Umuhimu Kuweka Akiba - Joel Nanauka

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 7. 10. 2021
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 134

  • @theatlastz67
    @theatlastz67 Pƙed 2 lety +13

    Somo zuri Sana, akiba inatupa utulivu wa akili, Akili ikiwa imetulia unaweza fanya mengi sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety

      ni kweli kabisaaa

    • @joycejames4603
      @joycejames4603 Pƙed 2 lety

      Nimejifunza kitu nashukuru Kaka Joel natakiwa kuweka akiba Ila hapo kwny utulivu wa akili imenigusa mpaka nimecheka ukiwa huna akiba....unahisi kufakufa tuu Kama dunia inakuangukia kweli Kaka yang

  • @RamaKalokaza-pp3ef
    @RamaKalokaza-pp3ef Pƙed 10 měsĂ­ci +1

    Hiyo ya tatu nimeielewa sana na nikweli kwa sababu na mm ni miongoni mwa watu ambao akiba imenifungulia amani na kifanya fulsa zenye kuhitaji pesa nyingi kwa kutumia akiba .thanks sana broh mungu akuzidishie uzima utupe elim coz unatumia elim yako vizuri kuelimisha watu

  • @JanethLyari
    @JanethLyari Pƙed měsĂ­cem

    Imei gundua kitu
    Muhimu sana Mungu akuba rik

  • @sixbertmchucha9223
    @sixbertmchucha9223 Pƙed 6 měsĂ­ci

    Jambo muhimu Sana jinsi ya kuweka akiba hongera unasaidia watu

  • @mwidadiabdalla3564
    @mwidadiabdalla3564 Pƙed 2 lety +6

    Shukran sana hapo kwa fursa na nidhamu nikweli kabisa.

  • @wilejohn7239
    @wilejohn7239 Pƙed rokem

    nakubalisan kaka tuelimshe tu mungu atakujaliya milele ilavtabutuelekezenamna yakuvipata

  • @kalyweedy5106
    @kalyweedy5106 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Nimesaidika sana na masomo mazur, ahsante sana

  • @eliamakere3089
    @eliamakere3089 Pƙed 2 lety +2

    sababu zote ulizozitaja hapo ni muhimu sana kaka joel...kila sababu moja inabeba nyingine na mwisho wa siku zote zinakuwa za muhimu..baraka ziwe juu yako na juu yetu pia kama tutazingatia ulichotoa katika somo

  • @neysmiller1307
    @neysmiller1307 Pƙed 2 lety +5

    Asante Sana mwalimu ,, video hii naamini itabadilisha maisha yangu ,,,

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety

      Ahsante kwa kuendelea kufuatilia kila
      Wakati đŸ™đŸŒ

  • @GeorgeWilinas-op1xm
    @GeorgeWilinas-op1xm Pƙed rokem

    Kaka uko vizuri Yani hapo kwenye akiba nimejikuta namiliki Mali nyingi Sana kupitia akiba ..asante sana

  • @kainibachungege3430
    @kainibachungege3430 Pƙed rokem

    Kaka tunashukuru Sana kuelimisha Watanzania.

  • @kiotastar1791
    @kiotastar1791 Pƙed 2 lety +3

    Kaka uko vizuri Sana aiseee nataman siku moja nifike hapo ulipo nikuletee zawad yako unastahili kupokea zawad yangu maana umeyabadilisha maisha yangu kwa asilimia 1000%

  • @nurungole3961
    @nurungole3961 Pƙed 2 lety +1

    Utulivu ktk kupangilia biashara zaidi pale ntakapoweka Akiba nikweli kabisa

  • @Bahatigabriel50
    @Bahatigabriel50 Pƙed 2 lety +1

    Yani unanipoza sana kaka hasa nikiwa nakosea

  • @paschalmanyama44
    @paschalmanyama44 Pƙed 2 lety

    Kk akiba ni mtaji kwanza kabisa

  • @mwanzolazaro5138
    @mwanzolazaro5138 Pƙed rokem

    Kuna fursa nyingi zimenipita kwa kutokuwa na akiba.

