Victor Mwambene
Victor Mwambene
  • 76
  • 187 821
JINSI YA KUPATA WATEJA WENGI MTANDAONI (Instagram, Facebook & TikTok) | Victor Mwambene.
Namna ya kupata wateja miaka kumi iliyopita ni tofauti sana na miaka ya sasa, Kwa sasa ili kupata wateja wengi na kirahisi unapaswa kujua kunasa wateja kupitia mitandao ya kijamii. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kupata wateja wengi kupitia mitandao ya kijamii hasa Intagram, Facebook na TikTok.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
zhlédnutí: 1 153

Video

MBINU 5 ZA KUSHINDA USHINDANI KATIKA BIASHARA NA KUFANIKIWA SOKONI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,8KPřed měsícem
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. . KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503...
JINSI YA KUTENGENEZA TANGAZO LITAKALO KUPA WATEJA WENGI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 880Před měsícem
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 065850373...
MBINU 6 ZA KUHARAKISHA MAFANIKIO YAKO | Victor Mwambene.
zhlédnutí 6KPřed měsícem
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 065850373...
NJIA 5 ZA KUTENGENEZA PESA MTANDAONI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,3KPřed měsícem
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 065850373...
HATUA 4 ZA KUTENGENEZA PESA KUPITIA UWEZO AU KIPAJI CHAKO | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,1KPřed měsícem
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 065850373...
NJIA KUBWA 6 ZA KUTANGAZA BIASHARA YAKO NA KUVUTA WATEJA WENGI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,8KPřed 2 měsíci
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. . KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503...
NJIA KUBWA 6 ZA KUPATA MTAJI FEDHA WA KUANZISHA BIASHARA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 2,2KPřed 2 měsíci
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. . KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503...
JINSI YA KUTUMIA MUDA WAKO ILI UFANIKIWE KWA HARAKA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 4,6KPřed 2 měsíci
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. . KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503...
SABABU KUBWA 2 ZA KWANINI WATU WENGI NI MASIKINI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 2,1KPřed 2 měsíci
Somo hili litakusaidia jinsi ya kujikwamua kiuchumi na kuondoka kwenye umasikini. Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara ...
SIRI KUBWA 6 ZA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 7KPřed 3 měsíci
Ili ufanikiwe unapaswa kuzijua siri wanazozitumia watu kufanikiwa kwenye maisha. Hapa nimeeleza Siri sita unazoweza kuzitumia kufanikiwa sana. . Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashar...
NJIA TANO ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 10KPřed 3 měsíci
Somo hili litakusaidia mbinu za kujilazimisha kuweka akiba hata kama una kipato kidogo. . Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na B...
ZIJUE TABIA HIZI ZA WATEJA NA JINSI YA KUWASHAWISHI KUNUNUA KWAKO | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,6KPřed 3 měsíci
Somo hili litakusaidia kujua tabia kubwa za wateja ili ujue jinsi ya kuwapata kirahisi kwenye Biashara yako, hivyo tazama somo hili hadi mwisho. . Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biash...
UKWELI KUHUSU UTAJIRI, UTAJIRI SIO KUWA NA PESA NYINGI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,7KPřed 3 měsíci
