USIFUPISHE MAISHA YAKO KWA KUFANYA MAMBO HAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2021
  • Maisha ni mafupi sana kufanya baadhi ya mambo ambayo yatazidi yatayafupisha zaidi na zaidi. Kufikia mwisho wa somo hili utakuwa umejifinza namna bora zaidi ya kufanya na muda mchache wa maisha yako katika baadhi ya maeneo muhimu, karibu!.
    .
    GROUP LANGU LA VITABU (WHATSAPP):
    (SPN BOOK CLUB):
    Karibu ujiunge ikiwa wewe:
    - Unapenda kupata faida toka kwenye vitabu
    - Ni mvivu kusoma na ungependelea kusikiliza (Audio) zaidi.
    - Unataka kufahamu/ kupata vitabu vizuri vya mafanikio.
    Utapata AUDIO CLIPS kwenye simu yako zilizosomwa kwa ufasaha na hazichoshi kusikiliza.
    Ili kujiunga tuma ujumbe "whatsapp" andika: SPN BOOK CLUB kwenda namba 0759191076
    .
    ADA NI SHILINGI 2,000/= TU KWA WIKI
    .
    SUBSCRIBE - COMMENTS - LIKE - SHARE
    .
    UNGANA NAMI MITANDAONI:
    INSTAGRAM (SPN): / successpath. .
    INSTAGRAM : / ezdenjumanne
    FACEBOOK : / ezdenjumanne
    TWITTER : / ezdenjumanne
    LINKEDIN : / ezdenjumanne
    CZcams : / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    SUBSCRIBE CHANNEL YA HAMASA YA LEO HAPA:
    / hamasayaleo
    .
    .
    #Success #Path #Network

Komentáře • 136

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 Před 3 lety +5

    Things to avoid wasting time with.
    1.the past.
    2.the future
    3.the haters
    4.getting old
    5.opinions of others is not my reality
    6.kujishughulisha nn wengine wanafanya.
    7.your looks(ishi kama vile Mwenyezi MUNGU alivyokuumba)
    8.making mistakes
    9.the money.
    Asante sana kaka I'm proud the way i was made.

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester8662 Před 3 lety +5

    Allah akuzidishie siku za kuishi kwakweli tuzidi kupataa meengi mazuri ya kujifunza kutoka kwako 🙏🙏🤝

  • @mashaulienock786
    @mashaulienock786 Před rokem +2

    Kaka ezden shkran sana MUNGU akusaidie upate maarifa zaidi ili tujifunze zaidi nimejifunza pakubwa sana nahiyo tabia nilikuwa nayo ila kwasasa nimeiacha

  • @saidypilly1803
    @saidypilly1803 Před 2 lety +5

    KUNA VITU NIMEJIFUNZA APA MUCH LISPECT SANA MY BROTHER EZDEN👊👊

  • @tulibakomwamasage6118
    @tulibakomwamasage6118 Před rokem +2

    Nimejifunza kuridhika ,be yourself,be realistic ,pia kujikubali ulivyo,kuwa na kiasi ktk mapambano ya maisha

  • @Laila-zl8lj
    @Laila-zl8lj Před 3 lety +4

    Blood unahofu na Mungu sana Mungu akuongoze zaid ya hapo,

  • @jeoboyafricaboy8279
    @jeoboyafricaboy8279 Před 3 lety +7

    SPN is my favorite channel on CZcams, I learned many things from you guys napenda kusema shukrani kwa masomo najihisi vibaya siku yangu ikipita bila kusikia mafundisho yenu thank you so much guys

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 3 lety +5

    AHSANTE MJA WA ALLAH
    NIMEKUPATA VZR

  • @mimiummie
    @mimiummie Před 3 lety +7

    Nimechekaa "Hatter" "Hetazi"

  • @aphrahanjopa5792
    @aphrahanjopa5792 Před 3 lety +2

    KK somo zuri sn hasa dada zetu, ni wagumu kujielewa juu ya kuhalibu utamaduni wa kiafrika

  • @fathumoamedhyi5601
    @fathumoamedhyi5601 Před 3 lety +5

    Mada nzuri

    • @batulimgala3803
      @batulimgala3803 Před 3 lety

      Hongera best kuzungumzia swala LA urembo usiofaa kujifanya bandia yaan huo ni msiba haswa cc kinamama mmi najuta xana ngoz yngu imeharibika mungu anisamehe xana..

