Siri 4 Za Kujenga Nidhamu Ya Kutoa Pesa.

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 6. 09. 2024
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 175

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 Pƙed 3 lety +12

    Na utoaji wa pesa NI kitu ambacho kinawashinda wengi hasa kumunyima mtu unaemupenda Kama mke au wazazi inahitajika moyo mugumu Sana thanks bro

  • @kdmongi
    @kdmongi Pƙed 5 měsĂ­ci +2

    Kuweka bajeti maalumu kwa ajili ya kusaidia ndugu na marafiki ni nidhamu nzuri sana changamoto ikiwa umefikia ukomo wa bajeti ako ya kusaidia na ikatokea dharura ugonjwa au ajali sio rahis sana kuacha kusaidia so nashauri mbali na kuwa na bajeti maalum ni muhimu kuwa na emergency fund ya kwako personally inayojitegemea..Asanteh sana kwa somo zuri,Mungu azidi kukutunza ili tuendelee kufaidika na elimu unayotupa🙏

  • @severinebagenyi4745
    @severinebagenyi4745 Pƙed 3 lety +2

    Hiyo namba nne ipo vizuri sana maana Kama watu hawajui details zako za hela siyo rahisi kukusumbua mara kwa mara hasa pale unapopata pesa nyingi

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 Pƙed 3 lety +3

    Hiyo no.3 nimeipenda na nitaifanyia kazi kwakua nimekua siendani na kanuni hiyo shukrani Sana

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Pƙed 3 lety +2

    Asante ili somo ni kwa ajiri yangu.

  • @richardmartin6429
    @richardmartin6429 Pƙed rokem +1

    Mimi naona Siri zote nne ni Muhimu, ila namba Moja nimeipenda zaidi. Mambo yanayoturudisha nyuma kimaendeleo ni yale yanayofanyika bila mipango maalum, naamini kuwa na Budget maalum kutanisaidia kuepuka Matumizi yasiyo ya lazima. Ahsante

  • @franksamson4693
    @franksamson4693 Pƙed 3 lety +2

    Hapo ni zote tu maana duuh Asante Kaka Joel nanauka

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 Pƙed 3 lety +2

    Asante sana Joel wewe ni zawadi kwetu toka kwa Mungu.

    • @noeldismas7340
      @noeldismas7340 Pƙed 2 lety

      Thanks Joel I got something, be blessed & continue changing people's lives

  • @jordanmakere126
    @jordanmakere126 Pƙed 3 lety +3

    Broo nanaukaa me nahisii zotee n muhimu mnooo nmefungukaaa Zaid your blessed

  • @nicholaussemfukwe6283
    @nicholaussemfukwe6283 Pƙed 2 lety +1

    Mungu aendeleh kuku maisha malefu daima Ili vijan tuendeleh kuelimika Zaid kifikra au katika mambo mengi yanaytuzunguka katika jamii tunayo ishi

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 Pƙed 3 lety +10

    Kwangu mimi be clear , kuwa muwazi ni silaha muhimu Sana ! Na kwa kuwa huwezi kujitenga na jamii yako ama ndugu pia kutenga bajeti ni muhimu !

  • @FURAHAbest
    @FURAHAbest Pƙed rokem +1

    Kabisa

  • @noelbudeba3173
    @noelbudeba3173 Pƙed 3 lety +3

    Somo zuri ila naona wengi wetu huomba kuliko wanaoombwa hvo ningependa utuandalie somo litakalotufundisha njia nzuri ya kuomba au tuachane na kupungua idadi ya waombaji

  • @HoseaNambari
    @HoseaNambari Pƙed 5 měsĂ­ci

    Asante sana kaka nimekuelewa sana mungu akubariki

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 Pƙed 3 lety +1

    "Respond promptly",Kaka Joel imenikuta,mpaka ikawa kama deni,siyo siri nilikereka.Asante kwa somo hili,nimejifunza.

  • @jenipherrio7941
    @jenipherrio7941 Pƙed 3 lety

    Kaka ahsante. Mungu akubariki Mimi napata hela Sanaa Ila Sina nidhamu ya pesa nimejifunza pia naomba uzidi kunishauri ahsante naitwa jenifa riwa

  • @samiraomari1222
    @samiraomari1222 Pƙed 3 lety

    Asante masomo yako yananisaidia sana kaka

  • @user-xt5vs7cm2k
    @user-xt5vs7cm2k Pƙed 5 měsĂ­ci

    Kaka mngu tu akuoe maisha malefu najifunza sana kupitia wew one love

  • @emmanuelmkopekwa1751
    @emmanuelmkopekwa1751 Pƙed 3 lety +1

    Dah bro asante kwa somo zurii kwakwelii hiyoo ya 3[respond promptly ]ilikuwa ikinisumbua sanaa I think from now ntakuwa naujasiri wa kutoa jibu kwa mda huo huo ndan ya 24hrs

