Nimejifunza kitu nashukuru Kaka Joel natakiwa kuweka akiba Ila hapo kwny utulivu wa akili imenigusa mpaka nimecheka ukiwa huna akiba....unahisi kufakufa tuu Kama dunia inakuangukia kweli Kaka yang
Hiyo ya tatu nimeielewa sana na nikweli kwa sababu na mm ni miongoni mwa watu ambao akiba imenifungulia amani na kifanya fulsa zenye kuhitaji pesa nyingi kwa kutumia akiba .thanks sana broh mungu akuzidishie uzima utupe elim coz unatumia elim yako vizuri kuelimisha watu
sababu zote ulizozitaja hapo ni muhimu sana kaka joel...kila sababu moja inabeba nyingine na mwisho wa siku zote zinakuwa za muhimu..baraka ziwe juu yako na juu yetu pia kama tutazingatia ulichotoa katika somo
Kaka uko vizuri Sana aiseee nataman siku moja nifike hapo ulipo nikuletee zawad yako unastahili kupokea zawad yangu maana umeyabadilisha maisha yangu kwa asilimia 1000%
Wakenya tuisukume hii video kwa status ili wenzetu nao waelimike,,kwa kweli kaka anatuelimisha tumuombeeni kwa pamoja mungu ampe afya na moyo zaidi apate kutuelimisha kwa pamoja.Mimi mkenya lakini niko Oman natizama kila video yako unavoiweka,,kwa kweli kwanzia nianze kutizama video zako nimefika mbali sana.Mungu akueke kaka akupe na afya tuseme amiinđ€Č
đđđ najifunza pia nafurahi Joel ukikosa akiba unahis kama mwisho wa dunia unakuja..that made my day đ. Umenifunza mengi Asante Mungu kwa uzima wako đđœ
Joel umeniamsha akili yangu sana ni ponface maruti kutoka Kenya nitakutempelea Sikh moja Tanzania mungu akupariki sana uziti kusaitia wengi na kipawa chenye mungu alikupa asandi
Akiba kwa ajili ya utulivu ni namba moja kwani unakuwa na uhakika wa kukabiliana na dharura inayohitaji pesa kwa kiasi fulani. Lakini kuweka akiba tu wakati dharura ikitokea unaweza kuitumia yote nayo inakuwa bado si vyema sana. Sasa kama una akiba na fursa imetokea na ukaitumia vizuri inaweza badilisha maisha yako. Somo nzuri sana mkuu,,,,đ
somo zurii sana kwahakia ..ijapokuwa nimechelewa kuanza kukufatilia kupitia video zako.. lakin ninashukuru maeke naanza kubadili mwenendo wa maisha yangu
Masha Allah!!!Broo uko vizuri kwa kuelimisha jamii.Mungu akujaalie moyo huo huo wa kujitolea kutuelimishađ„đ„. đ°đȘđ°đȘđ°đȘMombasa.Mimi wa kwanza umenielimisha...
Somo zuri Sana, akiba inatupa utulivu wa akili, Akili ikiwa imetulia unaweza fanya mengi sana
ni kweli kabisaaa
Nimejifunza kitu nashukuru Kaka Joel natakiwa kuweka akiba Ila hapo kwny utulivu wa akili imenigusa mpaka nimecheka ukiwa huna akiba....unahisi kufakufa tuu Kama dunia inakuangukia kweli Kaka yang
Hiyo ya tatu nimeielewa sana na nikweli kwa sababu na mm ni miongoni mwa watu ambao akiba imenifungulia amani na kifanya fulsa zenye kuhitaji pesa nyingi kwa kutumia akiba .thanks sana broh mungu akuzidishie uzima utupe elim coz unatumia elim yako vizuri kuelimisha watu
Imei gundua kitu
Muhimu sana Mungu akuba rik
Jambo muhimu Sana jinsi ya kuweka akiba hongera unasaidia watu
Shukran sana hapo kwa fursa na nidhamu nikweli kabisa.
