HATUA 4 ZA KUONGEZA KIPATO - Victor Mwambene.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 01. 2023
  • Kupitia somo hili utajifunza Jinsi ya kuongeza kipato chako bila kujali umeajiriwa au umejiajiri, Pia utajifunza aina kubwa tatu za kipato.
    .
    Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
    .
    KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
    .
    Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640. Nitumie Majina yako Whatsapp Kupitia namba hiyo ili tukuunge kwenye Kundi letu la Whatsapp uzidi Kujifunza kutoka kwangu.
    KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
    1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
    2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
    3. NGUVU YA KUJUA.

Komentáře • 7

  • @MwanaOmar-gu2tk
    @MwanaOmar-gu2tk Před 10 měsíci

    Barikiwa sana

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz Před 9 měsíci

    Mwamba nakukubali sana

  • @MIBWA
    @MIBWA Před 9 měsíci

    Safi broza

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 Před rokem

    Nimejifunza kitu

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem

    Wewe na Joel nanauka nimewafatia na kunua vitabu vyenu nashukuru nimepata maarifa na na video zenu

  • @allybwinyo
    @allybwinyo Před rokem

    nitapataje kitabu chako cha kanuni ishirini

    • @asajilesanga_3481
      @asajilesanga_3481 Před rokem

      +255 744 126 640 naomba umtafute kwenye namba hii, victor mwambene