  • @user-gx2hn1js7x
    @user-gx2hn1js7x Pƙed 2 měsĂ­ci

    Nataka hicho kitabu cha kuweka akiba kwa kiswahili

  • @samirijumajuma5724
    @samirijumajuma5724 Pƙed 7 dny

    Nakuelewa sanaa kaka

  • @firdosoman3133
    @firdosoman3133 Pƙed 2 lety +4

    Wakenya tuisukume hii video kwa status ili wenzetu nao waelimike,,kwa kweli kaka anatuelimisha tumuombeeni kwa pamoja mungu ampe afya na moyo zaidi apate kutuelimisha kwa pamoja.Mimi mkenya lakini niko Oman natizama kila video yako unavoiweka,,kwa kweli kwanzia nianze kutizama video zako nimefika mbali sana.Mungu akueke kaka akupe na afya tuseme amiinđŸ€Č

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety +1

      Nakushukuru sana kwa kuendelea kufuatilia na kujifunza. Tuendelee kushare na wengine piađŸ™đŸŒ

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Pƙed rokem

    Ahsantee sanaaa 🙏

  • @hamisifakihii9468
    @hamisifakihii9468 Pƙed 2 lety

    Kaka umetisha yote tu yako pw

  • @virgosixthemoon9652
    @virgosixthemoon9652 Pƙed rokem

    Asante Kwa SoMo lako Kila siku napata ujuzi mpya kupitia wewe

  • @edigamabere5212
    @edigamabere5212 Pƙed 2 lety +2

    Nimekuelewa sana una masomo mazuri sana mungu akubaliki ila naomba kujua vitabu vyako vinapatikana wapi

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety

      Ameen, karibu sana kupata vitabu tuwasiliane 0762 31 21 71

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed rokem

    Ipo sawa kabisa

  • @sarapaul8382
    @sarapaul8382 Pƙed 2 lety +3

    😂😂😂 najifunza pia nafurahi Joel ukikosa akiba unahis kama mwisho wa dunia unakuja..that made my day 😂. Umenifunza mengi Asante Mungu kwa uzima wako đŸ™đŸœ

    • @pauljosephtarimo2279
      @pauljosephtarimo2279 Pƙed 2 lety

      Ni kweli kabisa

    • @bonifacewanyonyi3555
      @bonifacewanyonyi3555 Pƙed 2 lety

      Joel umeniamsha akili yangu sana ni ponface maruti kutoka Kenya nitakutempelea Sikh moja Tanzania mungu akupariki sana uziti kusaitia wengi na kipawa chenye mungu alikupa asandi

  • @sionloserian7010
    @sionloserian7010 Pƙed rokem

    Hakika nimeelewa kitu broo

  • @rajaburajabu12509
    @rajaburajabu12509 Pƙed rokem

    Ni kweli kabisa
    Mr Joel
    Unatutengeneza kwa mambo mengi sana
    God bless you!!!

  • @ndobeheshija4176
    @ndobeheshija4176 Pƙed 2 lety

    Asante sana Sir Joel nanauka

  • @elizabethleonard2429
    @elizabethleonard2429 Pƙed 2 lety +1

    Nimependa zaidi ktk kusaidia kutumia fursa zinazojitokeza bila kuzitarajia na kukuongezea kipato!Barikiwa sana braza

  • @saviourkasekwa2042
    @saviourkasekwa2042 Pƙed 2 lety +3

    Kweli akiba inaleta utulivu wa akili

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 Pƙed 2 lety

    Asante kaka joel kwa kujitoa kwako kutuelimisha Mungu akubariki sana

  • @IbrahimMwakapinga
    @IbrahimMwakapinga Pƙed rokem

    Kaka nashukuru sana

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Pƙed 2 lety

    Asante kaka, kwa elimu nzuri, nitaanza kuweka akiba.

  • @aggu08
    @aggu08 Pƙed 2 lety

    Sure...akiba haiozi,weka akiba kwa malengo👍

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 Pƙed 2 lety +1

    Peace of mind kazi kubwa ya akiba aisee

  • @martinbanda6382
    @martinbanda6382 Pƙed 2 lety

    Hakika yote ulio ongea ni kweli na yana faida, MUNGU akubariki sana

  • @mketoofficial1740
    @mketoofficial1740 Pƙed rokem

    Asee bro ubarikiw kutokan na masomo yako unatufanya tutimize malengo

  • @devothasimbi6495
    @devothasimbi6495 Pƙed 2 lety +2

    Nilifanikiwa kutatua jambo muhimu sana kwa kujiwekea akiba,nimekuelewa vizuri sana shukrani.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety

      Wow hongera sana DevothađŸ™đŸŒ

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 Pƙed 2 lety

      @@joelnanauka nashukuru kwa mafundisho Yako ubarikiwe.

  • @LJSMATHLAW
    @LJSMATHLAW Pƙed 2 lety

    Kweli ndugu Joel, Mungu amekubariki. Kuhusu akiba umenipa muelekeo mzuri sana. Hasa kwenye swala la utulivu wa akili.

