MAENEO MATANO PESA ILIPOJIFICHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2020
  • Pesa ni kitu ambacho watu wengi hawana maarifa sahihi. Ungana na bwana Victor Mwambene katika somo hili ili tufahamu maeneo matano pesa ilipojificha
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
    .
    NIFUATE MITANDAONI
    INSTAGRAM: / victor_mwambene
    .
    BIASHARA NA MATANGAZO: Wasiliana na
    EMAIL : ezdenjumanne@gmail.com
    Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
    #pesa #ilipojificha #VictorMwambenen

Komentáře • 72

  • @ShariffNassir-eo3to
    @ShariffNassir-eo3to Před 3 měsíci +1

    Nakukubali uwa nakufatilia sana mwamba

  • @user-rm1mm5uc2m
    @user-rm1mm5uc2m Před 5 měsíci

    Hallo mwambere victar napenda sana mafundisho Yako Niko Nairobi kenya

  • @hmytechnologieslimited4908

    Hongera ndugu yangu victor mwambene great content

  • @alqaasim_a_tz2412
    @alqaasim_a_tz2412 Před 4 lety +3

    Thanks brother somo Zuri sana Na Allah atukubalie kuzipata pesa kwa njia za halali zinazo mridhisha Allah,
    Ila kwa miziki na mfano wake hizo ni pesa Haraam na hazina lolote zaidi ya laana tu

    • @morefireministrychurch177
      @morefireministrychurch177 Před 4 lety +1

      Brother mungu hachagui jizi unapata pesa bora Usi uwe ama kuiba ndio lkn tumia akili ili uishi

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Před 4 lety +1

    Somo zuri sana, hata ongea ya leo ni nzuri sana, tunajua hayo yote uliyosema ni sahihi, unakuta unajaribu jambo kwa nguv zote na umakini lkn unafel

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 4 lety +2

    Thanks Br Victor

  • @morefireministrychurch177

    Ww ndio Unajua kufundisha mtu vizuri nimekuelewa kbs

  • @PeterMwidete-wm5sh
    @PeterMwidete-wm5sh Před 8 měsíci

    Mwalimu nakubali

  • @ramadhanjuma5526
    @ramadhanjuma5526 Před 4 lety +1

    "information it's very very essential for success"

  • @twahirustima281
    @twahirustima281 Před 3 lety +1

    My name is "Twahiri stima" Nafaidika na mawazo toka humu muumba awazidishie maarifa nasi tuchote toka kwenu

  • @jocety4426
    @jocety4426 Před 4 lety +1

    Asante.
    Bro.🙏

  • @rukiamusa9916
    @rukiamusa9916 Před 4 lety +1

    Point tekken kaka brother thanks alort

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety

    Thank you my brother Victor 🙏

  • @phatackbatange4988
    @phatackbatange4988 Před 2 lety

    Unarudia kitu kimoja mara kadhaa, point moja ya msingi unaigawanya na huifanya ziwe nyingi. Kimsingi unazungumza jambo moja au mawili na sio matano. Boresha zaidi katika kuchambua point na sub-point

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 Před 4 lety

    mwambena sasa ivi we ni wa moto sana unashusha madini yenye lishe hasa hapa ndo mahali pako sahihi

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 Před 4 lety +1

    Point👏

  • @msongarichard1305
    @msongarichard1305 Před 3 lety

    YES

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Před 4 lety +1

    On point

  • @mugishanasra1919
    @mugishanasra1919 Před 3 lety

    Manshallah muna tu fundisha kweli

  • @muzsajungles7823
    @muzsajungles7823 Před 4 lety

    Sante sana brother nimekua fans wako kwanzia sasa🙏🙏

  • @mossesdaudi4617
    @mossesdaudi4617 Před 3 lety

    Good tearching man

  • @hassaniothumani5501
    @hassaniothumani5501 Před 4 lety +5

    Dah umenifungua akili bro mi kuanzia leo nikisikia majumba yameezuliwa kwa upepo mi naenda kuwauzia matulubal 😃

  • @prettyroxy7490
    @prettyroxy7490 Před 3 lety

    Somo zuri xanaa

  • @msongarichard1305
    @msongarichard1305 Před 3 lety

    Big yes

  • @lukasignace8870
    @lukasignace8870 Před 4 lety

    Safi

  • @gaudensiamponela6599
    @gaudensiamponela6599 Před 4 lety

    Nice brother

  • @regnardedward4629
    @regnardedward4629 Před 3 lety +1

    We need changes

  • @kingssimbahh932
    @kingssimbahh932 Před 4 lety +1

    Mzee hiii imetulia san
    Goood

  • @shadyniyo
    @shadyniyo Před rokem

    Ahsante sana mwambene kwasomo hili Mungu akubaliki ,lakini naomba unisaidie kujua
    Ninamnagani nitaandaa kichwachangu Ili niwenamawazo yaliyo sahihi ?

