Kuna kipindi nilichoka sana kibiashara nilikata tamaa, mtaji uliyumba sana. Ckua na msaada tena ila nilivoanza kumfatilia Joel maisha yangu yalibadilika Kwa kias kikubwa sana. Barikiwa sana mtu wa Mungu
Nimejifunza na kuwa kumbe ninapo shindwa kutumia uwezo nilionao nakuwa na mwangusha Mungu wangu🙏🙏 Hakika Joel Nanauka kunasiku tutajiuliza Wewe ninani??? Mungu akubariki sana hakika.💪💪💪
Shukran kaka🙏🏽🙏🏽. " Hakika kka kifo siyo hasara kubwa hasara kubwa ni vile vitu vinavyokufa ndani yetu tukiwa bado tunaishi" Nimejifunza kitu kaka shukrani 🙏🏽🙏🏽
Asante sana professor kupitia video zako umenihamasisha ninunue vitabu vyako yani kiskia mtu anakuja dubai sina cha kuagiza ila vitabu vyako nimemaliza juzi kusoma kitabu cha siku 30 za kuishi ndoto yako nataman ningekisoma zaman mika 8 nyuma nahisi ningekuwa mbali sana ila naamini sijachelewa kila nikiosma kitabu kimoja naona nahitaji kusoma na kitabu kingine shukrani sana kaka Joel Allah akupe umri mrefu na afya njema Inshaallah ❤
Nakujaje you tube bila kukusikiliza kaka #Joel ...nimeanza kukusikiliza November mwaka Jana hakika umenibadilisha Kwa kiasi kikibwa saana Yesu akuatamie zaid bro...
Nakutia moyo roho ya uoga ni Shetani ,pambana Kwa kuomba na kuamua kuanza,mimi namshukuru sana Kaka Joel Mungu amlinde kila siku ,alinifanya nianze,siku nasitasita kuanza nikakutana na somo lake hapa linasema USISUBIRI KUANZA ANZA KUANZIA SASA,hauwezi amini baada ya wiki mbili nilianza kwahiyo nikutie moyo tu Anza tafadhali usiwe mwoga sawa
Kweli kaka Joel niliwahi kukwambia Mimi ni chef by professional sasa hivi nipo Romania Europe nipo Bucharest mji mkuu wa Romania nafanya Kazi capricciosa restaurant
Nimepandia ndege Jomo Kenyatta international airport nyumbani Tanzania kaka zangu hawakuamini dada zangu hawaamini mpaka wafanyakazi wenzangu Mwanza hawaamini lakini ndo hivo
Dunia inasubiri kuona mambo makubwa kutoka kwangu, Nitakuja kuwa na Online TV kubwa ya kutoa habari za Injili duniani na nimeshaanza ❤🎉
Kuna kipindi nilichoka sana kibiashara nilikata tamaa, mtaji uliyumba sana. Ckua na msaada tena ila nilivoanza kumfatilia Joel maisha yangu yalibadilika Kwa kias kikubwa sana. Barikiwa sana mtu wa Mungu
Mi nauza mikate tuu ya mia mia napigwa vita hatari lakini napambana na sitoacha kujituma, Asante sana kiongozi wangu 🎉🎉🎉
Shukrani sana ndugu kwa darasa, YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako 🙏
Asante sana nimejifunza kitu
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu wangu
Aiseh you really made my day , i know the world is waiting for my manifestation, lord direct me open my ways so that i can seee my capabilitiea
Nakupenda sana Joel nanauka naamini utanibadilisha 0:00
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 be blesssed nanauka
ur the best Mr Joel. mafundisho yako ni taa ya maisha yangu.
Can't wait for this session 🥹🙌
Nimejifunza na kuwa kumbe ninapo shindwa kutumia uwezo nilionao nakuwa na mwangusha Mungu wangu🙏🙏 Hakika Joel Nanauka kunasiku tutajiuliza Wewe ninani??? Mungu akubariki sana hakika.💪💪💪
Thank you Sir,
Shukrani ubarikiwe joel
Be blessed
From Kenya...be blessed bro.
Nibarikiwe na like Yako kaka @Joel
Prof Nanauka ❤
Asante Sana kwaushauri Mkubwa
Kabisa ubarikiwe kk Joël
Good job Joel, keep up a good work and stay blessed
God bless yuo mwalimu
Ahsante sana kaka joel mungu akubariki
Shukran kaka🙏🏽🙏🏽. " Hakika kka kifo siyo hasara kubwa hasara kubwa ni vile vitu vinavyokufa ndani yetu tukiwa bado tunaishi"
Nimejifunza kitu kaka shukrani 🙏🏽🙏🏽
Asante sana kaka Joel unanisaidia sana
Mungu akunze sana mtumishi
Shukran sana kwa somo Coach 🏆,,,barikiwa mno🌠
Asante nimejifunza kitu.
