JE UNATAKA KUWA TAJIRI?, BASI TAFUTA MAJIBU YA MASWALI HAYA MANNE - Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 23. 01. 2024
- Kama unataka kuwa tajiri lazima utafute majibu ya maswali haya manne,
1. Kwanini unataka kuwa tajiri.
2. Unataka kuwa na Utajiri wa kiasi gani?.
3. Hadi lini unataka uwe umeshakuwa tajiri?.
4. Utafanya nini kupata Utajiri?.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Mwaka huu inabidi nikufatilie sana..💪🏿
safi sana
Somo zuri asante kaka, Mungu akutunze
Coach nimekuelewa sana mwl kwa somo la leo....
Kupanga hivyo kumenisaidia mno mm! Nakushmu mda hadi leo nanena kama alivyo sema marehem reginard mengi..
I can imust i will
Asante sana bro aisee...itabid nipate vitabu vyako tu
Mana nikiwa nacho nikawa najisomea Naamin 100% kitakuwa kinanipa molar ya kufikia ndoto zangu
Thanks alot bro for your good education 🙏
Fantastic work brother
Merci
Asante coach somo zuri sana
asantee
Kabisa bro that's fact iyoo ndio ndoto huwa naziota nilitamn sana kujua ni aina Gani za biashara unaweza kuzifanya kufikia utajiri mfano. Napenda sana mziki
Yani wewejamaa ukovizur sana kuliko nanauka
🤑🤑🤑