  • @salviuskamaza4501
    @salviuskamaza4501 Pƙed rokem +2

    *TO BECOME SUCCESSFUL YOU NEED TO DO THE FOLLOWING*🙏🙏🙏đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș
    *● BELIEVE - while others are doubting.*
    *● PLAN - while others are playing*
    *● STUDY - while others are sleeping*.
    *● DECIDE - while others are delaying*.
    *● PREPARE - while others are daydreaming*.
    *● BEGIN - while others are procrastinating*
    *● WORK - while others are wishing*
    *● INVEST - while others are wasting*.
    *● LISTEN - while others are talking*
    *● SMILE - while others are frowning*
    *● COMMEND - while others are criticizing*.
    *● PERSIST - while others are quitting*.
    *☑ JOIN while others are still thinking*

  • @deviijackii1293
    @deviijackii1293 Pƙed 3 lety +1

    Mm nahic wew Joel unayajua maisha yangu

  • @jackychebet7593
    @jackychebet7593 Pƙed 3 lety

    Asante Sana kaka joel ubarikiwe kwa ushauri wako mzuri.nimejifunza mengi kutoka kwako Asante Sana.

  • @williamandrea7940
    @williamandrea7940 Pƙed 3 lety

    Kaka Joel Nakushukuru sana hizo tabia zote mimi ninazo ninakama aina fulani ya huruma kwa watu hebu nishauri nifanyeje kaka Mungu akubari sana kaka

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Pƙed 2 lety +1

    Asante kwa somo zuri Waefeso 3:20

  • @mensonayoub7820
    @mensonayoub7820 Pƙed 7 měsĂ­ci

    Nimejifunza somo zuri sana...asante sana mtaalam

  • @lovenesschingula3190
    @lovenesschingula3190 Pƙed 3 lety +1

    Nimekusoma mkuu chamuhimu nikuwa na moyo wa chuma moyo mgumu kutokuwa na uruma iliyopitiliza kuwa jasili kuwa muwazi hapo nikuwa mkweli na muwazi unajua bro mwenye uruma hana bahati na uruma hailei mwana msimamo ni muhimu bila kujali

  • @user-oi9hc6cs3m
    @user-oi9hc6cs3m Pƙed 4 měsĂ­ci

    God bless you

  • @sheddykayanda4369
    @sheddykayanda4369 Pƙed 3 lety +1

    Aisee niko vizuri zaidi ktk hili

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 Pƙed 7 měsĂ­ci

    Wao so nice

  • @allyshabani7791
    @allyshabani7791 Pƙed 3 lety

    Mungu akubaliki sana brother kwa elimu niliyoipata kwenye mafunzo yako

  • @hamiduhamisi2457
    @hamiduhamisi2457 Pƙed 2 lety

    Sawa kaka Joel Mungu akuzidishie umri mref

  • @roselynerwiza9383
    @roselynerwiza9383 Pƙed 2 lety

    Asante sana kaka Mungu akubariki sana

  • @user-uj5zs8nc5k
    @user-uj5zs8nc5k Pƙed 5 měsĂ­ci

    Asante sana kaka

  • @josephboniface7506
    @josephboniface7506 Pƙed 3 lety +1

    Thanks Broh# umenifungua Sana hasa Hiyo ya 4

  • @happinesjovinary7867
    @happinesjovinary7867 Pƙed 3 lety

    Aisee Mr binafsi nakukubari saana. Hiyo kumwambia mtu kiwango chako imetufelisha Wengi sĂ nĂ 

  • @amanibayo1915
    @amanibayo1915 Pƙed rokem

    Huwa namuelewa sana brother

  • @stevengoodluck4581
    @stevengoodluck4581 Pƙed 3 lety +1

    Nmekuelewa sana nitham ya pessa

  • @cleophacematogo8239
    @cleophacematogo8239 Pƙed 3 lety +1

    Ahsante umenipa Tiba

  • @visiongirl
    @visiongirl Pƙed rokem

    Hii clip imenisaidia sana sana kudevelop nlkuwa napata shida kumwambia mtu ukweli kwamba sitaweza kumpa kiwango anachohitaji
    Saivi nimeweza imenifanya niwe na furaha na akiba nzuri