Asante Joel nitakutafuta baba ,,,ubarikiwe
I'm waiting it my mentor JOEL NANAUKA
Naamini umesikiliza na umejifunza🙏🙏
Ahsantee sanaaa kaka angu ,,Yazidi kuonga mbelee Munguu akubariki sanaaa 🙏🙏🙏🙏
Asante sana
Asante Sana Kaka Joel Nakufatilia Sana
Shukurani sana
MUNGU akubark san kakaangu 🙏🙏
Mr sijutii kukufahamu..God bless you wewe ni hazina kubwa kwenye taifa hili🏆
Mungu akubaliki Joel nanauka 🤲
Mungu akubariki mnoo kaka kwanza umenisogeza karibu sana Mungu
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
Tokea nimeanza kukufatilia naona mabadiliko ndani yangu na maisha yangu pia..... Your the best bro Mungu akutunze mnoo
Joel upo vizuri sana pamoja na age yangu kubwa naona kama naanza sasa
Kiukweli nabalikiwa na kaka Joel maisha marefu kaka
Asante sana professor kupitia video zako umenihamasisha ninunue vitabu vyako yani kiskia mtu anakuja dubai sina cha kuagiza ila vitabu vyako nimemaliza juzi kusoma kitabu cha siku 30 za kuishi ndoto yako nataman ningekisoma zaman mika 8 nyuma nahisi ningekuwa mbali sana ila naamini sijachelewa kila nikiosma kitabu kimoja naona nahitaji kusoma na kitabu kingine shukrani sana kaka Joel Allah akupe umri mrefu na afya njema Inshaallah ❤
Always I feel so proud to listen you brother because always I do gain more knowledge and my life has been changed....
Thanks
Mwalimu unakuelewa sana
Noted .
Asante
Najiungaje
Safi kaka hazina ya Tanzania Kasi zaadi
Mimi nishajua potentiel yangu na sasa nipo kazini,
kaka Joël nami niko tayari kudjiunga, please
Nimepata kitu kikubwa sana hii asubuh through this video,, Thankyuu much @ bro joel
Ahsante sana, tuendelee kujifunza🙏🙏
Hadi nmelia
Hallelujah, namtukuza Mungu kwaajili yako kaka nimepata kitu kipya asubuhi yaleo ❤❤
Amen tuendelee kujifunza. Nisaidie kushare na wengine🙏
@@joelnanauka Amina kaka nina fanya hivyo kabisa nawaba furahi sana
Naitaji hiyo kozi, please
Nakujaje you tube bila kukusikiliza kaka #Joel ...nimeanza kukusikiliza November mwaka Jana hakika umenibadilisha Kwa kiasi kikibwa saana Yesu akuatamie zaid bro...
Mungu akulinde
Ameen Ameen🙏🙏
Nilishangaa namuota Joel nanauka ananipa kitabu hapo ndipo nilianza kumfuatilia.
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤸🏾🏃🏾
❤
Hongera Sana mtumishi wamngu natamani nije ofisini tuzungumze
Samahani Mimi natoka mkoa wa katavi
🎉🎉🎉
Asante Kwa kunipa hii chai, Mimi nimegundua ni mvivu nimeridhika ujinga
Ongeza bidii songa mbele
Kwa jina la YESU naikemea roho ya uoga iliyopo ndani yangu.naamini nimeweza #matokeo badae mimi ni mshindi
Kabisa pambana nayo
Nakutia moyo roho ya uoga ni Shetani ,pambana Kwa kuomba na kuamua kuanza,mimi namshukuru sana Kaka Joel Mungu amlinde kila siku ,alinifanya nianze,siku nasitasita kuanza nikakutana na somo lake hapa linasema USISUBIRI KUANZA ANZA KUANZIA SASA,hauwezi amini baada ya wiki mbili nilianza kwahiyo nikutie moyo tu Anza tafadhali usiwe mwoga sawa
Absolutely 💯
Kaka nilikuwa nimekata tamaa lkn somo lako limenirudisha kwenye tumain Tena
Nakukubal boc
Kiukweli Nina kila sababu ya kutafuta potential yangu😢 sipaswi kabisa kubaki hivi nilivyo
Visit
Vizur
Gharama ni kiasi gani
Kwa yeyote ambaye anatamani kujoin lakini kwanjia ya Online utaratibu umekaaje Mwalimu.
Chai yangu kila siku nikupata mafunzo kutoka kwako
Unapatikana wp kaka
You're talking with me here....
Hii ni chai ya kila siku asubuh kumsikiliza kaka Joel ameniambia nn leo kisha niendelee na kutimiza wajibu wangu....
Ameen Songa mbele 👏🏻👏🏻👏🏻
@@joelnanauka 🤝🙏
Kweli kaka Joel niliwahi kukwambia Mimi ni chef by professional sasa hivi nipo Romania Europe nipo Bucharest mji mkuu wa Romania nafanya Kazi capricciosa restaurant
Nimepandia ndege Jomo Kenyatta international airport nyumbani Tanzania kaka zangu hawakuamini dada zangu hawaamini mpaka wafanyakazi wenzangu Mwanza hawaamini lakini ndo hivo
Mkoa wetu wa mtwara umekua mkoa maarufu sana Mungu kutubariki watu wa kipekee na faida kwa jamii kama Joel. Respect sana kaka
Kwenye kukitafuta ukijue nahisi uwezi kukitafuta unacho kitafuta ndo wewe
Be blessed
Thanks
Asante ndugu umefungua akili
Be blessed