  • @abubakariswai
    @abubakariswai Před 3 lety +1

    Sio unahisi tunakosea ni kweli tunakosea ..... me nashukuru sana najiona mwenye bahati kupata ujumbe huu sasa ni wakati wangu kuyapa thamani maisha yangu.💪

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před 5 měsíci

    Mwalim Wetu Yuko bizee sana siku iziii
    Tuendelee kusikiliza hekima zakee🤝🤝🤝🙏🙏

  • @Sadedimples
    @Sadedimples Před 3 lety +3

    Asante sana kwa somo zuri. Mwenye Sikio la kusikia na kufahamu ataelewa.

  • @winnermariah
    @winnermariah Před 3 lety +4

    Powerful Words 👏👏👏👏👏

  • @thania822
    @thania822 Před rokem +1

    Asante sn kk nimejifunza mugu akuongeze xaidi na akupeuwezo wakutufuza sn

  • @ismailvuai3035
    @ismailvuai3035 Před 3 lety +1

    Vipi ezden unajuwa kweli yaliyopita yanapoteza mda lakini kitu tangu mdogo jambo lile umekuwanalo halijakutokea ila umepewa mzigo wa maisha ambayo hujawahi kuwishi umesingiziwa tu.hii inakuwa ngumu sana kuweza kutoka kwenye utumwa ya mambo yaliyopita kati ya hao mimi ni mmoja wa kuteseka juu ya mambo yaliyopita naona kama kesho yake litatokea kwani nikuulize hili jambo linadawa yake

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 Před 3 lety +5

    😂😂😂😂😂😂nimecheka hapo KWENYE mawigi...but nikweli KABSA,,,,Sasa mzee wakiume anang'ang'ana kuweka brich nywele zoke

  • @kelyjames5452
    @kelyjames5452 Před rokem +1

    Kaka Ezden Somo Bora sana kwangu mwakan2023,Naomba uniambie Dar unaptikana sehemu gan nina Zawadii kaka!!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před rokem

      Anhaa jambo kubwa na zuri hilo. Njoo wahstapp tafadhali 0759191076

  • @abdumadaha5348
    @abdumadaha5348 Před 2 lety +1

    Ishi miaka mingi brother hakika wewe ni kioo chetu; Tunapata mambo mazur sana kutoka katika Channel hii.

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 Před 3 lety +2

    Nakuelewa sana bro na ninajifunza mengi sana kupitia video zako. Barikiwa sana

  • @mussamwamsitu2259
    @mussamwamsitu2259 Před 2 měsíci

    Maa sha Allah

  • @wineliza5495
    @wineliza5495 Před 2 lety

    Thaxs, gud advice

  • @HashimuMaulidi-oi5lt
    @HashimuMaulidi-oi5lt Před 8 měsíci +1

    sawa

  • @eliudjoachm6041
    @eliudjoachm6041 Před 3 lety +2

    Reality brother, good lesson

  • @eddy8627
    @eddy8627 Před 2 lety +3

    May the Almighty God bless you Brother Ezden

  • @avitusjovin
    @avitusjovin Před 3 lety +2

    Ujumbe mzuri kaka ubalikiwe

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před měsícem

    Hongera sana bro J,,,,,somo zuri,,,,naishi maisha yabgu na si ya mwingine

  • @MustafaShomari-nh7pn
    @MustafaShomari-nh7pn Před 5 měsíci +1

    Good speech thank you brother

  • @neemakungule8633
    @neemakungule8633 Před 3 lety +1

    Mashallah broo nakupenda KWa ajili ya Allah umetupa SoMo na ukumbusho pia 🙏🙏🙏

  • @HabibuSaidySaidy
    @HabibuSaidySaidy Před 3 měsíci +2

    Asante kaka ezden

  • @jumaramadhani4034
    @jumaramadhani4034 Před 2 lety

    Thanks...

  • @vailetheanyambilile9749

    Thanks brother God bless you

  • @amanibagabo1087
    @amanibagabo1087 Před rokem +2

    Nice one Kip doing what you doing is very good and important

  • @hellenakabakama-nz1cw
    @hellenakabakama-nz1cw Před 5 měsíci

    Ubarikiwe Sana somo zuri

  • @angelkenneth5035
    @angelkenneth5035 Před 2 lety

    Yan sichoki kuangalia videos zako yan mwanamke ataepata mwanaume ka wewe wallah amebarikiwa sana maana amepata mtu ambaye anaakili kubwa sana...nways somo zuri sana yan nakukubali sana👊

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Před 3 lety +1

    Mungu akbark somo zur

  • @simonazayor9123
    @simonazayor9123 Před rokem +1

    Well said

  • @augustinomwamasinga639
    @augustinomwamasinga639 Před 3 lety +2

    Sawa

  • @carolynewerunga9112
    @carolynewerunga9112 Před rokem

    Thanks bro

  • @paschaltimotheo5441
    @paschaltimotheo5441 Před 3 lety

    Asante sana bro kwa mafundisho mazuri

  • @petermose1639
    @petermose1639 Před 2 lety

    Napenda sana

  • @augustinokingazi8301
    @augustinokingazi8301 Před 3 lety +9

    Ahsante sana brother nimejisikia amani sana maana mm mtumwa wa makosa na mambo ya kale nakaa tu kusema isinge inge n.k

  • @mariaernest2087
    @mariaernest2087 Před 3 lety +1

    Mada nzuri bro nimecheka hapo kwenye dada nywele zako nzuri dah!

