LIFE WISDOM: VITU VINAVYOSABABISHA MATATIZO YA KIFEDHA - Joel Nanauka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 03. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 103

  • @ShedDjeey-cn9ti
    @ShedDjeey-cn9ti Před měsícem +2

    Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 4 měsíci +13

    Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤

  • @NeemaPeters
    @NeemaPeters Před 4 měsíci +1

    Asante sana nitarudi na ushuhuda joel

  • @Bigbootyhot
    @Bigbootyhot Před 4 měsíci +1

    Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏

  • @elibarikioltaporu
    @elibarikioltaporu Před 4 měsíci +1

    My mentor stay blessed and see you at the top of Global public speakers ❤

  • @IsaWeightloss
    @IsaWeightloss Před 4 měsíci

    Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 Před 4 měsíci

    Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.

  • @rhodasimba1804
    @rhodasimba1804 Před 4 měsíci

    Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you

  • @divinemalachi
    @divinemalachi Před 2 měsíci

    Ubarikiwe sana broo

  • @lestutamdota715
    @lestutamdota715 Před 4 měsíci +2

    Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏

  • @happyswai6688
    @happyswai6688 Před 4 měsíci +1

    Ahsante sana

  • @GodsonDaniel-oo3sz
    @GodsonDaniel-oo3sz Před měsícem

    Nimejifunza kitu mwalimu

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před 2 měsíci

    Nimejifunza asante 🙏🙏

  • @saidkhalfan8207
    @saidkhalfan8207 Před 4 měsíci

    Thank you

  • @israelfumbo2093
    @israelfumbo2093 Před 4 měsíci +3

    Asante kwa masomo mazuri nakusikiliza Toka makongolos chunya

  • @MalongoRichard-md5dv
    @MalongoRichard-md5dv Před 4 měsíci

    Ubarikiwe Sana

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Před 4 měsíci

    Asante sana kaka.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 4 měsíci

    Asante sana kaka

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x Před 4 měsíci

    Kaka Joel Nanauka❤❤❤

  • @janetmbwana553
    @janetmbwana553 Před 4 měsíci +1

    🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu

  • @AgustinoKinyaga
    @AgustinoKinyaga Před 4 měsíci

    Ahsante sana kaka @joel

  • @shijamak
    @shijamak Před 3 měsíci

    Well said brother 💪🙏

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 Před 4 měsíci

    Thanks alot and be blessed

  • @nduhe_victor
    @nduhe_victor Před 4 měsíci

    Thanks

  • @nehemiamminza4663
    @nehemiamminza4663 Před 4 měsíci

    Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana

  • @josephinejumba9923
    @josephinejumba9923 Před 4 měsíci

    waw ❤

  • @dianachipojola2991
    @dianachipojola2991 Před 4 měsíci

    Asante nimejifunza

  • @joely22
    @joely22 Před 4 měsíci

    Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏

  • @user-xd2kz4pf5s
    @user-xd2kz4pf5s Před 4 měsíci

    Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před 4 měsíci

    Nikweli mwalimu kile kidongha ndicho huzaa kikubwa.asantesana mwalimu munghu akuzidishiye

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella6663 Před 4 měsíci

    Asante sana mwalimu nimeskia na nimejifunza

  • @henrymoghu5087
    @henrymoghu5087 Před 4 měsíci

    Asante Mungu kupe maish marefu...Mentor wangu

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před 4 měsíci

    Asante

  • @user-uy7oz8vr2l
    @user-uy7oz8vr2l Před 4 měsíci +2

    Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 měsíci

      Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏

  • @AlfaMbisa
    @AlfaMbisa Před 21 dnem

    Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli

  • @khalidihilali9967
    @khalidihilali9967 Před 4 měsíci

    Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi

  • @goldenwizzy123
    @goldenwizzy123 Před 4 měsíci +1

    Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu

  • @ViviKitchen23
    @ViviKitchen23 Před 4 měsíci +1

    Vivi ubuyu mtamu hapa
    Ahsante my mentor
    Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤

  • @bonifacemoses6774
    @bonifacemoses6774 Před 4 měsíci +1

    Joel ndo mentor ambaye tangu 2017 mpaka leo hajawahi nidisapoint

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 Před 4 měsíci

      Kwakweli mimi pia toka nianze kumfatilia 2017 sijawahi juta

  • @everose276
    @everose276 Před 4 měsíci +1

    Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤

    • @ImanMwakyeja-cw3ty
      @ImanMwakyeja-cw3ty Před 4 měsíci

      Umesema ukweli mtupu.
      Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 měsíci

      Ameen, ahsante sana Rose 🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 měsíci

      @@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏

  • @user-is5xi3ve2r
    @user-is5xi3ve2r Před 4 měsíci

    ubaikiwe saaana👏👏

  • @gilbertbaya1546
    @gilbertbaya1546 Před 4 měsíci

    Thank you -from Kenya 🤞 crossed

  • @RICHARDWAUSA-ep4xe
    @RICHARDWAUSA-ep4xe Před 4 měsíci

  • @suzancharles8897
    @suzancharles8897 Před 4 měsíci

    👏

  • @paschalmbiya93
    @paschalmbiya93 Před 4 měsíci

    At the top we well see!. Umenipa mdomo bro .
    Big brain nanauka

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 Před 4 měsíci +1

    🏆🏆🏆🏆

  • @ChristinWanjiku-ec6px
    @ChristinWanjiku-ec6px Před 4 měsíci

    My best menter❤🙏

  • @user-be3uw9zj1g
    @user-be3uw9zj1g Před 4 měsíci +1

    Be blessed my greatest mentor

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 Před 4 měsíci

    Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp Před 4 měsíci

    Thanks sana Bro Barikiwa sana aise

  • @dr.msuyah1867
    @dr.msuyah1867 Před 4 měsíci

    Shukran kwa good presentation
    NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 4 měsíci +1

    Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali

  • @MCmakore
    @MCmakore Před 4 měsíci

    Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před 4 měsíci

    Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 4 měsíci +2

    Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂

  • @masudibaja
    @masudibaja Před 4 měsíci

    Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel

  • @SukaDmGuy
    @SukaDmGuy Před 4 měsíci

    Duh bro umenena

  • @mangasinikusaya8157
    @mangasinikusaya8157 Před 4 měsíci +1

    Morning speech ❤❤Ahsante sana

  • @user-hr7wl4vg9h
    @user-hr7wl4vg9h Před 4 měsíci

    ubaliki we e

  • @revdrseni
    @revdrseni Před 4 měsíci +1

    So wonderful subject

  • @moseskenedy7042
    @moseskenedy7042 Před 4 měsíci

    Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa

    • @shukranjulius9526
      @shukranjulius9526 Před 4 měsíci

      Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 měsíci

      Naamini utafanyia kazi🙏

  • @VictorOne-hc9fi
    @VictorOne-hc9fi Před 4 měsíci

    Mm nataka no nipate vitab vyako

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 4 měsíci

    Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Před 4 měsíci

    Huyu ni Mimi kapisa ninaacha sasa😢😢😢

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 měsíci

      Nasubiria ushuhuda utakapoacha🙏

  • @paulmayombe4336
    @paulmayombe4336 Před 4 měsíci

    Asante