  • @kbdesgners
    @kbdesgners Před 4 lety +1

    Hakika bro ipo ivo

  • @cryptoisourlife
    @cryptoisourlife Před 3 lety

    ahsante kaka

  • @fidmasho1574
    @fidmasho1574 Před 4 lety

    Asante

  • @barakagabriel8550
    @barakagabriel8550 Před 4 lety +1

    🙏

  • @hamonyyusto9907
    @hamonyyusto9907 Před 4 lety +1

    Mm nina kpaj nikickia ivi uwa naumia Sana kak

  • @priscasaidi6605
    @priscasaidi6605 Před 2 lety +1

    Hero naweza kupata namba yako pls

  • @jumaaomariiy8348
    @jumaaomariiy8348 Před 4 lety +1

    Nimekupata kaka

  • @ismailmweta7439
    @ismailmweta7439 Před 4 lety +1

    Ndiyo maana wazungu wanatengeneza matatizo, vita ugonjwa na vita ili wapate pesa

  • @laurentkgm8845
    @laurentkgm8845 Před 4 lety

    Najuaje kipaji changu

  • @alqaasim_a_tz2412
    @alqaasim_a_tz2412 Před 4 lety +12

    Mlio comment mwanzo Nawaombea kwa Mungu awafungue Akili, Yaani mtu anakupa Njia za kufanikiwa Unaanza Kumuuliza wewe umefanikiwa? Tambua pia kuna kitu Maamuzi ya Mungu, Huwenda mtu njia zote anazo na Mungu hajamruhusu ila Wewe ukapata hiz mbinu kutoka kwake na Mungu akakuruhusu kupitia mbinu hizo Ulizo pewa na huyo aliyeshindwa kufanikiwa kwa mbinu hizo,
    JIFUNZE KUJIONGEZA SIO KILA UNACHO ELEKEZWA NA MTU LAZIMA NAYE AWE NACHO,
    nilishaa Wahi Pata Ushauri wa usafi kutoka kwa Chizi wa mtaani mpaka sasa nadunda kwa ushauri wake
    Jifunze kujiongeza

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      Asante sana kwa maono haya. Umefafanua vizuri. Kila kitu ni mipango ya Mungu ila tuendelee kuweka juhudi zetu

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 Před 4 lety +1

      Kama ni Mungu anaruhusu kuna haja gani ya kujifunza si tusubirie tu Mungu aruhusu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      @@odhiaodhia9898 Mara ya mwisho uliona Bakhresa na Mo wanafundisha mafanikio ilikua lini?

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      @@odhiaodhia9898 nafikiri concept hizi wewe huwezi kuzielewa. Kwahiyo unaweza kuacha kufuatilia kile kisichokusaidia. Fuata yale yanayokusaidia

    • @endrewmhina3371
      @endrewmhina3371 Před 4 lety

      Yes bro some timz naamini kua. Wapi watu katika maisha yetu wanafanyika Kama Daraja la sisi kuvuka kwenda mahali flani. Ila wao wako sehem ileile kila siku...

  • @femidaamiri2719
    @femidaamiri2719 Před 4 lety

    Daresay Zuri sana

  • @yusufkishiwa6455
    @yusufkishiwa6455 Před 4 lety +5

    Kaka pamoja na kutufundisha yote haya je wewe umefanikiwa katika kiwango gani katika pesa?

    • @kbdesgners
      @kbdesgners Před 4 lety +1

      Amefanikiwa kukuelewesha wew utambue ilo

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 4 lety +1

      Amefanikiwa kuwa na elimu kukuzidi ww, ndo mana anakufundisha ili uendelee kupanua ubongo wako uingize pesa zaidi ya ulizonazo.

    • @hafidhially5901
      @hafidhially5901 Před 4 lety +3

      Yusuf Kishiwa ,kwa hili swali lako ,unatakiwa kufundishwa na kina Bill Gate pekee....