Somo hili litakusaidia kujua maana ya Utajiri, kwa sababu utajiri sio kuwa na pesa na mali nyingi kama watu wengi wanavyodhani, Kama utajiri ungekuwa ni kuwa na pesa nyingi basi watu wote wanaoshinda bahati nasibu wangekuwa matajiri. Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila s...
HATUA 5 ZA KUANZISHA BIASHARA KWA MAFANIKIO MAKUBWA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,8KPřed 3 měsíci
Baada ya kutazama somo hili utakuwa umejifunza mbinu za kuanzisha Biashara kwa Mafanikio Makubwa. . Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea. . KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara. . Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya ...
FAHAMU HAYA KABLA YA KUJIUNGA NA VICOBA TANZANIA ILI USIPOTEZE FEDHA ZAKO.
zhlédnutí 584Před 3 měsíci
FAHAMU HAYA KABLA YA KUJIUNGA NA VICOBA TANZANIA ILI USIPOTEZE FEDHA ZAKO.
TUMIA KANUNI HII YA OPM KUPATA UTAJIRI MKUBWA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 3,6KPřed 3 měsíci
TUMIA KANUNI HII YA OPM KUPATA UTAJIRI MKUBWA | Victor Mwambene.
VITU VIKUBWA VITATU UNAVYOHITAJI ILI KUPATA UTAJIRI KWA HARAKA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 3,5KPřed 3 měsíci
VITU VIKUBWA VITATU UNAVYOHITAJI ILI KUPATA UTAJIRI KWA HARAKA | Victor Mwambene.
MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE | Victor Mwambene.
zhlédnutí 2,5KPřed 4 měsíci
MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE | Victor Mwambene.
SABABU 10 KWANINI UNASHINDWA KUPATA WATEJA WENGI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 2KPřed 4 měsíci
SABABU 10 KWANINI UNASHINDWA KUPATA WATEJA WENGI | Victor Mwambene.
AINA SITA YA MAWAZO/FIKRA ZINAZO LETA UMASIKINI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,9KPřed 4 měsíci
AINA SITA YA MAWAZO/FIKRA ZINAZO LETA UMASIKINI | Victor Mwambene.
HATUA 5 ANAZOPITIA MTEJA KABLA YA KUNUNUA BIDHAA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 657Před 4 měsíci
HATUA 5 ANAZOPITIA MTEJA KABLA YA KUNUNUA BIDHAA | Victor Mwambene.
NJIA MBILI ZA KUTENGENEZA FAIDA KUBWA KWENYE BIASHARA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1KPřed 5 měsíci
NJIA MBILI ZA KUTENGENEZA FAIDA KUBWA KWENYE BIASHARA | Victor Mwambene.
TUMIA UBUNIFU HUU KUVUTIA WATEJA WENGI NA KUPATA FAIDA KUBWA KWENYE BIASHARA YAKO | Victor Mwambene.
zhlédnutí 2,2KPřed 5 měsíci
TUMIA UBUNIFU HUU KUVUTIA WATEJA WENGI NA KUPATA FAIDA KUBWA KWENYE BIASHARA YAKO | Victor Mwambene.
JE UNATAKA KUWA TAJIRI?, BASI TAFUTA MAJIBU YA MASWALI HAYA MANNE - Victor Mwambene.
zhlédnutí 2,1KPřed 5 měsíci
JE UNATAKA KUWA TAJIRI?, BASI TAFUTA MAJIBU YA MASWALI HAYA MANNE - Victor Mwambene.
FANYA MAAMUZI HAYA MATANO ILI UFANIKIWE KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 2,5KPřed 5 měsíci
FANYA MAAMUZI HAYA MATANO ILI UFANIKIWE KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
HII NDIO SIRI YA KUJENGA BIASHARA KUBWA YENYE MAFANIKIO | Victor Mwambene.
zhlédnutí 3KPřed 5 měsíci
HII NDIO SIRI YA KUJENGA BIASHARA KUBWA YENYE MAFANIKIO | Victor Mwambene.
NGUVU YA KUJUA - Uchambuzi wa Kitabu | Victor Mwambene.
zhlédnutí 309Před 6 měsíci
NGUVU YA KUJUA - Uchambuzi wa Kitabu | Victor Mwambene.
UNAHITAJI AINA HIZI NNE ZA UJUZI/MAARIFA ILI UFANIKIWE KWENYE BIASHARA | Victor Mwambene.
zhlédnutí 4,6KPřed 7 měsíci
UNAHITAJI AINA HIZI NNE ZA UJUZI/MAARIFA ILI UFANIKIWE KWENYE BIASHARA | Victor Mwambene.
HII NDIO SABABU KUBWA YA KWANINI BIASHARA NYINGI ZINAFELI | Victor Mwambene.
zhlédnutí 1,1KPřed 8 měsíci
HII NDIO SABABU KUBWA YA KWANINI BIASHARA NYINGI ZINAFELI | Victor Mwambene.