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 Pƙed 2 lety

    Ni kweli kaka Joel

  • @groupone8412
    @groupone8412 Pƙed rokem

    Ahsante kaka hapo kwenye kuweka akiba kabla ya matumiz

  • @frankshayo262
    @frankshayo262 Pƙed 2 lety

    SoMo zuri sana hta mini kuna wakati fursa zinajitokez najijuta sin akiba na wenye akiba wanazchkua

  • @augustinomarkmmbaga3170
    @augustinomarkmmbaga3170 Pƙed 2 lety

    Akiba kwa ajili ya utulivu ni namba moja kwani unakuwa na uhakika wa kukabiliana na dharura inayohitaji pesa kwa kiasi fulani. Lakini kuweka akiba tu wakati dharura ikitokea unaweza kuitumia yote nayo inakuwa bado si vyema sana.
    Sasa kama una akiba na fursa imetokea na ukaitumia vizuri inaweza badilisha maisha yako.
    Somo nzuri sana mkuu,,,,👍

  • @ibrahimmwilapwa7632
    @ibrahimmwilapwa7632 Pƙed 2 lety +4

    Thanks bro

  • @robertgordon2745
    @robertgordon2745 Pƙed 2 lety

    nakuelewa vizuri mentor wangu

  • @giovanniotto4672
    @giovanniotto4672 Pƙed 2 lety

    Asante kwa somo zuri bro

  • @paulfrenck7269
    @paulfrenck7269 Pƙed 2 lety

    Ahsante Sana ubalikiwe Joel nan

  • @user-qj3rx5jk2o
    @user-qj3rx5jk2o Pƙed 2 měsĂ­ci

    Nimependa mafunzo yako mr

  • @hosianasaitoti3823
    @hosianasaitoti3823 Pƙed 2 lety

    Nimekupata vizuri .ubarikiwe kwa kutuelimisha

  • @ismaildonald3052
    @ismaildonald3052 Pƙed 2 lety

    Ubarikiwe sana mtumishi.

  • @mariammohamed8829
    @mariammohamed8829 Pƙed 2 lety

    Kweli umeongea hapa vizur asante

  • @mcnyoka6420
    @mcnyoka6420 Pƙed 2 lety

    Shikamoooo... Nimekusoma vizuuuriii

  • @rojahussein9530
    @rojahussein9530 Pƙed 2 lety

    br am proud of you...

  • @pierrnyerere1158
    @pierrnyerere1158 Pƙed 2 lety

    Uko vizuri kwa kutuelimisha aise

  • @bilshanjames6482
    @bilshanjames6482 Pƙed 2 lety

    somo zurii sana kwahakia ..ijapokuwa nimechelewa kuanza kukufatilia kupitia video zako.. lakin ninashukuru maeke naanza kubadili mwenendo wa maisha yangu

  • @salmarugusha9319
    @salmarugusha9319 Pƙed 2 lety

    Nimekuelewa sana bro ubarikiwe

  • @rubbenmacha7254
    @rubbenmacha7254 Pƙed rokem

    Kaka naanza kuweka akiba

  • @mussaulaya3926
    @mussaulaya3926 Pƙed rokem

    Hapo kwenye akiba ikitokea fursa unaitumia hapo nami ndipo nilipotobolea

  • @TheLegend-vj5zt
    @TheLegend-vj5zt Pƙed 2 lety +2

    Big up my Kaka upo makini Sana Ahsante Sana kwa ujumbe mzuri

  • @josephjohn4283
    @josephjohn4283 Pƙed 2 lety

    Okay! Good idea

  • @nahimanaadamo4364
    @nahimanaadamo4364 Pƙed 2 lety

    Umenena Vema MAANA hatamimi Upandehuo Wa Akiba unanisumbuwa. Vitabu hivyo Vinauzwa beigani

  • @dhinatsimbano8854
    @dhinatsimbano8854 Pƙed 2 lety

    Ubarikiwe sana kaka Joel. Hivyo vitabu napataje hard copy na ni kiasi gani kwakila kitabu. Me Niko Manyara.

  • @hajiissani8201
    @hajiissani8201 Pƙed rokem

    Shukurani Kaka mungu akulipe

  • @lovegpanta2894
    @lovegpanta2894 Pƙed 2 lety

    Somo zuri Sana.....

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 Pƙed 2 lety

    Mungu akubariki sana

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Pƙed rokem

    Asante bro true

  • @khamisasaid25
    @khamisasaid25 Pƙed 2 lety

    Sante kaka kwa mafunzo mazuri

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Vitabu vyako kaka napataje

  • @ashirafumustafa9419
    @ashirafumustafa9419 Pƙed 2 lety

    Asante kaka nakufatilia sana

  • @ashirafumustafa9419
    @ashirafumustafa9419 Pƙed 2 lety

    Nashukuru kaka

  • @eliagabriel5284
    @eliagabriel5284 Pƙed 2 lety

    Zeto lakini zaidi
    (Ni utulivu wa akili)