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +3

      JIBU LA EZDEN JUMANNE - (SPN Founder)
      Hizi comment za namna hii nazitarajia kuna wakati lakini labda niwatoe wasiwasi kuwa ukiona nimempa mtu nafasi kwenye platform yangu unatakiwa upate maswali ya kujiuliza kwamba kwanini EZDEN kamuweka hapa mtu huyu? Kamuamini vipi? Now, let me say about Victor, huenda kweli hana mafanikio hayo ya kuonekana lakini kwa mimi yeye ni kijana aliyefanikiwa tayari kwa hatua nyingi sana mbele ya watu wengi tu waliomzidi umri na wenye ajira na biashra zao ambao bado wana-struggle sana kupanga maisha yao. Tuanzie hapa mafanikio ni nini? Natoa jibu toka kwa muhamasihaji mkubwa sana au mwalimu wa mafanikio aliyesaidia watu wengi sana anaitwa JIM RHON (google taarifa zake) anafafanua mafanikio kwa kusema, "Success is what you attract by the person you become" isome tena na tena nukuu au maana hiyo huenda ukabadili mtazamo kuhusu mafanikio ni nini na aliyefanikiwa ni nani. "Mafanikio ni kitu unachokivutia kwa aina ya mtu ambaye unakuwa" KUMKUBALIA VICTOR KUWEPO HAPA KWENYE SPN PLATFROM: Ni sababu he's a fighter, I'm inspired by his life, discipline kwenye maisha yake, anaishi katika ratiba maalum kwa ufupi anaishi katika ratiba au tabia zote za mafanikio KITU AMBACHO WENGI HAWAWEZI... Yuko kwenye njia ya kuelekea juu, anakwenda kufanikiwa zaidi sana sana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Ukirejea tafsiri ya Jim Rhon hapo juu napata kumuona nini anakivutia kwa tabia na mwenendo anaoishi nao. Pia Mungu kampa uwezo wa kufundisha (kipaji) ana maono...ukizaliwa hivyo wewe upo hivyo, ukipata mwongozo sahihi hauwezi kusubiri mpaka upate pesa ndio uanze kufundisha watu ili wakuamini. sometimes in life someone else can take you to a jourey within yoourself that you can never go by yourself (ISOME VIZURI NUKUU HII). Kama ningemuona hivyo ulivyomuandika Victor basi asingekuwa hapa sababu watu kama hao uliowazungumza wapo wengi sana, nawaona ila sio Victor. Mungu atupe umri uje kuwa shuhuda wa hili. Swali langu kwako kama mafanikio ni tabia na mwenendo na fikra zako. Vipi fikra zako zitakufungulia njia ya kufanikiwa kama pale kwenye elimu (suluhisho) wewe ndio unaona panafaa kupachafua? Before killing the messenger, did you get the message? - EZDEN JUMANNE.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      @@hafidhially5901 Asante!

  • @delsbeatstz4732
    @delsbeatstz4732 Před 4 lety +10

    Ili mwalimu aliweke ni lazima awe amepitia uwanafunzi. Ili tajiri aeleweke ni lazima awe amepitia shida katika kufanikiwa kwake. Huwezi kumfundisha mtu namna ya kupata mavuno mengi ikiwa wewe mwenyewe hujawahi kuvuna mavuno mengi mafundisho yako yatakuwa ni magumu kweli kweli kueleweka kwa sababu huwezi kuwafundisha wenye njaa namna ya kushiba wakati wewe mwenyewe una njaa. Na huwezi kumfundisha mtu kwa kitabu ambacho ndio unakipitia muda huo huo unaofundisha !! Inanishangaza na kunihuzunisha sana kuona kijana anakinadi kitabu chenye mbinu na mafanikio ilihali yeye yu masikini !! Fundisha yanayoonekana kwako usifundishe yasiyoonekana kwako !! Truth hurts, ukiumia utayafanyia kazi maumivu yako au kile kinachokuumiza !!

    • @hmytechnologieslimited4908
      @hmytechnologieslimited4908 Před 4 lety

      Coach don't play young boy😆😆😆

    • @delsbeatstz4732
      @delsbeatstz4732 Před 4 lety

      @@hmytechnologieslimited4908 We are not talking about sports we are talking about reality in life, you cant convince how sweet life is unless you have tested it !!🤣🤣