Komentáře

  • @danielamosi6871
    @danielamosi6871 Před dnem

    Masikini mna tabu

  • @barakakamsila499k
    @barakakamsila499k Před 4 dny

    Shukra brooo

  • @IbrahOmary-k2w
    @IbrahOmary-k2w Před 4 dny

    Nice

  • @user-bi3ve6nr1q
    @user-bi3ve6nr1q Před 5 dny

    asante sana kwa elimu nzur umenisaidia sana bro victor

  • @BarakaSese
    @BarakaSese Před 5 dny

    Nice one

  • @danielremigius
    @danielremigius Před 9 dny

    SoMo zuri

  • @MadoloNkome
    @MadoloNkome Před 10 dny

    Nimekuelewa.kaka

  • @GEBAKAPUFI
    @GEBAKAPUFI Před 10 dny

    Nime kuelewa bro Asante Kwa somo zuri

  • @user-it3sk2xz6q
    @user-it3sk2xz6q Před 10 dny

    Kitabutuna pataje

  • @FrankGabriely-up5yo
    @FrankGabriely-up5yo Před 11 dny

    Asante

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 11 dny

    Asante mkuu naomba kujua hii M.pawa au Mgodi je ni sawa au ni vikoba tu

    • @kehetanyantory8688
      @kehetanyantory8688 Před 10 dny

      Mgodi nishawah kuweka elfu50 nilipotaka kutoa ikawa inagoma mpaka kuwapigia wa mtandao walinisumbua kalibia wiki nzima😢

  • @mkalibizz
    @mkalibizz Před 11 dny

    Genious broo

  • @ObadiaPatrick
    @ObadiaPatrick Před 11 dny

    🎉🎉🎉🎉

  • @AnaniaNzelani
    @AnaniaNzelani Před 11 dny

    Nahitaji kitabu cha kanuni za fedha

  • @PiusswaiRaphael-mz5tu

    Fungu la Kumi ni ASILIMIA Kumi na sadaka 10

  • @jayshakichampionkiller5959

    Mbona nyie mnaongeleaga watu wenye maduka tu sisi machinga wakutembea hamna au sio biashara

  • @fazilinyange9108
    @fazilinyange9108 Před 13 dny

    Nakufatilia nikiwa Marekani Unanijenge san kaka mkubwa

  • @AminaSelemani-m1r
    @AminaSelemani-m1r Před 14 dny

    Ahsante sana nimejifunza,barikiwa.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 15 dny

    Inategemea aina ya biashara

  • @SamweliAbasi
    @SamweliAbasi Před 15 dny

    Mimis sijui kipaji chang

  • @jemamponzi7142
    @jemamponzi7142 Před 15 dny

    Nahitaj kitabu cha Nguvu ya kujua

  • @francismwalyambi1363
    @francismwalyambi1363 Před 16 dny

    Mungu AKUBARIKI kwa mafundisho hayo nimependa

  • @aganokomba2423
    @aganokomba2423 Před 16 dny

    Kweli Kweli wako wengi sana huku mtaani 😅😅😅

  • @tecoltanzania7246
    @tecoltanzania7246 Před 17 dny

    Think like a billionaire be a billionaire

  • @mjemachannel7591
    @mjemachannel7591 Před 17 dny

    1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia] 2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba] 3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako] 4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba. 5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata

  • @StevenHelly
    @StevenHelly Před 18 dny

    8:44 8:46

  • @StevenHelly
    @StevenHelly Před 18 dny

    Asante sana kaka nimejifunza

  • @dicksonfranck5938
    @dicksonfranck5938 Před 18 dny

    Unatosha......

