NJIA TANO ZA KUJILAZIMISHA KUWEKA AKIBA | Victor Mwambene.
Vložit
- čas přidán 2. 04. 2024
- Somo hili litakusaidia mbinu za kujilazimisha kuweka akiba hata kama una kipato kidogo.
.
Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Asante kaka umeniongeze kitu kikubwa katika maisha kwanzia leo nitaanza kufatilia mafuzo yako najua kuna kitu kikubwa kitaongezeka kwenye maisha yangu na biashara yangu.
Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉
Chalambo hapa nipo live katika darasa nilipendalo nipo tayari kubadilika nakuzngatia Kwa ufasaha
Shukrani sana Victoria naomba
Asnte sana bro keep moving
Asante sana, je sisi ambao hatupokei mshahara kwa njia ya kibenk tufanyeje
Asante mkuu naomba kujua hii M.pawa au Mgodi je ni sawa au ni vikoba tu
Mgodi nishawah kuweka elfu50 nilipotaka kutoa ikawa inagoma mpaka kuwapigia wa mtandao walinisumbua kalibia wiki nzima😢
Asante sana Nimejifunza
Napenda sana unachofanya na commitment yako .. keep moving brother
Shukuran sana victor mwambene
Cheers brother
Asante sana mwakimu
Asante sana kaka nimejifunza
1.kujilipa mwenyewe kwanza [ukipata pesa fikiria kwanza kutunza sio kutumia]
2. Kuwa na malengo [ukiwa na lengo litakulazimisha kuweka akiba]
3.Kuwa kwenye mfumo wa vicoba.[Hapo utawajibika kuweka akiba kwakuwa utapigwa faini na pia tafuta kikoba cha uwezo wako]
4.mfumo wa kibenki inayoitwa Standing oder ambayo kila pesa itakayoingia kwenye akauti yako ikatwe ipelekwe kwenye akauti ya akiba.
5.weka akiba sehemu ambayo si rahisi kuipata
Asanteeeee saaaaana kaka nimekuelewa mnooooo
Kweli kabisa mimi umenikosha kesho naenda benk kufunga acaut
Asante mno nmejifunza
Asante baba...🎉
Asante sana kaka
Nakubali
Ahsante sana nimejifunza,barikiwa.
Asante
Nikweliiiii broo Mung akubalkiiii🎉🎉🎉🎉❤
nimekupata sna kaka . hapo kwenye vikoba na standing order. ndo inanisaidia . barikiwa sana kaka
Brother umenipa elimu kubwa sana shukrani nafanya kuanzia sasa
Nimejifunza
Yani asante sana nashkuru kwakutufungua akili kwakel
Da Asante San nilikuwa nakuomba tu ela
👍
❤❤❤
tuko pamoja kaka
Je kwa wanafunzi tunawezaj kuweka akiba brother
Nimekuelewa kabisa
Vitabu ni shingapi mi niko mbeya
Mm nalipwa 500,000 kw mwez akiba yangu nianze kuwenga kiasi gani nmeshindwa 😢 mm
Asilimia 30 ya 500000 ni 150000 kwahio
Nime jifunza kitu
Nahitaji kitabu cha kanuni za fedha
Kaka kiukweri kuusu akiba umenigusa make mimi nafanya biashara ninauakika wakupata 15000 kwasiku rakini siwezi kueka era nisaidie kaka😢
😳😳😳
8:44 8:46
Ambwene wewe ni jini
Tutakuwa pamoja sana kaka.tupambane pia malengo..🎉