  • @stephanoleonce5530
    @stephanoleonce5530 Pƙed 2 lety +1

    Nakubali

  • @lydiaedwin6911
    @lydiaedwin6911 Pƙed 2 lety

    Ubarikiwe

  • @hamzamkugilo5373
    @hamzamkugilo5373 Pƙed 2 lety

    Upo vizuri mkuu

  • @happymollel4635
    @happymollel4635 Pƙed 2 lety +1

    Mafunzo mazuri mimi kila siku nafuatilia mada zako miaka miwili mfululizo sasa, nimejifunza mengi. Pia nimeongeza kujiamini

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety +1

      Hongera sana Happy, nashukuru kwa kuendelea kunifuatiliađŸ™đŸŒ

  • @AraAra-fs7tg
    @AraAra-fs7tg Pƙed 9 měsĂ­ci +1

    Ni ukweli ukiwa na nidhamu ya fedha,utaweza kuwa na nidhamu maeneo mengine kwa hakika imenigusa

  • @bensonjohn5400
    @bensonjohn5400 Pƙed 2 lety

    Ahsante

  • @owlbig
    @owlbig Pƙed 2 lety

    That is true brother

  • @farajahkibona9022
    @farajahkibona9022 Pƙed 2 lety

    Nakushuru sana ,umenifungua akil ,navipataje hivyo vitabu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety +1

      Karibu sana 0762 31 21 71 utavipata

  • @upperclass68
    @upperclass68 Pƙed měsĂ­cem

    kaka nikweli kabisa akili inatulia kabisaukiwa na akiba

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed 2 lety

    Ahsante nimeaza kuweka Akiba
    Toka nikiwa Skuli
    Wakatihuo kulikuwa na Bank ya Posta unapeleka kitu cha posta

  • @consiliazakaria3219
    @consiliazakaria3219 Pƙed 2 lety

    Pastor Joel nakutafuta

  • @samwelnyambuya1920
    @samwelnyambuya1920 Pƙed 5 měsĂ­ci

    Mimi vyotee vimenigusa,na nataman na kusoma hivyo vitabu vinavyohusu feha

  • @augustinomwamasinga639
    @augustinomwamasinga639 Pƙed 2 lety

    Sawaaa

  • @brayankimambo5125
    @brayankimambo5125 Pƙed 2 lety

    Ni kweli

  • @jacobmwise2893
    @jacobmwise2893 Pƙed 2 lety

    Nakubali kaka

  • @PhilipWanyonyi-ou3gy
    @PhilipWanyonyi-ou3gy Pƙed měsĂ­cem

    Asante sana ndugu yangu Joel,nabarikiwa na elimu Yako,..ila nauliza can I download your series

  • @petermasha4123
    @petermasha4123 Pƙed 2 lety +1

    Kwa nini hivi vitabu vyako havipatikani huku kwetu Mombasa jamhuri ya Keny?

  • @mussajabiry3891
    @mussajabiry3891 Pƙed 2 lety

    Mm ni shuhuda WA I'lo skuwa naweka akiba awal ila now naweka naimenisaidia

  • @youngsuperhiphopmrog
    @youngsuperhiphopmrog Pƙed 2 lety

    Thanksteacher

  • @ludgercn.8675
    @ludgercn.8675 Pƙed 2 lety +1

    è°ąè°ą æ‚š

  • @dicksonzephania3494
    @dicksonzephania3494 Pƙed 2 lety

    Kaka ili somo kila asubuhi kabla sijafanya chochote na sikiliza kwanza ubarikiwe saana ili somo la dhahabu

  • @mcsidoo95
    @mcsidoo95 Pƙed 2 lety +1

    Masha Allah!!!Broo uko vizuri kwa kuelimisha jamii.Mungu akujaalie moyo huo huo wa kujitolea kutuelimishađŸ”„đŸ”„. 🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡ȘMombasa.Mimi wa kwanza umenielimisha...

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Pƙed 2 lety +1

      Ameen, ahsante sana sanađŸ™đŸŒ

  • @dicksongadson2223
    @dicksongadson2223 Pƙed 2 lety +1

    fursa zinazo jitokeza apo imenigusa sana

  • @Maulidfundi
    @Maulidfundi Pƙed 2 lety

    Ni nouma.

  • @samiraomari1222
    @samiraomari1222 Pƙed 2 lety

    🙏🙏🙏

  • @MrSecuritySystemTz
    @MrSecuritySystemTz Pƙed 2 lety

    🙏🙏🙏🙏

  • @ramadhaniathumani2636
    @ramadhaniathumani2636 Pƙed 2 lety

    🙏

  • @abumajzaamohammed2265
    @abumajzaamohammed2265 Pƙed 2 lety

    nataka kununua kitabu chako..

  • @josephmysononline5919
    @josephmysononline5919 Pƙed 2 lety

    đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș