KANUNI 10 ZA KUTENGENEZA FEDHA - Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 19. 03. 2023
- Baada ya kutazama somo hili utajifunza kanuni 10 za fedha zitakazo kusaidia katika kutengeneza, kutunza na kuwekeza fedha kwa usahihi.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Kweli kabsa
Nimekuelewa.kaka
Shukran kaka ubarikiwe
Kweli kaka nimekuelewa
Aaa kocha asante kwa some zuri ni.ekuelewa sana kwenye kanuni ya 10.
Nimefurahi hii kuwa chuo kikuu hufundisha corporate finance na wewe unafundisha personal finance. Nahavache sana.
Umenibadilisha
Asante
Thanks
Kinapatikana wapi hicho kitabu nipo mwanza
Poa
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
Brother hakuna kama wewe yani unajua hadi basi nipo tayali kupata kitabu hicho cha kanuni 20
Cocha hiyo kitabu Kiko kwenye mfumo wa soft copy
Hapana ni Hard copy Mpendwa
Aaaaah sawa boss
kaka kitabu nitakipataje