  • @nassormakwaya5970
    @nassormakwaya5970 Pƙed 3 lety

    uko vzr sana Kamanda Joel ngoja tuendelee kukufuatilia

  • @ummuhsalamah7128
    @ummuhsalamah7128 Pƙed 3 lety

    Nimejifunza Jambo kiongozi mungu akubariki

  • @frankplatinam
    @frankplatinam Pƙed rokem

    Mungu akubariki kwa elimu unayo tuelewesha broo

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 Pƙed 3 lety +2

    Kwangu ni kutokusema details ya pesa zangu from Burundi my mentor

  • @harmonizefans3783
    @harmonizefans3783 Pƙed 3 lety +1

    Much respect bro @nanauka

  • @FURAHAbest
    @FURAHAbest Pƙed rokem

    Mm naona ya kumwambia mtu kwamba Huna au unayo ila hauitaji kumpa hiyo iko good sana

  • @martinnsuhuje7821
    @martinnsuhuje7821 Pƙed 3 lety +1

    Asante sana.Be blessed

  • @edson2450
    @edson2450 Pƙed 3 lety

    Asante sana kaka, umenisaidia sana sana sana kwenye Maisha yangu na elimu unayotupatia. May God bless you!

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Pƙed 2 lety

    Wewe ndio menta wangu na naamini nikikufuatilia sana nitafikia uhuru wa kifedha no 4 nimeipenda

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed rokem

    Tunakuchukuru sana

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Pƙed 3 lety +3

    Yani joel unahakiri mpaka za ziada napenda sana uelimishaji wako hii topic inanitesa sana hasa mimi yani katika famili, mambo nimengi mno ila kwa leo niemelewa huwa najiuliza swali hivi matajiri wanawezaje kufanikiwa na huku wanafamili zinawategemea, nilisikiza video zako zote ila leo kidogo nimepata somo langu linalonitesa mda mrefu, natamani kufanikiwa jamani familia inanitesa sana

  • @josephisinta6606
    @josephisinta6606 Pƙed 3 lety

    Yes it's good

  • @geophreygwarasa6789
    @geophreygwarasa6789 Pƙed 2 lety

    Asante nimepata kitu kizuri

  • @mbarakasalumu7122
    @mbarakasalumu7122 Pƙed 3 měsĂ­ci

    Ahsante nimejifunza kitu bro

  • @user-tf6qi1tx6i
    @user-tf6qi1tx6i Pƙed 8 měsĂ­ci

    Asante

  • @mmbarikiwa6987
    @mmbarikiwa6987 Pƙed 2 lety

    Nimekuelewa sana

  • @sarahkaray1891
    @sarahkaray1891 Pƙed 3 lety

    Thanks Namba 1 imenigusa sana

  • @eugenlukuze3187
    @eugenlukuze3187 Pƙed rokem

    Real mr nanauka you spoken fact

  • @inyasiinvestment18
    @inyasiinvestment18 Pƙed 3 lety

    Umenijenga kwenye maisha mapya sana broo mungu akubariki sana

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Pƙed 2 lety

    Point 👌

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 Pƙed 3 lety

    nimeipendaa hii

  • @alexandermluge7886
    @alexandermluge7886 Pƙed 3 lety

    Kaka hii point ya mwisho imebeba nyama zote👍

  • @yusuphmashaka659
    @yusuphmashaka659 Pƙed rokem

    Dah kweli kabisa kaka hapo kwenye kumwambia mutu ukweli nipagum

  • @saimonmaluli3251
    @saimonmaluli3251 Pƙed 3 lety +1

    Be blessed brother

  • @aash4145
    @aash4145 Pƙed rokem

    Aksante kaka kwa ushaur❀❀đŸŒč👍

  • @ndolaismail45
    @ndolaismail45 Pƙed 2 lety

    Shukrani sana kaka ang! Imenigusa sanađŸ€

  • @mussamigeke9843
    @mussamigeke9843 Pƙed 3 lety

    Thnx , jambo nililojifunza kwanza nikuwa Na bajeti ya kusaidia jamaa ndg Na nk
    Pili kuwa muwazi kujibu in 24 hrs pia Na syo kuahidi ukijua uwezekano haupo

  • @omarimadiva5352
    @omarimadiva5352 Pƙed 3 lety

    Ni darasa zuri kaka Joel,ubarikiwe sana

  • @carrencatherine2018
    @carrencatherine2018 Pƙed 3 lety

    Asante bro Joel Nanauka

  • @rahmahamisi7604
    @rahmahamisi7604 Pƙed 3 lety

    Zote nzuri yan kwenye namba 3 ndio nilikuwa siwez kuongea ukweli najikutaga hata kukopa ili nimpe mtu ila sasa nimejifunza

  • @eliachilonwa5056
    @eliachilonwa5056 Pƙed 3 lety

    Mungu akubariki Kaka Joel

  • @user-cf3em2oj9s
    @user-cf3em2oj9s Pƙed 8 měsĂ­ci

    Napenda mafundisho yako

  • @deokarithomas1243
    @deokarithomas1243 Pƙed 3 lety

    Thank you kaka joel umenifungua,, keep it up.

