TOFAUTI KUBWA 6 KATI YA MATAJIRI NA MASIKINI | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 23. 09. 2023
- Baada ya kutazama somo hili utakuwa umejifunza tofauti kubwa sita kati ya watu wanaofanikiwa kifedha na wasiofanikiwa kifedha. Somo hili ni muhimu sana kwa litakusaidia kujenga misingi ya mafanikio kifedha.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Umekuwa msaidizi mkubwa wa maisha yangu kuusu video hii. I Can win
Kumbe nimeamn imani yangu ndo ushindi wangu
Una madini sana MTEULE 🎉
Bro we noma👍
Fact brother pga kazi asee
Amaizing
Asante bro kwakunifungua akili.
Asante Sana kaka Victor,unatufaa sana hasa vijana wa zama hizi
Navipataje hivo vitabu
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Powerful brother
Asante sana kaka angu
Hakika wewe ni mbadilisha fikra chanya za watu na mm nikiwemo kupitia group lako la MBINU ZA USHINDI
Thanks
Hakika unajua! Yote uliyozungumza yako sahihi, Muumba azidi kukuza Kipaji chako cha Kuelimisha Jamii.
Pia tupe mwongozo tunawezaj kupata soft copy
Tunauza Hardcopy tu Mpendwa, Kupata Vitabu 0744126640