Ahsante kwa kufuatilia
nakubalisan kaka tuelimshe tu mungu atakujaliya milele ilavtabutuelekezenamna yakuvipata
Nimesaidika sana na masomo mazur, ahsante sana
sababu zote ulizozitaja hapo ni muhimu sana kaka joel...kila sababu moja inabeba nyingine na mwisho wa siku zote zinakuwa za muhimu..baraka ziwe juu yako na juu yetu pia kama tutazingatia ulichotoa katika somo
Asante Sana mwalimu ,, video hii naamini itabadilisha maisha yangu ,,,
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia kila
Wakati đđŒ
Kaka uko vizuri Yani hapo kwenye akiba nimejikuta namiliki Mali nyingi Sana kupitia akiba ..asante sana
Kaka tunashukuru Sana kuelimisha Watanzania.
Kaka uko vizuri Sana aiseee nataman siku moja nifike hapo ulipo nikuletee zawad yako unastahili kupokea zawad yangu maana umeyabadilisha maisha yangu kwa asilimia 1000%
Karibu,nakusubiri
Utulivu ktk kupangilia biashara zaidi pale ntakapoweka Akiba nikweli kabisa
Yani unanipoza sana kaka hasa nikiwa nakosea
Kk akiba ni mtaji kwanza kabisa
Kuna fursa nyingi zimenipita kwa kutokuwa na akiba.
Nataka hicho kitabu cha kuweka akiba kwa kiswahili
Nakuelewa sanaa kaka
Wakenya tuisukume hii video kwa status ili wenzetu nao waelimike,,kwa kweli kaka anatuelimisha tumuombeeni kwa pamoja mungu ampe afya na moyo zaidi apate kutuelimisha kwa pamoja.Mimi mkenya lakini niko Oman natizama kila video yako unavoiweka,,kwa kweli kwanzia nianze kutizama video zako nimefika mbali sana.Mungu akueke kaka akupe na afya tuseme amiinđ€Č
Nakushukuru sana kwa kuendelea kufuatilia na kujifunza. Tuendelee kushare na wengine piađđŒ
Ahsantee sanaaa đ
Kaka umetisha yote tu yako pw
Asante Kwa SoMo lako Kila siku napata ujuzi mpya kupitia wewe
Nimekuelewa sana una masomo mazuri sana mungu akubaliki ila naomba kujua vitabu vyako vinapatikana wapi
Ameen, karibu sana kupata vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71
Ipo sawa kabisa
đđđ najifunza pia nafurahi Joel ukikosa akiba unahis kama mwisho wa dunia unakuja..that made my day đ. Umenifunza mengi Asante Mungu kwa uzima wako đđœ
Ni kweli kabisa
Joel umeniamsha akili yangu sana ni ponface maruti kutoka Kenya nitakutempelea Sikh moja Tanzania mungu akupariki sana uziti kusaitia wengi na kipawa chenye mungu alikupa asandi
Hakika nimeelewa kitu broo
Ni kweli kabisa
Mr Joel
Unatutengeneza kwa mambo mengi sana
God bless you!!!
Asante sana Sir Joel nanauka
Nimependa zaidi ktk kusaidia kutumia fursa zinazojitokeza bila kuzitarajia na kukuongezea kipato!Barikiwa sana braza
Kweli akiba inaleta utulivu wa akili
Asante kaka joel kwa kujitoa kwako kutuelimisha Mungu akubariki sana
Kaka nashukuru sana
Asante kaka, kwa elimu nzuri, nitaanza kuweka akiba.
Sure...akiba haiozi,weka akiba kwa malengođ
Peace of mind kazi kubwa ya akiba aisee
Hakika yote ulio ongea ni kweli na yana faida, MUNGU akubariki sana
Asee bro ubarikiw kutokan na masomo yako unatufanya tutimize malengo
Nilifanikiwa kutatua jambo muhimu sana kwa kujiwekea akiba,nimekuelewa vizuri sana shukrani.
Wow hongera sana DevothađđŒ
@@joelnanauka nashukuru kwa mafundisho Yako ubarikiwe.
Kweli ndugu Joel, Mungu amekubariki. Kuhusu akiba umenipa muelekeo mzuri sana. Hasa kwenye swala la utulivu wa akili.