  • @user-jt3yw1gz2j
    @user-jt3yw1gz2j Před 2 měsíci

    Ok asante sana kaka unatupa madini adimu sana

  • @jameskalori4543
    @jameskalori4543 Před 3 lety +1

    Asante sana bro

  • @user-bu1vd8my8l
    @user-bu1vd8my8l Před 4 měsíci

    Blessed❤

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j Před 2 měsíci

    Safi sana funguka ubongo

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 3 měsíci

    Kweli kabisa

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d Před 3 měsíci

    Somo zuri sana

  • @sfiniyussur4460
    @sfiniyussur4460 Před rokem +1

    Keep it up bro. Allah akubariki.

  • @emanueleugen921
    @emanueleugen921 Před 3 měsíci

    I get thing brother!!!

  • @footballdetailsonly4674
    @footballdetailsonly4674 Před 3 lety +1

    Point kubwa mzee baba

  • @maryamabas1085
    @maryamabas1085 Před 2 lety

    Nimeipenda ubarikiwe sada

  • @v_simon2677
    @v_simon2677 Před rokem

    Nimekuelewa vizur bro alafu na hii tabia ya kujichubua wanawake me inanikera sana

  • @sebastiansikujua298
    @sebastiansikujua298 Před rokem

    Elimi nzuri sana mm binafisi nimejifunza jambo la msingi sana

  • @HashimuMaulidi-oi5lt
    @HashimuMaulidi-oi5lt Před 8 měsíci +1

    vitabu

  • @ibrahimmcha3939
    @ibrahimmcha3939 Před 3 lety

    Mashaallhah🤝🤜💚💚💚

  • @dailyloyal2420
    @dailyloyal2420 Před 3 lety

    Elimu hii imekua ikinijenga kiakili na fikra,
    lakini ningependa siku uje na mada ya kukata tamaa, watu wanafeli masomo, wanapoteza kazi ghafla, na wanapoteza watu wawapendao na wanao wategemea, wanaanguka kibiashara, n.K, hivyo wengi hukosa namna ya kufanya kinachokuja kichwani ni kukata tamaa(saikolojia inavurugika kabisa)

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety

    Safi sanaaaaaa

  • @MasumbukoJumanne
    @MasumbukoJumanne Před 2 měsíci

    Nime enjoy 🎉

  • @elishamgasa2343
    @elishamgasa2343 Před 3 lety +3

    Aisee hii hotuba ndio yenyewe

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Před 2 lety

    bro nashukuru sana kwakunipa maarifa makubwa sana siku ya leo nimependa sana somo lako yan umeongea mambo mazuri sana ambayo naamini nikiyafatilia yatabadilisha maisha yang asante san bro Mungu azidi kukubariki bro

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 3 lety

    Barikiwa sana kaka

  • @rosesawala3198
    @rosesawala3198 Před 3 lety +1

    👏👏

  • @SamuelMwambene
    @SamuelMwambene Před 2 měsíci

    Mungu akusaidie kaka .

  • @felisteravija1901
    @felisteravija1901 Před 3 lety +1

    Kakae asante miminiwawazasana,nawamenipashda mnoo maana wananisema kisa mumekanikimbia wanasema et mm mdochanzo nataman kuwaambia ukweli ila siwez.hadikazn snaraha yani nasemwa mno kaka

  • @nassorokigeta9802
    @nassorokigeta9802 Před 2 lety

    Asnte sana m/ mungu akuongezee umri katika maisha yako

  • @benjaminjeremiah9407
    @benjaminjeremiah9407 Před 3 lety +1

    Bro upo vizuri sana aisee

  • @user-bj4ww3qu3e
    @user-bj4ww3qu3e Před 3 měsíci

    Nimekuelewa Mwl

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před rokem +1

    Mwenyezi Mungu akuzidishie kaka shukrani sana 🤝

  • @irenechakwela6942
    @irenechakwela6942 Před 2 lety

    🙏

  • @benedictmangoo4222
    @benedictmangoo4222 Před 3 lety

    Mungu akubariki uendelee kuelimisha watu wake

  • @djramsoyusuph9661
    @djramsoyusuph9661 Před 3 lety

    Tisha sana hii 👏👏👏

  • @mackcollytv7003
    @mackcollytv7003 Před 3 lety +1

    dada unanyewele nzurii afu anajibu asantee..kumbee..hahahah

  • @husnatanzanian9155
    @husnatanzanian9155 Před rokem +2

    Gud👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍 15

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 Před 3 lety +1

    Hua namwelewasana ezden

  • @minnahdoto2062
    @minnahdoto2062 Před 2 lety

    yan asnt kaka Allah akuongezee maalifa

  • @hildamushashu5056
    @hildamushashu5056 Před měsícem +1

    Good lesson.

