1. Jilipe mwenyewe kwanza 2. Matumizi yako yasiongezeke kipato chako kinapoongozeka ili ubakiwe na kiasi cha fedha kwa ajili ya uwekezaji 3. Wekeza pesa zako kwenye aina ya uwekezaji unaoufahamu vizuri
najuwa utakuwa unapokea asante nyingiii xana pengine hadi zamikono kabisaa ila naomba upokee na asante yangu hatakama haina ki2 7bu wewe ni2m watofauti xana na unanifundixha vi2 viiingiii ambavyo nilikuwa navifanya bila kuvifikiliya kuwa nivinaumuhimuganu kwangu na kwenye maixha yangu brooo xnte đđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđ
Joel Mungu kakuleta tz kwa kusudi maalumu so kwa kutufungua ubongo Naamini mwaka Huu nimefanya vizur kupita kwa maoni yako Mungu akupe miaka zaid utufikishe mabli
Kosa kubwa nililo kifanya nimechukua frem ya biashara baada ya kuona chumba nacho fanya kaz ni kidogo lakin nimewekeza hela nyingi kwenye hiyo frem kias kwamba nawaza cjui ntaanzaje kufanya Kaz na hicho chumba na huku nimeingia maden ya kutosha daaa
1. Jilipe mwenyewe kwanza
2. Matumizi yako yasiongezeke kipato chako kinapoongozeka ili ubakiwe na kiasi cha fedha kwa ajili ya uwekezaji
3. Wekeza pesa zako kwenye aina ya uwekezaji unaoufahamu vizuri
najuwa utakuwa unapokea asante nyingiii xana pengine hadi zamikono kabisaa ila naomba upokee na asante yangu hatakama haina ki2 7bu wewe ni2m watofauti xana na unanifundixha vi2 viiingiii ambavyo nilikuwa navifanya bila kuvifikiliya kuwa nivinaumuhimuganu kwangu na kwenye maixha yangu brooo xnte đđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđđ
Noted brother Joel, Mungu azidi kukupa uhai kwa maono ya jao makubwa zaidi katika kufundisha na kutoa ushauri.
Kaka Joel Asante Sana kwa masomo yako naomba uchambue biashara za kuchangia
Huyu br, Mungu kamleta kwa kusudi maalumu Tanzania , proud of you br
Ameen Patience,đ
@@joelnanauka somo zuri broo
Uko sahihi sana
@@joelnanauka naitaji jifunza kuituza pesa
Nimetulia hap napata darasa zuri la maisha đ„đ„đ„
Thank u my brother.... We love u â€â€
Asante kwa somo zuri.
My best motivational speaker big up br
Joel Mungu kakuleta tz kwa kusudi maalumu so kwa kutufungua ubongo Naamini mwaka Huu nimefanya vizur kupita kwa maoni yako Mungu akupe miaka zaid utufikishe mabli
At least nimejinza kitu leo. God bless you
SIJAMALIZA KUSIKILIZA ILA NIMEJIFUNZA KWA 100% naendelea kukusikiliza na kukufatilia ....BE BLESSED
Ameen nashukuru sana
Safi sanaaaaaa nimependa
Naam my Burothar Umenifundisha mengi sana Nakushukuru sana Na Mungu Akubaliki Uzidi Kusitawi katika Kipaji chako
Pamoja sana
I'm proud of you my dear brother
nice work bro, I appreciate your work
Asante kwa somo nzuri sana broo
Umenena kweli kaka tuko pamoja naamini nitabadilisha matumizi yangu ya kifedha #SeeYouAtTheTop
Shukran sana mwalimu
Ohoo ndio maan.đđđ Asante Kwa somo
Umenisaidia sana kwenye matumizi ya pesa Asante sana
MUNGU akubariki sana naendelea kujifunzađ
Nice teacher nakufatilia Sana Mr Joel Nanauka m/mungu akubaliki kila siku
Ahsante sana kaka kwa kujitoa kuelimisha watu mungu Akubariki sana đ€
Nashukuru sana kwa kufuatilia
Thank you my brother I collect you from Zambian
Mungu akupe maisha marefu ili uendelee kutuelimisha
Shukran sana
Kwakwel nimebarikiwa Sana na hili somo be blessed my brother
Ahsante kaka nimejifunza leo kupitia weweđ
Ubarikiwe Sana my teacher mengi na njifunza kwenye vipindi vyako .