  • @dicksonfranck5938
    @dicksonfranck5938 Před 18 dny

    Hakuna kitu kizur kinakosaga kasoro...Hata mitume yenyewe ilitolewa kasoro kwahiyo usikate tamaa kiongozi

  • @francesmwandosya5668
    @francesmwandosya5668 Před 19 dny

    mwandishi wa vitabu nakuona.

  • @94winga
    @94winga Před 20 dny

    Asante sana bro aisee...itabid nipate vitabu vyako tu Mana nikiwa nacho nikawa najisomea Naamin 100% kitakuwa kinanipa molar ya kufikia ndoto zangu Thanks alot bro for your good education 🙏

  • @carlosiankheed9012
    @carlosiankheed9012 Před 20 dny

    LV , Dior na Gucci

  • @farajabinamsimchimba
    @farajabinamsimchimba Před 21 dnem

    Ambwene wewe ni jini

  • @amosshija9458
    @amosshija9458 Před 21 dnem

    Somo zuri, Lugha inayitumika inachangany kuna maneno ya kibgereza sio wote wanaweza kuyaelewa

  • @ericamfuru6257
    @ericamfuru6257 Před 22 dny

    Umenibariki sana victor,Mungu akubariki sana sana, yaani umeniongezea vitu vingi Sana.

  • @MusaLubeni
    @MusaLubeni Před 23 dny

    Nimekuelewa brother💯

  • @user-ku6th8fb4i
    @user-ku6th8fb4i Před 23 dny

    Je huna weza weka malengo kwa project mbili? Mfano: Huna taka huwe mfanya biashara Nauna taka hutimize malengo ya kipaji chako Huna weza hanza nakipi hapo🤔 Naomba jibu tafadhali

  • @AshaKachapuka
    @AshaKachapuka Před 24 dny

    Ahsante kaka kwa somo zuri

  • @SamsonHumbe
    @SamsonHumbe Před 25 dny

    Nakufuatilia sana mwl Victor Mwambene.

  • @Enock-bz1nf
    @Enock-bz1nf Před 25 dny

    🙏🙏

  • @saddysalim9120
    @saddysalim9120 Před 25 dny

    Safi sana! Umeniongezea kitu 🎉

  • @94winga
    @94winga Před 25 dny

    Asante sana brother

  • @user-iv7mn4qd4q
    @user-iv7mn4qd4q Před 26 dny

    Asanteeeee saaaaana kaka nimekuelewa mnooooo

  • @DeboraSiridion
    @DeboraSiridion Před 27 dny

    Kak🎉🎉🎉🎉🎉

  • @khadijamagohe5858
    @khadijamagohe5858 Před 28 dny

    Somo zuri asante kaka, Mungu akutunze

  • @RehemaMjindo
    @RehemaMjindo Před 28 dny

    Asante mwezeshaji

  • @PoliteBoy-em8vw
    @PoliteBoy-em8vw Před 29 dny

    Ivyo vitabu twavipataje npo kenya

  • @DeboraSiridion
    @DeboraSiridion Před měsícem

    Kaka kiukweri kuusu akiba umenigusa make mimi nafanya biashara ninauakika wakupata 15000 kwasiku rakini siwezi kueka era nisaidie kaka😢

  • @DeboraSiridion
    @DeboraSiridion Před měsícem

    Ongera sana kaka umenifungua akiri make mimi ninamuda murefu nafanya biashara rakini sifanikiwi rakini kupiti somo rako nitabadirika

  • @FatherKhan-zq5ur
    @FatherKhan-zq5ur Před měsícem

    Asante kaka umeniongeze kitu kikubwa katika maisha kwanzia leo nitaanza kufatilia mafuzo yako najua kuna kitu kikubwa kitaongezeka kwenye maisha yangu na biashara yangu.