  • @thania822
    @thania822 Před rokem +1

    Asante sana nimejifunza mengi kupita ww

  • @officiallylucku90.81
    @officiallylucku90.81 Před 3 lety +2

    Kaka thanks somo zurii.changs now is neccessary

  • @allah-shukran-6811
    @allah-shukran-6811 Před 2 lety

    Bro nakuelewa sana

  • @zelfat4956
    @zelfat4956 Před 3 lety +1

    Excellent bro ..!! Nice speech

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 3 lety

    Hili kuangalia back inategemea nazania kama mfano uliacha mke alafu kids wako anao yy inabidi uangalie back yani unaweza msongeza aliekuumiza ili upate vitu vyako kama wanao anao yy unaweza kuumia zaidi ijapokuwa ile ni past yk

  • @HashimuMaulidi-oi5lt
    @HashimuMaulidi-oi5lt Před 8 měsíci +1

    ntapataje vitabu

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před 3 lety

    Waambie kaka hao dada zetu

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety +3

    Akhuy vp hali shukran na somo zuri ila ningekushauri ungeweza weka live hiki kipindi tukuulize namaswali.

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 Před 3 lety +1

    I agreed with your 8 points but kuusu kuvaa wigi,kuweka kucha zabandiya, etc 90% nikwasababu ya nyiye wanaume....maana upendo wenu "is attracted thru appearance of a woman"

    • @vincentpascal5996
      @vincentpascal5996 Před 3 lety

      Sikweli kabisa upendo ni kwa namna ambavyo umekuwa mstaarabu na jinsi unaweza kuongea na watu vizuri

  • @user-vp6ol3kq6g
    @user-vp6ol3kq6g Před 4 měsíci

    Kuhusu mawazo ya watu wengine kuhusu Mimi nilishaambiwa ni nyoe ndevu

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před 3 lety +2

    Nakupata kwa ukaribu sana al akhy nikiwa hapa ukonga magereza DSM

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 3 lety

    aah bro unajua sana mungu akupe miaka mingi zaid

  • @kashurajoyce7091
    @kashurajoyce7091 Před 3 lety

    Ujumbe huu umenipa somo

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 Před 2 lety

    Nmependa mno hili somo hapa kuna ukumbusho ktk eeman
    Allah atuongoze hasa wanawake tuwe na khouf na tunayo yafanya

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Ameen Amina Alid, dua njema iwafae wanawake wote kama ulivyokusudia, Allah awafungulie. Be blessed!

  • @allyjuma9299
    @allyjuma9299 Před měsícem

    Nakukubal broo

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op Před 3 lety +1

    Shida ya madada zetu kujibadilisha inatokana na market yao kwa wanaume, sababu mwanamke mweupe yuko very marketive Afrika kuliko mweusi, so give blame kwa auzae bangi na anunuae bangi

  • @mariammariam1128
    @mariammariam1128 Před rokem

    Pole kwa 🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏👍👍💯

  • @arafatramadhan3438
    @arafatramadhan3438 Před 3 lety

    Naomba unisaidie jinsi ya kusoma na kufaulu mtihani

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety +2

    Mm nimelipenda sana hili somo ila ungeweka live. Umenifrahisha hapo kwenye wingi eti mtu nywele kipili pili anaweka wigi halafu anasifiwa umependeza anajibu asante😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwili wake mzima unakuta viraka makope yakubandika makucha yani mwili mzima viraka Allah atujalie tuwe wenye kushukru neema ya maumbile aliotuumbia Wallah huu mswiba mkubwa ktk huu umma

  • @hawamsuya9044
    @hawamsuya9044 Před 2 lety

    Mada nzur lakini Nile njia za kusahau yaliyopita nashindwa

  • @ahadimuseremu5007
    @ahadimuseremu5007 Před 3 lety

    Mada zuri kaka ila mtu kama aufikiri kuusu kesho unawezaje kujiwekeya akiba❓ ila asante kwa mafuzo mazuri♥️