k
Asante sana Mungu akubariki kwa elimu nzuri
4:01
Mada nzuri bro nimecheka hapo kwenye dada nywele zako nzuri dah!
Ok asante sana kaka unatupa madini adimu sana
Asante sana bro
Blessed❤
Safi sana funguka ubongo
Kweli kabisa
Somo zuri sana
Keep it up bro. Allah akubariki.
I get thing brother!!!
Point kubwa mzee baba
Nimeipenda ubarikiwe sada
Nimekuelewa vizur bro alafu na hii tabia ya kujichubua wanawake me inanikera sana
Elimi nzuri sana mm binafisi nimejifunza jambo la msingi sana
vitabu
Mashaallhah🤝🤜💚💚💚
Elimu hii imekua ikinijenga kiakili na fikra,
lakini ningependa siku uje na mada ya kukata tamaa, watu wanafeli masomo, wanapoteza kazi ghafla, na wanapoteza watu wawapendao na wanao wategemea, wanaanguka kibiashara, n.K, hivyo wengi hukosa namna ya kufanya kinachokuja kichwani ni kukata tamaa(saikolojia inavurugika kabisa)
Safi sanaaaaaa
Nime enjoy 🎉
Aisee hii hotuba ndio yenyewe
bro nashukuru sana kwakunipa maarifa makubwa sana siku ya leo nimependa sana somo lako yan umeongea mambo mazuri sana ambayo naamini nikiyafatilia yatabadilisha maisha yang asante san bro Mungu azidi kukubariki bro
Barikiwa sana kaka
👏👏
Mungu akusaidie kaka .
Kakae asante miminiwawazasana,nawamenipashda mnoo maana wananisema kisa mumekanikimbia wanasema et mm mdochanzo nataman kuwaambia ukweli ila siwez.hadikazn snaraha yani nasemwa mno kaka
Asnte sana m/ mungu akuongezee umri katika maisha yako
Bro upo vizuri sana aisee
Nimekuelewa Mwl
Mwenyezi Mungu akuzidishie kaka shukrani sana 🤝
amiin...
🙏
Mungu akubariki uendelee kuelimisha watu wake
Tisha sana hii 👏👏👏
dada unanyewele nzurii afu anajibu asantee..kumbee..hahahah
Gud👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍 15
Hua namwelewasana ezden
yan asnt kaka Allah akuongezee maalifa
Good lesson.
Shukrani sana
Asante sana nimejifunza mengi kupita ww
karibu sana Thania
Kaka thanks somo zurii.changs now is neccessary
karibu sana
Bro nakuelewa sana
Excellent bro ..!! Nice speech
Pamoja sana Zelfat...
Hili kuangalia back inategemea nazania kama mfano uliacha mke alafu kids wako anao yy inabidi uangalie back yani unaweza msongeza aliekuumiza ili upate vitu vyako kama wanao anao yy unaweza kuumia zaidi ijapokuwa ile ni past yk
ntapataje vitabu
Waambie kaka hao dada zetu
Akhuy vp hali shukran na somo zuri ila ningekushauri ungeweza weka live hiki kipindi tukuulize namaswali.
Okay wazo zuri sana... Nitafanya LIVE badae kidogo
@@successpathnetwork Tuko pamoja Akhuy.
I agreed with your 8 points but kuusu kuvaa wigi,kuweka kucha zabandiya, etc 90% nikwasababu ya nyiye wanaume....maana upendo wenu "is attracted thru appearance of a woman"
Sikweli kabisa upendo ni kwa namna ambavyo umekuwa mstaarabu na jinsi unaweza kuongea na watu vizuri
Kuhusu mawazo ya watu wengine kuhusu Mimi nilishaambiwa ni nyoe ndevu
Nakupata kwa ukaribu sana al akhy nikiwa hapa ukonga magereza DSM
wape salamu sana huko
Sawa al akhy
aah bro unajua sana mungu akupe miaka mingi zaid
Ujumbe huu umenipa somo
Nmependa mno hili somo hapa kuna ukumbusho ktk eeman
Allah atuongoze hasa wanawake tuwe na khouf na tunayo yafanya
Ameen Amina Alid, dua njema iwafae wanawake wote kama ulivyokusudia, Allah awafungulie. Be blessed!
Nakukubal broo
Karibu sana kaka
Shida ya madada zetu kujibadilisha inatokana na market yao kwa wanaume, sababu mwanamke mweupe yuko very marketive Afrika kuliko mweusi, so give blame kwa auzae bangi na anunuae bangi
Pole kwa 🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏👍👍💯
Pole ya nini tena hii?
Naomba unisaidie jinsi ya kusoma na kufaulu mtihani
Mm nimelipenda sana hili somo ila ungeweka live. Umenifrahisha hapo kwenye wingi eti mtu nywele kipili pili anaweka wigi halafu anasifiwa umependeza anajibu asante😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwili wake mzima unakuta viraka makope yakubandika makucha yani mwili mzima viraka Allah atujalie tuwe wenye kushukru neema ya maumbile aliotuumbia Wallah huu mswiba mkubwa ktk huu umma
asante kwa kuelewa...
@@successpathnetwork Karibu Akhuy
Mada nzur lakini Nile njia za kusahau yaliyopita nashindwa
Mada zuri kaka ila mtu kama aufikiri kuusu kesho unawezaje kujiwekeya akiba❓ ila asante kwa mafuzo mazuri♥️