SABABU ZA KWANINI WATU WENGI WANASHINDWA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene
Vložit
- čas přidán 3. 11. 2023
- Baada ya kutazama somo hili utajifunza sababu zinazo wakwamisha watu wengi kuwa na utamaduni wa kuweka akiba.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Nimejifunza ✍️✍️. Akiba sio kwa ajili ya kodi wala matumizi ya kawaida ✍️✍️
Yeah My Brother
Uko vizuri mwaisa we get a lesson now
Asnt sana bro, ila changamoto wengine kipato chao kidogo sana hadi mtu anashindwa kuweka akiba
Nakukubali sana mkuu
Asante sana kaka, Endelea Kujifunza
Asante kwa elimu mimi niwa congo drc nipate dje vitabu hivio?
Nimejifunza namna ya kusimamia malengo mpaka yakatimia shukrani sana
🔥🔥🔥
Fresh bro kwa mafunzo manzuri mungu akuwezeshe kwenda mbali
I like it broo
Hongera sana nakuelewa mno
nipo pamoja sana
Nimejifunza pia kuwaza ukubwa wa maono yangu miaka 10 ijayo
Aweza kupata namba zako broo?