  • @edgerchristopher4691
    @edgerchristopher4691 Pƙed 3 lety

    Waoh, thank you.

  • @tatuali1379
    @tatuali1379 Pƙed 3 lety

    4 umenifaa đŸ€

  • @paulkomba9972
    @paulkomba9972 Pƙed 3 lety

    Asante..kwa somo

  • @johnsaidy803
    @johnsaidy803 Pƙed 2 lety

    Mungu awe nawe mi lele daima

  • @abraham1528
    @abraham1528 Pƙed 3 lety +1

    Safi sana nimeridhika.

  • @hamisinyakitina9313
    @hamisinyakitina9313 Pƙed 2 lety

    Be blessed

  • @frankmaginga3459
    @frankmaginga3459 Pƙed 3 lety

    shukran, u provide gud explaination

  • @sephaniachaula1030
    @sephaniachaula1030 Pƙed rokem

    Tabia hiyo nanayo sana huwa nashindwa kujizuia nashukulu kwa mafunzo yako

  • @saidagalu2914
    @saidagalu2914 Pƙed 2 lety

    Ahsante sana umenifanya niwe respond promptly itanifikisha mbali God bless you 😘

  • @fasahaproductstv638
    @fasahaproductstv638 Pƙed 3 lety +2

    Ahsante: Hyo no 3 imenigusa ktk moyo mn inakuw kumjib m2 ile cna Inakuw ngum kumb uhalsia 2natakiw tu2mie kugha ya kumaanish kwa kuelewk haraka

  • @mbwanadaraja8230
    @mbwanadaraja8230 Pƙed 3 lety

    Asante kaka

  • @annamwananjela5594
    @annamwananjela5594 Pƙed 3 lety

    Umenifungua akiri yng mungu akubariki naimana sasa nimejitabua

  • @noarkalelo6963
    @noarkalelo6963 Pƙed 3 lety

    Asante kwa ushauri mzr kaka

  • @michaelemmanuel117
    @michaelemmanuel117 Pƙed 3 lety +1

    Ok sawa

  • @rukiakishar1155
    @rukiakishar1155 Pƙed rokem

    Hapo nimeelewa zote 4 ila nimeipenda hiyo ya kuwa mkweli kwenye kutoa pesa maana mtu anaweza kumpa mtu matumaini kwamba nitakupatia pesa muda flani ikifika muda huo anakuhidi siku nyingine hiyo sio nzuri inapoteza malengo ya mtu

  • @burudikotv1953
    @burudikotv1953 Pƙed rokem

    Namba nne kiboko kwa bongo yetu❀

  • @owenmlagala8717
    @owenmlagala8717 Pƙed 2 lety

    Nimeipenda Point sana

  • @jeniferkalemela99
    @jeniferkalemela99 Pƙed 3 lety

    Nimependa hili fundisho Sana joel. Ila nakuomba Kama hutajali uruhusu hizi video zako kuwa shared. Mfano nilitaka kumtumia mtu wangu wa karibu anayependa kugawa hela ovyo ovyo imekataa.

  • @halifaiddy8497
    @halifaiddy8497 Pƙed 3 lety

    Thanks

  • @OmarOmar-xr1lc
    @OmarOmar-xr1lc Pƙed rokem

    Vizuriiiiiii

  • @shemsiahemed3204
    @shemsiahemed3204 Pƙed 3 lety

    Asante sana namba moja taizingatia kuanzia ss

  • @zabronsuleiman664
    @zabronsuleiman664 Pƙed 3 lety +1

    asant bro!

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Pƙed 2 lety

    Iyo ya discussing financial details 👍Yes

  • @cleopatraadolf6492
    @cleopatraadolf6492 Pƙed 3 lety

    Joel nakuelewa saana

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Pƙed 3 lety

    Asnt kaka , yaan mimi mtu wa kumpa pesa awe ndugu naye awe anaumwa sna yupo ICU.

  • @194summer
    @194summer Pƙed 2 lety

    Bwana Yesu asifiwe,
    Habari mtumishi wa Mungu
    Naomba namba zako nina jambo la muhumu la kukueleza

  • @thomasbelhanda5708
    @thomasbelhanda5708 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Passive time hii mbinu naanza nayo ili inipe maendeleo ya kielimu kwa kujifunza zaidi,

  • @japharyntandu6925
    @japharyntandu6925 Pƙed 3 lety +1

    Uinuliwe mtmsh wa mungu kwa somo zuri Mimi napenda 1na3. Pia ninahitaji Vitabu vyako nitavipataje? Nipo kibaigwa dodoma nisaidie mtmshi