TUMIA KANUNI HII YA OPM KUPATA UTAJIRI MKUBWA | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 19. 03. 2024
- Somo hili litakufundisha kanuni wanayoitumia Mabilionea wengi kujenga Utajiri mkubwa kwa haraka. Jifunze namna ya kutumia fedha za watu wengine ufanikiwe kwa haraka.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Victor mwambene nimekupata vizuri sana. Mno nashukuru tajili
Nimejifunza kitu ndugu asante, kutoka Kenya🇰🇪
Nakuelewa sana mtaalam
👍
Nakufata kutoka Congo
Uko smart saana victor mwambene keep it up 👏👏
Asante ndugu yangu.
Shukran sana kaka 🙏
Shukrani kaka nimekuelewa Allah akubariki.
Aminaaa
Asanite ndugu masomo yako nayafatilia aki ubarikiwe unafunza vizuri
Nakuamini kaka yangu kwamalifa unayotupatia🙏
Tupo Pamoja Ndugu
Nashukuru kupata elimu hii mapema itanisaidia
Nimekupata
Mungu akubariki❤
Think like a billionaire be a billionaire
Haya machimbo hayajulikan kabisaa..
Unatosha......
❤