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      JIBU LA EZDEN JUMANNE - (SPN Founder)
      Hizi comment za namna hii nazitarajia kuna wakati lakini labda niwatoe wasiwasi kuwa ukiona nimempa mtu nafasi kwenye platform yangu unatakiwa upate maswali ya kujiuliza kwamba kwanini EZDEN kamuweka hapa mtu huyu? Kamuamini vipi? Now, let me say about Victor, huenda kweli hana mafanikio hayo ya kuonekana lakini kwa mimi yeye ni kijana aliyefanikiwa tayari kwa hatua nyingi sana mbele ya watu wengi tu waliomzidi umri na wenye ajira na biashra zao ambao bado wana-struggle sana kupanga maisha yao. Tuanzie hapa mafanikio ni nini? Natoa jibu toka kwa muhamasihaji mkubwa sana au mwalimu wa mafanikio aliyesaidia watu wengi sana anaitwa JIM RHON (google taarifa zake) anafafanua mafanikio kwa kusema, "Success is what you attract by the person you become" isome tena na tena nukuu au maana hiyo huenda ukabadili mtazamo kuhusu mafanikio ni nini na aliyefanikiwa ni nani. "Mafanikio ni kitu unachokivutia kwa aina ya mtu ambaye unakuwa" KUMKUBALIA VICTOR KUWEPO HAPA KWENYE SPN PLATFROM: Ni sababu he's a fighter, I'm inspired by his life, discipline kwenye maisha yake, anaishi katika ratiba maalum kwa ufupi anaishi katika ratiba au tabia zote za mafanikio KITU AMBACHO WENGI HAWAWEZI... Yuko kwenye njia ya kuelekea juu, anakwenda kufanikiwa zaidi sana sana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Ukirejea tafsiri ya Jim Rhon hapo juu napata kumuona nini anakivutia kwa tabia na mwenendo anaoishi nao. Pia Mungu kampa uwezo wa kufundisha (kipaji) ana maono...ukizaliwa hivyo wewe upo hivyo, ukipata mwongozo sahihi hauwezi kusubiri mpaka upate pesa ndio uanze kufundisha watu ili wakuamini. sometimes in life someone else can take you to a jourey within yoourself that you can never go by yourself (ISOME VIZURI NUKUU HII). Kama ningemuona hivyo ulivyomuandika Victor basi asingekuwa hapa sababu watu kama hao uliowazungumza wapo wengi sana, nawaona ila sio Victor. Mungu atupe umri uje kuwa shuhuda wa hili. Swali langu kwako kama mafanikio ni tabia na mwenendo na fikra zako. Vipi fikra zako zitakufungulia njia ya kufanikiwa kama pale kwenye elimu (suluhisho) wewe ndio unaona panafaa kupachafua? Before killing the messenger, did you get the message? - EZDEN JUMANNE.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      @@hmytechnologieslimited4908 JIBU LA EZDEN JUMANNE - (SPN Founder)
      Hizi comment za namna hii nazitarajia kuna wakati lakini labda niwatoe wasiwasi kuwa ukiona nimempa mtu nafasi kwenye platform yangu unatakiwa upate maswali ya kujiuliza kwamba kwanini EZDEN kamuweka hapa mtu huyu? Kamuamini vipi? Now, let me say about Victor, huenda kweli hana mafanikio hayo ya kuonekana lakini kwa mimi yeye ni kijana aliyefanikiwa tayari kwa hatua nyingi sana mbele ya watu wengi tu waliomzidi umri na wenye ajira na biashra zao ambao bado wana-struggle sana kupanga maisha yao. Tuanzie hapa mafanikio ni nini? Natoa jibu toka kwa muhamasihaji mkubwa sana au mwalimu wa mafanikio aliyesaidia watu wengi sana anaitwa JIM RHON (google taarifa zake) anafafanua mafanikio kwa kusema, "Success is what you attract by the person you become" isome tena na tena nukuu au maana hiyo huenda ukabadili mtazamo kuhusu mafanikio ni nini na aliyefanikiwa ni nani. "Mafanikio ni kitu unachokivutia kwa aina ya mtu ambaye unakuwa" KUMKUBALIA VICTOR KUWEPO HAPA KWENYE SPN PLATFROM: Ni sababu he's a fighter, I'm inspired by his life, discipline kwenye maisha yake, anaishi katika ratiba maalum kwa ufupi anaishi katika ratiba au tabia zote za mafanikio KITU AMBACHO WENGI HAWAWEZI... Yuko kwenye njia ya kuelekea juu, anakwenda kufanikiwa zaidi sana sana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu. Ukirejea tafsiri ya Jim Rhon hapo juu napata kumuona nini anakivutia kwa tabia na mwenendo anaoishi nao. Pia Mungu kampa uwezo wa kufundisha (kipaji) ana maono...ukizaliwa hivyo wewe upo hivyo, ukipata mwongozo sahihi hauwezi kusubiri mpaka upate pesa ndio uanze kufundisha watu ili wakuamini. sometimes in life someone else can take you to a jourey within yoourself that you can never go by yourself (ISOME VIZURI NUKUU HII). Kama ningemuona hivyo ulivyomuandika Victor basi asingekuwa hapa sababu watu kama hao uliowazungumza wapo wengi sana, nawaona ila sio Victor. Mungu atupe umri uje kuwa shuhuda wa hili. Swali langu kwako kama mafanikio ni tabia na mwenendo na fikra zako. Vipi fikra zako zitakufungulia njia ya kufanikiwa kama pale kwenye elimu (suluhisho) wewe ndio unaona panafaa kupachafua? Before killing the messenger, did you get the message? - EZDEN JUMANNE.

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Před 4 lety +1

    Maskini ushauri yale aliyoyasoma kwenye kitabu, ukija kwenye maisha halis kuna mambo mengi sana

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 Před 4 lety

    mwambena sasa ivi we ni wa moto sana unashusha madini yenye lishe hasa hapa ndo mahali pako sahihi