NJIA TANO ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 04. 2024
  • Somo hili litakusaidia mbinu za kujilazimisha kuweka akiba hata kama una kipato kidogo.
    .
    Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
    .
    KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
    .
    Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
    KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
    1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
    2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
    3. NGUVU YA KUJUA.

Komentáře • 44

  • @FatherKhan-zq5ur
    @FatherKhan-zq5ur Před měsícem +2

    Asante kaka umeniongeze kitu kikubwa katika maisha kwanzia leo nitaanza kufatilia mafuzo yako najua kuna kitu kikubwa kitaongezeka kwenye maisha yangu na biashara yangu.

  • @GervaspauloKanemhu
    @GervaspauloKanemhu Před 14 dny

    Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉

  • @Chalambosheby
    @Chalambosheby Před 3 měsíci +3

    Chalambo hapa nipo live katika darasa nilipendalo nipo tayari kubadilika nakuzngatia Kwa ufasaha

  • @IbrahimMasoud-hj7ot
    @IbrahimMasoud-hj7ot Před 3 měsíci

    Shukrani sana Victoria naomba

  • @SudiNamwete
    @SudiNamwete Před 3 měsíci

    Asnte sana bro keep moving

  • @AlphasweetbertAbayo
    @AlphasweetbertAbayo Před 3 měsíci

    Asante sana, je sisi ambao hatupokei mshahara kwa njia ya kibenk tufanyeje

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 27 dny

    Asante mkuu naomba kujua hii M.pawa au Mgodi je ni sawa au ni vikoba tu

    • @kehetanyantory8688
      @kehetanyantory8688 Před 26 dny

      Mgodi nishawah kuweka elfu50 nilipotaka kutoa ikawa inagoma mpaka kuwapigia wa mtandao walinisumbua kalibia wiki nzima😢

  • @Davidsima
    @Davidsima Před 3 měsíci

    Asante sana Nimejifunza

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel Před 3 měsíci

    Napenda sana unachofanya na commitment yako .. keep moving brother

  • @ElishaDonald
    @ElishaDonald Před 3 měsíci +1

    Shukuran sana victor mwambene

  • @jumaj.bihoga-th7kd
    @jumaj.bihoga-th7kd Před 3 měsíci

    Cheers brother

  • @GERMAINSungurs
    @GERMAINSungurs Před 3 měsíci

    Asante sana mwakimu

  • @StevenHelly
    @StevenHelly Před měsícem

    Asante sana kaka nimejifunza

  • @mjemachannel7591
    @mjemachannel7591 Před měsícem +2

    1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia]
    2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba]
    3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako]
    4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba.
    5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata

  • @user-iv7mn4qd4q
    @user-iv7mn4qd4q Před měsícem

    Asanteeeee saaaaana kaka nimekuelewa mnooooo

  • @jumamario-vr1mw
    @jumamario-vr1mw Před 3 měsíci +1

    Kweli kabisa mimi umenikosha kesho naenda benk kufunga acaut

  • @Rehema815
    @Rehema815 Před 3 měsíci

    Asante mno nmejifunza

  • @matokeoUG92
    @matokeoUG92 Před 3 měsíci

    Asante baba...🎉

  • @aikammari1267
    @aikammari1267 Před 3 měsíci

    Asante sana kaka

  • @bahatihamissi1161
    @bahatihamissi1161 Před 14 dny

    Nakubali

  • @AminaSelemani-m1r
    @AminaSelemani-m1r Před měsícem

    Ahsante sana nimejifunza,barikiwa.

  • @FrankGabriely-up5yo
    @FrankGabriely-up5yo Před 27 dny

    Asante

  • @mohamedkige2535
    @mohamedkige2535 Před 3 měsíci

    Nikweliiiii broo Mung akubalkiiii🎉🎉🎉🎉❤

  • @esthermasunga1602
    @esthermasunga1602 Před 3 měsíci

    nimekupata sna kaka . hapo kwenye vikoba na standing order. ndo inanisaidia . barikiwa sana kaka

  • @saddyfadhil
    @saddyfadhil Před 3 měsíci

    Brother umenipa elimu kubwa sana shukrani nafanya kuanzia sasa

  • @aikammari1267
    @aikammari1267 Před 3 měsíci

    Nimejifunza

  • @user-fc6gz4le6c
    @user-fc6gz4le6c Před 3 měsíci

    Yani asante sana nashkuru kwakutufungua akili kwakel

  • @user-tb8hz9hn8f
    @user-tb8hz9hn8f Před 3 měsíci

    Da Asante San nilikuwa nakuomba tu ela

  • @ramaahke512
    @ramaahke512 Před 3 měsíci +1

    👍

  • @NABILMOHAMMEDABDULLAH

    ❤❤❤

  • @samsonmashaka7179
    @samsonmashaka7179 Před 3 měsíci

    tuko pamoja kaka

  • @StanleyNgwanda
    @StanleyNgwanda Před 3 měsíci

    Je kwa wanafunzi tunawezaj kuweka akiba brother

  • @tmcproduction123
    @tmcproduction123 Před 3 měsíci

    Nimekuelewa kabisa

  • @ModestaNyagawa
    @ModestaNyagawa Před 7 dny

    Vitabu ni shingapi mi niko mbeya

  • @user-pd3kj1yv2t
    @user-pd3kj1yv2t Před 2 měsíci +1

    Mm nalipwa 500,000 kw mwez akiba yangu nianze kuwenga kiasi gani nmeshindwa 😢 mm

    • @qimlaw6723
      @qimlaw6723 Před měsícem +1

      Asilimia 30 ya 500000 ni 150000 kwahio

  • @denissiedisoni-lk7xm
    @denissiedisoni-lk7xm Před 3 měsíci

    Nime jifunza kitu

  • @AnaniaNzelani
    @AnaniaNzelani Před 27 dny

    Nahitaji kitabu cha kanuni za fedha

  • @DeboraSiridion
    @DeboraSiridion Před měsícem +1

    Kaka kiukweri kuusu akiba umenigusa make mimi nafanya biashara ninauakika wakupata 15000 kwasiku rakini siwezi kueka era nisaidie kaka😢

  • @StevenHelly
    @StevenHelly Před měsícem

    8:44 8:46

  • @farajabinamsimchimba
    @farajabinamsimchimba Před měsícem

    Ambwene wewe ni jini

  • @GervaspauloKanemhu
    @GervaspauloKanemhu Před 14 dny

    Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