Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰
Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
Upo Kama Mimi huruma jaman daah 😴🙌🙌
@@aboubakaribakari988 Kiukweli hii hali tuombe Mungu atusaidie
Hongera kwa kujifunza, fanyia kazi 🙏
@@shukranjulius9526Ameen
😊
Asante sana nitarudi na ushuhuda joel
Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏
My mentor stay blessed and see you at the top of Global public speakers ❤
Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
Ubarikiwe sana broo
Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏
Ameen Ahsante sana🙏
Ahsante sana
Nimejifunza kitu mwalimu
Nimejifunza asante 🙏🙏
Thank you
Asante kwa masomo mazuri nakusikiliza Toka makongolos chunya
Wasalimie sana Makongolos Chunya
Ubarikiwe Sana
Asante sana kaka.
Asante sana kaka
Kaka Joel Nanauka❤❤❤
🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu
Ahsante sana kaka @joel
Well said brother 💪🙏
Thanks alot and be blessed
Thanks
Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana
waw ❤
Asante nimejifunza
Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏
Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉
Nikweli mwalimu kile kidongha ndicho huzaa kikubwa.asantesana mwalimu munghu akuzidishiye
Asante sana mwalimu nimeskia na nimejifunza
Asante Mungu kupe maish marefu...Mentor wangu
Asante
Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....
Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏
Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi
Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu
Vivi ubuyu mtamu hapa
Ahsante my mentor
Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤
Tuendelee kujifunza 🙏
Joel ndo mentor ambaye tangu 2017 mpaka leo hajawahi nidisapoint
Kwakweli mimi pia toka nianze kumfatilia 2017 sijawahi juta
Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤
Umesema ukweli mtupu.
Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache
Ameen, ahsante sana Rose 🙏
@@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏
ubaikiwe saaana👏👏
Ameen Ameen🙏
Thank you -from Kenya 🤞 crossed
Ahsante sana sana🙏
❤
👏
At the top we well see!. Umenipa mdomo bro .
Big brain nanauka
Ahsante sanaa🙏
🏆🏆🏆🏆
My best menter❤🙏
🙏🙏🙏
Be blessed my greatest mentor
Ameen 🙏
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
Ameen Ameen🙏
Thanks sana Bro Barikiwa sana aise
Ameen Ameen 🙏
Shukran kwa good presentation
NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?
Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali
Mungu atusaidie tu
@@jozidasuperior7257 Kabisa yani
Ameen Ameen🙏
@@jozidasuperior7257🙏🙏
Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''
Ameen, See You At The Top🙏
Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.
Tuendelee kujifunza 🙏
Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂
Fanyia kazi🙏
Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel
Ameen, nisaidie kushare na wengine🙏
Sawa mwalimu
Duh bro umenena
Ameeen
Morning speech ❤❤Ahsante sana
Tuendelee kujifunza🙏
ubaliki we e
So wonderful subject
Ahsante sana🙏
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba
Naamini utafanyia kazi🙏
Mm nataka no nipate vitab vyako
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
Huyu ni Mimi kapisa ninaacha sasa😢😢😢
Nasubiria ushuhuda utakapoacha🙏
Asante