NJIA KUBWA 6 ZA KUPATA MTAJI FEDHA WA KUANZISHA BIASHARA | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 23. 04. 2024
- Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Safi sana kiongoz kwa elim
Apo Sawa
Nataka inifundishe kaka
Xijawah kujutia kujifunza kwako
How to get the books here in Kenya is a challenge. Kindly advise on how I get them thanks sir.
Ubarikiwe kaka victor ,sauti Iko fit ujumbe sahii nahelimika sana nikiwa hapa Kenya .
Lakini naomba kujua jinsi ya kupata vita vyako bro
❤❤❤❤
Mjomba una madini
Vitabu samahani marekebisho