JE UNATAKA KUWA TAJIRI?, BASI TAFUTA MAJIBU YA MASWALI HAYA MANNE - Victor Mwambene.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 01. 2024
  • Kama unataka kuwa tajiri lazima utafute majibu ya maswali haya manne,
    1. Kwanini unataka kuwa tajiri.
    2. Unataka kuwa na Utajiri wa kiasi gani?.
    3. Hadi lini unataka uwe umeshakuwa tajiri?.
    4. Utafanya nini kupata Utajiri?.
    .
    Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
    .
    KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
    .
    Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
    KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
    1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
    2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
    3. NGUVU YA KUJUA.

Komentáře • 12

  • @victor_silvanus10
    @victor_silvanus10 Před 6 měsíci +2

    Mwaka huu inabidi nikufatilie sana..💪🏿

  • @khadijamagohe5858
    @khadijamagohe5858 Před měsícem

    Somo zuri asante kaka, Mungu akutunze

  • @daudkanyelele4862
    @daudkanyelele4862 Před 6 měsíci

    Coach nimekuelewa sana mwl kwa somo la leo....
    Kupanga hivyo kumenisaidia mno mm! Nakushmu mda hadi leo nanena kama alivyo sema marehem reginard mengi..
    I can imust i will

  • @94winga
    @94winga Před měsícem

    Asante sana bro aisee...itabid nipate vitabu vyako tu
    Mana nikiwa nacho nikawa najisomea Naamin 100% kitakuwa kinanipa molar ya kufikia ndoto zangu
    Thanks alot bro for your good education 🙏

  • @Baya.enterprise
    @Baya.enterprise Před 5 měsíci

    Fantastic work brother

  • @KaserekaMupenzi
    @KaserekaMupenzi Před 2 měsíci

    Merci

  • @oasis_schools
    @oasis_schools Před 6 měsíci +1

    Asante coach somo zuri sana

  • @djksevenmovies
    @djksevenmovies Před 6 měsíci

    Kabisa bro that's fact iyoo ndio ndoto huwa naziota nilitamn sana kujua ni aina Gani za biashara unaweza kuzifanya kufikia utajiri mfano. Napenda sana mziki

  • @shadrackihenry4992
    @shadrackihenry4992 Před 5 měsíci +1

    Yani wewejamaa ukovizur sana kuliko nanauka

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 5 měsíci

    🤑🤑🤑