Ni kweli kaka Joel
Ahsante kaka hapo kwenye kuweka akiba kabla ya matumiz
SoMo zuri sana hta mini kuna wakati fursa zinajitokez najijuta sin akiba na wenye akiba wanazchkua
Akiba kwa ajili ya utulivu ni namba moja kwani unakuwa na uhakika wa kukabiliana na dharura inayohitaji pesa kwa kiasi fulani. Lakini kuweka akiba tu wakati dharura ikitokea unaweza kuitumia yote nayo inakuwa bado si vyema sana.
Sasa kama una akiba na fursa imetokea na ukaitumia vizuri inaweza badilisha maisha yako.
Somo nzuri sana mkuu,,,,đ
Thanks bro
nakuelewa vizuri mentor wangu
Asante kwa somo zuri bro
Ahsante Sana ubalikiwe Joel nan
Nimependa mafunzo yako mr
Nimekupata vizuri .ubarikiwe kwa kutuelimisha
Ubarikiwe sana mtumishi.
Kweli umeongea hapa vizur asante
Shikamoooo... Nimekusoma vizuuuriii
br am proud of you...
Uko vizuri kwa kutuelimisha aise
somo zurii sana kwahakia ..ijapokuwa nimechelewa kuanza kukufatilia kupitia video zako.. lakin ninashukuru maeke naanza kubadili mwenendo wa maisha yangu
Nimekuelewa sana bro ubarikiwe
Kaka naanza kuweka akiba
Hapo kwenye akiba ikitokea fursa unaitumia hapo nami ndipo nilipotobolea
Big up my Kaka upo makini Sana Ahsante Sana kwa ujumbe mzuri
Pamoja sanađđŒ
Okay! Good idea
Umenena Vema MAANA hatamimi Upandehuo Wa Akiba unanisumbuwa. Vitabu hivyo Vinauzwa beigani
Ubarikiwe sana kaka Joel. Hivyo vitabu napataje hard copy na ni kiasi gani kwakila kitabu. Me Niko Manyara.
Shukurani Kaka mungu akulipe
Somo zuri Sana.....
Mungu akubariki sana
Asante bro true
Sante kaka kwa mafunzo mazuri
Vitabu vyako kaka napataje
Asante kaka nakufatilia sana
Nashukuru kaka
Zeto lakini zaidi
(Ni utulivu wa akili)
Nakubali
Ubarikiwe
Upo vizuri mkuu
Mafunzo mazuri mimi kila siku nafuatilia mada zako miaka miwili mfululizo sasa, nimejifunza mengi. Pia nimeongeza kujiamini
Hongera sana Happy, nashukuru kwa kuendelea kunifuatiliađđŒ
Ni ukweli ukiwa na nidhamu ya fedha,utaweza kuwa na nidhamu maeneo mengine kwa hakika imenigusa
Ahsante
That is true brother
Nakushuru sana ,umenifungua akil ,navipataje hivyo vitabu
Karibu sana 0762 31 21 71 utavipata
kaka nikweli kabisa akili inatulia kabisaukiwa na akiba
Ahsante nimeaza kuweka Akiba
Toka nikiwa Skuli
Wakatihuo kulikuwa na Bank ya Posta unapeleka kitu cha posta
Pastor Joel nakutafuta
Mimi vyotee vimenigusa,na nataman na kusoma hivyo vitabu vinavyohusu feha
Sawaaa
Ni kweli
Nakubali kaka
Asante sana ndugu yangu Joel,nabarikiwa na elimu Yako,..ila nauliza can I download your series
Kwa nini hivi vitabu vyako havipatikani huku kwetu Mombasa jamhuri ya Keny?
Mm ni shuhuda WA I'lo skuwa naweka akiba awal ila now naweka naimenisaidia
Thanksteacher
è°ąè°ą æš
Kaka ili somo kila asubuhi kabla sijafanya chochote na sikiliza kwanza ubarikiwe saana ili somo la dhahabu
Masha Allah!!!Broo uko vizuri kwa kuelimisha jamii.Mungu akujaalie moyo huo huo wa kujitolea kutuelimishađ„đ„. đ°đȘđ°đȘđ°đȘMombasa.Mimi wa kwanza umenielimisha...
Ameen, ahsante sana sanađđŒ
fursa zinazo jitokeza apo imenigusa sana
Umeshawahi kukutana na hiyo hali
Ni nouma.
đđđ
đđđđ
đ
nataka kununua kitabu chako..
đȘđȘđȘđȘđȘ