Nashukulu Sana kaka angu kweli hujawahi kuongea ki2 kinyume ubarikiwe
See me at the top! Niko na ww class to class
Ubarikiw sana kaka Joel nimejifunza San somo hili kwaumakin
Nanauka Is the best speaker
Hii KANUNI ya 3 imenipotezea fedha thanks brother
Thank you bro Mungu akutunze
Mungu awe nawe
asante mwalimu somo zuri sana
Hakika nabarikiwa mno kaka Joel Mungu akutunze
Asante sana bro
Mungu akulinde sana
Asante kaka....
Asante bro
Shukran
Shukran kaka
Kweli kabisa broo thanks
Michezo ya bahati nasibu ni wizi.
Ahsante sana kwa mafunzo.
See you at the topđ„
Thanks bro.
đđ my favorite motivation speaker Nanauka
Pamoja sana Irene
Asante kaka joel kwa madin mapya kichwan mwangu Mungu akutunze
Asante sana tena sana
Aisee kaka kwel iyo kanuni ya mwisho imeniasili nimewekeza sehem nisiyoifahamu Dah nimefunguka Asante
Sawa sawa
Asante sana lecture
Asante Sana Kaka kwa mafundisho mazuri ..naanza Leo kuziishi izo kanuni za pesa
Hongera sana Ney,kila la kheri.Usisahau kushare
@@joelnanauka sawa nitashare
Thank you bro
Mafunzo yak naelewag xan god be with you
Kaka upo vizuri Sana naendelea kujifunza
Much thanks
Thanks bro
Mkuu huu pesa zina kuja na maelezo yake na matumizi yake
Asante
Asante sana
Bro leo nimejifunza kitu kikubwa sana nakuaidi nabadilika sasa
Great brother
Shukrani sana kaka Joel N Kuna kitu kikubwa nimejifunza juu ya kanuni hizi tatu.
Naamini umeanza kuzifanyia kazi
Ujumbe mzuri sna
I really appreciate your works
Facts! 100% 100%
Good
Somo ni nzuri sana
Nakupata moja kwa moja kutoka mwanz tz
Ni kweli kabisa
Wafungue watanzania
Umeni fumbua kaka nimengi sana nirikua sifaamu
Vitabu vyako vinauzwaje.
Ahsante kaka Joel
Kweli ubarikiwe
Kwel kaka
Nimejiajili huu mwaka wa 3 lakin sijawai jilipa
Hiyo kanuni ya kwanza nilikuwa cjaitambua nashukuru sana umenifumbu
Safi sanaaa
kazi zako nzuri sana kaka,ubarikiwe sana
Haijalishi unaingiza pesa nyingi kiasi gani kumbe kinachomata ni unasave kiasi gan ok ahsant sna #SeeYouAtTheTopToo
Ni kweli kabisa
Sauti ipo chini sana
Motivators' Joel Nanauka , George s.Clason , Napoleon Hill & Robert Kiyosaki
đđ
Nmejifunza kitu aiseeee đ me nimiungoni nisieweza kutunza pesa ubarikiwe Broo
Ameen
Ahsante sana
Duh mm nilikia nakiuka knuni ya kwanza
spending my income even after saving when facing small challenge this end up with no money at all. From today i need to change
Asante kwa ushauri
All the besg
Hi ni kweli kabisa nimekubali
đđ
Ahsanteeeeeh kaka
Inspiration icon! Keep teaching us sir!
Pamoja sanaa
Dah yani dah i elim ni yakuilipia i kaka naomba namba zako nikutumie japo elf 10 i elm sio ya bure kabisa
Kosa kubwa nililo kifanya nimechukua frem ya biashara baada ya kuona chumba nacho fanya kaz ni kidogo lakin nimewekeza hela nyingi kwenye hiyo frem kias kwamba nawaza cjui ntaanzaje kufanya Kaz na hicho chumba na huku nimeingia maden ya kutosha daaa
Nimebarikiwa sana na video na ebook zako, hakika Mungu amekuchagua ulete mabadiliko kwa watu wake,
Nakukubali sana bro đ„
santeee
Duh!
Ahsante kaka nanauka kwa somo nzuri
Nashukuru tuko pamoja sana
Najivunia mafunzo yako mkuu
Je Kama hakitoshi